Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

    Report Post
    Page 1 of 9 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 171
    1. #1
      Njoka Ereguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 503
      Rep Power : 463
      Likes Received
      168
      Likes Given
      30

      Angry Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      Mh. Waziri wa fedha amemaliza kuwasilisha bajeti moja ya kitu kipya ni usajili wa magari kwa namba maalum (ie jina lako)unalipa mill 5, Great Thinkers nini mtazamo wako, je ni kuaisha wenye uwezo waonekane hata katika plate namba za magari yao au lengo ni kukuza mapato ya serikali bila kuangalia mitazamo ya kijamii.


    2. #2
      tarizle's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 55
      Rep Power : 395
      Likes Received
      5
      Likes Given
      5

      Default re: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      Huo ni mkakati wa serikali kujiongezea mapato na wala sio kwa ajili ya watu kujionesha kuw wanapesa...

    3. #3
      Njoka Ereguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 503
      Rep Power : 463
      Likes Received
      168
      Likes Given
      30

      Default re: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      Quote By tarizle View Post
      Huo ni mkakati wa serikali kujiongezea mapato na wala sio kwa ajili ya watu kujionesha kuw wanapesa...
      But five mill, is too much, hiyo gari umeinunua kwa gharama gani? corola ya 7 mill na plate number ya 5mill?
      Jasusi likes this.

    4. #4
      mhondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2011
      Posts : 844
      Rep Power : 3815
      Likes Received
      175
      Likes Given
      36

      Default re: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      Yote mawili yanawezekana maana alisema kuna watu wanataka plate number ziwe na majina yao na Serikali inataka kutumia mwanya huo huo kupata fedha. Wasanii wanaopenda kujianika kwenye magazeti ya udaku mara kwa mara wakinunua magari au nyumba ni nafasi yao ya kujimwayamwaya sasa.

    5. #5
      Apolonary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : SAN DIEGO COMMUNITY
      Posts : 1,533
      Rep Power : 701
      Likes Received
      273
      Likes Given
      30

      Default re: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      na kweli wale wanopenda kujitofautisha na wakina kayumba wakati ndo huu! Na wale wanopenda kuchukua magar ya watu huku wakidai ni ya kwao imekula kwao.


    6. #6
      denoo49's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2011
      Location : Kijijini
      Posts : 797
      Rep Power : 772
      Likes Received
      157
      Likes Given
      21

      Default re: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      Huu ulimbukeni unaelekea kuua Taifa kwa mtindo huu.
      Ya mwaka ujao tusishangae, ikija na style ya vyangu doa na mashoga kupewa lesini na kulipia kodi.
      Eeh! Mungu ni chukue mapema kabla maandiko hayajatimia..
      UTAJUA likes this.

    7. #7
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,838
      Rep Power : 0
      Likes Received
      565
      Likes Given
      295

      Default re: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      Hiyo ni style nzuri tu na inatumiwa nchi nyingi sana kama South Africa, Namibia, Lesotho N.K.

      Ni njia mojawapo ya "MATOZI" kujionyesha na kuuzia sura huku serikali ikijipatia Fedha zaidi. Mgogoro ni je, pesa hiyo ya ziada ambayo haikuwepo awali inapelekwa wapi?

      "WALIOSOMA NI CHAKULA CHA WANASIASA"

    8. #8
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,701
      Rep Power : 2912
      Likes Received
      3893
      Likes Given
      12476

      Default re: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      Millioni 5? Hapa Maryland tags maalumu unalipa dola 50 tu.

    9. #9
      Konya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th June 2011
      Posts : 831
      Rep Power : 573
      Likes Received
      81
      Likes Given
      1

      Default re: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      sitaki kuamini kama itakuwa ni moja kati ya vyanzo vipya vya mapato vilivyobuniwa na sirikali..haya kazi kwao wale wa promo..

    10. #10
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 16,651
      Rep Power : 31607
      Likes Received
      8438
      Likes Given
      8791

      Default

      Quote By Njoka Ereguu View Post
      But five mill, is too much, hiyo gari umeinunua kwa gharama gani? corola ya 7 mill na plate number ya 5mill?
      Lazima ada iwe kubwa ili wachache na wenye uwezo ndio wanufaike...kimsingi si jambo lenye athari kwa wananchi,hata mamtoni ipo hivyo. Wenye uwezo waweke tu!

