Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nchi haina Kiongozi?

    Report Post
    Results 1 to 18 of 18
    1. #1
      Zamazamani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th June 2008
      Posts : 457
      Rep Power : 649
      Likes Received
      51
      Likes Given
      77

      Default Nchi haina Kiongozi?

      Ndugu zanguni kuna mambo mengi kuhusu uwekezaji katika nchi hii yananitatiza sana an kunikatisha tamaa kabisa .Hapo nyuma nilikuwa nasikia tu stories kuwa wawekezaji (hasa wale ukweli) wengi wao wanakuwa very dissapointed na utaratibu uliopo hapa nchini......siyo rahisi kabisa kwa mtu aweze kuwekeza hapa.,mara nyingi mwisho wanaamua kuondoka....sasa nimeyashuhudia mwenyewe....Kuna jamaa zangu ambao wapo very serious wamekuja kuwekeza hapa nchini.....lakini nimezunguka nao sehemu zote husika bila ya mafanikio...ni kwamba hakuna mtu wa kutoa maamuzi yeyote huko serikalini....kwa mfano hawa jamaa zangu walikuwa interested na kutoa msaada (siyo mkopo) wa kujenga soko la kisasa la samaki pale bagamoyo...jamaa wame spend two months bila responses yeyote toka wizara husika...na wala TIC (extremely hopeless) hawaonekani kustuka ingawa information zote wanazo.....ishu nyingine iliyoshindikana ni nyanja ya kilimo cha kisasa....jamaa walijipanga kuja kutoa misaada mikuwa sana ya pembejeo za kilimo ili kusaidia hasa wakulima wadogowadogo...lakini Tumekwama kabisa siyo wizara husika wala TIC ambao wameweza kutusaidia...sasa mimi najiuliza hawa viongozi wetu wakuu wanavyopiga kelele juu ya kuwahimiza wawekezaji kuja hapa ina maana haya hawayajui?????...kuna kitu hapa sielewi kabisa..inanitia uchungu sababu nimejaribu kuwabembeleza wavute subira lakini nimechemsha ...kweli nchi yetu ni ya kipumbavu namna hii????!!!!!SASA TUNAFANYAJE since things are not moving at all????

    2. Miaka 50

    3. #2
      MzalendoHalisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2007
      Posts : 3,942
      Rep Power : 1397
      Likes Received
      72
      Likes Given
      120

      Default Re: Nchi ya kipumbavu

      Si juzi tu JK alikuwa Saudia 'kuiuza nchi'?
      Uadilifu Kiwe Kigezo Muhimu Zaidi Kuwa Kiongozi Tanzania Kwa Sasa!

    4. #3
      WomanOfSubstance's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2008
      Posts : 5,484
      Rep Power : 1682
      Likes Received
      707
      Likes Given
      721

      Default Re: Nchi ya kipumbavu

      Sijaelewa hasa wanawekeza au wanasaidia.Kama ni kusaidia watafute NGOs ( hasa za kimataifa zenye kushughulika na kilimo au uvuvi na kwa pamoja wakishirikiana na local NGOs wanaweza kuingia pasipoingilika.Unless ukute nao hawana haja ya kweli ya kusaidia - ukute ni wawekezaji wenye kutaka faida na imeshahisiwa kuwa wana ajenda ya siri ndiyo maana hakuna uamuzi unatolewa so far!
      Educating the mind without educating the heart is no education at all.... Aristotle



    5. #4
      Nyauba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 984
      Rep Power : 751
      Likes Received
      21
      Likes Given
      7

      Default Re: Nchi ya kipumbavu

      JK aliahidi kuanzisha INVESTORS COMPLAINTS BUREAU under state house supervision...

      sasa sijui mkulu kila kitu anaongea tuu ili mradi au?? hii labda ingewasaidia wenye malalamiko kusikikaa zaidi..

