Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 39 of 39
    1. #1
      Steven Sambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2008
      Location : Warsaw, Poland
      Posts : 194
      Rep Power : 589
      Likes Received
      30
      Likes Given
      183

      Default DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Wana JF,

      Kuna kampuni hapa Poland wameomba niwaulizie upatikanaji wa bidhaa hizi, yaani Dhahabu na Mafuta ya mawese.

      Sijui kama mpango utafanikiwa ila kama kutatokea maelewano basi kuna biashara kubwa inaweza kufanyika kati yao na Muuzaji huko Tanzania.

      Jamaa wanataka mtu au kampuni itakayoweza ku-suply 100kg ya dhahabu kwa mwezi na tani 12 za mafuta ya mawese kwa mwezi.

      Kama unamfahamu mtu au wewe mwenyewe ni mfanya biashara hiyo basi wasiliana nami kwa maelezo zaidi kwa kuni-PM hapa JF au kwa kutumia email yangu ya [email protected].
      Simu yangu ni +48-503535735.


      ANGALIZO: Jamaa watafanya biashara na mtu mwenye kampuni tu na kila kitu lazima kiwe kihalali. Wanafahamu sana jinsi watu wanavyolizwa hapo Tanzania kufanya biashara na watu wenye kampuni za mfukoni. Makubaliano yakifanyika basi pesa zote zitapitia BANK tu.

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Steven Sambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2008
      Location : Warsaw, Poland
      Posts : 194
      Rep Power : 589
      Likes Received
      30
      Likes Given
      183

      Default re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Hahahaa, Mkuu wala siwezi kukuambia kwa sasa.

      Wewe ongea na hao jamaa na utajilipa hukohuko kwao. Kama kuna tani kibao zinaingia, utapata tu na wewe chenji yako maana wakikukatalia, sisi huku tutawafungia BOMBA, hahahaaa.......

      Wanasema usinunue mbeleko wakati hajazaliwa. Tufanye kwanza kazi na hayo mengine yatajileta tu.
      Quote By King Kong III
      Mkuu ngoja niwasiliane na wafanyabiashara wa mawese kigoma tuone kama wanaweza kupata hizo tone za wese kwa mwezi,je commision yangu ni % ngapi tukifanikisha hyo dili?

    4. #22
      Mgombezi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2009
      Posts : 628
      Rep Power : 642
      Likes Received
      130
      Likes Given
      139

      Default re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Mkuu SSAMBALI Nimekutumia email, lakini sijapokea majibu kutoka kwako.
      Steven Sambali likes this.
      Ebenezer

    5. #23
      Steven Sambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2008
      Location : Warsaw, Poland
      Posts : 194
      Rep Power : 589
      Likes Received
      30
      Likes Given
      183

      Default re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Mgombezi, sijui umetuma kwa jina gani.

      Hebu angalia tena email yangu kama umeipatia maana hadi sasa nimejibu EMAIL zote ambazo nimeshazipata.

      Kila ujumbe najitahidi kuujibu kutokana na habari ambayo hadi sasa ninayo.

      Kuna ujumbe niliujibu leo asubuhi, kama ni wewe basi nafikiri umeshaupata. Jumamosi njema.
      Quote By Mgombezi
      Mkuu SSAMBALI Nimekutumia email, lakini sijapokea majibu kutoka kwako.

    6. #24
      GodfreyTajiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 561
      Rep Power : 550
      Likes Received
      79
      Likes Given
      63

      Default Re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Quote By SSAMBALI
      Mkuu Godfrey,

      Tuwasiliane basi maana naona kimya.

      Jamaa wamesema kwa kuanzia inaweza kuwa hata 10kg. Kuna uwezekano wa kuwekeana mkataba kwa kusply tuseme kwa mwaka mmoja hadi mwili. Hivyo mwenye nguvu yake achangamkie huu ulaji.
      samahani kwa ukimya. ngoja niwasiliane na jamaa kama watasema wanaweza kusupply nitakuunganisha nao moja kwa moja.
      Steven Sambali likes this.
      “Unless power is legitimate there can be no social order“
      P. F. Drucker

    7. #25
      Mgombezi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2009
      Posts : 628
      Rep Power : 642
      Likes Received
      130
      Likes Given
      139

      Default Re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Quote By SSAMBALI
      Mgombezi, sijui umetuma kwa jina gani.

      Hebu angalia tena email yangu kama umeipatia maana hadi sasa nimejibu EMAIL zote ambazo nimeshazipata.

      Kila ujumbe najitahidi kuujibu kutokana na habari ambayo hadi sasa ninayo.

