Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 37 of 37
    1. #1
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,177
      Rep Power : 640
      Likes Received
      480
      Likes Given
      1569

      Default Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Jamani nina ndg yangu amelizwa laki sita asubuhi ya leo. Mteja kaja na pesa cash awekewe ktk akaunti yake. Akamkabidhi wakala na wakala naye akamrushia electronic money. Alipotaka kufanya transaction ya mteja mwingine (baada ya yule kuondoka) ndipo akagundua zile laki sita alizopewa hazimo ndani ya pochi yake. Kwenda tigo, jamaa alishachukua zile alizoingiziwa kwenye akaunti yake!

      Eti imekaaje hii jamani mbona inatisha? mnaofanya biashara hii vipi experience zetu jamani? watu wa tigopesa mnalionaje hili?
      Last edited by mito; 9th July 2012 at 16:53.
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!


    2. #21
      chilubi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Posts : 1,044
      Rep Power : 8094
      Likes Received
      205
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By Ukwaju View Post
      Bw mito (Balloteli) wewe mwenyewe hujajieleza vizuri huenda huyo Wakala akataka msaada wa kifedha kwani No. ya huyo mteja si bado anayo kwanini asimpigie kumueleza yaliyomsibu? Mimi nilichosikitika ni hiyo heading kuwa "utapeli tigo sasa unatisha!" mimi ni mtumiaji wa tigo sioni kosa lao km huyo wakala hataki kusema ukweli natakupa link ya tigo uwaarifu kwa msaada zaidi Welcome to Facebook - Log In, Sign Up or Learn More hapo waeleze yote au ingia facebook na utafute Tigo Tanzania Huo ni msaada wa mwisho ambapo utajua nani ni mkweli Wakala au mwizi
      Ukwaju husomi vizuri nduguuuuu ah! Ukizipitia posti za mtoa mada kashasahihisha kuwa sawa sio tigo pesa bali ni mtoaji na mpokeaji. Mi nilivoisoma tu mada yake nikawa nshajua nini alichokusudia, lakini wewe ukawa unatoa ushauri nje kabisa ya maudhui. Huwezi kumshauri eti aende tigo kupeleka malalamiko, kwanza jiulize, hao tigo watakusaidia vipi? Wao watakuwa na ushahidi gani km ni chuma ulete? Wewe binafsi ushahidi wako upi? Hata kama namba ya mteja unayo, yeye si alikukabidhi hela na ukazitia katika pochi? Na ukikubali ivo basi uzembe wako, sifikiri kama hata alokupa pesa atakubali na yeye kama chuma ulete! Fikiria, laki sita izo unafikiri uyo alozipokea ataziweka tu kwenye account? Si atatuoa line kabisa tu baada ya kuzitoa? Tusome mada jamani tusirukie tu kwa kusoma kichwa cha habari pekee yake!!
      mito likes this.

    3. #22
      Nyakwec's Bro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th April 2012
      Posts : 593
      Rep Power : 478
      Likes Received
      99
      Likes Given
      210

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Hiyo dua tu,mwambie awe mtu wa maombi hapo inaelekea ni balaa chuma ulete laki 6!....

    4. #23
      Amoeba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2009
      Posts : 3,330
      Rep Power : 1180
      Likes Received
      438
      Likes Given
      725

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Mkuu mito, BabaDesi haya mambo yapo, ukiongea na mtu yeyote aliyewahi kufanya biashara mikoa ya Mbeya, Iringa au Ruvuma atakueleza, wenyewe wanaita chitola. Kinachotokea ni kuwa jamaa anakuja kununua kitu chochote na pesa yoyote, ukichanganya pesa yake na pesa zako zinaondoka baada ya muda mfupi, wakati mwingine anaweza kuchukua kiasi kidogo ili usigundue. Mara nyingi inakuwa vigumu kumgundua,lakini wengi wao ni wajinga, akikuibia mara moja anakuona we mjinga baada ya siku kadhaa anarudi tena! Nyie wapagani wenzangu jaribuni kuwa mnaweka coin moja ya zamani kwenye droo, na unapohic mtu haaminikiaminiki kanyaga kama nilivyokuambieni; hakufanyi lolote!
      mito likes this.
      If you love something, set it free; if it comes back.....its yours,...
      if it doesn't.......hunt it down and
      kill it!

