Biashara ya dagaa inahitaji umakini mkubwa sana. Usipokuwa mwangalifu, kuna uwezekano mkubwa sana wa pesa zako (mtaji) kuuacha Mwanza! Madalali wa kuuza dagaa Mwanza sio waaminifu. Kwanza wanachakachua uzito wa kilo za dagaa kwa kuchanganya michanga. Vilevile soko lake huku Dar lina-fluctuate sana. Bei ya kilo ya dagaa inabadilika mara mbili au tatu ndani ya wiki moja. Hivyo ushauri wangu wa bure: tafuta biashara nyingine ya kufanya kuliko kuingia hasara kwenye dagaa. Unaweza kuni-inbox if u need more clarification....
--dagaa mza zinanuliwa SOKO LA MWALONI, KIRUMBA
--dagaa dar zinauzwa K'koo na ktk masoko mengineyo jijini japo madalali ndio wamekamata soko
--endapo ni dagaa kwa ajili ya chakula cha kuku, wasiliana na FALCON, maeneo ya Tegeta; falcon ndio wasindikaji wakuu wa chakula cha kuku hapa Dar.
Goodluck!
Follow Us Here