Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

    Report Post
    Page 3 of 9 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 171
    1. #1
      Njoka Ereguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 503
      Rep Power : 459
      Likes Received
      167
      Likes Given
      30

      Angry Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      Mh. Waziri wa fedha amemaliza kuwasilisha bajeti moja ya kitu kipya ni usajili wa magari kwa namba maalum (ie jina lako)unalipa mill 5, Great Thinkers nini mtazamo wako, je ni kuaisha wenye uwezo waonekane hata katika plate namba za magari yao au lengo ni kukuza mapato ya serikali bila kuangalia mitazamo ya kijamii.

    2. Study Abroad

    3. #41
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,667
      Rep Power : 0
      Likes Received
      536
      Likes Given
      272

      Default Re: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      Quote By Nicas Mtei
      Itakuaje kwa wale ambao majina yatafananana? Lets say mimi Mtei nataka gari yangu iwe na jna langu halafu na ndugu zangu wengne nao wanataka ku2mia jna hlo hlo maarufu. Itakuaje?
      Utatofautisha kwa kuongeza neno "Mtoto wa muasisi wa chadema", haiwezekani yakafanana na ndio maana bei ipo juu, ili tupungue makabwela

    4. #42
      kichwat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2010
      Posts : 1,042
      Rep Power : 691
      Likes Received
      215
      Likes Given
      24

      Default Re: Excise duty of 20% kwa magari zaidi ya umri wa miaka 8.

      Good move. Tunawajibika kuhakikisha nchi yetu haigeuki DAMPO la bidhaa chakavu (Simu, friji, kompyuta, magari, n.k.)

      Ni hatua chungu kidogo kwa 'lower middle class' na wengineo, lakini hatuna budi kuanza sasa.

      Hatua hii vilevile itapunguza maduka ya spare mjini, lakini labda biashara itahamia kule mitaa ya GEREZANI.
      zomba likes this.

    5. #43
      palalisote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th August 2010
      Location : WA HAPAHAPA
      Posts : 2,054
      Rep Power : 2036
      Likes Received
      927
      Likes Given
      3819

      Default Re: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      kawaida tu mbona Uganda ipo muda na watu wanalipa kiasi kama hicho

    6. #44
      Oxlade-Chamberlain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Location : dodoma
      Posts : 7,610
      Rep Power : 4420
      Likes Received
      786
      Likes Given
      750

      Default

      Quote By Nicas Mtei
      Itakuaje kwa wale ambao majina yatafananana? Lets say mimi Mtei nataka gari yangu iwe na jna langu halafu na ndugu zangu wengne nao wanataka ku2mia jna hlo hlo maarufu. Itakuaje?
      Mtapigwa tu Mtei 1, Mtei 2,na kuendelea, wewe binafsi ndio utakua na kazi ya kuwaambia marafiki zako yako ni Mtei namba ngapi.

    7. #45
      jogi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th September 2010
      Posts : 3,977
      Rep Power : 1211
      Likes Received
      965
      Likes Given
      247

      Default

      Quote By Kibanga Ampiga MKoloni
      1. Tax Laws and Government Notices (GNs) granting Exemptions on Motor-Vehicles





      1. Madam Speaker, I propose to make amendments in the law that grants motor vehicle exemptions to various beneficiaries through Government Notices so that importation motor vehicles aged more than 8 years from the year of manufacture will now be subjected to the excise duty of 20 percent. The measure is intended to discourage importation of obsolete vehicles and preserve/protect environment.
      Siungi mkono hoja!!!! kiwanda cha nyumbu kingekuwa kinatengeneza magari ningeamini sheria hii ni yetu. wengi hamtanielewa.
      Jasusi and kitenuly like this.

