Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: DECI DECI wazuiwa kukusanya mamilioni ya watz

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 32
    1. #1
      NgomaNzito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2008
      Posts : 513
      Rep Power : 683
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default DECI DECI wazuiwa kukusanya mamilioni ya watz

      Kuna tetesi kuwa ile Kampuni ya DECI (T) ltd imenyimwa kibali na Central Bank (BOT) cha kuanzisha Scheme nyingine inayoitwa Elimika Scheme inayohitaji mwanachama kutoa Sh milion tano upate sh. Milion 12.5 ndani ya wiki 22.
      Tetesi hizi zinadai pia Deci inaweza kuingizwa kwenye adminstration na central bank very soon baada ya kuonekana mabosi wake wanafuja fedha za wanachama kwenye scheme yao ya TRF ambapo mwanachama anapaswa atoe kati ya sh laki mbili apate laki tano. Kwa mwenye taarifa zaidi amwage hapa tuwajadili kwa watz wengi wamewekeza kwenye huu mfuko......
      No Wicked Heart Shall Prosper

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Lole Gwakisa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2008
      Posts : 2,959
      Rep Power : 1133
      Likes Received
      462
      Likes Given
      330

      Default Re: DECI DECI wazuiwa kukusanya mamilioni ya watz

      Hii thread inaweza kuwa mwendelezo wa thread kama hii siku za hivi karibuni.Basically DECI is a PYRAMID SCHEME na nitashangaa kama Benki Kuu itawaruhusu wasajiliwe, maana hakuna uzalishaji mali pale ni ujanja ujanja.
      Na njia rahisi kwa scheme kama hii kufa kabisa ni wanachama wote wadai fedha zao kwa mkupuo.
      Wanachama wanaweza kudai fedha zao kama hivi sasa ambapo kuna tetesi za ubadhirifu na ufujaji wa pesa za wanachama.
      Schemes za aina hii zimekuwepo siku nyingi na hazina mwisho mzuri-watu wanaishia kulia.

    4. #3
      bm21's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2008
      Location : Britain
      Posts : 777
      Rep Power : 718
      Likes Received
      2
      Likes Given
      15

      Default Re: DECI DECI wazuiwa kukusanya mamilioni ya watz

      Quote By NgomaNzito
      Kuna tetesi kuwa ile Kampuni ya DECI (T) ltd imenyimwa kibali na Central Bank (BOT) cha kuanzisha Scheme nyingine inayoitwa Elimika Scheme inayohitaji mwanachama kutoa Sh milion tano upate sh. Milion 12.5 ndani ya wiki 22.
      Tetesi hizi zinadai pia Deci inaweza kuingizwa kwenye adminstration na central bank very soon baada ya kuonekana mabosi wake wanafuja fedha za wanachama kwenye scheme yao ya TRF ambapo mwanachama anapaswa atoe kati ya sh laki mbili apate laki tano. Kwa mwenye taarifa zaidi amwage hapa tuwajadili kwa watz wengi wamewekeza kwenye huu mfuko......
      Mbona sijaifahamu scheme hii inaonekana ni poa kwa wajasiliamali kama ipo sustainable. Lakini sijaelewa unato milion 5 unapata milion 12 ndani ya 22 weeks. Wao wanawekeza wapi kuweza kuzalisha pesa ya kumlipa mteja pesa zote hizo. Inaonyesha wanakulipa riba 30% kwa mwezi, hata treasury bills hazina interest yaaina hiyo. Wanapaswa kuchunguzwa ili kujua machanics ya biashara yao.

    5. #4
      NgomaNzito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2008
      Posts : 513
      Rep Power : 683
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Re: DECI DECI wazuiwa kukusanya mamilioni ya watz

      Quote By bm21
      Mbona sijaifahamu scheme hii inaonekana ni poa kwa wajasiliamali kama ipo sustainable. Lakini sijaelewa unato milion 5 unapata milion 12 ndani ya 22 weeks. Wao wanawekeza wapi kuweza kuzalisha pesa ya kumlipa mteja pesa zote hizo. Inaonyesha wanakulipa riba 30% kwa mwezi, hata treasury bills hazina interest yaaina hiyo. Wanapaswa kuchunguzwa ili kujua machanics ya biashara yao.
      Kibali wlichonacho DECI ni kwa mwanachama kupanda si zaidi ya Sh laki mbili kwa mwanachama lakini wao wanawashurutisha wanachama wapande zaidi ya fedha hiyo na hapo ndio kilio kitakapotokea kwa wanachama wadanganyika

