Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nataka kufa njaa na Dollar za Zimbabwe.

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      Eraldius's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2011
      Posts : 330
      Rep Power : 471
      Likes Received
      71
      Likes Given
      7

      Default Nataka kufa njaa na Dollar za Zimbabwe.

      Mwenye kujua. Wapi wanafanya Exchange ya hizi pesa hapa Mwanza? Nisaidie
      Last edited by Eraldius; 28th May 2012 at 11:29.


    2. #2
      Chasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th June 2011
      Posts : 3,252
      Rep Power : 1306
      Likes Received
      1298
      Likes Given
      271

      Default Re: Nataka kufa njaa na Dollar za Zimbabwe.

      Mkuu si kwamba kila mahali unaweza kubadilisha fedha za kigeni, na Kubadilisha fedha za kigeni kunategemeana na demand ya hizo pesa, hizo za Zimbabwe je zina demand? kuna wafanya biashara wanazihitaji kwa ajili ya kwenda kufanyia biashara zimbabwe? nazani jibu ni Hapana,

      Mkuu hata pesa kama za uganda inabadilishwa Tz kwa sababu tu tuko nao jirani, vinginevyo zisingekuwa na ishu kabisa, na pesa kama za Zambia, Malawi, Rwanda na kazalika hubadilishwa mipakani, na kwa sababu zimbabwe hatupakani nayo labuda ukabadilishie mpakani mwa Zambia na Zimbabwe au nenda Ubalozi wao Dar wanaweza kukusaidia, ila kwa hapo Mwanza ni vigumu sana,
      Maundumula likes this.

    3. KVM is offline
      KVM
      #3
      KVM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Posts : 489
      Rep Power : 520
      Likes Received
      189
      Likes Given
      72

      Default Re: Nataka kufa njaa na Dollar za Zimbabwe.

      Hakuna dola ya Zimbabwe. **** unayo dola ya Zimbabwe fanyia kitu chochote lakini siyo kusumbuka kuibadilisha kwani haina thamani kabisa. Zimbabwe walishaitosa na sasa wanatumia US Dollar, Suid Africa Rand, Botswana Pula, n.k.

    4. #4
      TWIZAMALLYA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : NG'WAMAGUNGULI
      Posts : 393
      Rep Power : 468
      Likes Received
      70
      Likes Given
      155

      Default Re: Nataka kufa njaa na Dollar za Zimbabwe.

      Quote By Eraldius View Post
      Mwenye kujua. Wapi wanafanya Exchange ya hizi pesa hapa Mwanza? Nisaidie
      Mimi nashauri uende zimbabwe ukakae kwa muda ukitafakari nini cha kufanya ukirudi TZ.huko utatumia hizo Zimdolla kiurahisi sana

      No man can stand on top because he is put there.
      H.H. Vreeland



    5. #5
      sawabho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2011
      Location : Miyakojima
      Posts : 1,835
      Rep Power : 788
      Likes Received
      430
      Likes Given
      121

      Default Re: Nataka kufa njaa na Dollar za Zimbabwe.

      Dola ya Zimbabwe !!!! Hapo kweli utakufa njaa, pole sana. Hiyo hainunuliwi hapo TZ, hata Mitcasi ya jirani zako Mozambique ukiwa nazo ni bure tu !!!
      INAWEZEKANA, TIMIZA WAJIBU WAKO


    6. #6
      Eraldius's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2011
      Posts : 330
      Rep Power : 471
      Likes Received
      71
      Likes Given
      7

      Default Re: Nataka kufa njaa na Dollar za Zimbabwe.

      Nashukuru kwa ushauri wenu.Ngoja nijipange.exchange rate of 27/05/2012 ZWD 1=TSH.4.18141 Ninayo ZWD 100000.

    7. KVM is offline
      KVM
      #7
      KVM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Posts : 489
      Rep Power : 520
      Likes Received
      189
      Likes Given
      72

      Default Re: Nataka kufa njaa na Dollar za Zimbabwe.

      Quote By Eraldius View Post
      Nashukuru kwa ushauri wenu.Ngoja nijipange.exchange rate of 27/05/2012 ZWD 1=TSH.4.18141 Ninayo ZWD 100000.
      Nakushauri usijisumbue. Hiyo pesa htaweza kununulia hata andazi mojja kule Zimbabwe kwenyewe.

    8. #8
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 12,385
      Rep Power : 5159
      Likes Received
      3342
      Likes Given
      2738

      Default

      Quote By Eraldius View Post
      Nashukuru kwa ushauri wenu.Ngoja nijipange.exchange rate of 27/05/2012 ZWD 1=TSH.4.18141 Ninayo ZWD 100000.
      Mkuu unatuyeyusha rate ya ukweli ni hii,fungu la mchicha zimbabwe ni 100mils ZMD na kwa bongo ni sh 200Tsh kwahyo 1Tsh=500,000ZMD,kwa kukurahisishia hyo laki moja yako ya zimbabwe ni sawa ni Shillingi tano ya Tanzania sasa sijui utanunua nini maana hata big G sh 50Tsh.

    9. #9
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 5,498
      Rep Power : 3214
      Likes Received
      1551
      Likes Given
      6739

      Default Re: Nataka kufa njaa na Dollar za Zimbabwe.

      Hizo ulitakiwa uziache Airport ungetoa TIP kwa wafanyakazi pale.

    10. #10
      Chief's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2006
      Posts : 960
      Rep Power : 860
      Likes Received
      99
      Likes Given
      232

      Default Re: Nataka kufa njaa na Dollar za Zimbabwe.

      Quote By Eraldius View Post
      Mwenye kujua. Wapi wanafanya Exchange ya hizi pesa hapa Mwanza? Nisaidie
      Hazija expire bado? Kwani najua kuwa huwa zina expiry date. Use By....


    11. #11
      papillon's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Posts : 113
      Rep Power : 387
      Likes Received
      25
      Likes Given
      6

      Default

      [QUOTE=Eraldius;3948302]Mwenye kujua. Wapi wanafanya Exchange ya hizi pesa hapa Mwanza? Nisaidie[/QUOTE

      Soma vizuri hizo noti zako inawezekana zime expire. Zina issue date na tarehe ya mwisho wa matumizi

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...