    5. #24
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,578
      Rep Power : 1155
      Likes Received
      672
      Likes Given
      884

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Quote By chilubi View Post
      Ukwaju husomi vizuri nduguuuuu ah! Ukizipitia posti za mtoa mada kashasahihisha kuwa sawa sio tigo pesa bali ni mtoaji na mpokeaji. Mi nilivoisoma tu mada yake nikawa nshajua nini alichokusudia, lakini wewe ukawa unatoa ushauri nje kabisa ya maudhui. Huwezi kumshauri eti aende tigo kupeleka malalamiko, kwanza jiulize, hao tigo watakusaidia vipi? Wao watakuwa na ushahidi gani km ni chuma ulete? Wewe binafsi ushahidi wako upi? Hata kama namba ya mteja unayo, yeye si alikukabidhi hela na ukazitia katika pochi? Na ukikubali ivo basi uzembe wako, sifikiri kama hata alokupa pesa atakubali na yeye kama chuma ulete! Fikiria, laki sita izo unafikiri uyo alozipokea ataziweka tu kwenye account? Si atatuoa line kabisa tu baada ya kuzitoa? Tusome mada jamani tusirukie tu kwa kusoma kichwa cha habari pekee yake!!
      Chilubi nimekuelewa na km nimekosea MNISAMEHE kwani lengo langu ni kuuelewesha UMMA hii Tasnia ya Electronic Money ni tofauti na watu wanavyoelewa eti kwenda dukani kwa mtu na kununua chumvi halafu akakuzika. ni hivi:-
      1. Mteja alikwenda kwa wakala na 600,000/= na akawekewa fedha katika simu yake (lazima ataandikishwa hata akiitoa line jina lake lipo na mahali anapoishi papo ktk kitambulisho kinachorekodiwa ktk daftari maalum ya mteja)
      2. wakala alipomrushia yeye akabaki na hela cash 600,000/= (ghafla hazioni tena hela zenyewe, ni hivi km umemwandikisha kuna no. unapiga tigo pesa wanazichomoa zote kwa huyo mteja na wanakurudishia ww wakala ili mmalizane kwa njia yoyote / hata ukitoa line ndani ya dk 10 hela huwa inarudi)
      3. Sababu nilizozitoa huenda huyo Wakala alitaka mito (Balloteli) amsaidie kwa njia nyingine. ambapo inachotakiwa ni kuwaarifu tigo wazizuie hizo hela ili mwizi ajitokeze na watampigia simu ya sauti
      4. Mwisho tigo hatakataa kutoa ushauri kusafisha jina lao utapeli sasa tigo umezidi hata kwa kuwapigia na ndio maana mtoa mada kwenye thread ya 13 na 16 anasema jamaa alishaitoa ile hela hapo hata mm sina uwezo ila Tigo
      Sending by: BlackBerry 8100 Smartphone using JamiiForum

    6. #25
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,177
      Rep Power : 640
      Likes Received
      480
      Likes Given
      1569