    6. #5
      Msanii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2007
      Posts : 6,207
      Rep Power : 1927
      Likes Received
      210
      Likes Given
      249

      Default Re: Nchi ya kipumbavu

      miujiza miujiza miujiza
      tanzania ni miujiza kantri
      " If you hear a voice within you say "you cannot paint", then by all means paint, and that voice will be silenced"
      [email protected]

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Dandaj's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : Dar
      Posts : 70
      Rep Power : 529
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Nchi ya kipumbavu

      Nafikiri hao jamaa hawakupasa kulalamika kama mtu wanayetaka kumsaidia hataki. Na hao waliokataa kupokea hiyo misaada wanajua madhala ya misaada ndio maana hawajaikimbilia.

    9. #7
      Msanii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2007
      Posts : 6,207
      Rep Power : 1927
      Likes Received
      210
      Likes Given
      249

      Default Re: Nchi ya kipumbavu

      Quote By Dandaj
      Nafikiri hao jamaa hawakupasa kulalamika kama mtu wanayetaka kumsaidia hataki. Na hao waliokataa kupokea hiyo misaada wanajua madhal(r)a ya misaada ndio maana hawajaikimbilia.
      kwa hiyo misaada ya wasaudia haina madhara ndo wanaikimbilia????
      " If you hear a voice within you say "you cannot paint", then by all means paint, and that voice will be silenced"
      [email protected]

    10. #8
      Zamazamani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th June 2008
      Posts : 457
      Rep Power : 649
      Likes Received
      51
      Likes Given
      77

      Default Re: Nchi ya kipumbavu

      pamoja na hayo yote...nafikiri kuna tatizo kubwa kwenye kutoa maamuzi ,hususan kwenye serikali hii.....kama hawataki misaada...si waseme tu black and white.....mi ninachokiona ni kwamba kila mtu anamtegeshea mwenzie....hakuna wa kumfunga paka kengele....labda mtu akija na ajenda ya kusaidia kampeni kama Saudia itakuwa kidogo rahisi.......

    11. #9
      Mpendanchi-2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th April 2009
      Posts : 311
      Rep Power : 578
      Likes Received
      18
      Likes Given
      10

      Default Re: Nchi ya kipumbavu

      Sometimes tunaweza kuwa tuna toa lawama kwa serikali bila kujua undani, the so called wawekezaji wapo wa aina nyingi sana, wapo mataperi wanaotafuta project na kwenda kuuza, wapo wanaotafuta gear ya kuingia na kupata ardhi n.k . Hivyo vyombo vya serikali wakati mwingine vinakuwa vimeyagundua hayo ndiyo maana wanazungushwa.
      No one will help to build your Future Tanzania !!!! It's you and me , START NOW !!!

    12. #10
      Haika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 1,688
      Rep Power : 914
      Likes Received
      239
      Likes Given
      358

      Default Re: Nchi ya kipumbavu

      je wewe unajua utaratibu wa wawekezaji hapa tanzania?
      je wao wanaujua?
      je wanae local shareholder?
      wameconsult investor mwingine ambaye ameshaanza operations wajue alivyofanya?

      Waambie watoe matongotongo huku sio porini

    13. #11
      Shelute Mamu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th March 2009
      Posts : 36
      Rep Power : 526
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Nchi haina Kiongozi?

      Kwa Serikali iliyo makini inakuwa wazi kumweleza mtu nini kinachotakiwa (Masharti ya muwekezaji) jawabu siyo kumzungusha mtu kama taratibu ziko wazi. Kwa nini azungushwe huo si uungwana hata kidogo na kunaonyesha kutujiamiani!!!!

      Baba wa Taifa ndiyo maana anakumbukwa maana yeye alikuwa muwazi kama ndiyo ni ndiyo na hapana ni hapana BASI haina mjadala na mtu anaelewa. Tabia hii ya kuzungusha watu ndiyo inaathiri hata watu waliostaafu, malamiko ya walioonewa kazini, malipo wa EAC n.k.

