Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwa wajasiriamali

    Report Post
    Results 1 to 13 of 13
    1. #1
      Sir R's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2009
      Location : Moshi
      Posts : 1,139
      Rep Power : 714
      Likes Received
      99
      Likes Given
      24

      Default Kwa wajasiriamali

      Salamu sana.

      Tunatoa huduma zifuatazo kwa gharama nzuri.
      1. Ushauri wa biashara
      2. Uandikaji wa mpango wa biashara
      3. Uandaji wa katiba kwa mashirika yasiyo ya serikali (NGOs)
      4. Mafunzo ya ujasiriamali
      5. Mafunzo ya huduma kwa wateja (customer care)
      6. Networking
      7. Mengine mengi.


      Mahali: Moshi mjini
      Mawasiliano
      e- mail : [email protected]
      USITAFUTE AJIRA TENGENEZA AJIRA
      Umaskini wa Tanzania ni Matokeo ya Akili ndogo kuongoza Nchi

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      KOMANDOO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2012
      Posts : 413
      Rep Power : 631
      Likes Received
      254
      Likes Given
      17

      Default Re: Kwa wajasiriamali

      Mkuu very well, Vipi ni kampuni au, Mkuu kuna Tatizo kubwa sana kwa Watanzania kwa wakati huu ila ipo siku inakuja, Ni watanzania wachache sana kati ya wafanya biashara wengi sana nchi hii wanao weza enda kutafuta ushauri wa jinsi ya kuboresha biashara zao,

      Mimi niliwahi kufanya hii kazi Arusha, na kuna Mzee mmoja ni jok naye kuhusu kumshauri jinsi ya kuimarisha Restarunrant yake alicho ni jibu ni kwamba anapata wateja wa kutosha na anapata pesa za kutosha hivyo hahitaji ushauri,

      Ni kweli kwa Wafanya biashara wengi wanaamini ushauri ni kwa wale walio kwama tu, tena nao wakikwama huenda kuwauliza ndugu zao au marafiki zao,

      Ila kampuni kubwa kama TBL pamoja na kuwa kiongozi wa kulipa Kodi Tanzania na kutengeneza profiti kubwa still wana washauri wao wakuwashauri maswala mbali mbali yanayo husu Masoko, uzalishaji, na kazalika

      WABONGO NA WANATAKA HIZI HUDUMA WAPATE FREE KABISA, WAKATI KUMUONA DR MWENYEWE NI PESA, so kwa Tanzania consultance bado ni Tatizo sana kwa sababu ya uelewa, mtu anaweza kukubipu halafu umpigie na kumshauri kana kwamba hii huduma ni ya serikali,

      Ila ni PM nikueleze mbinu mbadala za kuweza kufanya
      Mgombezi and galagaja mtoto like this.

    4. #3
      Sir R's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2009
      Location : Moshi
      Posts : 1,139
      Rep Power : 714
      Likes Received
      99
      Likes Given
      24

      Default Re: Kwa wajasiriamali

      Quote By KOMANDOO
      Mkuu very well, Vipi ni kampuni au, Mkuu kuna Tatizo kubwa sana kwa Watanzania kwa wakati huu ila ipo siku inakuja, Ni watanzania wachache sana kati ya wafanya biashara wengi sana nchi hii wanao weza enda kutafuta ushauri wa jinsi ya kuboresha biashara zao,

      Mimi niliwahi kufanya hii kazi Arusha, na kuna Mzee mmoja ni jok naye kuhusu kumshauri jinsi ya kuimarisha Restarunrant yake alicho ni jibu ni kwamba anapata wateja wa kutosha na anapata pesa za kutosha hivyo hahitaji ushauri,

      Ni kweli kwa Wafanya biashara wengi wanaamini ushauri ni kwa wale walio kwama tu, tena nao wakikwama huenda kuwauliza ndugu zao au marafiki zao,

      Ila kampuni kubwa kama TBL pamoja na kuwa kiongozi wa kulipa Kodi Tanzania na kutengeneza profiti kubwa still wana washauri wao wakuwashauri maswala mbali mbali yanayo husu Masoko, uzalishaji, na kazalika

      WABONGO NA WANATAKA HIZI HUDUMA WAPATE FREE KABISA, WAKATI KUMUONA DR MWENYEWE NI PESA, so kwa Tanzania consultance bado ni Tatizo sana kwa sababu ya uelewa, mtu anaweza kukubipu halafu umpigie na kumshauri kana kwamba hii huduma ni ya serikali,

      Ila ni PM nikueleze mbinu mbadala za kuweza kufanya
      Ahsante Mkuu.
      Ni shirika lisilo la kiserikali. awali niliwaza kuanzisha kampuni lakini nikagundua ni vema kuanza na shirika lisilo la kiserikali ili kuweza kuhamasisha watanzania kuhusu ujasiriamali. Shirika limelenga kuwahamasisha vijana kuanzia miaka 18 katika shule na vyuo kujishughulisha na maswala ya ujasiriamali ikiwa ni pamoja na kufuatilia mafunzo. Usajili tumepata mwaka jana.

      Waanzilishi ni vijana wasomi ambao wanabiashara zao binafsi lengo ikiwa ni kuwa role model;

      Changamoto kubwa ni kwamba wengi wanaridhika na kile wanachokifahamu hawako tayari kuongeza ufahamu zaidi.

