Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Naomba ushauri wenu nataka kujenga nyumba

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      ladyfurahia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2011
      Posts : 1,727
      Rep Power : 1827
      Likes Received
      963
      Likes Given
      1006

      Default Naomba ushauri wenu nataka kujenga nyumba

      WanaJF habari
      naomba ushauri wenu kwani nataka kujenga ya kawaida ambayo haitagharimu pesa nyingi kwani
      mimi ni mtoto wa mkulima naomba maoni, na vifaa mniandikie hapa namna gani naweza kujenga nyumba ya
      kawaida yenye vyumba sita na sitting room na choo kiwe cha ndani maana kutoka nje naogopa
      waungwana nisaidieni basi kwa mchangowenu wa ushauri na maoni
      kiwanja ninacho kina urefu wa futi 50 x60upana sasa nianzaje kuweka hiyo ramani na je nitafanyeje
      nisaidieni kwa ushauri wenu
      mathematics likes this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      naivasha's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th May 2011
      Posts : 88
      Rep Power : 423
      Likes Received
      24
      Likes Given
      1

      Default Re: Naomba ushauri wenu nataka kujenga nyumba

      Ulichoita kiwanja kina urefu wa mita 20 na upana wa mita 16!!!!

    4. #3
      happiness win's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Posts : 1,187
      Rep Power : 628
      Likes Received
      442
      Likes Given
      141

      Default Re: Naomba ushauri wenu nataka kujenga nyumba

      Mtoto wa Mkulima (kama Pinda?). Nyumba ya vyumba sita, choo bafu na seating room!!! bila shaka na parking ya Vitz! Haya bana, ngoja wajenzi waje washauri.
      neggirl and ladyfurahia like this.

    5. #4
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,575
      Rep Power : 16764
      Likes Received
      2481
      Likes Given
      1846

      Default Re: Naomba ushauri wenu nataka kujenga nyumba


    6. #5
      MAPE2012's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th April 2012
      Posts : 20
      Rep Power : 361
      Likes Received
      2
      Likes Given
      205

      Default Re: Naomba ushauri wenu nataka kujenga nyumba

      Quote By naivasha
      ulichoita kiwanja kina urefu wa mita 20 na upana wa mita 16!!!!
      no ni urefu wa mita 18 kwa upana wa mita15

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      rmashauri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Location : Ng'wanza Sukuma
      Posts : 2,860
      Rep Power : 1200
      Likes Received
      350
      Likes Given
      681

      Default Re: Naomba ushauri wenu nataka kujenga nyumba

      Quote By MAPE2012
      no ni urefu wa mita 18 kwa upana wa mita15
      Atakuwa amekosea huyu. Maana yake kiwanja kina ukubwa wa mita za mraba 270 tu? Hiyo inatakiwa labda iwe ndo saizi ya nyumba na si kiwanja maana hata vile vya high density viko kwenye mita za mraba zipatazo mia sita hivi na kidogo.
      Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34)

    9. #7
      Mracho Ngongoti's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th April 2012
      Posts : 47
      Rep Power : 367
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Naomba ushauri wenu nataka kujenga nyumba

      Square feet 3000 ni square mita 278.7. Engineerz mtusaidie tafadhali.!

    10. #8
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,575
      Rep Power : 16764
      Likes Received
      2481
      Likes Given
      1846

      Default Re: Naomba ushauri wenu nataka kujenga nyumba

      Quote By ladyfurahia
      WanaJF habari
      naomba ushauri wenu kwani nataka kujenga ya kawaida ambayo haitagharimu pesa nyingi kwani
      mimi ni mtoto wa mkulima naomba maoni, na vifaa mniandikie hapa namna gani naweza kujenga nyumba ya
      kawaida yenye vyumba sita na sitting room na choo kiwe cha ndani maana kutoka nje naogopa
      waungwana nisaidieni basi kwa mchangowenu wa ushauri na maoni
      kiwanja ninacho kina urefu wa futi 50 x60upana sasa nianzaje kuweka hiyo ramani na je nitafanyeje
      nisaidieni kwa ushauri wenu
      http://www.jamiiforums.com/business-...ga-nyumba.html

    11. #9
      ladyfurahia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2011
      Posts : 1,727
      Rep Power : 1827
      Likes Received
      963
      Likes Given
      1006

      Default Re: Naomba ushauri wenu nataka kujenga nyumba

      Nimesubiri huo ushauri hamjanijibu waungwana nisaidieni mwenzenu hasa mainjiiniazi pls

    12. #10
      ladyfurahia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2011
      Posts : 1,727
      Rep Power : 1827
      Likes Received
      963
      Likes Given
      1006

      Default Re: Naomba ushauri wenu nataka kujenga nyumba

      hapana ni upana na urefu kwa mita za miguu yaani unapima kwa miguu kwenda urefu na kurudi upana sijui umenielewa au bado ujaelewa
      yaani futi za mraba 50x60 ndugu yangu nadhani mpaka hapo utanielewa vizuri na je vifaa ni vipi naomba nitumie mchanganuo wako

    13. #11
      Mgaya D.W's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 690
      Rep Power : 508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      574

      Default Re: Naomba ushauri wenu nataka kujenga nyumba

      Naona requirements zako kama hazijaeleweka vizuri,vyumba sita vyote vya kulala?kama ndiyo nadhani space uliyonayo haitotosha.

      Lakini kama una maana nyingine i.e sitting room,dinning, kitchen,other bedroms na masterbedroom inawezekana ila kwa kujibana sana,pia tambua unahitaji pia upate nafasi uweke pits za vyoo, so jaribu kuweka bayana zaidi, ila bila kukukatisha tamaa waweza pata nyumba ndogo yenye kila kitu ndani na ukafurahia.

      Je wataka kujenga wapi?eneo limepimwa?una mchoro wa hicho unachotaka kujenga,kama hujanielewa uliza kadili unavyojua nitakuelekeza.karibu!

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...