Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Biashara ya kusafirisha Dagaa kutoka Mwanza kuja Dar

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      Papizo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Location : What for??
      Posts : 3,296
      Rep Power : 1233
      Likes Received
      400
      Likes Given
      2244

      Default Biashara ya kusafirisha Dagaa kutoka Mwanza kuja Dar

      Wakuu nimesikia watu wanatengeneza hela kwa kufanya hii biashara, so nadhani na mimi nilikua nataka kujua deep zaidi inakuwaje hasa advantages and Disadvantages?? kwanza kabisa najuwa humu ndani wazoefu na kuna watu wa kila aina so sidhani kama itakuwa vibaya tukishauriana wakuu.

      1)Kwanza kabisa kiasi ambacho unaweza kuanzia kwa biashara kama hii kuanzia milioni ngapi ambapo utanunua mzigo wa kutosha??

      2)Sehemu ya kuuzia zikitoka Mwanza na kufika Dar, Je sehemu zipo ambapo zinaweza kuuzikana kwa ujumla I mean Soko???

      3)Je kuna faida gani na hasara gani katika kuzisafirisha na njia ipi ya usafiri ni njia nzuri zaidi

      Wakuu kwa haraka haraka nadhani hayo ni ya muhimu kwa sasa nadhani itakuwa vizuri zaidi wengine kama watakuja na idea au maswali mengine na tukapata majibu zaidi.

      Nawakilisha
      HIRAMA likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Andre02150's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd February 2010
      Posts : 100
      Rep Power : 492
      Likes Received
      26
      Likes Given
      57

      Default Re: Biashara ya kusafirisha Dagaa kutoka Mwanza kuja Dar

      Biashara ya dagaa inahitaji umakini mkubwa sana. Usipokuwa mwangalifu, kuna uwezekano mkubwa sana wa pesa zako (mtaji) kuuacha Mwanza! Madalali wa kuuza dagaa Mwanza sio waaminifu. Kwanza wanachakachua uzito wa kilo za dagaa kwa kuchanganya michanga. Vilevile soko lake huku Dar lina-fluctuate sana. Bei ya kilo ya dagaa inabadilika mara mbili au tatu ndani ya wiki moja. Hivyo ushauri wangu wa bure: tafuta biashara nyingine ya kufanya kuliko kuingia hasara kwenye dagaa. Unaweza kuni-inbox if u need more clarification....
      --dagaa mza zinanuliwa SOKO LA MWALONI, KIRUMBA
      --dagaa dar zinauzwa K'koo na ktk masoko mengineyo jijini japo madalali ndio wamekamata soko
      --endapo ni dagaa kwa ajili ya chakula cha kuku, wasiliana na FALCON, maeneo ya Tegeta; falcon ndio wasindikaji wakuu wa chakula cha kuku hapa Dar.

      Goodluck!
      Papizo likes this.

    4. #3
      Papizo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Location : What for??
      Posts : 3,296
      Rep Power : 1233
      Likes Received
      400
      Likes Given
      2244

      Default Re: Biashara ya kusafirisha Dagaa kutoka Mwanza kuja Dar

      Quote By Andre02150
      Biashara ya dagaa inahitaji umakini mkubwa sana. Usipokuwa mwangalifu, kuna uwezekano mkubwa sana wa pesa zako (mtaji) kuuacha Mwanza! Madalali wa kuuza dagaa Mwanza sio waaminifu. Kwanza wanachakachua uzito wa kilo za dagaa kwa kuchanganya michanga. Vilevile soko lake huku Dar lina-fluctuate sana. Bei ya kilo ya dagaa inabadilika mara mbili au tatu ndani ya wiki moja. Hivyo ushauri wangu wa bure: tafuta biashara nyingine ya kufanya kuliko kuingia hasara kwenye dagaa. Unaweza kuni-inbox if u need more clarification....
      --dagaa mza zinanuliwa SOKO LA MWALONI, KIRUMBA
      --dagaa dar zinauzwa K'koo na ktk masoko mengineyo jijini japo madalali ndio wamekamata soko
      --endapo ni dagaa kwa ajili ya chakula cha kuku, wasiliana na FALCON, maeneo ya Tegeta; falcon ndio wasindikaji wakuu wa chakula cha kuku hapa Dar.