      Kuna kipindi tulikuwa tunaoffer mafunzo lakini washiriki walikuwa wachache sana. Sasa kidogo naona watu wanaanza kuamka.
      Mgombezi likes this.
      Umaskini wa Tanzania ni Matokeo ya Akili ndogo kuongoza Nchi

    5. #4
      Mgombezi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2009
      Posts : 628
      Rep Power : 643
      Likes Received
      130
      Likes Given
      139

      Default Re: Kwa wajasiriamali

      Quote By Sir R
      Ahsante Mkuu.
      Ni shirika lisilo la kiserikali. awali niliwaza kuanzisha kampuni lakini nikagundua ni vema kuanza na shirika lisilo la kiserikali ili kuweza kuhamasisha watanzania kuhusu ujasiriamali. Shirika limelenga kuwahamasisha vijana kuanzia miaka 18 katika shule na vyuo kujishughulisha na maswala ya ujasiriamali ikiwa ni pamoja na kufuatilia mafunzo. Usajili tumepata mwaka jana.

      Waanzilishi ni vijana wasomi ambao wanabiashara zao binafsi lengo ikiwa ni kuwa role model;

      Changamoto kubwa ni kwamba wengi wanaridhika na kile wanachokifahamu hawako tayari kuongeza ufahamu zaidi.

      Kuna kipindi tulikuwa tunaoffer mafunzo lakini washiriki walikuwa wachache sana. Sasa kidogo naona watu wanaanza kuamka.
      Nawapongeza kwa kazi njema mliyoanzisha; kweli elimu na dhana nzima ya ujasiriamali inabidi kujengwa kwa vijana wetu vinginevyo hali baadae inaweza kuwa mbaya kwana wataendelea kutegemea biashara za uchuuzi.
      Ebenezer

    6. #5
      siro's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 16th December 2011
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default Re: Kwa wajasiriamali

      mnapatikana wapi?

    7. Miaka 50

    8. #6
      Sir R's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2009
      Location : Moshi
      Posts : 1,139
      Rep Power : 714
      Likes Received
      99
      Likes Given
      24

      Default

      Quote By siro
      mnapatikana wapi?
      Tuko Moshi Mjini

      Wasiliana nasi kupitia e- mail hii [email protected]

    9. #7
      Masikini_Jeuri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2010
      Location : Igangidung'u
      Posts : 5,953
      Rep Power : 2079
      Likes Received
      698
      Likes Given
      5029

      Default Re: Kwa wajasiriamali

      na mafunzo yenu yanachukua muda gani?
      24 hours in a day! 24 beers in a case, Coincidence? I think not!

    10. #8
      Sir R's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2009
      Location : Moshi
      Posts : 1,139
      Rep Power : 714
      Likes Received
      99
      Likes Given
      24

      Default

      Quote By Masikini_Jeuri
      na mafunzo yenu yanachukua muda gani?
      Mafunzo ni ya muda wa 3 hadi 5

      Karibu

    11. #9
      Kim Kinny's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 12th June 2012
      Posts : 8
      Rep Power : 351
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa wajasiriamali

      Hey! Mi niko Rock City ntawapataje?

    12. #10
      lolyz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 286
      Rep Power : 450
      Likes Received
      162
      Likes Given
      266

      Default Re: Kwa wajasiriamali

      Quote By Sir R
      Mafunzo ni ya muda wa 3 hadi 5

      Karibu
      3 au 5 ni masaa? siku? miezi? mna matarajio gani kusambaza hiyo huduma kwa mikoa mikubwa km dar,aru,mby,
      ,mwz nk?
      kila la heri
      Ukaniite siku ya mateso, Nitakuokoa na wewe utanitukuza :Zab (psalm)50:15

    13. #11
      Sir R's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2009
      Location : Moshi
      Posts : 1,139
      Rep Power : 714
      Likes Received
      99
      Likes Given
      24

      Default Re: Kwa wajasiriamali

      Quote By lolyz
      3 au 5 ni masaa? siku? miezi? mna matarajio gani kusambaza hiyo huduma kwa mikoa mikubwa km dar,aru,mby,
      ,mwz nk?
      kila la heri
      Sorry mkuu.

      Mafunzo ni kati ya siku 3 na siku 5:

      wastani wa saa 5 kwa siku. Tuna mpango wa kuanzisha ofisi zetu mikoani. Kwa Dar tuna shirika tunashirikiana nalo.

      Lengo ni kuwapa hamasa watanzania kuhusu ujasiriamali, hasa vijana. Watu wabadilishe namna ya kufikiri, tengeneza ajira usitafute ajira.

      Karibu sana. [email protected]
      Umaskini wa Tanzania ni Matokeo ya Akili ndogo kuongoza Nchi

    14. #12
      Charema's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 11th May 2012
      Posts : 8
      Rep Power : 355
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Mkuu tuwekee na namba zenu za simu vilevile mngeweka wazi kuwa Moshi mjini na Dar ofisi zenu zipo wapi.

    15. #13
      Charema's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 11th May 2012
      Posts : 8
      Rep Power : 355
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Mkuu tuwekee na namba zenu za simu vilevile mngeweka wazi kuwa Moshi mjini na Dar ofisi zenu zipo mtaa gani na katika jengo gani.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...