Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Msaada; Tshs 85Mil, inajenga Ghorofa??

    Report Post
    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast
    Results 41 to 60 of 87
    1. #1
      Sting's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2011
      Location : Mafichoni
      Posts : 685
      Rep Power : 538
      Likes Received
      135
      Likes Given
      48

      Default Msaada; Tshs 85Mil, inajenga Ghorofa??

      Wadau,
      Nimebahatika kupata Tshs 85mil Kama urithi baada ya kuuza Nyumba yetu iliyoko katikati ya jiji,
      Ndoto yangu ni kujenga Nyumba ya Ghorofa kupitia hela hii, Na Kiwanja kilichopimwa tayari ninacho,
      Nauliza tu kwa mgao huu naweza kupata Nyumba ya Ghorofa 1 kwa mahesabu ya Fundi + Materials??
      King Kong III likes this.

    2. Miaka 50

    3. #41
      Tripo9's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2009
      Posts : 1,627
      Rep Power : 819
      Likes Received
      255
      Likes Given
      459

      Default Re: Msaada; Tshs 85Mil, inajenga Ghorofa??

      Quote By MwalimuZawadi
      Matajiri wa JF, quick money 187 m, ghorofa ya 85m, .... Tanzania bana ndo maana tunatawalika kirahisi hata chizi anaweza kututawala
      Unazungumzia Chizi yule wa ATCL?
      "Smile though your heart is aching"...Me says

    4. HP1
      #42
      HP1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 1,410
      Rep Power : 651
      Likes Received
      273
      Likes Given
      17

      Default Re: Msaada; Tshs 85Mil, inajenga Ghorofa??

      Ndugu yangu nina mashaka makubwa kuhusu huo ujenzi unaoufikiria. Nyumba ya kwaida vyumba vitatu vya kulala, dining room, sitting room, car park, inateketeza mil 50. Fikiri upya kuhusu hilo wazo. Nakushauri pata ramani na wasiliana na contractors upate picha halisi.
      Use what you get to get what you want

    5. #43
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 12,014
      Rep Power : 24158
      Likes Received
      4738
      Likes Given
      2652

      Default Re: Msaada; Tshs 85Mil, inajenga Ghorofa??

      Quote By Shark
      Eneo linahusika.vipi??
      Linahusika......kama ni la mteremko,bondeni,beach nk.....gharama hutofautiana na eneo....mathalani kiwanja cha mterenko msingi lazima utafune pesa

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    6. #44
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,932
      Rep Power : 5065
      Likes Received
      3204
      Likes Given
      2665

      Default

      Quote By Sir. Burn
      Kaka boss wangu ni member hapa Jf na anaijua username yangu,
      Akijua nina 85Mil ya kujenga ni kesi.
      Najenga Kibada!!
      Block Gani? Plot No. Ngapi? Njoo Full Shangwe Jumamosi Unionyeshe kiwanja chako tuweze anza mchakato wa ujenzi.isije ikawa ni promo tu ya kutafutia wachumba kule love connect,mie nina kiwanja hapo kibada cha kupima,chako kipo maeneo gani ghorofa zipo nyingi pale!!
      Last edited by King Kong III; 4th June 2012 at 10:37.

    7. #45
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,932
      Rep Power : 5065
      Likes Received
      3204
      Likes Given
      2665

      Default

      Quote By zomba
      Baada ya post hii, mtamuona kule MMU akitafuta mchumba!

      Chambo chako nimekikubali, angalia kisije kikavuwa mapapa upanga tu.
      Haaaaaaaaa hata mie nina wasiwasi isije ikawa anafanya promotion ya kula watoto wa kike wa facebook walioingia JF.


    8. #46
      rmashauri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Location : Ng'wanza Sukuma
      Posts : 2,864
      Rep Power : 1201
      Likes Received
      354
      Likes Given
      686

      Default Re: Msaada; Tshs 85Mil, inajenga Ghorofa??