    11. #11
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,838
      Rep Power : 0
      Likes Received
      565
      Likes Given
      295

      Default re: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      Quote By Konya View Post
      sitaki kuamini kama itakuwa ni moja kati ya vyanzo vipya vya mapato vilivyobuniwa na sirikali..haya kazi kwao wale wa promo..
      Ninakuhakikishia kitakuwa chanzo kipya cha mapato, TZ ina matozi wengi sana, Mfano angalia wanafunzi wa vyo vikuu maisha wanayoishi vyuoni kisha siku moja pata nafasi ya kutembelea wanakotoka. Kwa ujinga huu, serikali itajipatia kipato cha kutosha tu.
      UTAJUA likes this.

    12. #12
      Bulesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2008
      Posts : 3,381
      Rep Power : 1252
      Likes Received
      349
      Likes Given
      74

      Default re: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      Quote By Jasusi View Post
      Millioni 5? Hapa Maryland tags maalumu unalipa dola 50 tu.
      Kumbe Jasusi uko majuu siku zote nilifikiri uko bongo; haya salaam zao vijana wangu nao wako huko Maryland sehemu inaitwa Montgomery village!!Wale mafisadi wetu wenye FERRALI na LAMBOGINI ndio watanunua hivyo vibao vya mill.5!!
      Jasusi likes this.

    13. #13
      mbu-NGE's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 12
      Rep Power : 372
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default re: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      ulipaji wake umekaaje wakuu.....? Je ukilipa kwa mara ya kwanza mil 5 utaendelea kulipa figure hiyo hiyo au itakuja kwenye rate ya kawaida?

    14. #14
      TEMILUGODA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2012
      Posts : 977
      Rep Power : 566
      Likes Received
      136
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By tume ya katiba View Post
      ninakuhakikishia kitakuwa chanzo kipya cha mapato, tz ina matozi wengi sana, mfano angalia wanafunzi wa vyo vikuu maisha wanayoishi vyuoni kisha siku moja pata nafasi ya kutembelea wanakotoka. Kwa ujinga huu, serikali itajipatia kipato cha kutosha tu.
      ccm sasa itamke wazi kwamba nchi hii si ya mkulima na mfanyakazi bali ni ya matajiri na wafanyabiashara,sina ubaya na mpango huu,lakini nataka neno ujamaa lifutwe kwenye katiba ya ccm maana moja ya miiko ya ujamaa ni kuwewepo kwa kundi la mimi namiliki x na y anamiliki z.pole ccm,nyamala ubepari ndio mpango mzima,kubali yaishe ili wananchi wajue kuliko kuwa msanii.
      stephot and UTAJUA like this.

    15. #15
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,217
      Rep Power : 12772
      Likes Received
      6442
      Likes Given
      999

      Default

      Quote By Njoka Ereguu View Post
      But five mill, is too much, hiyo gari umeinunua kwa gharama gani? corola ya 7 mill na plate number ya 5mill?
      Si unataka kuuza sura!
      Annael and UTAJUA like this.

    16. #16
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,217
      Rep Power : 12772
      Likes Received
      6442
      Likes Given
      999

      Default

      Quote By Jasusi View Post
      Millioni 5? Hapa Maryland tags maalumu unalipa dola 50 tu.
      Majimbo mengine dola ngapi?

    17. #17
      BABU CHONDO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2011
      Posts : 279
      Rep Power : 462
      Likes Received
      22
      Likes Given
      1

      Default

      Kwa muda gani?

      Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

    18. #18
      chilubi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Posts : 1,044
      Rep Power : 8095
      Likes Received
      205
      Likes Given
      3

      Default re: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      Aaaaaa 5 mil ni three much tena! Ka plate namba chenye jina lako tu? Its just an identity the same as numbers! 5 mil ni nyingi sana ata kama ni kwa kuuza sura

    19. #19
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,701
      Rep Power : 2912
      Likes Received
      3893
      Likes Given
      12476

      Default re: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      Quote By ritz View Post
      Majimbo mengine dola ngapi?
      Ritz,
      Kila jimbo lina taratibu zake. Kwa mfano NY sales tax ni 12% wakati Maryland ni 5%. Najua tu DC, Virginia na Maryland hazizidi dola 50 kwa hizo vanity tags.

    20. #20
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,701
      Rep Power : 2912
      Likes Received
      3893
      Likes Given
      12476

      Default re: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      Quote By Bulesi View Post
      Kumbe Jasusi uko majuu siku zote nilifikiri uko bongo; haya salaam zao vijana wangu nao wako huko Maryland sehemu inaitwa Montgomery village!!Wale mafisadi wetu wenye FERRALI na LAMBOGINI ndio watanunua hivyo vibao vya mill.5!!
      Bulesi,
      Niko njiani kurudi Bongo. Napafahamu sana Montgomevy Village, niliishi hapo kwa miaka 6 nikahamia mashambani zaidi lakini karibu na ufukwe wa bahari nijione kama niko Dar vile.

    Page 1 of 9 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...