      Kuna ujumbe niliujibu leo asubuhi, kama ni wewe basi nafikiri umeshaupata. Jumamosi njema.
      Nashukuru Mkuu Ssambali, bado sijapata lakini nime-forward email yangu.
      Steven Sambali likes this.
      Ebenezer

    8. Miaka 50

    9. #26
      Steven Sambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2008
      Location : Warsaw, Poland
      Posts : 194
      Rep Power : 589
      Likes Received
      30
      Likes Given
      183

      Default Re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Sawa Mkuu nakusubiria.

      Kwa sasa inaonekana kuwa Dhahabu itaweza kununulika kirahisi kwa sababu ina soko tayari na mnunuzi ni mtu binafsi ila Mawese kidogo yatachelewa kwa sababu jamaa inabidi wajipange tayari kuupokea mzigo mara ukifika hapa Poland.

      Ngoja tusubiri tuone nini kitatokea.
      Quote By GodfreyTajiri
      samahani kwa ukimya. ngoja niwasiliane na jamaa kama watasema wanaweza kusupply nitakuunganisha nao moja kwa moja.

    10. #27
      GodfreyTajiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 561
      Rep Power : 550
      Likes Received
      79
      Likes Given
      63

      Default Re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Quote By Steven Sambali
      Sawa Mkuu nakusubiria.

      Kwa sasa inaonekana kuwa Dhahabu itaweza kununulika kirahisi kwa sababu ina soko tayari na mnunuzi ni mtu binafsi ila Mawese kidogo yatachelewa kwa sababu jamaa inabidi wajipange tayari kuupokea mzigo mara ukifika hapa Poland.

      Ngoja tusubiri tuone nini kitatokea.
      hebu pia uzi huu http://www.jamiiforums.com/business-...wa-madini.html

      mnaweza elewana.

      aidha nimewasiliana na jamaa. wape wiki mbili. mambo yakiiva nitaanza wasiliana nawe kwa pm
      Steven Sambali likes this.
      “Unless power is legitimate there can be no social order“
      P. F. Drucker

    11. #28
      kdany's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th July 2012
      Posts : 88
      Rep Power : 361
      Likes Received
      6
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Steven Sambali
      Wana JF,

      Kuna kampuni hapa Poland wameomba niwaulizie upatikanaji wa bidhaa hizi, yaani Dhahabu na Mafuta ya mawese.

      Sijui kama mpango utafanikiwa ila kama kutatokea maelewano basi kuna biashara kubwa inaweza kufanyika kati yao na Muuzaji huko Tanzania.

      Jamaa wanataka mtu au kampuni itakayoweza ku-suply 100kg ya dhahabu kwa mwezi na tani 12 za mafuta ya mawese kwa mwezi.

      Kama unamfahamu mtu au wewe mwenyewe ni mfanya biashara hiyo basi wasiliana nami kwa maelezo zaidi kwa kuni-PM hapa JF au kwa kutumia email yangu ya [email protected].
      Simu yangu ni +48-503535735.


      ANGALIZO: Jamaa watafanya biashara na mtu mwenye kampuni tu na kila kitu lazima kiwe kihalali. Wanafahamu sana jinsi watu wanavyolizwa hapo Tanzania kufanya biashara na watu wenye kampuni za mfukoni. Makubaliano yakifanyika basi pesa zote zitapitia BANK tu.
      dhahabu ipo,ila tujue bei kwa kila kg,gm,au tola.

    12. #29
      kdany's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th July 2012
      Posts : 88
      Rep Power : 361
      Likes Received
      6
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Steven Sambali
      Wana JF,

      Kuna kampuni hapa Poland wameomba niwaulizie upatikanaji wa bidhaa hizi, yaani Dhahabu na Mafuta ya mawese.

      Sijui kama mpango utafanikiwa ila kama kutatokea maelewano basi kuna biashara kubwa inaweza kufanyika kati yao na Muuzaji huko Tanzania.

      Jamaa wanataka mtu au kampuni itakayoweza ku-suply 100kg ya dhahabu kwa mwezi na tani 12 za mafuta ya mawese kwa mwezi.

      Kama unamfahamu mtu au wewe mwenyewe ni mfanya biashara hiyo basi wasiliana nami kwa maelezo zaidi kwa kuni-PM hapa JF au kwa kutumia email yangu ya [email protected].
      Simu yangu ni +48-503535735.


