Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Natafuta wanunuzi wa asali

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      Mega Watt's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Posts : 7
      Rep Power : 399
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Natafuta wanunuzi wa asali

      Natafuta mtu ambae ntakuwa namuuzia asali kwa bei ya jumla au anae elewa sehem ambayo naweza kufanya biashara hiyo


    2. #2
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,169
      Rep Power : 593
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: Natafuta wanunuzi wa asali

      Binafsi nahitaji lakini sio kiasi kingi (2-5 liters), ni kwa amtumizi ya nyumbani ila kama haijachakachuliwa na kama ni mbichi. Waweza kuni-pm ukaniambia unapopatikana au namba za simu.

    3. #3
      Mshawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th September 2011
      Location : Here
      Posts : 278
      Rep Power : 449
      Likes Received
      39
      Likes Given
      51

      Default

      Hujaeleweka mkuu, weka details za kushawishi na kumwelewesha mteja wako, uko wapi na unapatikanaje? hiyo jumla ikoje yaani maximum and minimum ni ipi? je ni asali ipi nyuki wadogo au wakubwa? bei ikoje??...

    4. #4
      Mega Watt's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Posts : 7
      Rep Power : 399
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Natafuta wanunuzi wa asali

      Ninacho kifanya ni makubaliano kutokana na jinsi mteja anavyo hitaji
      lakini si kwa reja reja kama unavyo hitaji wewe

    5. #5
      Kivumah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2008
      Posts : 2,077
      Rep Power : 5297
      Likes Received
      674
      Likes Given
      688

      Default Re: Natafuta wanunuzi wa asali

      Mkuu funguka, Unayo kiasi gani, unauza bei gani, ni ya nyuki wadogo au wakubwa, ni mbichi au imepikwa, na wewe unapatikana wapi, weka contact zako ikibidi


    6. #6
      Ericus Kimasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th October 2006
      Posts : 256
      Rep Power : 1090
      Likes Received
      162
      Likes Given
      349

      Default Re: Natafuta wanunuzi wa asali

      Quote By Mega Watt View Post
      Natafuta mtu ambae ntakuwa namuuzia asali kwa bei ya jumla au anae elewa sehem ambayo naweza kufanya biashara hiyo
      Wasiliana na Hassan 0786972956

    7. #7
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,907
      Rep Power : 1857
      Likes Received
      626
      Likes Given
      421

      Default Re: Natafuta wanunuzi wa asali

      Wachina wamejenga kiwanda kikubwa karibu na Tanita cha kusindika na kufungasha asali wanahitaji asali kwa wingi kutoka kwa wakulima.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...