    8. FemaTV & Radio

    9. #46
      tisa desemba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2011
      Posts : 267
      Rep Power : 433
      Likes Received
      33
      Likes Given
      31

      Default Re: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      sijui wamejipangaje kupambana na wauza sura watakao tengeneza plate feki na kuzindika majina yao, ambazo nadhan zitatumika zaidi mida ya night na huku vijijini ambako TRA na polisi hawapo.

      my take, wanatakiwa wajipange zaidi, la sivyo tutavuna mabua, huku trafiki wakiendelea kuneemeka na ulaji mpya...

    10. #47
      N-handsome's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,858
      Rep Power : 949
      Likes Received
      91
      Likes Given
      473

      Default Re: Excise duty of 20% kwa magari zaidi ya umri wa miaka 8

      Ni sheria ya kuhamashisha middle class ambao they are majority waingie kwenye rushwa tu

    11. #48
      Cynic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2009
      Location : Around
      Posts : 2,151
      Rep Power : 966
      Likes Received
      317
      Likes Given
      185

      Default Re: Excise duty of 20% kwa magari zaidi ya umri wa miaka 8

      The measure is intended to discourage importation of obsolete vehicles and preserve/protect environment.
      Kwa nini wasiwe wawazi? .. the reality is that this measure is obviously designed to cover for persistent dwindling revenues.
      '... Knowledge is good, but wisdom is even better ...'

    12. #49
      UTAJUA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Posts : 66
      Rep Power : 372
      Likes Received
      17
      Likes Given
      82

      Default Re: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      Dah hiyo safi, yangu itakuwa CCM no. CDM No.1

    13. #50
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Excise duty of 20% kwa magari zaidi ya umri wa miaka 8

      Mimi naona ingekuwa miaka 5 ingekuwa nzuri zaidi. Halafu kusingekuwa na ushuru wa magari chakavu isipokuwa ya "commercial" tu. Haya mengine madogo ingekuwa umeingiza la zaidi ya miaka 5 linakwenda kuuzwa kama chuma chakavu unarudishiwa hela yako baada ya kutoa gharama za bandari.
      Mokerema likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    14. #51
      ammah's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd October 2010
      Location : Under the MONEY tree...
      Posts : 193
      Rep Power : 476
      Likes Received
      37
      Likes Given
      16

      Default Re: Excise duty of 20% kwa magari zaidi ya umri wa miaka 8

      duh kabajeti kang kameshakuwa na deficit sasa...TZ 11 itabidi nitumie kwa mwaka mzima....

    15. #52
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,245
      Rep Power : 887
      Likes Received
      759
      Likes Given
      1432

      Default Re: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      Quote By ritz
      si unataka kuuza sura!
      si lazima hata hivyo huwezi kaa pembeni, wapenda sifa lazima watajitokeza tu si unajua kuna watu wanapenda kuonekana tofauti, nadhani na kwenye simu wataanzisha pia

    16. #53
      Suzie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2010
      Posts : 1,084
      Rep Power : 0
      Likes Received
      339
      Likes Given
      309

      Default

      Quote By Njoka Ereguu
      But five mill, is too much, hiyo gari umeinunua kwa gharama gani? corola ya 7 mill na plate number ya 5mill?
      Tena 5mil ni ndogo maana ili ufanikiwe katika mapato ni kuongeza gharama kwenye luxurious things, sasa kila mtu aki-afford kufanya hivyo hilo haliwezi kuwa luxury. Na hapo ili Chief Kiumbe, papa Msofe, Mzamil na wengine waweze kujitofautisha ni kuwapa motisha kama hii.