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Quote By Ukwaju View Post
      Chilubi nimekuelewa na km nimekosea MNISAMEHE kwani lengo langu ni kuuelewesha UMMA hii Tasnia ya Electronic Money ni tofauti na watu wanavyoelewa eti kwenda dukani kwa mtu na kununua chumvi halafu akakuzika. ni hivi:-
      1. Mteja alikwenda kwa wakala na 600,000/= na akawekewa fedha katika simu yake (lazima ataandikishwa hata akiitoa line jina lake lipo na mahali anapoishi papo ktk kitambulisho kinachorekodiwa ktk daftari maalum ya mteja)
      2. wakala alipomrushia yeye akabaki na hela cash 600,000/= (ghafla hazioni tena hela zenyewe, ni hivi km umemwandikisha kuna no. unapiga tigo pesa wanazichomoa zote kwa huyo mteja na wanakurudishia ww wakala ili mmalizane kwa njia yoyote / hata ukitoa line ndani ya dk 10 hela huwa inarudi)
      3. Sababu nilizozitoa huenda huyo Wakala alitaka mito (Balloteli) amsaidie kwa njia nyingine. ambapo inachotakiwa ni kuwaarifu tigo wazizuie hizo hela ili mwizi ajitokeze na watampigia simu ya sauti
      4. Mwisho tigo hatakataa kutoa ushauri kusafisha jina lao utapeli sasa tigo umezidi hata kwa kuwapigia na ndio maana mtoa mada kwenye thread ya 13 na 16 anasema jamaa alishaitoa ile hela hapo hata mm sina uwezo ila Tigo
      Mkuu Ukwaju hapo kwa red panahusika. Yaani wakala alivyoenda kutoa taarifa tigo (anasema ilikuwa baada ya kama dk 10 hivi tangu jamaa aondoke) akakuja jamaa alishaenda kwa wakala mwingine na kuzitoa. So alikuwa amejipanga kumaliza dili lake within the shortest possible time. In other words, it was too late to block the money
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!


    7. #26
      Tram Almasi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 26th February 2009
      Location : Marsabit
      Posts : 753
      Rep Power : 675
      Likes Received
      217
      Likes Given
      93

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Quote By mito View Post
      Naona hujaelewa mkuu au mi ndo sikueleza vizuri. Yaani jamaa (mteja) kampa wakala hela (hiyo cash laki sita) mkononi, huyo wakala akaiweka kwenye pochi/mkoba. Walipomalizana mteja akaondoka kama kawaida. Baada ya muda kidogo ndipo huyo wakala akagundua hizo laki sita hazimo kwenye mkoba. So ni kama zilikuwa za kiini macho hivi
      Ok sasa nndo nimekuelewa. Kwa maana hyo inawezea kutokea iwe kwa tigo pesa,M-pesa etc. Nafikiri issue hapa ni utapeli na sio lazima kuihusisha na Tigo Pesa. Au sio?
      Amoeba likes this.
      "YouR MoST UNhaPPy CuSToMers ArE YoUr GREateST SOurCE Of LEarNInG"- BiLL GaTEs

    8. #27
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,177
      Rep Power : 640
      Likes Received
      480
      Likes Given
      1569

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Quote By Tram Almasi View Post
      Ok sasa nndo nimekuelewa. Kwa maana hyo inawezea kutokea iwe kwa tigo pesa,M-pesa etc. Nafikiri issue hapa ni utapeli na sio lazima kuihusisha na Tigo Pesa. Au sio?
      Yes, inawezatokea hata kwa M-pesa, airtelmoney, zantel etc. Ni vema mawakala wakachukua tahadhali ya kutosha. Ndo maana nilikuwa naomba ushauri na experience za wengine. Nashukuru Amoeba ametoa ushauri na experience yake
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!

    9. #28
      Biohazard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,374
      Rep Power : 996
      Likes Received
      311
      Likes Given
      211

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      MKuu sasa TIGO PESA INAHUSIKA VIPI?

    10. #29
      ffagundos's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 11th July 2012
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default PURCHASE Nizoral (Ketoconazole) online! No prescription required!. prescription sunglasses

