Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: hii ndio njia pekee ya kukabiliana na mfumuko wa bei katika dunia yetu

    Report Post
    Results 1 to 4 of 4
    1. #1
      Danfordkahwa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th March 2012
      Location : dar-es-salaam
      Posts : 143
      Rep Power : 390
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default hii ndio njia pekee ya kukabiliana na mfumuko wa bei katika dunia yetu

      Nmshukuru mungu kwa kunipa pumzi, pia na kwaajili ya viongozi na watanzania kwaujumla.
      Taifa leo limekumbwa na suala la mfumuko wa bei, si Tanzania tu bali duniani kote kwa ujumla.
      Hii ni kwasababu mazao yamekuwa machache yani ardhi atoi mazao kwa wingi kama awali
      Hatuna mvua za kutosha katika nchi yetu hata katika mataifa yote, watu wanaangaika sana
      Chanzo cha tatizo si viongozi kwasababu viongozi awahusiki na masuala ya mvua.
      Unaweza ukasema kuwa idara ya hali yahewa aiusiki kabisa bali nishetani ndiye anayesaba
      bisha kuwepo na ukame na njaa anataka atu watumie njia nyingine mfano kwenda kwa waganga
      mwanzo 41.1mpaka 30 utasoma jinsi yusuph alivyoweza kuota ndoto juu ya kipindi ukame.
      hii inapatikana kwenye kitabu cha mwanzo kwenye biblia soma vizuri maana sisi tunaitaji tupate
      viongozi kama yusuph ili tuondokane ya matizo ya mfumuko wabei katika dunia yote kwaujumla
      yusuph yeye alionda ndoto akamwambia farao kwamba itatokea miaka ya njaa katika nchi ya misri
      "basi ikatokea njaa kweli njaa kama yusyph alivyosema utaipata kwenye kitabu cha mwanzo 41,53-56
      yaani biblia" kwenye mwanzo 41,1-32 tunaona yusuph akitafsiri ndoto ya farao juu ya njaa katika Misri.
      "miakaya shibe ikaisha ndani ya misri ukisoma katika biblia mwanzo 41,53-56 harafu utaona miaka ya neema
      Hivyo kupata viongozi kama yusuph ni wale tu ambao watakuwa wameokoka na kumpenda yesu kweli.
      "natataka dua, sala , maombi zifanyike kwa watu wote huu nimsingi mkubwa kwa viongozi inapatikana
      1 timetheo 2 nakwa ajili ya wafalme yani kama rais nawengine wabunge viongozi wote kwenye kampuni
      " 2 samweli 21, 1-10 utaona jinsi daudi alivyosimama kama kiongozi sasawewe upo kwa waganga wakienyeji"
      unabaki kulamikia viongozi bila ya mungu kila mtu ataendelea kula rushwa maana rushwa kila sehemu leo hipo
      hila unakula kutokana na urefu wa kamba yako kama mwalimu, mbunge ,kwahiyo usilamike wewe mwenyewe
      ni mwizi unaiba ukipewa madaraka utaachia kula fedha za uma, tunahitaji viongozi daniel 7 ,27 soma
      jinsi mungu alivyotabiri siku za mwisho kwamba tutaishi vipi ni somo kubwa sana muda autoshi watanzania.
      Angalia mungu anavyowangalia viongozi kama Rais nawengine soma m.mitume 17, 26 " alifanya kila mti toka katika Taifa lolote hila inategemea watu wamungu waombe ipasavyo au watu washetani nao watumie mamlaka yao utasikia
      Fremasons kamakipindi cha danieli nebukadreza alibadilika soma danieli 4 mrtari wa kwanza. asante
      blogs www.uwanjawabiashara.wordpress.com, facebook danforddavid kahwa, itaendelasante
      jesusalways

    2. Study Abroad

    3. #2
      Jestina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Posts : 3,620
      Rep Power : 1446
      Likes Received
      842
      Likes Given
      334

      Default Re: hii ndio njia pekee ya kukabiliana na mfumuko wa bei katika dunia yetu

      mnh

    4. #3
      Third Eye's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th January 2012
      Posts : 165
      Rep Power : 460
      Likes Received
      26
      Likes Given
      13

      Default Re: hii ndio njia pekee ya kukabiliana na mfumuko wa bei katika dunia yetu

      Natamani nikudai muda wangu niliotumia kusoma thread yako,but nikakumbuka haki ya msingi kutoa maoni yako, asante kwa post njema,ubarikiwe sana

    5. #4
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,307
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default Re: hii ndio njia pekee ya kukabiliana na mfumuko wa bei katika dunia yetu

      Nimeshindwa kusoma.....inatia uvivu!
      Life without problems never make a strong and good person!

    6. FemaTV & Radio

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...