      Quote By Sir. Burn
      Ramani ningeweza ku-attach hapa but sina soft copy yake.
      But Nyumba ni vyumba vinne vya kulala, viwili juu Na viwili chini.
      Library juu, wakati jiko Na stoo chini.
      Self container ni kimoja cha juu tu.
      Mkuu nyumba yako karibu ifanane na ya kwangu kabisa tofauti tu ni kuwa ya kwangu ina study room juu, vyumba vitatu juu (kimoja kikiwa ni master) na kimoja chini ambacho ni self contained pia. Ndugu yangu ujenzi unaumiza kichwa na si mchezo. Niliambiwa kuwa makadirio ya kujenga nyumba ni laki tano kwa kila mita ya mraba mpaka finishing tena kwa kutumia mkandarasi. Nyumba yangu ni around 380 sm. Nikapiga mahesabu nikapata around Tshs. 190 mil. Kwa vile nilishapanga kutumia mafundi wa mitaani na si wakandarasi nikajua nitejenga nyumba hiyo kwa gharama chini ya hapo. Lol! Mpaka sasa nikiwa nimemaliza kupiga paa, plasta, grills za milango na madirisha pamoja na fremu za milango zaidi ya Tshs. 160 mil. zimetembea na hapo nimetumia mafundi waaminifu kwelikweli wasio wezi na mahesabu nilikagua vizuri. Pamoja na kwamba nimeezeka kwa Decra Tiles ambazo ni ghali sana na mbao zilitumika nyingi bado hiyo Tshs 85 mil. kwa nyumba yako hazitoshi kabisa mkuu asikudanganye mtu.
      Last edited by rmashauri; 4th June 2012 at 18:54. Reason: spelling and more info
      Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34)

    9. #47
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,175
      Rep Power : 21618
      Likes Received
      13496
      Likes Given
      17794

      Default Re: Msaada; Tshs 85Mil, inajenga Ghorofa??

      Quote By rmashauri
      Mkuu nyumba yako karibu ifanane na ya kwangu kabisa tofauti tu ni kuwa ya kwangu ina study room juu, vyumba vitatu juu (kimoja kikiwa ni master) na kimoja chini ambacho ni self contained pia. Ndugu yangu ujenzi unaumiza kichwa na si mchezo. Niliambiwa kuwa makadirio ya kujenga nyumba ni laki tano kwa kila mita ya mraba mpaka finishing tena kwa kutumia mkandarasi. Nyumba yangu ni around 380 sm. Nikapiga mahesabu nikapata around Tshs. 190 mil. Kwa vile nilishapanga kutumia mafundi wa mitaani na si wakandarasi nikajua nitejenga nyumba hiyo kwa gharama chini ya hapo. Lol! Mpaka sasa nikiwa nimemaliza kupiga paa maka plata zaidi ya Tshs. 160 zimetembea na hapo nimetumia mafundi waaminifu kwelikweli wasio wezi na mahesabu nilikagua vizuri. Pamoja na kwamba nimeezeka kwa Decra Tiles ambazo ni ghali sana na mbao zilitumika nyingi bado hiyo Tshs mil 85 kwa nyumba yako hazitoshi kabisa mkuu asikunganye mtu.
      hao mafundi wako waaminifu umewatoa wapi?
      unaweza saidia contacts?
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    10. #48
      rmashauri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Location : Ng'wanza Sukuma
      Posts : 2,864
      Rep Power : 1201
      Likes Received
      354
      Likes Given
      686

      Default Re: Msaada; Tshs 85Mil, inajenga Ghorofa??

      Quote By The Boss
      hao mafundi wako waaminifu umewatoa wapi?
      unaweza saidia contacts?
      Niliwatoa kanisani mkuu
      Nakutumia namba zao kwa PM
      Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34)

    11. #49
      Karata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2011
      Posts : 279
      Rep Power : 463
      Likes Received
      53
      Likes Given
      66

      Default Re: Msaada; Tshs 85Mil, inajenga Ghorofa??

