Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 39
    1. #1
      Steven Sambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2008
      Location : Warsaw, Poland
      Posts : 198
      Rep Power : 590
      Likes Received
      30
      Likes Given
      193

      Default DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Wana JF,

      Kuna kampuni hapa Poland wameomba niwaulizie upatikanaji wa bidhaa hizi, yaani Dhahabu na Mafuta ya mawese.

      Sijui kama mpango utafanikiwa ila kama kutatokea maelewano basi kuna biashara kubwa inaweza kufanyika kati yao na Muuzaji huko Tanzania.

      Jamaa wanataka mtu au kampuni itakayoweza ku-suply 100kg ya dhahabu kwa mwezi na tani 12 za mafuta ya mawese kwa mwezi.

      Kama unamfahamu mtu au wewe mwenyewe ni mfanya biashara hiyo basi wasiliana nami kwa maelezo zaidi kwa kuni-PM hapa JF au kwa kutumia email yangu ya [email protected].
      Simu yangu ni +48-503535735.


      ANGALIZO: Jamaa watafanya biashara na mtu mwenye kampuni tu na kila kitu lazima kiwe kihalali. Wanafahamu sana jinsi watu wanavyolizwa hapo Tanzania kufanya biashara na watu wenye kampuni za mfukoni. Makubaliano yakifanyika basi pesa zote zitapitia BANK tu.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Steven Sambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2008
      Location : Warsaw, Poland
      Posts : 198
      Rep Power : 590
      Likes Received
      30
      Likes Given
      193

      Default re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Mpaka sasa hivi ni dada mmoja tu kaniandikia ingawa na yeye kaingia mitini.

      Bado narudia ombi langu hapo juu. Unaweza kuwa si wewe ila unamfahamu mtu anayeweza kuchangamkia hii biashara. Mawese nafahamu Kigoma yapo mengi ila sijawahi kufuatilia uuzwaji na utengenezaji wake.

      Naendelea kusubiri email zenu.

    4. #3
      GodfreyTajiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 561
      Rep Power : 551
      Likes Received
      80
      Likes Given
      63

      Default re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      kama dhahabu haitoki tanzania haihitajiwi?
      Steven Sambali likes this.
      “Unless power is legitimate there can be no social order“
      P. F. Drucker

    5. BAK
      #4
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,603
      Rep Power : 44965
      Likes Received
      8346
      Likes Given
      8336

      Default re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Kila la heri Mkuu..Sikujua kama Wapoland nao wanayahusudu mawese....Miaka michache mawese yanaweza kuwa bidhaa inayotafutwa na wengi duniani.
      Steven Sambali and m_kishuri like this.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    6. #5
      m_kishuri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2010
      Posts : 669
      Rep Power : 611
      Likes Received
      100
      Likes Given
      139

      Default re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Quote By BAK
      Kila la heri Mkuu..Sikujua kama Wapoland nao wanayahusudu mawese....Miaka michache mawese yanaweza kuwa bidhaa inayotafutwa na wengi duniani.
      I hope so.... BAK. Maana jamaa zangu kule kigoma wanatandikwa na umaskini utadhani sio Watanzania.

      BAK, Steven Sambali and Maundumula like this.
      “NOTHING IS SO EFFICACIOUS IN PRESESRVING A MAN FROM SIN, AS CONSTANT MEDITATION ON DEATH.”

    7. Miaka 50

    8. BAK
      #6
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,603
      Rep Power : 44965
      Likes Received
      8346
      Likes Given
      8336

      Default re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Quote By m_kishuri
      I hope so.... BAK. Maana jamaa zangu kule kigoma wanatandikwa na umaskini utadhani sio Watanzania.


