Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 37
    1. #1
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,178
      Rep Power : 640
      Likes Received
      480
      Likes Given
      1573

      Default Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Jamani nina ndg yangu amelizwa laki sita asubuhi ya leo. Mteja kaja na pesa cash awekewe ktk akaunti yake. Akamkabidhi wakala na wakala naye akamrushia electronic money. Alipotaka kufanya transaction ya mteja mwingine (baada ya yule kuondoka) ndipo akagundua zile laki sita alizopewa hazimo ndani ya pochi yake. Kwenda tigo, jamaa alishachukua zile alizoingiziwa kwenye akaunti yake!

      Eti imekaaje hii jamani mbona inatisha? mnaofanya biashara hii vipi experience zetu jamani? watu wa tigopesa mnalionaje hili?
      Last edited by mito; 9th July 2012 at 16:53.
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!


    2. #2
      Ben Mugashe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th October 2008
      Location : Dar
      Posts : 358
      Rep Power : 616
      Likes Received
      128
      Likes Given
      228

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Huyu jamaa ni mzembe.. maana utafanya vipi transactions haujapewa ela?....Sometimes tusiilahumu kampuni...
      "Despite all our differences most of us share the same hopes for our country's future." OBAMA.......

    3. #3
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,178
      Rep Power : 640
      Likes Received
      480
      Likes Given
      1573

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Quote By Mugashe View Post
      Huyu jamaa ni mzembe.. maana utafanya vipi transactions haujapewa ela?....Sometimes tusiilahumu kampuni...
      Naona hujaelewa mkuu au mi ndo sikueleza vizuri. Yaani jamaa (mteja) kampa wakala hela (hiyo cash laki sita) mkononi, huyo wakala akaiweka kwenye pochi/mkoba. Walipomalizana mteja akaondoka kama kawaida. Baada ya muda kidogo ndipo huyo wakala akagundua hizo laki sita hazimo kwenye mkoba. So ni kama zilikuwa za kiini macho hivi
      Ben Mugashe likes this.
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!

    4. #4
      cement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Location : Tanganyika-Dar es salaam
      Posts : 438
      Rep Power : 446
      Likes Received
      152
      Likes Given
      173

      Default

      Quote By mito View Post
      Naona hujaelewa mkuu au mi ndo sikueleza vizuri. Yaani jamaa (mteja) kampa wakala hela (hiyo cash laki sita) mkononi, huyo wakala akaiweka kwenye pochi/mkoba. Walipomalizana mteja akaondoka kama kawaida. Baada ya muda kidogo ndipo huyo wakala akagundua hizo laki sita hazimo kwenye mkoba. So ni kama zilikuwa za kiini macho hivi
      Sasa huu si utapeli wa Tigo pesa bali huyo ndugu yako kapambana tu na mjanja kamuingiza kingi mkuu!hii sio ishu ya kuilaumu Tigo kaka!
      Amoeba, mjasiria and mito like this.

    5. #5
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,965
      Rep Power : 15153
      Likes Received
      7382
      Likes Given
      7056

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      siku nyingine akifanya biashara ya pesa ajaribu kuwa na safebox eeeh....
      mito likes this.


    6. #6
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,178
      Rep Power : 640
      Likes Received
      480
      Likes Given
      1573

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Quote By Preta View Post
      siku nyingine akifanya biashara ya pesa ajaribu kuwa na safebox eeeh....
      Preta unahisi kaibiwa? yeye anaamini jamaa kampa pesa kanyaboya, maana yuko peke yake kwenye kibox chake cha biashara, na hakutoka kwenda mahali, kitendo kimefanyika withini very short time.
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!

    7. #7
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,178
      Rep Power : 640
      Likes Received
      480
      Likes Given
      1573

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Quote By cement View Post
      Sasa huu si utapeli wa Tigo pesa bali huyo ndugu yako kapambana tu na mjanja kamuingiza kingi mkuu!hii sio ishu ya kuilaumu Tigo kaka!
      Ndo maana ya kuleta hapa JF mkuu ili kupata ushauri zaidi, mawazo namna ya kuepuka, pia kusikia kama kuna wengine nao walicha-experience kitu kama hiki. Tigo nao wanaweza wakashauri zaidi
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!