      ANGALIZO: Jamaa watafanya biashara na mtu mwenye kampuni tu na kila kitu lazima kiwe kihalali. Wanafahamu sana jinsi watu wanavyolizwa hapo Tanzania kufanya biashara na watu wenye kampuni za mfukoni. Makubaliano yakifanyika basi pesa zote zitapitia BANK tu.
      steve mzigo wa dhahabu upo mwingi sana na unauzwa na kampuni,sema wanachukuliaje mzgo,kwa kg,gm,au tola.namansha bei yao

    13. #30
      Steven Sambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2008
      Location : Warsaw, Poland
      Posts : 194
      Rep Power : 589
      Likes Received
      30
      Likes Given
      183

      Default Re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Mkuu kdany,

      Nashukuru kwa majibu.

      Jamaa nimeandika mapema kabisa kuwa wanataka mtu wa ku-Suply 100 kg kwa mwezi yaani kilo 100 ya dhahabu.

      Bei ni muuzaji anasema na wao ndiyo wanaaza KUSHUSHA au kuanza kununua.

      Mkishakubaliana nao (siyo mimi mnunuaji) basi mnawekeana mkataba na biashara inaanza.

      Kuna uwezekano wa kuwa na deal hata ya mwaka mmoja hadi miwili.

      Haya mambo ya Tora sijui grams hapa hayapo. Hapa bei watataka kujua kwa Kilo moja ya dhahabu ni kiasi gani.
      Quote By kdany
      steve mzigo wa dhahabu upo mwingi sana na unauzwa na kampuni,sema wanachukuliaje mzgo,kwa kg,gm,au tola.namansha bei yao

    14. #31
      kdany's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th July 2012
      Posts : 88
      Rep Power : 361
      Likes Received
      6
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Steven Sambali
      Mkuu kdany,

      Nashukuru kwa majibu.

      Jamaa nimeandika mapema kabisa kuwa wanataka mtu wa ku-Suply 100 kg kwa mwezi yaani kilo 100 ya dhahabu.

      Bei ni muuzaji anasema na wao ndiyo wanaaza KUSHUSHA au kuanza kununua.

      Mkishakubaliana nao (siyo mimi mnunuaji) basi mnawekeana mkataba na biashara inaanza.

      Kuna uwezekano wa kuwa na deal hata ya mwaka mmoja hadi miwili.

      Haya mambo ya Tora sijui grams hapa hayapo. Hapa bei watataka kujua kwa Kilo moja ya dhahabu ni kiasi gani.
      ok steve,mzigo upo na kampuni inauwezo wa kutoa hzo klo mia,na dhahabu ina asilimia kwanzia 94 had 99,bei kwa kilo ni TSH.94000000

    15. #32
      Mamilu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th July 2012
      Posts : 47
      Rep Power : 353
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Default Re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Hi Steve kuweni makini wauzaji wengi wa dhahabu ni wapigaji
      Steven Sambali and Maundumula like this.

    16. #33
      Mangaline's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 999
      Rep Power : 613
      Likes Received
      205
      Likes Given
      54

      Default Re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Quote By m_kishuri
      I hope so.... BAK. Maana jamaa zangu kule kigoma wanatandikwa na umaskini utadhani sio Watanzania.

      Nyani haoni ..........

    17. #34
      Steven Sambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2008
      Location : Warsaw, Poland
      Posts : 194
      Rep Power : 589
      Likes Received
      30
      Likes Given
      183

      Default Re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Mkuu Mamilu,

      Nashukuru sana kwa email. Hawa jamaa mimi mwenyewe natoa contact na ninakaa pembeni na sintataka kabisa kushiriki kwenye biashara hii. Kama ungelijua watu wenye hela ya kununua kilo 100 kwa mwezi na unafikiri utawaibia kirahisi basi utalia.

      Ni mijitu iliyokuwa ikifanya kazi kwenye sehemu kama KGB ya Poland (SS) na hivyo kukutafuta na kukupata na mwisho waanze kuteketeza familia yako na kumalizia wewe mwenyewe si kazi sana kwao. Kama utapeli, basi wao ndiyo wameanzisha na sisi tunafanya kuiga tu.

      Kukodisha muuwaji aje akusake si kazi ngumu kwao na watakupata tu popote ulipo.

      Ningelishauri tu kama wewe huna uhakika kwenye hii biashara, basi kaa pembeni kama mie hapa. Hata kama una ukaribu na mkubwa gani Tanzania, haitakusaidia kwenye hii Mijasusi (Mafia type) ya Kimataifa.
      Quote By Mamilu
      Hi Steve kuweni makini wauzaji wengi wa dhahabu ni wapigaji
      Maundumula likes this.

    18. #35
      Steven Sambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2008
      Location : Warsaw, Poland
      Posts : 194
      Rep Power : 589
      Likes Received
      30
      Likes Given
      183

      Default Re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Wana JF,
      Kwanza niwashukuru wote waliojibu huu ujumbe au kuupitia kusoma bila kuchangia.