      Goodluck!
      Nashukuru sana mkuu wangu kwa msaada wako na mawazo yako mazuri na ya maana, yeah nitakucheck tuongee vizuri zaidi kaka wala hamna tatizo kabisaa.

    5. #4
      kijereshi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : bubinza
      Posts : 200
      Rep Power : 399
      Likes Received
      49
      Likes Given
      5

      Default Re: Biashara ya kusafirisha Dagaa kutoka Mwanza kuja Dar

      Kama uko na mawazo ya kufanya biashara ni bora ukaifanya wala mtu asikuogopeshe na ww ukaacha kufanya mjasiliamali hatakiwi kuogopa kufanya kitu cha kufanya ni kuangalia hizo risks alizozisema mdau hapo juu kuna kipindi kama mwezi umepita,nilitembelea Kilosa nikataka kwenda porini hivyo ikanipasa kununua baadhi ya vyakula pale mjin,nilistaajabu kukuta bei ya kilo moja ya dagaa iko sawa na kilo moja ya nyama kwa Dar kwa huko nyama iko chini kidogo zaidi ya dagaa hao wa Mwz hivyo inaonekana soko lake ni zuri sehemu hizo ingawa sikufanya utafiti wa kutosha sana ila nilizunguka sokoni na nikakuta bei iko juu zaidi ya nyama hivyo kama kweli uko tayari unaweza ukafanya utafiti wako katika hiyo biashara ikiwa ni pamoja na kutafuta masoko maeneo hayo sio kila bidhaa lazima iende k/koo mdau hata maeneo mengine kuna masoko mazuri tu cha msingi ni ujasiri na kutokata tamaa
      Papizo and Mazingira like this.

    6. #5
      Papizo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Location : What for??
      Posts : 3,296
      Rep Power : 1233
      Likes Received
      400
      Likes Given
      2244

      Default Re: Biashara ya kusafirisha Dagaa kutoka Mwanza kuja Dar

      Quote By kijereshi
      Kama uko na mawazo ya kufanya biashara ni bora ukaifanya wala mtu asikuogopeshe na ww ukaacha kufanya mjasiliamali hatakiwi kuogopa kufanya kitu cha kufanya ni kuangalia hizo risks alizozisema mdau hapo juu kuna kipindi kama mwezi umepita,nilitembelea Kilosa nikataka kwenda porini hivyo ikanipasa kununua baadhi ya vyakula pale mjin,nilistaajabu kukuta bei ya kilo moja ya dagaa iko sawa na kilo moja ya nyama kwa Dar kwa huko nyama iko chini kidogo zaidi ya dagaa hao wa Mwz hivyo inaonekana soko lake ni zuri sehemu hizo ingawa sikufanya utafiti wa kutosha sana ila nilizunguka sokoni na nikakuta bei iko juu zaidi ya nyama hivyo kama kweli uko tayari unaweza ukafanya utafiti wako katika hiyo biashara ikiwa ni pamoja na kutafuta masoko maeneo hayo sio kila bidhaa lazima iende k/koo mdau hata maeneo mengine kuna masoko mazuri tu cha msingi ni ujasiri na kutokata tamaa
      Asante sana mkuu wangu na nashukuru sana kwa mawazo yako na kuwa open zaidi, yeah ni kweli kabisa na wala hujakosea biashara ni ujasiri na kuwaa na nia na kiu ambacho unataka kufanya ndio muhimu zaidi, so yes nitafatilia zaidi hizo sehemu, je una hint ya sehemu zingine uziweke hapa wazi mkuu?Pamoja sana

    7. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...