      Mkuu M_Kishuri umaskini unawaadhiri Watanzania wengi sana nchini na si Kigoma tu pekee yake.
      Steven Sambali likes this.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    9. #7
      m_kishuri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2010
      Posts : 669
      Rep Power : 611
      Likes Received
      100
      Likes Given
      139

      Default re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa



      Nilikutana na comment ya mtu moja mtandaoni na ambaye alikuwa na haya ya kusema kuhusu Palm Oil Industry in Tanzania:

      Graham says: June 29, 2011 at 9:25 pm
      Tanzania imported cooking oil from Indonesia in the past and perhaps that is still happening. I’m very much in favour of the country producing its own cooking oil and fuel. There is much underused land in Tanzania because most farmers are too poor to use machinery which could greatly increase their productivity.
      In the slow transition to modernisation it will be agriculture which will raise incomes for the huge proportion of the population which suffers from poverty. Has any study found what energy cost is involved in biofuel production in the African tropical zone? I think we would be pleased if the production of fuel there created less pollution than more industrialised methods which are common in the temperate zones of the world.
      Food security for poor people will be enhanced if they are involved in palm oil production for cash. The status quo for poor farmers is not a healthy option so I hope that palm oil production will result in great benefits for the majority of Tanzanians. Careful planning will be needed.

      Mkuu Saambali, tafadhali tembelea hii link hapa unaweza kupata ufunuo zaidi: Tanzania | Oil palm in Africa
      Steven Sambali likes this.
      “NOTHING IS SO EFFICACIOUS IN PRESESRVING A MAN FROM SIN, AS CONSTANT MEDITATION ON DEATH.”

    10. #8
      bornagain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Location : Nyakanazi - Biharamulo
      Posts : 1,612
      Rep Power : 692
      Likes Received
      438
      Likes Given
      319

      Default re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Mi naona katika hili suala mawese yanakuja tu by the way, nachokiona hawa wapoland wanataka dhahabu tu mawese ni ya kuzugia.Kama vipi si uwaunganishe na Barrick
      Steven Sambali likes this.
      There is a saying in aviation "You haven't crashed until you've crashed. Until then, keep flying the plane".

    11. #9
      Wimana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 1,046
      Rep Power : 556
      Likes Received
      281
      Likes Given
      180

      Default

      Quote By SSAMBALI
      Mpaka sasa hivi ni dada mmoja tu kaniandikia ingawa na yeye kaingia mitini.

      Bado narudia ombi langu hapo juu. Unaweza kuwa si wewe ila unamfahamu mtu anayeweza kuchangamkia hii biashara. Mawese nafahamu Kigoma yapo mengi ila sijawahi kufuatilia uuzwaji na utengenezaji wake.

      Naendelea kusubiri email zenu.
      Dhahabu 100 kg kwa mwezi wape email yangu na tuingie ubia wachimbe wenyewe.
      K
      uhusu mawese, hizo tani ni nyingi sana kwa mwezi, uzalishaji wetu si mkubwa hivyo.
      Steven Sambali likes this.

    12. #10
      Steven Sambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2008
      Location : Warsaw, Poland
      Posts : 198
      Rep Power : 590
      Likes Received
      30
      Likes Given
      193

      Default re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Mkuu GodfreyTajiri,

      Ntawauliza hao jamaa kama watasema hawajali inatoka wapi basi ntakujulisha. Kwa sasa siwezi kusema lolote.
      Quote By GodfreyTajiri
      kama dhahabu haitoki tanzania haihitajiwi?

    13. #11
      Steven Sambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2008
      Location : Warsaw, Poland
      Posts : 198
      Rep Power : 590
      Likes Received
      30
      Likes Given
      193

      Default re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Mkuu BAK,

      Si kuwa wanataka kwa ajili ya kula ila wanataka kama BI-DIESEL.

      Kuna hii kampuni Giant ya mafuta hapa Poland na hadi nje ya mikapa inaitwa PKN ORLEN (PKN Orlen - Wikipedia, the free encyclopedia) ambao kipato chao (faida) kwa mwaka wanacheza na kitu kama US $ 1 Bilion.

      Hawa jamaa si wazalishaji tu wa mafuta ila katika kutimiza masharti ya Umoja wa nchi za Ulaya, basi kila mafuta yanayouzwa, lazima yawe na Bio-Diesel kiasi fulani, kama sikosei kwenye 5% au zaidi. Sasa katika kujiandaa na masharti hayo, wanafanya utafiti wa mafuta mengi ya Bio-Disel.

