Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Business partner needed

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      mayome's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th January 2012
      Posts : 61
      Rep Power : 383
      Likes Received
      12
      Likes Given
      53

      Thumbs up Business partner needed

      Habari zenu wanajamii wenzangu

      Mimi ni kijana wakiume kwa sasa Shughuli yangu ni usindikaji vinywaji vyenye vileo ( pombe). Katika biashara yangu hii changamoto kubwa ambayo naipata ni ufinyu wa mtaji nilio nao na hivyo kunifanya nishindwe kujitanua na kufanya vizuri zaidi kwenye biashara. Kufuatia changamoto hiyo nimeamua kutafuta mtu/watu wenye pesa au uwezo wa kukopa ili tushirikiane.
      Kwa yeyote alie tayari mambo ya muhimu hapa ni kama ifuatavyo:-

      1. Bidhaa inayotengenezwa ni kilevi ( POMBE) kwa hiyo usiwe na pingamizi kiimani. Vile vile bidhaa imekua sokoni kwa miezi mine tu hadi sasa.
      2. Biashara iko MBEYA MJINI TANZANIA ,Kama partner unaweza kushiriki katika uendeshaji wa biashara au usishiriki tegemeana na nafasi yako.
      3. Unahitaji kua na mtaji wa shilingi za Tanzania Million hamsini hadi milioni mia mbili (50,000,000/= to 200,000,000/=)
      4. Kwa yule ambaye hana pesa lakini ana Dhamana ya kuweza kupata mkopo anakaribishwa kwakua kuna mpango wa biashara/business plan ambayo tayari imeandaliwa.

      Ambaye atavutiwa na post yangu na akitaka kujua zaidi anitumie private massage au anipigie kwa namba yangu +255712244831. Atakaye hitaji tuonane ili tuzungumze kwa ukaribu zaidi nitakua tayari, na nitakua Dar tangu leo hadi 29/08/2012 baada ya hapo nitarudi Mbeya.


      NOTE: Tafadhalini wana jamii hili tangazo niliwahi kuliweka hapa lakini niliishia kusumbuliwa kwa coments zenye maswali mengi yaliyonitaka kujibu na wengine walituma private massages lakini hawakua sereous. Naombeni kama unaona post sio ya aina yako huna haja ya reply/comment, tambua kua hauwezi kua mjuaji wa kila kitu na pia upo kwenye uwanja wa GREAT THINKERS jaribu kua objective.

    2. Miaka 50

    3. #2
      mayome's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th January 2012
      Posts : 61
      Rep Power : 383
      Likes Received
      12
      Likes Given
      53

      Thumbs up Business partiner needed.

      Karibuni sana
      Last edited by mayome; 29th July 2012 at 12:58.

    4. #3
      Silicon Valley's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th March 2012
      Posts : 104
      Rep Power : 384
      Likes Received
      17
      Likes Given
      47

      Default re: Business partner needed

      Unaeleweka vema kiasi, unaweza pia kuuza hisa za kampuni hiyo(equity finance), Ubia partinership au join venture, vile vile hapa Tz inasemekana zipo Capital Venture zaidi ya 20 Tafuta mojawapo, HAYA YOTE NI RAHISI SANA KAMA KWELI HIYO BIASHARA NI VIABLE (inalipa)
      mayome likes this.

    5. #4
      mayome's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th January 2012
      Posts : 61
      Rep Power : 383
      Likes Received
      12
      Likes Given
      53

      Default re: Business partner needed

      asante silicon valley

    6. #5
      emalau's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2009
      Posts : 574
      Rep Power : 627
      Likes Received
      98
      Likes Given
      97

      Default re: Business partner needed

      Good initiative, the good idea would be to engage many people because there are very few individuals who can afford to give 50.m

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      TWIZAMALLYA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : NG'WAMAGUNGULI
      Posts : 392
      Rep Power : 464
      Likes Received
      69
      Likes Given
      155

      Default re: Business partner needed

      Hujasema ni pombe gani isije ikawa gongo

      No man can stand on top because he is put there.
      H.H. Vreeland



    9. #7
      Join Date : 13th August 2011
      Posts : 1,741
      Rep Power : 802
      Likes Received
      444
      Likes Given
      186

      Default

      Quote By emalau
      Good initiative, the good idea would be to engage many people because there are very few individuals who can afford to give 50.m
      Una deal na pombe aina gani na je we umewekeza kiasi gani hadi kufikia hapo deal nimelipenda ila hiyo partner's capital range inalet down aisee

    10. "display:none" id="progress_4321826" style="display:none;visibility:hidden;" data-cfsrc="https://www.jamiiforums.com/customavatars/avatar67018_3.gif" alt="mayome's Avatar" />
      Member Array
      Join Date : 17th January 2012
      Posts : 61
      Rep Power : 383
      Likes Received
      12
      Likes Given
      53

      Default re: Business partner needed

      pombe halali kwa biashara tanzania inatokana na matunda mchanganyiko

    11. #9
      mayome's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th January 2012
      Posts : 61
      Rep Power : 383
      Likes Received
      12
      Likes Given
      53

      Default re: Business partner needed

      Aina ya pombe ni pombe ya matunda mchanganyiko kuhusu kuingage watu wengi zaidi naona kama yaweza leta shida badae kwasababu wengine wanaweza kua sumbufu na hivyo kurudisha nyuma mradi huu.

    12. #10
      NAFIKA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd December 2011
      Posts : 84
      Rep Power : 393
      Likes Received
      19
      Likes Given
      25

      Default re: Business partner needed

      Good initiative for self employment, unaweza kuregister kwenye SME'S FORUM kupitia Tanzania Chamber for Comerce Industry and Agriculture (TCCIA), utapata msaada wa kutosha na maelekezo ya jinsi ya kukuza mtaji wako.
      mayome likes this.

    13. #11
      emalau's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2009
      Posts : 574
      Rep Power : 627
      Likes Received
      98
      Likes Given
      97

      Default Re: Business partner needed

      Why don't you open the public company where many people can contribute capital? unaweza ukafungua kampuni kama NICOL watu wengi watachangia mtaji na watapata gawiwo (dividend) pindi kampuni itakapoanza kupata faida. Hii itasaidia kwa maana kwamba wanahisa hawatataka faida ya haraka. I know the corporate culture in Tanzania is still at its infancy but that is the simple and effective way of acquiring capital.
      mayome likes this.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...