      Quote By rmashauri
      Mkuu nyumba yako karibu ifanane na ya kwangu kabisa tofauti tu ni kuwa ya kwangu ina study room juu, vyumba vitatu juu (kimoja kikiwa ni master) na kimoja chini ambacho ni self contained pia. Ndugu yangu ujenzi unaumiza kichwa na si mchezo. Niliambiwa kuwa makadirio ya kujenga nyumba ni laki tano kwa kila mita ya mraba mpaka finishing tena kwa kutumia mkandarasi. Nyumba yangu ni around 380 sm. Nikapiga mahesabu nikapata around Tshs. 190 mil. Kwa vile nilishapanga kutumia mafundi wa mitaani na si wakandarasi nikajua nitejenga nyumba hiyo kwa gharama chini ya hapo. Lol! Mpaka sasa nikiwa nimemaliza kupiga paa maka plata zaidi ya Tshs. 160 zimetembea na hapo nimetumia mafundi waaminifu kwelikweli wasio wezi na mahesabu nilikagua vizuri. Pamoja na kwamba nimeezeka kwa Decra Tiles ambazo ni ghali sana na mbao zilitumika nyingi bado hiyo Tshs mil 85 kwa nyumba yako hazitoshi kabisa mkuu asikunganye mtu.
      Ebwana mbona unanitisha Mkuu! nilikuwa nina mpango wa kujenga ghorofa kama yako, vyumba vitatu, 2 juu pamona na master na studying room, 1 chini pamoja na kitchen, dining, sitting room na garage. Kwa hayo maesabu ya 160 mio, nimeishiwa nguvu kabisa. Endeleeni na michango wakuu.

    12. #50
      Fighter's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2009
      Location : ON EARTH
      Posts : 507
      Rep Power : 685
      Likes Received
      92
      Likes Given
      456

      Default Re: Msaada; Tshs 85Mil, inajenga Ghorofa??

      Quote By Sir. Burn
      Wadau,
      Nimebahatika kupata Tshs 85mil Kama urithi baada ya kuuza Nyumba yetu iliyoko katikati ya jiji,
      Ndoto yangu ni kujenga Nyumba ya Ghorofa kupitia hela hii, Na Kiwanja kilichopimwa tayari ninacho,
      Nauliza tu kwa mgao huu naweza kupata Nyumba ya Ghorofa 1 kwa mahesabu ya Fundi + Materials??
      Anza wewe acha kuuliza hutafika mbali, zikitosha sawa, zikipelea utaongeza kwani hupati tena pesa? acha woga mkuu
      Right taken never given.

    13. #51
      Karata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2011
      Posts : 279
      Rep Power : 463
      Likes Received
      53
      Likes Given
      66

      Default Re: Msaada; Tshs 85Mil, inajenga Ghorofa??

      Quote By rmashauri
      Mkuu nyumba yako karibu ifanane na ya kwangu kabisa tofauti tu ni kuwa ya kwangu ina study room juu, vyumba vitatu juu (kimoja kikiwa ni master) na kimoja chini ambacho ni self contained pia. Ndugu yangu ujenzi unaumiza kichwa na si mchezo. Niliambiwa kuwa makadirio ya kujenga nyumba ni laki tano kwa kila mita ya mraba mpaka finishing tena kwa kutumia mkandarasi. Nyumba yangu ni around 380 sm. Nikapiga mahesabu nikapata around Tshs. 190 mil. Kwa vile nilishapanga kutumia mafundi wa mitaani na si wakandarasi nikajua nitejenga nyumba hiyo kwa gharama chini ya hapo. Lol! Mpaka sasa nikiwa nimemaliza kupiga paa, plasta, grills za milango na madirisha pamoja na fremu za milango zaidi ya Tshs. 160 mil. zimetembea na hapo nimetumia mafundi waaminifu kwelikweli wasio wezi na mahesabu nilikagua vizuri. Pamoja na kwamba nimeezeka kwa Decra Tiles ambazo ni ghali sana na mbao zilitumika nyingi bado hiyo Tshs 85 mil. kwa nyumba yako hazitoshi kabisa mkuu asikudanganye mtu.
      Mkuu nimetafuta consultantions kutoka kwa wakandarasi, hiyo nyumba yako unayojenga (380 Square meter) ni kubwa mno kibongobongo na kama ukifanya masiahala utamaliza chenji zote. Kale kadream house kangu ni ka 250 Square meter tu.