      Buy Nizoral (Ketoconazole) online no prescriptionTOP offers Nizoral:Want Nizoral with DISCOUNT? BUY now in our Online Pharmacy Shop and save YOUR MONEY! Professional service, consultation. Discount system!ORDER Nizoral ONLINEOur Pharmacies is the most trusted online drug suppliers. You do not have to worry about the quality of our drugs, we want to assure you that we provide you with the best possible quality at affordable prices.******************Purchase Nizoral online. CHEAPEST Prices Guaranteed!No prior prescriptions needed! Customer support available 24/7! Very fast delivery all over the world! Many payment options: Visa, Amex, MasterCard, eCheck, Wire transfer etc.Related tags:ketoconazole powered by vbulletinketoconazole drug interactions with zoloftnizoral dosageatopica ketoconazolenizoral ointmentgeneric nizoralnizoral ringwormketoconazole side effects in catsketoconazole dosing for prostate cancerketoconazole topical in dogscomplications from nizoralketoconazole treatment for prostate cancerdoes nizoral cause birth defectsketoconazole for treating psoriasiswhere can i buy nizoral onlineketoconazole 2 cream nizoral creamketoconazole veterinariansnizoral for dogs with cushingsnizoral 2 shampoo for scalp acnenizoral cream for skinnizoral drug manufacturerketoconazole for animalsnizoral shampooketoconazole cream priceside effects of ketoconazole in dogsuses of ketoconazoleketoconazole lower testosteroneketoconazole cushings mechanismmalassezia ketoconazole dogbuy ketoconazole nizoralnizoral gave me back hairnizoral shampoo and hair losszyprexa nizoralketoconazole nizoralbuy ketoconazole nizoralnizoral 2 creamnizoral tinea versicolornizoral shampoo alopecianizoral shampoo ringwormketoconazole treatment and toddlersketoconazole canineis nizoral 200mg dangerousnizoral dandruff shampoo cvsnizoral cream without a prescriptionketoconazole toxicity in mammalsketoconazole creamketoconazole 2 cream nizoral creamsize of prescription nizoral shampooketoconazole 2 shampoo for salenizoral lotionketoconazole in vitro cytotoxicitynizoral everydayketoconazole used to treatnizoral ointment 2scalp and nizoral useketoconazole dogs side effectsnizoral safetypet rx ketoconazole 200 mg creamnizoral suspketoconazole itraconazole and fluconazole legal ups shipping order Mobic without prescription delivered overnight buying generic Depakote us online pharmacy order Uroxatral buy phentermine from canadian pharmacy Precose in US free consultation buying generic Pepcid delivered next day buy Plavix without prescription rx pharmacy no prescription rx Pamelor low price fraudulent canadian pharmacies purchase Sinequan without prescription prescription drugs side effects Diovan no prescription canadian association of pharmacy technician buy Neurontin online no prescription

    11. #30
      Mwana Mtoka Pabaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2012
      Posts : 3,433
      Rep Power : 2012
      Likes Received
      1627
      Likes Given
      491

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Quote By mito View Post
      Naona hujaelewa mkuu au mi ndo sikueleza vizuri. Yaani jamaa (mteja) kampa wakala hela (hiyo cash laki sita) mkononi, huyo wakala akaiweka kwenye pochi/mkoba. Walipomalizana mteja akaondoka kama kawaida. Baada ya muda kidogo ndipo huyo wakala akagundua hizo laki sita hazimo kwenye mkoba. So ni kama zilikuwa za kiini macho hivi
      Sasa utailaumu vipi tiGO pesa kwa kiini macho?

      Kiini macho dawa yake ni Yesu.
      mito likes this.
      Be wise with SPEED. A fool at forty, is a fool INDEED!

    12. #31
      YEYE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2011
      Posts : 439
      Rep Power : 471
      Likes Received
      67
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By mito View Post
      Naona hujaelewa mkuu au mi ndo sikueleza vizuri. Yaani jamaa (mteja) kampa wakala hela (hiyo cash laki sita) mkononi, huyo wakala akaiweka kwenye pochi/mkoba. Walipomalizana mteja akaondoka kama kawaida. Baada ya muda kidogo ndipo huyo wakala akagundua hizo laki sita hazimo kwenye mkoba. So ni kama zilikuwa za kiini macho hivi
      Sasa hapo tiGO wanahusikaje?

    13. #32
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,177
      Rep Power : 640
      Likes Received
      480
      Likes Given
      1569

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Quote By Mwana Mtoka Pabaya View Post
      Sasa utailaumu vipi tiGO pesa kwa kiini macho?

      Kiini macho dawa yake ni Yesu
      .
      Asante nimependa hapo kwa red
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!

