Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: TICTS wagoma!

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      The Fixer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Location : Tabata Segerea
      Posts : 795
      Rep Power : 796
      Likes Received
      230
      Likes Given
      81

      Exclamation TICTS wagoma!

      Leo asubuhi Wafanyakazi wa Kitengo cha kupakuwa makontena katika hii Bandari ya Salama wameanza mmgomo wao kufuatie kile ambacho waliona kama kuwa na wasiwasi wa mafao yao pale ambapo kuna tetesi kuwa TICTS inaweza kusimamishwa kutoa huduma hiyo na serikali.
      Wafanyakazi hao amboa walimwandikia CEO Bwana Nivel na kutaka kujua kama TICTS watasimamishwa wao kama wafanyakazi watalipwa vip ? kwakuwa katika mikataba yao hakuna mahala ambapo TICTS inaonyesha kama wao wakikwamisha mkataba malipo yanakuwaje ?

      More updates baadae.........!!
      ”A leader takes people where they want to go. A great leader takes people where they don’t necessarily want to go, but ought to be.”Breaking Newzer,008


    2. #2
      Msanii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2007
      Posts : 6,216
      Rep Power : 1932
      Likes Received
      218
      Likes Given
      277

      Default Re: TICTS wagoma........!

      Mwanzo wa ngoma ni lele
      " If you hear a voice within you say "you cannot paint", then by all means paint, and that voice will be silenced"
      [email protected]

    3. #3
      Azimio Jipya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Location : Universal Space Station
      Posts : 3,284
      Rep Power : 5418
      Likes Received
      1009
      Likes Given
      1731

      Default Re: TICTS wagoma........!

      They have all the resons kuwa makini tetesi zinaendelea kukuwa kila muda unavyosonga mbele!!
      Never Get Angry; Never Make Threat; Reason With People;
      "Napenda the logic of the words because in some ways it says about individual-not to use emotions-when scrutinizing something, whether it involves you or not" ...-by AshaDiii @ Jamiiforums 26th July 2011.


    4. #4
      Robweme's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th May 2009
      Posts : 178
      Rep Power : 548
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Angry Re: TICTS wagoma........!

      Mkuu,
      Wakafanye kazi nani amewambia kuwa inasimamishwa.Tetesi hazifai, tafuta ukweli mwenyewe kabla ya kugoma.
      Kweli itaongelewa bungeni, lakini hakuna mwenye uhakika kuwa itasimishwa.
      Kafanye kazi malipo yatakuwepo angalia sheria kwa mtu ambaye ameshafanya kwenye kampuni zaidi ya miezi 3, lazima alipwe mfao yake

    5. #5
      Kigogo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,484
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1302
      Likes Given
      318

      Default Re: TICTS wagoma........!

      Ngoja tusubiri yetu masikio na macho.Lakini ninavyolifahamu bunge letu ni makelele tuuuu hakuna la maana litakalo amuliwa


    6. #6
      OFFORO's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th August 2008
      Location : Boston
      Posts : 40
      Rep Power : 561
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default Re: TICTS wagoma........!

      Kumbukumbu zangu zinaonyesha kuwa katika hotuba za mheshimiwa jk kuna siku alisema kuwa haoni hatari kama wizara au idara ya serikali kuanza moja akiwa na maana ya kufuta kila kitu na kuanza moja

      hili la ticts linawezekana kabisa maana hata mzee pinda alisema bungeni kuwa wameprove kuwa ticts haina faida kwa serikali

      wazee nyie gomeni serikali isiogope kupata hasara ya mwaka kuliko kukumbatia ugonjwa ambao utatutesa na unaendelea kutesa watanzania na kutuchafulia jina

      gomeni wakuu ili haki ipatikane
      READING IS THE BASICS FOR ALL LEARNING

    7. #7
      Wakunyuti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2008
      Location : Kwakunyuti
      Posts : 381
      Rep Power : 656
      Likes Received
      2
      Likes Given
      2

      Default Re: TICTS wagoma!

      ah aaahh!! hii sio habari nzuri hata kidogo.... wengine tuna mizigo yetu pale bandarini ..hii itakua imekaa vibaya sasa
      Bad officials are elected by good citizens who do not vote

    8. #8
      CriticalThinker's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 27th May 2009
      Posts : 7
      Rep Power : 513
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: TICTS wagoma!