    14. #12
      Zamazamani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th June 2008
      Posts : 457
      Rep Power : 649
      Likes Received
      51
      Likes Given
      77

      Default Re: Nchi haina Kiongozi?

      Shelute Mamu
      Nakupa 5!!!! kama nchi ina serikali na ina taasisi zinazoshughulika na mambo ya uwekezaji na vitu kama hivyo.....kwa nini wasitoe mwongozo badala ya kuanza kukimbia kimbia kama watoto????watu kama TIC wanafanya kitu gani???Hawa wapuuzi walitakiwa kuwa na info zote za uwekezaji at one stop point....lakini nenda pale uulize hata kipaumbele cha nchi hii ktk uwekezaji...utazungushwa mpaka ujute kuwafahamu!!!
      Hawa jamaa zangu siyo matapeli..sababu tuna projects nyingine ambazo ni productive kule Ghana.......ni stori ndefu anyway...
      Mnachekesha sana yaani nchi hii iwe na uadilifu wa kuangalia eti kama project ina madhara???labda hatupo pamoja ..mnaota...
      Kuhusu taratibu za kufungua kampuni ,local shareholders nk kila kitu tunakifahamu ....ILA MOST OF THESE PLACES WANATAKA RUSHWA...NA JAMAA WAMEGOMA KUTOA RUSHWA NDIPO MATATIZO YALIPOANZIA!!!!

    15. #13
      Zamazamani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th June 2008
      Posts : 457
      Rep Power : 649
      Likes Received
      51
      Likes Given
      77

      Default Re: Nchi ya kipumbavu

      Quote By Mpendanchi-2
      Sometimes tunaweza kuwa tuna toa lawama kwa serikali bila kujua undani, the so called wawekezaji wapo wa aina nyingi sana, wapo mataperi wanaotafuta project na kwenda kuuza, wapo wanaotafuta gear ya kuingia na kupata ardhi n.k . Hivyo vyombo vya serikali wakati mwingine vinakuwa vimeyagundua hayo ndiyo maana wanazungushwa.
      Sasa huu ndio upumbavu, ujinga na upuuzi.......kwanza hawa jamaa nawajua vizuri ni more than just wawekezaji....we have other projects in other countries....
      Halafu kama nchi ina miongozo kwanini wasituelekeze nini cha kufanya au kama hawaitaji misaada/uwekezaji kama huu??? kwani ni lazima kuwekeza ktk nchi hii???? Hawa jamaa nimekuwa nikiwa convince kwa muda mrefu waje hapa kuwekeza ili ndugu zetu wapate ajira nk.....lakini imekuwa night mare...kuna harufu ya rushwa kila sehemu...hawa jamaa wamegoma kutoa hiyo rushwa!!!ndio tatizo

    16. #14
      Zamazamani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th June 2008
      Posts : 457
      Rep Power : 649
      Likes Received
      51
      Likes Given
      77

      Default Re: Nchi ya kipumbavu

      Quote By Haika
      je wewe unajua utaratibu wa wawekezaji hapa tanzania?
      je wao wanaujua?
      je wanae local shareholder?
      wameconsult investor mwingine ambaye ameshaanza operations wajue alivyofanya?

      Waambie watoe matongotongo huku sio porini
      Huu ndiyo upumbavu wenyewe..........ndio maana kuna vyombo husika ....au kazi yao ni kukata viuno tuu na kula hela ya walipa kodi???? kazi ya chombo kama TIC nk ni nini??
      Kwa nini umtafute investor aliyetangulia??ishu za local share holder nk na taratibu zote tunazijua na wanatukwamisha vilevile!!!!

    17. #15
      Zamazamani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th June 2008
      Posts : 457
      Rep Power : 649
      Likes Received
      51
      Likes Given
      77

      Default Re: Nchi ya kipumbavu

      Quote By Haika
      je wewe unajua utaratibu wa wawekezaji hapa tanzania?
      je wao wanaujua?
      je wanae local shareholder?
      wameconsult investor mwingine ambaye ameshaanza operations wajue alivyofanya?