    14. #52
      rmashauri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Location : Ng'wanza Sukuma
      Posts : 2,864
      Rep Power : 1201
      Likes Received
      354
      Likes Given
      686

      Default Re: Msaada; Tshs 85Mil, inajenga Ghorofa??

      Quote By Karata
      Ebwana mbona unanitisha Mkuu! nilikuwa nina mpango wa kujenga ghorofa kama yako, vyumba vitatu, 2 juu pamona na master na studying room, 1 chini pamoja na kitchen, dining, sitting room na garage. Kwa hayo maesabu ya 160 mio, nimeishiwa nguvu kabisa. Endeleeni na michango wakuu.
      Mkuu kuna vitu nimeongeza kwenye post yangu ya kwanza nilivisahau na bado nimesahau vingine navyo ni:- Nimeshafanya wiring, nimeshaweka ceiling board (gypsum) na nimefanya plumbing pia nimelipia milango (mninga ambayo iko kwenye mahesabu). Kwahiyo vikubwa vilivyobaki ni kuweka aluminium windows, kuweka floor tiles, Kupaka rangi, kuweka vyoo na masinki na kuweka furnitures za jikoni. Kwa mahesabu ya haraka natakiwa nipate angalau kama milioni 40 hivi kazi iishe kabisa. Kwa ujumla mil. 200 zinaisha.
      Mkuu usiogope sana kwani gharama itapungua kama utaezeka kwa mabati na ukatumia kokoto za kawaida ila ngumu.
      Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34)

    15. #53
      rmashauri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Location : Ng'wanza Sukuma
      Posts : 2,864
      Rep Power : 1201
      Likes Received
      354
      Likes Given
      686

      Default Re: Msaada; Tshs 85Mil, inajenga Ghorofa??

      Quote By Karata
      Mkuu nimetafuta consultantions kutoka kwa wakandarasi, hiyo nyumba yako unayojenga (380 Square meter) ni kubwa mno kibongobongo na kama ukifanya masiahala utamaliza chenji zote. Kale kadream house kangu ni ka 250 Square meter tu.
      Mkuu kama ulikuwepo vile. Chenji imeisha kabisaaaaa na sasa najikusanya. Nikiona vipi itanibidi nichukue hata mkopo benki nimalizie. Mkuu na hapo niliipunguza maana mchoraji alinichorea eti ananiwekea family lounge juu nikamwambia toa. Pia vyumba vyote alivifanya self contained nikamwambia hapana. Kwahiyo chini kuna chumba kimoja (self contained), lounge, dining, jiko, stoo, choo cha public na laundry. Juu kuna vyumba 3 (kimoja ni master), choo cha public na study room.
      Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34)

    16. SMU
      #54
      SMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2008
      Location : Mavurunza
      Posts : 4,534
      Rep Power : 3811
      Likes Received
      1312
      Likes Given
      1916

      Default

      Quote By Sir. Burn
      Ramani ningeweza ku-attach hapa but sina soft copy yake.
      But Nyumba ni vyumba vinne vya kulala, viwili juu Na viwili chini.
      Library juu, wakati jiko Na stoo chini.
      Self container ni kimoja cha juu tu.
      Mkuu hii ni nyumba kubwa sana kuweza kuijenga kwa tzs 85m. Chumba cha kulala cha kawaida ni kama 12 sq na kama ni self container kitakuwa na angalau 16 sq m. Hivyo vyumba vinne vya kulala tu vitachukua karibu ukubwa wa 52 sq m. Choo na bafu za kushare juu na chini kwa pamoja vitachukua kama 9 sq m. Sebule ya kawaida itakuwa na ukubwa wa 20 sq m. Dining ya kawaida ukubwa wa 10 sq m. Jiko ukubwa wa 12 sq m na stoo ukubwa wa 9 sq m. Library nayo itachukuwa karibu 12 sq m. Kwa hiyo kwa jumla ni ukubwa wa 124 sq m. Corridors na vibaraza vingine vinaweza kuwa karibu 20% ya hii 124 sq m (i.e. about 24 sq m) na hivyo nyumba nzima kufikia karibu 150sq m. Sq m moja kuijenga mpaka kumaliza kwa kiwango cha chini kabisa sio chini ya laki sita! Ukitaka kiwango cha 'kawaida' sq m moja haiwezi kupungua laki nane. Tena hapa umebana haswa na kusimamia kwa sehemu kubwa wafanya mwenyewe.

