Mwenye kujua. Wapi wanafanya Exchange ya hizi pesa hapa Mwanza? Nisaidie
Mwenye kujua. Wapi wanafanya Exchange ya hizi pesa hapa Mwanza? Nisaidie
Last edited by Eraldius; 28th May 2012 at 11:29.
Mkuu si kwamba kila mahali unaweza kubadilisha fedha za kigeni, na Kubadilisha fedha za kigeni kunategemeana na demand ya hizo pesa, hizo za Zimbabwe je zina demand? kuna wafanya biashara wanazihitaji kwa ajili ya kwenda kufanyia biashara zimbabwe? nazani jibu ni Hapana,
Mkuu hata pesa kama za uganda inabadilishwa Tz kwa sababu tu tuko nao jirani, vinginevyo zisingekuwa na ishu kabisa, na pesa kama za Zambia, Malawi, Rwanda na kazalika hubadilishwa mipakani, na kwa sababu zimbabwe hatupakani nayo labuda ukabadilishie mpakani mwa Zambia na Zimbabwe au nenda Ubalozi wao Dar wanaweza kukusaidia, ila kwa hapo Mwanza ni vigumu sana,
Hakuna dola ya Zimbabwe. **** unayo dola ya Zimbabwe fanyia kitu chochote lakini siyo kusumbuka kuibadilisha kwani haina thamani kabisa. Zimbabwe walishaitosa na sasa wanatumia US Dollar, Suid Africa Rand, Botswana Pula, n.k.
Dola ya Zimbabwe !!!! Hapo kweli utakufa njaa, pole sana. Hiyo hainunuliwi hapo TZ, hata Mitcasi ya jirani zako Mozambique ukiwa nazo ni bure tu !!!
INAWEZEKANA, TIMIZA WAJIBU WAKO
Nashukuru kwa ushauri wenu.Ngoja nijipange.exchange rate of 27/05/2012 ZWD 1=TSH.4.18141 Ninayo ZWD 100000.
Hizo ulitakiwa uziache Airport ungetoa TIP kwa wafanyakazi pale.
[QUOTE=Eraldius;3948302]Mwenye kujua. Wapi wanafanya Exchange ya hizi pesa hapa Mwanza? Nisaidie[/QUOTE
Soma vizuri hizo noti zako inawezekana zime expire. Zina issue date na tarehe ya mwisho wa matumizi
Follow Us Here