      Unataka waweke gharama ya chini kwenye unnecessary things, unajua madhara yake ni kwamba identity ya nchi inapotea au inajificha kwa hiyo inabidi ifanyike kwa kuidiscourage kidogo

    17. #54
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,245
      Rep Power : 887
      Likes Received
      759
      Likes Given
      1432

      Default Re: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      Quote By gwankaja gwakilingo
      ha ha sie wenye baiskeri tushayazoea hayo tena tunaandika bure kabisa km,usimchezee chatu nk
      baada ya dhiki faraja, chuma ulete, haya tumeyazoea sie wazee wa guta

    18. #55
      jogi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th September 2010
      Posts : 3,977
      Rep Power : 1211
      Likes Received
      965
      Likes Given
      247

      Default

      Quote By zomba
      Mimi naona ingekuwa miaka 5 ingekuwa nzuri zaidi. Halafu kusingekuwa na ushuru wa magari chakavu isipokuwa ya "commercial" tu. Haya mengine madogo ingekuwa umeingiza la zaidi ya miaka 5 linakwenda kuuzwa kama chuma chakavu unarudishiwa hela yako baada ya kutoa gharama za bandari.
      Mnacho kiwanda cha magari nchini kwenu? kama hamna msiwakwaze wenzenu kwa kushiba kwenu bagger ndio muwazuie kula ugali wa dona eti unasababisha uharibifu wa mazingira kwasababu zinatumika kuni kupikia ugali ukilinganisha na gesi kupikia bagger!!!!! ELIMU IKITUMIKA VIBAYA NI BOMU HATARI KUZIDI LA ATOMIC = mimi
      Sangarara and kitenuly like this.

    19. #56
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,184
      Rep Power : 12561
      Likes Received
      5746
      Likes Given
      748

      Default Re: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      Kuna watu wameweka majina yao sijui zamani ilikuwa kiasi gani.

    20. #57
      mahoza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2012
      Posts : 263
      Rep Power : 415
      Likes Received
      35
      Likes Given
      309

      Default Re: Bajeti imewasilishwa; Anayetaka namba maalum kwenye usajili wa Gari 5mil

      Kazi ipo. Hizo hela ni nyingi mno. Naomba aliyenazo anipe nilipoe ada ya wanangu hawakupata mkopo.

    21. #58
      Pinokyo Jujuman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 511
      Rep Power : 470
      Likes Received
      64
      Likes Given
      5

      Default

      Quote By ritz
      Kuna watu wameweka majina yao sijui zamani ilikuwa kiasi gani.
      Yap ni swali la msingi; kuna mtu anajiita Muganyizi 1. na Mike T naye nshakutana na gari yake kuieka plate number jina lake.
      Yawezekana wameona demand ni kubwa ndio maana wakaona waongeze gharama"

    22. #59
      EBENEZA MT's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 236
      Rep Power : 445
      Likes Received
      34
      Likes Given
      5

      Default

      [QUOTE=denoo49;4054121]
      Ya mwaka ujao tusishangae, ikija na style ya vyangu doa na mashoga kupewa lesini na kulipia kodi.
      Eeh! Mungu ni chukue mapema kabla maandiko hayajatimia.. Wala usiogope mkuu hayo lazima yatatimia tu hata miaka mia ua elfu ijayo tena utasikia mbuge akilalamika kwamba serikari imepoteza pesa kwa kuchelewesha hizo leseni. ALIYE MSAFI NA AZIDI KUWA MSAFI NA ALIYE MCHAFU .......
      Last edited by EBENEZA MT; 15th June 2012 at 08:45.

    23. #60
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Excise duty of 20% kwa magari zaidi ya umri wa miaka 8

      Quote By jogi
      Mnacho kiwanda cha magari nchini kwenu? kama hamna msiwakwaze wenzenu kwa kushiba kwenu bagger ndio muwazuie kula ugali wa dona eti unasababisha uharibifu wa mazingira kwasababu zinatumika kuni kupikia ugali ukilinganisha na gesi kupikia bagger!!!!! ELIMU IKITUMIKA VIBAYA NI BOMU HATARI KUZIDI LA ATOMIC = mimi
      Ungekuwa unajuwa economics japo kiduchu ungeafikiana na mimi, nakuonea huruma kuwa una mawazo duni sana.

      "bagger" ndiyo nini?
      Saint Ivuga likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    24. Miaka 50
    Page 3 of 9 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...