Jumatano njema iwe kwenu wanajf kuna nyumba inauzwa arusha mjini eneo la matejoo. mita 300 kutoka barabara ya Arusha to Moshi. Nyumba ina pande mbili. upande wa kwanza una vyumba (4)single. upande wa pili una vyumba (4) dabo. nyumba ipo katika hali nzuri. bei milion 70 NB.NYUMBA HAINA MGOGORO WOWOTE WA KIFAMILIA NK. KWA ANAYEHITAJI ANI PM KWA MAELEZO ZAID.

Reply With Quote
Follow Us Here