      Kama una source nyingine ya funds si vibaya ukaanza na kiasi ulicho nacho kwani sio haba!

    17. #55
      rmashauri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Location : Ng'wanza Sukuma
      Posts : 2,864
      Rep Power : 1201
      Likes Received
      354
      Likes Given
      686

      Default Re: Msaada; Tshs 85Mil, inajenga Ghorofa??

      Quote By Karata
      Mkuu nimetafuta consultantions kutoka kwa wakandarasi, hiyo nyumba yako unayojenga (380 Square meter) ni kubwa mno kibongobongo na kama ukifanya masiahala utamaliza chenji zote. Kale kadream house kangu ni ka 250 Square meter tu.
      Mkuu kwa 250 sm ukiwa na Tshs. 150 mil. unamaliza vizuri kabisa. Omba tu nondo na simenti zisiendelee kupanda bei kwa kasi.
      Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34)

    18. #56
      Karata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2011
      Posts : 279
      Rep Power : 463
      Likes Received
      53
      Likes Given
      66

      Default Re: Msaada; Tshs 85Mil, inajenga Ghorofa??

      Quote By rmashauri
      Mkuu kwa 250 sm ukiwa na Tshs. 150 mil. unamaliza vizuri kabisa. Omba tu nondo na simenti zisiendelee kupanda bei kwa kasi.
      Mkuu nimepanga kujenga kwa awamu, nitajenga kwa awamu 5 na kila awamu nataka nitumie 30mio, yaani nitaanza na msingi wa gorofa pamoja na kupandisha kuta za ground floor 30 mio, awamu ya 2 nitamalizia kuta za ground floor na kumalizia zege la kuanza first floor na kupandisha kuta za first floor 30 mio. Awamu ya 3 nitaendelea na kumalizia kuta za first floor kisha nitaanza kuweka kazege sehemu dogo ya paa la first floor 30 mio. Awamu ya 4 nitaezeka vigae kwa sehemu ya paa la first floor na kufanya wiring, plumbing 30 mio. Mwisho nitaweka fremu za madirisha, milango, kupiga plasta, rangi, gymsam na kuweka PVC. kale ka 150 mio katakuwa kamekwishilia mbali.
      rmashauri likes this.

    19. #57
      rmashauri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Location : Ng'wanza Sukuma
      Posts : 2,864
      Rep Power : 1201
      Likes Received
      354
      Likes Given
      686

      Default Re: Msaada; Tshs 85Mil, inajenga Ghorofa??

      Quote By Karata
      Mkuu nimepanga kujenga kwa awamu, nitajenga kwa awamu 5 na kila awamu nataka nitumie 30mio, yaani nitaanza na msingi wa gorofa pamoja na kupandisha kuta za ground floor 30 mio, awamu ya 2 nitamalizia kuta za ground floor na kumalizia zege la kuanza first floor na kupandisha kuta za first floor 30 mio. Awamu ya 3 nitaendelea na kumalizia kuta za first floor kisha nitaanza kuweka kazege sehemu dogo ya paa la first floor 30 mio. Awamu ya 4 nitaezeka vigae kwa sehemu ya paa la first floor na kufanya wiring, plumbing 30 mio. Mwisho nitaweka fremu za madirisha, milango, kupiga plasta, rangi, gymsam na kuweka PVC. kale ka 150 mio katakuwa kamekwishilia mbali.
      Sawa mkuu. Ila awamu hiyo ya kwanza ni aghali zaidi ya hizo zinazofuata kwa maana utahitaji nondo za kutosha kusuka msingi na nguzo za kubeba hiyo first floor. Pia utahitaji simenti nyingi sana kumwaga jamvi na kujenga nguzo na kununua matofali ya kujengea msingi na kuinua hizo kuta za ground floor. Pia awamu zisiwe na interval kubwa sana maana bei za material zinabadlika kwa kasi mno. Huwezi kuamini nilianza na bei ya Tshs. 13500 na nikamaliza na bei ya Tshs 15,000 kwa mfuko wa kilo 50 wa simenti na ni ndani ya miezi kama 6 tu. Nondo nazo zilibadilikia bei mara kwa mara na zikavuruga makadirio kabisa hasa kipindi kile shilingi ilipokuwa inaporomoka kwa kasi hadi kufikia Tshs 1811 kwa USD 1.
      Otherwise I wish you all the best mkuu.
      Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34)