    8. #8
      Nivea's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,989
      Rep Power : 16312
      Likes Received
      3403
      Likes Given
      4352

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Ndugu yangu thre is nothiung to do with tigo pesa,hapo ni wao wenyewe mtoa pesa na mpokea pesa

    9. #9
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,789
      Rep Power : 799
      Likes Received
      442
      Likes Given
      437

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Quote By mito View Post
      Naona hujaelewa mkuu au mi ndo sikueleza vizuri. Yaani jamaa (mteja) kampa wakala hela (hiyo cash laki sita) mkononi, huyo wakala akaiweka kwenye pochi/mkoba. Walipomalizana mteja akaondoka kama kawaida. Baada ya muda kidogo ndipo huyo wakala akagundua hizo laki sita hazimo kwenye mkoba. So ni kama zilikuwa za kiini macho hivi
      kama ni hivo hapa issue sio tigo hapa issue ni CHUMA ULETE
      mjasiria and Nyakwec's Bro like this.
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    10. #10
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,178
      Rep Power : 640
      Likes Received
      480
      Likes Given
      1573

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Quote By Uswe View Post
      kama ni hivo hapa issue sio tigo hapa issue ni CHUMA ULETE
      Sasa hiyo kitu itaepukwaje mkuu? ushauri basi....
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!

    11. #11
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,579
      Rep Power : 1155
      Likes Received
      672
      Likes Given
      884

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Bw mito (Balloteli) hapo kuna shaka nyingi sana hasa kwa huyo Bint Wakala wa tigopesa ni wengi tu tunawaona huku huwa wakilizwa wanakimbilia kuwa wametapeliwa. Nasema uongo kwanini 1. Huyo Msichana anazifahamu No. za huyo mteja kwani haruhusiwi mpaka jina la Mteja litokee ndipo amruhusu 2. Huyo Bint hizo No. anazifahamu za huyo Mteja ni kwamba am-Block na kuwaarifu Tigopesa ambapo hapo alipo wana namba za kituo chake na No. za huyo tapeli. Kwa hiyo hela huyo mwizi hatazitumia mpaka suluhu ipatikane. 3. balloteli km kibanda ni chako toa taarifa POLISI na kuwaarifu tigo huyo jamaa hatamaliza hatua 10 atarudi 4. Huyo mtoto ni tapeli wa kutupwa amejuwa wewe upo mbali sana na IT na hujui nakuhakikishia hakuna hela inayopotea. 5. Mbane huyo wakala akuelezea au mtishie unaenda POLISI atasema tu
      Sending by: BlackBerry 8100 Smartphone using JamiiForum

    12. #12
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,789
      Rep Power : 799
      Likes Received
      442
      Likes Given
      437

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Quote By Uswe View Post
      kama ni hivo hapa issue sio tigo hapa issue ni CHUMA ULETE
      Quote By mito View Post
      Sasa hiyo kitu itaepukwaje mkuu? ushauri basi....
      Inaweza kuepukwa kwa vitu vitatu

      1. Prayers
      2. Prayers
      3. Prayers
      Maamuma and mito like this.
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    13. #13
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,178
      Rep Power : 640
      Likes Received
      480
      Likes Given
      1573

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Quote By Ukwaju View Post
      Bw mito (Balloteli) hapo kuna shaka nyingi sana hasa kwa huyo Bint Wakala wa tigopesa ni wengi tu tunawaona huku huwa wakilizwa wanakimbilia kuwa wametapeliwa. Nasema uongo kwanini 1. Huyo Msichana anazifahamu No. za huyo mteja kwani haruhusiwi mpaka jina la Mteja litokee ndipo amruhusu 2. Huyo Bint hizo No. anazifahamu za huyo Mteja ni kwamba am-Block na kuwaarifu Tigopesa ambapo hapo alipo wana namba za kituo chake na No. za huyo tapeli. Kwa hiyo hela huyo mwizi hatazitumia mpaka suluhu ipatikane. 3. balloteli km kibanda ni chako toa taarifa POLISI na kuwaarifu tigo huyo jamaa hatamaliza hatua 10 atarudi 4. Huyo mtoto ni tapeli wa kutupwa amejuwa wewe upo mbali sana na IT na hujui nakuhakikishia hakuna hela inayopotea. 5. Mbane huyo wakala akuelezea au mtishie unaenda POLISI atasema tu
      Nashukuru kwa ushauri wako mkuu Ukwaju, ila nadhani hukusoma vizuri posting yangu. Ila kwa taarifa ni kwamba biashara ni ya wakala mwenyewe, hivyo yeye mwenyewe ni mfanyakazi na mmiliki mwenyewe. Mi nimeileta tu hapa kuomba ushauri
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!