      Waliomba mafuta ya NAZI ila jamaa ambaye ndiyo anaongea nao moja kwa moja ambaye ni kutoka Msumbiji, kavutia kwao Msumbiji. Ila kwa sababu ni jamaa yangu karibu, nimefanya kulazimisha na mie awatafutie soko jamaa zangu kwa mafuta mawese. Ni kiwanda kikubwa sana na huwa wanaagiza mafuta machafu na kuanza kuyasafisha wenyewe kwenye mitambo yao. Hivyo basi technical know how wanayo na hapo huweza kwa urahisi sana kuchanganya na Bio-Diesel ili kupunguza hewa chafu duniani.

      Tutaangalia bei na matatizo mengine yatakayozuka kama itawezekana kufanya biashara au lahh.

      Kwa kuongezea tu: Mafuta ya JETROPHER haya nayo wanatafuta. Nafikiri wanatafuta ya aina tofauti na kuyafanyia utafiti kwenye magari
      Quote By BAK
      Kila la heri Mkuu..Sikujua kama Wapoland nao wanayahusudu mawese....Miaka michache mawese yanaweza kuwa bidhaa inayotafutwa na wengi duniani.
      Narubongo and Maundumula like this.

    14. #12
      Steven Sambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2008
      Location : Warsaw, Poland
      Posts : 198
      Rep Power : 590
      Likes Received
      30
      Likes Given
      193

      Default re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Mkuu m_kishauri,

      Asante kwa link. Ntawatembelea hao jamaa na nione ni kwa kiasi gani ntaweza kusaidia jamaa na ndugu zangu hapo Tanzania. Kupata kwao itakuwa kupata kwangu.

      Tupo pamoja kwa sana tu.

      MUNGU IBARIKI TANZANIA.
      Quote By m_kishuri
      Mkuu Saambali, tafadhali tembelea hii link hapa unaweza kupata ufunuo zaidi: Tanzania | Oil palm in Africa

    15. #13
      Steven Sambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2008
      Location : Warsaw, Poland
      Posts : 198
      Rep Power : 590
      Likes Received
      30
      Likes Given
      193

      Default re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Mkuu Bornagain,

      Umepishana na ukweli kidogo kwenye maelezo yako. Kama nilivyoandika kwa BAK, mafuta ya Mawese, Jetropher na labda yatatafuta na mengine ni kwa ajili ya kiwanda cha kusafisha na kuuza mafuta kikubwa cha Poland kiitwacho PKN ORLEN (kilicho mji wa Plock). Hawa wanataka mafuta kwa ajili ya kuongezea kwenye Diesel na Petrol kama Bio-Diesel. Ni masharti ambayo yapo Poland kuwa mafuta yote wanachanganye na mafuta ya Bio-Diesel kwa asilimia kadhaa.

      Dhahabu ni Kichaa fulani tu mwenye hela zake ndiyo anatafuta. Mafuta ni Kampuni ya Serikali inatafuta na Dhahabu ni MTU BINAFSI anatafuta.

      Kuwasiliana na Barick, mhhhh.... Watakuambia uzifuate kwao CANADA. Pia lengo hapa zaidi ni kuwafaidisha Wazawa.
      Quote By bornagain
      Mi naona katika hili suala mawese yanakuja tu by the way, nachokiona hawa wapoland wanataka dhahabu tu mawese ni ya kuzugia.Kama vipi si uwaunganishe na Barrick
      Last edited by Steven Sambali; 11th July 2012 at 16:25.

    16. #14
      Steven Sambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2008
      Location : Warsaw, Poland
      Posts : 198
      Rep Power : 590
      Likes Received
      30
      Likes Given
      193

      Default re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Mkuu Winama,

      Kuchimba hata mie niliwaambia ila wakasema hawana muda huo. Pia inabidi waanze kusomea na watalaamu wengi kuifanya kazi hiyo. Yeye ni mtu ana deal na dhahabu yenyewe na si kuchimba.

      Ni sawa na fundi seremala umwambie aende msituni akakate Magogo. Unaweza kukuta hata miti yenyewe ilivyo haifahamu maana yeye kazoea uona Magogo au mbao tayari.

      Anyway, kama kutatokea mabadiliko yoyote basi ntakujulisha.
      Quote By Wimana
      Dhahabu 100 kg kwa mwezi wape email yangu na tuingie ubia wachimbe wenyewe.
      K
      uhusu mawese, hizo tani ni nyingi sana kwa mwezi, uzalishaji wetu si mkubwa hivyo.