    20. #58
      Sting's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2011
      Location : Mafichoni
      Posts : 685
      Rep Power : 538
      Likes Received
      135
      Likes Given
      48

      Default

      Quote By King Kong III
      Block Gani? Plot No. Ngapi? Njoo Full Shangwe Jumamosi Unionyeshe kiwanja chako tuweze anza mchakato wa ujenzi.isije ikawa ni promo tu ya kutafutia wachumba kule love connect,mie nina kiwanja hapo kibada cha kupima,chako kipo maeneo gani ghorofa zipo nyingi pale!!
      Kipo block 10 mtu wangu,
      Jana nlienda kule vitu nlivyokuta ni balaa.
      Hata ikabidi nifikirie upya ramani nliyo nayo.
      Watu wamedondosha vitu vya kufa mtu

    21. #59
      Sting's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2011
      Location : Mafichoni
      Posts : 685
      Rep Power : 538
      Likes Received
      135
      Likes Given
      48

      Default

      Quote By SMU
      Mkuu hii ni nyumba kubwa sana kuweza kuijenga kwa tzs 85m. Chumba cha kulala cha kawaida ni kama 12 sq na kama ni self container kitakuwa na angalau 16 sq m. Hivyo vyumba vinne vya kulala tu vitachukua karibu ukubwa wa 52 sq m. Choo na bafu za kushare juu na chini kwa pamoja vitachukua kama 9 sq m. Sebule ya kawaida itakuwa na ukubwa wa 20 sq m. Dining ya kawaida ukubwa wa 10 sq m. Jiko ukubwa wa 12 sq m na stoo ukubwa wa 9 sq m. Library nayo itachukuwa karibu 12 sq m. Kwa hiyo kwa jumla ni ukubwa wa 124 sq m. Corridors na vibaraza vingine vinaweza kuwa karibu 20% ya hii 124 sq m (i.e. about 24 sq m) na hivyo nyumba nzima kufikia karibu 150sq m. Sq m moja kuijenga mpaka kumaliza kwa kiwango cha chini kabisa sio chini ya laki sita! Ukitaka kiwango cha 'kawaida' sq m moja haiwezi kupungua laki nane. Tena hapa umebana haswa na kusimamia kwa sehemu kubwa wafanya mwenyewe.

      Kama una source nyingine ya funds si vibaya ukaanza na kiasi ulicho nacho kwani sio haba!
      Kaka nimekupata sawia,
      So kwa mahesabu yako Nyumba hiyo inaweza kula minimum Tshs600,000 x 150Sqm = Tshs 90Mil.

      Mahesabu haya yanahusisha bati, plasta, plumbing, wiring, etc????

    22. SMU
      #60
      SMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2008
      Location : Mavurunza
      Posts : 4,534
      Rep Power : 3811
      Likes Received
      1312
      Likes Given
      1916

      Default Re: Msaada; Tshs 85Mil, inajenga Ghorofa??

      Quote By Sir. Burn
      Kaka nimekupata sawia,
      So kwa mahesabu yako Nyumba hiyo inaweza kula minimum Tshs600,000 x 150Sqm = Tshs 90Mil.

      Mahesabu haya yanahusisha bati, plasta, plumbing, wiring, etc????
      Yes, lakini kama nilivyosema hiyo ni ya ubora wa chini. Na pia huo ukubwa unaweza kuwa tofauti kutegemea na ramani yako ilivyo.
      "Rather than love, than money, than fame, give me truth" ----Thoreau

    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...