    14. #33
      KANCHI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2011
      Posts : 998
      Rep Power : 593
      Likes Received
      93
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By Uswe View Post
      kama ni hivo hapa issue sio tigo hapa issue ni CHUMA ULETE
      Ya! ya! Sasa kama vp ajipange upya.

    15. #34
      chash's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 441
      Rep Power : 443
      Likes Received
      150
      Likes Given
      152

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Hamna kiini macho wala chuma ulete. Huyu jamaa alimuwekea mteja flot kwenye simu na akasahau kupokea cash, hii inatokea kila leo. Hata ukimpata huyu aliye wekewa hiyo hela utamwambia nini? kwamba hajakupa hela? customer care pia watakuuliza uliwezaje kuwekea mteja hela kabla ya kuipokea. In other words imekula kwako. Ndio gharama za kujifundisha kazi yeyote mpaka uweze kuitwa experienced unakuwa umepoteza sana. Sasa kuwa makini kwa utapeli huu:-

      1. msg feki ambazo zitatumwa kwenye simu yako utoe hela. Hii zaidi kwenye mpesa.
      2. mteja anatoa hela unampa baadaye anapiga customer care nakusema ametoa hela kwa makosa inarudishwa kwake.
      3. Simu yako binafsi ina swapiwa bila wewe kujua alafu inatumika kutapeli mhudumu wako dukani kwamba atume hela mahala
      4. matapeli wana swap till yako ya kazi ili wakupatie nyingine.wanajifanya kuwa wao ni wafanyakazi wa mtandao. Baadae unapata hela yako haipo kwenye simu.
      5. mhudumu wako anakuwa na short saa ya kufunga kazi mfano laki sita. anasema hajui imekuwakuwaje. utafanya nini?
      6. Kuna watu wanakuja ofisini kwako wanadai hawana simu kwa hiyo uwapatie namba uwasaidie kupokea hela. baada ya hela kutumwa na wewe kuwapa hela, wenzao waliotuma wanapiga customer care na kudai ilitumwa kimakosa. inarudishwa kwao na wewe hukuandikia muamala kwenye log book kwa kuwa hii transaction hairuhusiwi. inakula kwako.
      7. Wanakuja majambazi na bunduki lao na kuchukuwa hela. Siku hizi hawaibi tena benki kwa kuwa kuna tubenki tupya twingi kila sehemu na hatupo makini.
      mito and Penguin-1 like this.

    16. #35
      Penguin-1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Location : Kyannumbu Avenue
      Posts : 349
      Rep Power : 429
      Likes Received
      48
      Likes Given
      283

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Quote By cement View Post
      Sasa huu si utapeli wa Tigo pesa bali huyo ndugu yako kapambana tu na mjanja kamuingiza kingi mkuu!hii sio ishu ya kuilaumu Tigo kaka!
      Nashauri ubadili title yako na isomeke "Utapeli kiini macho sasa unatisha"
      mito likes this.
      "Be not afraid!" Giovanni Paolo Segundo

    17. #36
      Nalonga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th December 2010
      Location : everywhere
      Posts : 177
      Rep Power : 466
      Likes Received
      6
      Likes Given
      10

      Default Re: PURCHASE Nizoral (Ketoconazole) online! No prescription required!. prescription sunglasses

      Acha uvivu wa kufikir,na kujiona muelevu ffagundos,sasa si ungefungua tu uzi wako wa tangazo lako la biashara kuliko kuleta huu ugomvi wako hapa.
      "The greatest healing therapy is friendship and love." ~ Hubert Humphrey

    18. #37
      mtanzania in exile's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 120
      Rep Power : 394
      Likes Received
      35
      Likes Given
      6

      Default Re: Utapeli tigopesa sasa unatisha!

      Quote By Mugashe View Post
      Huyu jamaa ni mzembe.. maana utafanya vipi transactions haujapewa ela?....Sometimes tusiilahumu kampuni...
      hivi umesoma vizuri hii post kabla hukujibu?
      mito likes this.

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...