    17. #15
      Steven Sambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2008
      Location : Warsaw, Poland
      Posts : 198
      Rep Power : 590
      Likes Received
      30
      Likes Given
      193

      Default re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Mkuu Godfrey,

      Tuwasiliane basi maana naona kimya.

      Jamaa wamesema kwa kuanzia inaweza kuwa hata 10kg. Kuna uwezekano wa kuwekeana mkataba kwa kusply tuseme kwa mwaka mmoja hadi mwili. Hivyo mwenye nguvu yake achangamkie huu ulaji.
      Quote By GodfreyTajiri
      kama dhahabu haitoki tanzania haihitajiwi?

    18. #16
      Narubongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 1,886
      Rep Power : 811
      Likes Received
      842
      Likes Given
      680

      Default re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Quote By SSAMBALI
      Mkuu BAK,

      Si kuwa wanataka kwa ajili ya kula ila wanataka kama BI-DIESEL.

      Kuna hii kampuni Giant ya mafuta hapa Poland na hadi nje ya mikapa inaitwa PKN ORLEN (PKN Orlen - Wikipedia, the free encyclopedia) ambao kipato chao (faida) kwa mwaka wanacheza na kitu kama US $ 1 Bilion.

      Hawa jamaa si wazalishaji tu wa mafuta ila katika kutimiza masharti ya Umoja wa nchi za Ulaya, basi kila mafuta yanayouzwa, lazima yawe na Bio-Diesel kiasi fulani, kama sikosei kwenye 5% au zaidi. Sasa katika kujiandaa na masharti hayo, wanafanya utafiti wa mafuta mengi ya Bio-Disel.

      Waliomba mafuta ya NAZI ila jamaa ambaye ndiyo anaongea nao moja kwa moja ambaye ni kutoka Msumbiji, kavutia kwao Msumbiji. Ila kwa sababu ni jamaa yangu karibu, nimefanya kulazimisha na mie awatafutie soko jamaa zangu kwa mafuta mawese. Ni kiwanda kikubwa sana na huwa wanaagiza mafuta machafu na kuanza kuyasafisha wenyewe kwenye mitambo yao. Hivyo basi technical know how wanayo na hapo huweza kwa urahisi sana kuchanganya na Bio-Diesel ili kupunguza hewa chafu duniani.

      Tutaangalia bei na matatizo mengine yatakayozuka kama itawezekana kufanya biashara au lahh.

      Kwa kuongezea tu: Mafuta ya JETROPHER haya nayo wanatafuta. Nafikiri wanatafuta ya aina tofauti na kuyafanyia utafiti kwenye magari
      kwa moyo huu wananchi tutajikomboa wenyewe kutoka kwenye lindi la umasikini,
      nimeona wakulima wakubwa wengi humu jukwaani wakianza kufikiria kuanzisha project ambazo pia zitawanufaisha wanakijiji na mimi pia nimekwishauiga huo mfano. Kuhusu swala la bio-fuel, hii ni moja ya plan zangu za baadae lkn mimi nitadeal na jatropha & cassava.. kinachokwamisha kuanza project ni soko lenye faida/future c'se gharama za kulima muhogo wa ugali, kuukausha, kuhifadi, kuusafirisha na kuuza kwa maeneo ya kanda ya ziwa ni hasara tupu compared na nguvu/costs zilizotumika kulimia.

      kuhusu swala la kufikisha quantity inayohitajika si tatizo iwapo wanakijiji watashirikishwa na kuuza cassava/jatro sehemu moja.
      swali:
      -hawa bio fuel industries huwa wananunua products zikiwa ktk hali gani kutoka kwa mkulima? tukishafahamu haya tunaweza kujipanga kufikia mahitaji ya viwango vinavyohitajika [tuanze na cassava]

      -bei zinakwenda vipi kwa tani 1 [cassava]?
      Steven Sambali and Maundumula like this.
      "Chadema kinatumia alama ya vidole viwili kama manati, manati kamwe haiwezi kuua tembo" Livingstone Lusinde (2012)

    19. #17
      cannulla's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th April 2012
      Posts : 26
      Rep Power : 363
      Likes Received
      5
      Likes Given
      22

      Default re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      mkuu nimekutumia mail na nmejarb kukupigia namba yako iko busy,,,mi nina uhakika wa kusupply mawese hizo tan tatizo kampun sina nambie nifanyeje
      Steven Sambali likes this.