      Waambie watoe matongotongo huku sio porini
      Huu ndiyo upumbavu wenyewe..........ndio maana kuna vyombo husika ....au kazi yao ni kukata viuno tuu na kula hela ya walipa kodi???? kazi ya chombo kama TIC nk ni nini??
      Kwa nini umtafute investor aliyetangulia??ishu za local share holder nk na taratibu zote tunazijua na wanatukwamisha vilevile!!!!
      wewe ndiyo utoe tongotongo kwanza........

    18. #16
      Nsaji Mpoki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2007
      Posts : 287
      Rep Power : 647
      Likes Received
      27
      Likes Given
      136

      Default Re: Nchi haina Kiongozi?

      Mie narudi kwenye mada inayosema 'Nchi haina viongozi''. Naiona ni mada nzuri yenye mwelekeo wa kujenga taifa letu. kutokana na hilo mie nitaendeleza mjadala wa namna tunavyoshindwa kutumia fedha za ndani katika kuwezesha ukuaji wa uchumi. Katika hili nitarudi tena kwenye fikra za Pinda za kutaka kuiwezesha tanzania kuwa ghala la chakula na kuwa na uwezo mkubwa wa kiuchumi. Hta jana ijumaa wakati akiulizwa maswali na wabunge alirejea hili. Wana JF. Kwa wiki mbili zilizopita nilibahatika kushuhudia uwasilishaji wa bajeti za Mikoa na halmashauri za wilaya. Nimepitia baadhi hakuna kitu. kwanza ile ceiling yenyewe waliyopewa haiwezi kabisa kufanya lolote. Bado asilimia 80 ya bajeti yote ya nchi imeachwa wizarani kwa ajili ya mikutano, warsha na kongamano. Kingine nilichokiona ni upotevu mkubwa wa pesa za serikali. Niwape mfano halisi.Mkoa mmoja tu. Sitaki kuutaja ulikuja na watu 100 ina wamekaa DSM kwa siku 20 ikiwa na maana kuwa kila mmoja lilipwa Tshs 80,000 kwa siku. Nikapiga hesabu kwa wastaniu wa namba hiyo hiyo ya watu kwa mikoa 21 ukichanganya gharama mza mafuta(wastani wa gari nne kila naneKila Mkoa), posho, fedha za dharura na stationery/printing unapata jumla ya Tshs. 34,069,140,000/= kwa kazi ambayo kama ungekuwa na mawasiliano mazuri ya mtandao kusingekuwa na gharama ya kiasi hiki. Bilioni 34 ni fedha nyingi. Wenzangu mtanambia unaweza kujenga zahanati ngapi. Kilichonishtua zaidi ni ile siku ambapo mabomu yalilipuka mbagala. Vijana wa HAZINA wakaitangazia mikoa na halmashauri kuwa Bbudget codes zimebadiilka hivyo wanatakiwa kuanza kuandaa upaya bajeti zao. Walilijua hili mapema lakini hawakusema. Hali hii imesababisha watumishi walioishi DSM kwa siku 20 sasa waongeze siku nyingine. Sijui itakuwa hadi lini na nani atalipia gharama hizo za watu kukaa DSM kwa uzembe wa HAZINA. Kingine nilichojifunza ni kuwa wakati huu wa bajeti baadhi ya makamishna wa HAZINA hugeuka miungu. MARAS na MA DED hupiga magoti kuomba omba fedha as if fedha wanazoomba ni zao kwao Binafsi. Yupo Kamishna mmoja kutoka mkoa aliotoka mwalimu ambaye ametengeneza altare na kila Afisa Mhasibu humpigia magoti kuomba fedha. Hii ni aibu kubwa kwa nchi yetu.Ni aibu kwa Waziri Mkuu kwasababu aliahidi kusimamia na kuhakikisha Bajeti ya Mwaka huu inaandaliwa ili kuimarisha sekta muhimu kama kilimo. Ameshindwa. Mikoa na Halmashauri ndio zinamaliza kuwasilisha bajeti zao. Wataalamu waliotumwa toka TAMISEMI kumsaidia ni kama hawajui lolote. Wameingia pale hawana wanachojua wakabaki kusuburi lunch boxes. Utastaajabu. Wakati mikoa inawasilisha bajeti zao ungetegemea wachangie au wahoji lolote lakini wapi. Baadhi wakawa wanatwanga usingizi na wengine utafikiri hawapo. Aibu tupu. Ninadhani kati ya mawaziri wakuu tuliokuwa nao. Huu ni mtazamo wangu. Pinda atahesabiwa kuwa Waziri Mkuu dhaifu na Mswahili kuliko wote waliowahi kuongoza Tanzania. Anasema hafuatilii.