    14. #14
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,729
      Rep Power : 2030
      Likes Received
      1697
      Likes Given
      1697

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Ni mazingaombwe au?
      Lakini huwezi kuiamini hiyo kitu hadi ikutokee aisee.
      mito likes this.
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    15. #15
      kalwani's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 14
      Rep Power : 366
      Likes Received
      0
      Likes Given
      3

      Default

      Sio tgo Kaka wakala na mtoa pesa

    16. #16
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,178
      Rep Power : 640
      Likes Received
      480
      Likes Given
      1573

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Quote By Ukwaju View Post
      Bw mito (Balloteli) wewe mwenyewe hujajieleza vizuri huenda huyo Wakala akataka msaada wa kifedha kwani No. ya huyo mteja si bado anayo kwanini asimpigie kumueleza yaliyomsibu? Mimi nilichosikitika ni hiyo heading kuwa "utapeli tigo sasa unatisha!" mimi ni mtumiaji wa tigo sioni kosa lao km huyo wakala hataki kusema ukweli natakupa link ya tigo uwaarifu kwa msaada zaidi Welcome to Facebook - Log In, Sign Up or Learn More hapo waeleze yote au ingia facebook na utafute Tigo Tanzania Huo ni msaada wa mwisho ambapo utajua nani ni mkweli Wakala au mwizi
      Asante mkuu, nadhani heading yangu ina-mislead kidogo. Ila ni kwamba jamaa hapanikani hewani na pesa alitoa fasta baada tu ya kutoka pale kwa wakala
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!

    17. #17
      Amoeba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2009
      Posts : 3,330
      Rep Power : 1180
      Likes Received
      438
      Likes Given
      725

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Hayo mambo yapo, tena shukuru amechukua hiyo laki6 tu!
      Ukichukua pesa ya mtu ambaye ni suspect jifanye umedondosha chini then ikanyage halaf ndy utie kwenye droo.
      Sisi wapagani ndy tunafanya hivyo, na inasaidia sana, kama wewe unaimani tofauti endelea na imani yako itakusaidia pia.
      NAONGEA KWA EXPERIENCE! KAMA HAUAMINI KAA KIMYA USUBIRI SIKU YAKUKUTE.
      mito likes this.
      If you love something, set it free; if it comes back.....its yours,...
      if it doesn't.......hunt it down and
      kill it!

    18. #18
      BabaDesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2007
      Posts : 2,392
      Rep Power : 1090
      Likes Received
      254
      Likes Given
      1436

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      ...Mkuu Amoeba hebu fafanua zaidi hapo ili utusaidie sisi Wapagani wenzako! Unapoikanyaga hela unayodhani ni ya mazingaombwe kutatokea nini kitakachokujulisha kuwa hiyo hela ni ya mazingaombwe na hivyo ukanusurika kuibiwa?
      mito likes this.
      Sema Kwa Sauti, Mimi Ni Mweusi Na Najivunia Kuwa Hivyo!

    19. #19
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,178
      Rep Power : 640
      Likes Received
      480
      Likes Given
      1573

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Quote By Amoeba View Post
      Hayo mambo yapo, tena shukuru amechukua hiyo laki6 tu!
      Ukichukua pesa ya mtu ambaye ni suspect jifanye umedondosha chini then ikanyage halaf ndy utie kwenye droo.
      Sisi wapagani ndy tunafanya hivyo, na inasaidia sana, kama wewe unaimani tofauti endelea na imani yako itakusaidia pia.
      NAONGEA KWA EXPERIENCE! KAMA HAUAMINI KAA KIMYA USUBIRI SIKU YAKUKUTE.
      Hapo kwa redi umenichekesha Amoeba, unaiona ndogo wakati ndo ulikuwa mtaji aisee......
      Hebu tufafanulie hiyo experience mkuu
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!

    20. #20
      Mshawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th September 2011
      Location : Here
      Posts : 278
      Rep Power : 449
      Likes Received
      39
      Likes Given
      51

      Default

      Quote By Amoeba View Post
      Hayo mambo yapo, tena shukuru amechukua hiyo laki6 tu!
      Ukichukua pesa ya mtu ambaye ni suspect jifanye umedondosha chini then ikanyage halaf ndy utie kwenye droo.
      Sisi wapagani ndy tunafanya hivyo, na inasaidia sana, kama wewe unaimani tofauti endelea na imani yako itakusaidia pia.
      NAONGEA KWA EXPERIENCE! KAMA HAUAMINI KAA KIMYA USUBIRI SIKU YAKUKUTE.
      Bongo noma arifu, sasa nitawezaje hata kumhisi ili nifanye uliyoeleza??!

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...