    20. #18
      Steven Sambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2008
      Location : Warsaw, Poland
      Posts : 198
      Rep Power : 590
      Likes Received
      30
      Likes Given
      193

      Default re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Mkuu Narubongo, asante sana kwa majibu na maelezo ya kupeana Moyo Watanzania.

      Kuhusu Muhogo (Cassava) nafikiri kuna habari ilishaanzishwa hapa juu ya kuzalisha Rectified Spirit au Ethanol. Hawa jamaa sidhani kama watahitaji kununua Muhogo na waanze kuutengeneza Ethanol ila wanaweza kuwa wananunua Ethanol moja kwa moja kama sikosei. Wanahitaji Almost ready product na sanasana iwe kuisafisha kidogo tu.

      Hata mafuta ya mawese au Jetropher ni kuwa lazima wataisafisha zaidi na ndiyo waichanganye na mafuta mengine ya DIESEL au Petrol. Hivyo, sidhani kama itawezekana wao kununua Muhogo na waanze kuubadilisha hadi uwe Ethanol.

      Hebu soma hii thread na uwasiliane na huyu jamaa. Ningelikushauri ukiweza basi muunganishe nguvu na jamaa ili walau muanzishe kiwanda kidogo cha kuzalisha Ethanol pamoja maana kama sikosei, Tanzania hakuna.

      SOMA HAPA: http://www.jamiiforums.com/business-...g-sources.html

      Quote By Narubongo
      -hawa bio fuel industries huwa wananunua products zikiwa ktk hali gani kutoka kwa mkulima? tukishafahamu haya tunaweza kujipanga kufikia mahitaji ya viwango vinavyohitajika [tuanze na cassava]

      -bei zinakwenda vipi kwa tani 1 [cassava]?

    21. #19
      Steven Sambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2008
      Location : Warsaw, Poland
      Posts : 198
      Rep Power : 590
      Likes Received
      30
      Likes Given
      193

      Default re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Mkuu, samahani sana kwa hilo.

      Nimerudi nyumbani usiku sana na nikakaa kwenye Lapotop hadi kama saa kumi usiku hivi. Nilipoenda kulala nikaweza simu kwenye Silence. Nimeona Missed call yako hapa +25571*****135 kama sikosei ndiyo namba yako.

      Mkuu kama una kiasi hicho ila huna kampuni, basi itabidi kukuunganisha kwa bwana mdogo wangu hapo Dar ambaye ana kampuni tayari ya kufanya Export na Import. Hana matatizo na kijana mwaminifu. Itabidi kutumia kibali chake kwa kuanzia na mwisho ikibidi basi kampuni yako mwenyewe unaanzisha.

      Ni jambo linalowezekana na lisikupe shida kabisa. Tatizo tu ni hawa jamaa hatuwezi kuwaambia "hakuna kampuni" na wanafanya biashara na mtu asiye na kampuni. Ingelikuwa kampuni ya mtu binafsi ni sawa maana waongea na mwenye mali moja kwa moja ila hii ni kampuni ya Serikali.

      Ngoja niwasiliane na jamaa kujua ni vitu gani inabidi kwanza uvilete maana kwa uhakika watataka kwanza Sample kama sikosei hazizidi lita tano na wataangalia Chemical contents zake na wakishaziafiki utaanza mchezo wa bei sasa. Mambo yote yakikamilika, basi Mzigo wa kwanza unaanza kutumwa.
      Quote By cannulla
      mkuu nimekutumia mail na nmejarb kukupigia namba yako iko busy,,,mi nina uhakika wa kusupply mawese hizo tan tatizo kampun sina nambie nifanyeje

    22. #20
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,920
      Rep Power : 5062
      Likes Received
      3199
      Likes Given
      2653

      Default re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Mkuu ngoja niwasiliane na wafanyabiashara wa mawese kigoma tuone kama wanaweza kupata hizo tone za wese kwa mwezi,je commision yangu ni % ngapi tukifanikisha hyo dili?

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...