      Huyu jamaa Machinga (jamaa wa Msumbiji) kwa sasa ameondoka hapa Poland na hivyo inakuwa kama mpango mzima umekufa kwa maoni yangu na sijui alifikia wapi na contact nilizompa - Mie sikuhusika kabisa.

      Kuna jamaa wawili waliweza kuwasiliana naye kuhusu ununuzi wa Dhahabu ila ikatokea kama sikosei tatizo moja kuwa inavyoonekana wanunuzi ni National Bank of Poland (Narodowy Bank Polski - NBP) au The Mint of Poland (Mennica Polska).

      Hawa jamaa walikuwa wawe ndiyo wanunuzi wa dhahabu hiyo (mmoja wao) na ndiyo maana walitaka mtu anayeweza kuwaletea hadi kilo100 kwa mwezi. Ila sasa walitaka kwa bei ya chini 10% ya mnada wa UK. Ikiwa na maana hiyo asilimia 10 ndiyo wanagawana hao watu wa kati wote. Kule juu lazima tu waonyeshe kuwa wamenunua kwa bei ya Sokoni ya dhahabu na bila kujali wameinunulia wapi.

      Tatizo lililozuka ni kwamba wao hawawezi kwenda Tanzania kununua ila muuzaji anawaletea, na wao wanaisafisha kwanza hadi inakuwa asilimia almost 100 safi na ndipo sasa wanapima hicho kiwango safi na hapo ndipo wanakutumia pesa wewe muuzaji. Hili lilizusha kutokuaminiana kwa pande zote mbele. Wauzaji wakiogopa kuzikwa na wanunuaji wakiogopa kuingizwa mitini huku wakiwa wameshalipa hela za Serikali.

      Nafikiri hii ni biashara nzuri kwa kufanywa na kitu kama BoT maana ni Serikali kwa Serikali. Ila kwa mtu binafsi, labda uwe unamfahamu Waziri wa fedha wa Poland au Governor wake au mtu wa juu ambaye atahakikisha kuwa wakishaisafisha basi wataandika kweli kiasi haswa cha dhahabu safi iliyopatikana na kukulipa. Ilikuwa ni biashara nzuri kwani ikienda vizuri basi unakuwa na uhakika wa pesa yako bila kuzungushwa.

      Nafikiri hii itakuwa imetoa ufafanuzi kwa wale watakaokuwa wanataka kunipigia simu au kuniandikia. Kama atatokea mtu BINAFSI anahitaji kitu Tanzania basi ntawajulisheni na kuwapa contact na mie nakaa pembeni. Ukifanikiwa ni heri yako na familia yako, na ukikwama basi pole maana ndiyo biashara zilivyo.

    19. #36
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 4,896
      Rep Power : 3090
      Likes Received
      1324
      Likes Given
      5608

      Default Re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Quote By cannulla
      mkuu nimekutumia mail na nmejarb kukupigia namba yako iko busy,,,mi nina uhakika wa kusupply mawese hizo tan tatizo kampun sina nambie nifanyeje
      Sajili kampuni haichukui muda.
      Steven Sambali likes this.

    20. #37
      tally's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 10th October 2012
      Posts : 4
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      mkuu nina interest na hii biashara ngoja nifanye utafiti kama tunaweza kufanya hii biashara
      Steven Sambali likes this.

    21. #38
      Steven Sambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2008
      Location : Warsaw, Poland
      Posts : 194
      Rep Power : 589
      Likes Received
      30
      Likes Given
      183

      Default Re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Ninaweza kujaribu kuulizia ila kwa kweli biashara ya madini nimetokea kuiogopa sana.

      Huko wanakaa watu wa miraba minne. Ubavu huo mie sina. Nabaki kuwa kunguru mwoga na kukimbiza bawa langu.

      Kuna email, simu na PM zote waweza kunipata kiurahisi.
      Quote By tally
      mkuu nina interest na hii biashara ngoja nifanye utafiti kama tunaweza kufanya hii biashara

    22. #39
      Kennedy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th December 2011
      Location : Everywhere
      Posts : 2,837
      Rep Power : 940
      Likes Received
      354
      Likes Given
      180

      Default Re: DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

      Hapa Kigoma mbona mawese tele tatizo ninaloliona ni suala la Kampuni,nadhani suala lahitaji mtu mwenye pesa aje akusanye halafu ndiyo awauzie. Leka tutigite!
      Sikonge likes this.

    23. Study Abroad
    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...