Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Naomba kusaidiwa kuhusu kodi ya kampuni

    Report Post
    Results 1 to 6 of 6
    1. #1
      Mopalmo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Posts : 425
      Rep Power : 521
      Likes Received
      51
      Likes Given
      43

      Default Naomba kusaidiwa kuhusu kodi ya kampuni

      Wana jf,kampuni yetu tulisajili tangu mwaka 2010,kutokana na hali mbaya ya biashara na mimi kuwa masomoni hatukuweza kulipa kodi kwa miaka hii yote na hatukutoa taarifa tukitegemea mambo yangekua safi badae,sasa angalau tumepata fedha kidogo,tunataka tulipe,swali ni je naweza kuepuka penalties,ili nilipe kodi ya awali pekee?

      Maana zinazidi hata kodi yenyewe. nimeandika barua kuelezea sababu za kutolipa lakini bado sijaipeleka, nifanyeje wakuu,mawazo yenu yamekua msaada sana kwangu msichoke kunisaidia


    2. #2
      kijereshi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : bubinza
      Posts : 206
      Rep Power : 405
      Likes Received
      54
      Likes Given
      5

      Default re: Naomba kusaidiwa kuhusu kodi ya kampuni

      mdau hata kama hamkuwa mnafanya biashara hamna budi kufanya marejesho ya kodi "Returns" kwanyinyi mlitakiwa muwe mnamarejesho sifuri yaani "Nill Returns" sasa kutotoa taarifa hizo hilo ni kosa lako lazima upigwe adhabu(penalty) la sivyo ungeweza kuwaandikia kabla kuwa hamkuwa mkifanya biashara yoyote na wao kujiridhisha.

    3. #3
      Mopalmo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Posts : 425
      Rep Power : 521
      Likes Received
      51
      Likes Given
      43

      Default

      Quote By kijereshi View Post
      mdau hata kama hamkuwa mnafanya biashara hamna budi kufanya marejesho ya kodi "Returns" kwanyinyi mlitakiwa muwe mnamarejesho sifuri yaani "Nill Returns" sasa kutotoa taarifa hizo hilo ni kosa lako lazima upigwe adhabu(penalty) la sivyo ungeweza kuwaandikia kabla kuwa hamkuwa mkifanya biashara yoyote na wao kujiridhisha.
      Kwa hiyo unashauri nini mdau,ni jinsi gani tunaweza kupunguza tax burden

    4. #4
      kijereshi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : bubinza
      Posts : 206
      Rep Power : 405
      Likes Received
      54
      Likes Given
      5

      Default re: Naomba kusaidiwa kuhusu kodi ya kampuni

      Mdau cha kukushauri ni kuonyesha nia ya kupunguza hilo deni lenu kwa mamlaka husika(TRA) kutoka hapo unaweza kumwandikia commissioner wa kodi juu ya suala lenu na baada ya wenyewe kujiridhisha wanaweza kuwafikiria juu ya hoja yenu.Mamlaka iko na haki ya kujua kama unafanya biashara au hufanyi kutoka kwa mfanya biashara mwenyewe yaani huo ni wajibu wako kuwajulisha juu ya biashara yako
      Mopalmo likes this.

    5. #5
      Micha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th September 2011
      Posts : 269
      Rep Power : 446
      Likes Received
      100
      Likes Given
      48

      Default re: Naomba kusaidiwa kuhusu kodi ya kampuni

      Tafuta tax consultants wakushauri, acha ubahili.


    6. #6
      Mopalmo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Posts : 425
      Rep Power : 521
      Likes Received
      51
      Likes Given
      43

      Default re: Naomba kusaidiwa kuhusu kodi ya kampuni

      Thanx kijereshi na wengine mlioshauri,nimeshaandika barua na jumatatu,nitaipeleka kwa commissioner,nitarudi hapa jf kwa mrejesho wa yatakayoendelea

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...