    19. #17
      TheSun's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 9th March 2009
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Nchi haina Kiongozi?

      Kwanza inasikitisha kuona kwamba taratibu husika zilikuwa hazifuatwi katika swala zima la kile kinachooenekana kama nia njema ya watu hawa. Kwanza swala la msaada si swala la mwanzo la TIC (since its not an investment), ni swala linaloangukia katika taasisi za utoaji huduma kwa jamii zisizo za kiserikali. Hivyo kama lengo ilikuwa ni kutoa msaada, wahuskika au wale ambao mlikuwa mkishiriki kuhakikisha kwamba lengo la watu hawa linakamilika m(wa)ngefuata hatua za mwanzo za kujua ni huduma gani tayari ipo katika eneo hili la Bagamoyo, pili ni matatizo na faida gani ambazo hii hudumu inayo katika kukidhi matakwa ya watoaji na wahitaji huduma yake, through feasibility study, ainisha maeneo unayoyaona kwamba yanahitaji msaada ambao utatatua na kuendeleza mradi huo ikiwa ni pamoja na kuainisha maeneo yanayonitaji kufanyiwa kazi na kutoa matokea yaliyokusudiwa katika kipindi cha muda mfupi na muda mrefu. Baada ya kuwa na hii ripoti wasilisha kwa taasisi husika kile ulichokiona kinahitaji msaada na malengo yako, basing on your area of interest wao watakueleza nini wanachokijua kuhusu mradi huo na kukuelekeza nini cha kufanyika kama nikukupa orodha ya taasisi husika ambazo tayari ziko kwenye mradi huo, walicho/wanachokifanya, matatizo yao n.k. ili uweze kuona kama unaweza kuwatumia katika kutekeleza malengo ya msaada wako huo au ni taratibu gani unahitaji kufuata kuanzisha mradi wako binafsi kwa kusudio hilo hilo la kutoa msaada...hapa ndio usajili wa mradi wako utahitaji kupitia TIC au kufuata maelekezo yao kwa kuzingatia taratibu na sheria za nchi zilizopo katika swala hili. Serikali ya Japan ilifuata taratibu hizi kwa soko la feri.....sasa sijui hawa ndugu walikuwa serious kiasi gani lakini hujaeleza kwa kina ni taratibu gani zilifuatwa kabla ya kuilaumu serikali.....

      "Failure can be divided into those who thought and never did and into those who did and never thought."
      Last edited by TheSun; 3rd May 2009 at 11:32.

    20. #18
      Simoni's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th October 2008
      Posts : 67
      Rep Power : 554
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Nchi haina Kiongozi?

      Nakubaliana na mpendanchi2

    Similar Topics

    1. Nchi yetu haina UDINI.
      By David webb in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 13
      Last Post: 3rd December 2011, 18:44
    2. Replies: 1
      Last Post: 11th March 2011, 00:25
    3. Replies: 0
      Last Post: 2nd March 2011, 00:34
    4. Mchemsho wa TANESCO? Nchi nzima haina umeme
      By Invisible in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 91
      Last Post: 10th September 2009, 18:28
    5. Nchi haina mipango thabiti?
      By RealTz77 in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 6th August 2009, 15:09

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...