      Sio kweli hakuna mgomo wowote Ticts tena sasa hivi hata msongamano umeisha watu wanapiga kazi na kawaida. Kwa kuwa tayari tuna negative attitude kwa Ticts kila kitu ni rahisi kuonekana kweli...Halafu pia tunahitaji kidogo elimu kuhusu mambo ya meli maana siku hizi kuna waandishi wa habari tena waandamizi kazi yao ni kwenda pale ferry magogoni wanahesabu meli wanazoziona baharini uko na kurudi kuandika habari, huu ni upuuzi sio kila meli inapakuliwa na ticts...tena takwimu zinaonyesha kuwa mamlaka ya bandari ndio wanapakua meli nyingi zaidi...watanzania mnaingizwa kwenye mambo msiyoyajua. kuna jamaa anaitwa Igogo yeye ana washirika wenzake ndio wanataka kuleta kampuni nyingine ichukue nafasi ya ticts na huyu ndie anayelipa waandishi wote wanaoandika habari mbaya kuhusu ticts.

    9. #9
      OFFORO's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th August 2008
      Location : Boston
      Posts : 40
      Rep Power : 561
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default Re: TICTS wagoma!

      Quote By CriticalThinker
      Sio kweli hakuna mgomo wowote Ticts tena sasa hivi hata msongamano umeisha watu wanapiga kazi na kawaida. Kwa kuwa tayari tuna negative attitude kwa Ticts kila kitu ni rahisi kuonekana kweli...Halafu pia tunahitaji kidogo elimu kuhusu mambo ya meli maana siku hizi kuna waandishi wa habari tena waandamizi kazi yao ni kwenda pale ferry magogoni wanahesabu meli wanazoziona baharini uko na kurudi kuandika habari, huu ni upuuzi sio kila meli inapakuliwa na ticts...tena takwimu zinaonyesha kuwa mamlaka ya bandari ndio wanapakua meli nyingi zaidi...watanzania mnaingizwa kwenye mambo msiyoyajua. kuna jamaa anaitwa Igogo yeye ana washirika wenzake ndio wanataka kuleta kampuni nyingine ichukue nafasi ya ticts na huyu ndie anayelipa waandishi wote wanaoandika habari mbaya kuhusu ticts.
      jamani jamani kama hamna data ni vizuri mkakaa kimya
      wewe unayesema kuwa kuna mtu ana kampuni yake anataka kuipiku ticts nani kakuambia
      sidhani kama waziri mkuu alikurupuka na kusema kuwa ticts wameonyesha kuwa kazi wameshindwa
      READING IS THE BASICS FOR ALL LEARNING

    10. #10
      CriticalThinker's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 27th May 2009
      Posts : 7
      Rep Power : 513
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: TICTS wagoma!

      Mzee amini usiamini mambo haya ni ya kweli, yafanyie kazi utajua undani wake. Kuna jamaa mmoja anaitwa Chagama yeye ni kati ya waratibu wakuu wa zoezi hilo. Unataka mpaka upewe jina la kampuni waliyoiandaa nini?

    11. #11
      Lubaluka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2009
      Posts : 473
      Rep Power : 608
      Likes Received
      22
      Likes Given
      19

      Default Re: TICTS wagoma!

      There was no such strike today, but was a threat of that.

    Similar Topics

    1. Ticts jobs
      By Jaxx in forum Nafasi za Kazi na Tenda
      Replies: 34
      Last Post: 2nd May 2011, 00:37
    2. Wafanyakazi 600 wa Ticts wagoma Dar es Salaam
      By mstahiki in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 13
      Last Post: 28th July 2009, 06:32
    3. Godfrey Zambi na TICTS
      By mstahiki in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 2
      Last Post: 25th June 2009, 10:04
    4. Tetesi: TICTS waendeleza Mgomo- 2.
      By The Fixer in forum Business & Economic Forum
      Replies: 1
      Last Post: 26th May 2009, 16:44
    5. Ticts contract may be terminated-TPA
      By BAK in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 2
      Last Post: 23rd January 2009, 21:57

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...