      Habari ndio hiyo.....
      No Wicked Heart Shall Prosper

    6. #5
      MKUDE WA MGETA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th September 2008
      Location : morogoro
      Posts : 27
      Rep Power : 551
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: DECI DECI wazuiwa kukusanya mamilioni ya watz

      mimi nionavyo deci ifutwe tu maana endapo watu wakidai kwa mkupuo watapelekwa mahakamani wale bwana

    7. Miaka 50

    8. #6
      babygirl's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 5th December 2008
      Posts : 7
      Rep Power : 534
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: DECI DECI wazuiwa kukusanya mamilioni ya watz

      Mh inatisha maana mimi nawafaham baadhi ya watu ambao wamejiunga na hiyo kampuni na wanasema wanavuna pesa ila mimi niliogopa kujiunga maana security yake siijui

    9. #7
      Tofty's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th November 2008
      Posts : 198
      Rep Power : 577
      Likes Received
      9
      Likes Given
      4

      Default Re: DECI DECI wazuiwa kukusanya mamilioni ya watz

      kusema ukweli mtu hawezi kuanzisha kitu kama hiki kama yeye hatajiriki nacho kwa hio kama watu ambao wamewekeza na wanasema kuwa wanavuna basi mabosi wa hio DECI watakuwa wavuna zaidi yao!

    10. #8
      Ngonalugali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2008
      Location : Western Block, Tz
      Posts : 760
      Rep Power : 732
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: DECI DECI wazuiwa kukusanya mamilioni ya watz

      Kuna habari kamii juu ya umri wa DECI Tz?
      Maana hicho kitu nimekisikia kwa mara ya kwanza wiki iliyopita pale nilipojiwa na mtu akiniambia kuna habari njema Tz (DECI) panda kidogo vuna kingi.

      Tuambieni wana umri gani tangu waanze biashara?

    11. #9
      Mwalimu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 1,171
      Rep Power : 783
      Likes Received
      249
      Likes Given
      669

      Default Re: DECI DECI wazuiwa kukusanya mamilioni ya watz

      Mnakumbuka miaka ya 90 kulikuwa na SPA (Self Pregressive Association)?

    12. #10
      Bulesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2008
      Posts : 3,347
      Rep Power : 1241
      Likes Received
      344
      Likes Given
      73

      Default Re: DECI DECI wazuiwa kukusanya mamilioni ya watz

      Hata mwaka jana au mwaka juzi kulikuwa na scheme kama hiyo ikiitwa WOMEN EMPOWERMENT ambayo iliwahusisha wanawake vigogo wengi[ Mmoja wao ndio sasa mwenyekiti wa mkoa UWT DSM] mwisho wa yote ikabidi wafikshane kwa Tibaigana!! Hizi pyramid schemes hutumika kuwadhulumu masikini kwahiyo wananchi lazima waelimishwe against this type of fraud.

    13. #11
      MwanaHaki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2006
      Posts : 1,413
      Rep Power : 1003
      Likes Received
      156
      Likes Given
      91

      Default Re: DECI DECI wazuiwa kukusanya mamilioni ya watz

      Hakuna kitu hapa, mimi niliwastukia hawa jamaa toka mwanzo, WIZI MTUPU! Kama unamjua mtu amewekeza mwambie akaondoe pesa zake haraka kabla jamaa hawajaishia na kulala mbele!
      Speaking Openly, without fear!

    14. #12
      Kokolo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th March 2008
      Posts : 246
      Rep Power : 623
      Likes Received
      19
      Likes Given
      0

      Default Re: DECI DECI wazuiwa kukusanya mamilioni ya watz

      Quote By NgomaNzito
      Kuna tetesi kuwa ile Kampuni ya DECI (T) ltd imenyimwa kibali na Central Bank (BOT) cha kuanzisha Scheme nyingine inayoitwa Elimika Scheme inayohitaji mwanachama kutoa Sh milion tano upate sh. Milion 12.5 ndani ya wiki 22.
      Tetesi hizi zinadai pia Deci inaweza kuingizwa kwenye adminstration na central bank very soon baada ya kuonekana mabosi wake wanafuja fedha za wanachama kwenye scheme yao ya TRF ambapo mwanachama anapaswa atoe kati ya sh laki mbili apate laki tano. Kwa mwenye taarifa zaidi amwage hapa tuwajadili kwa watz wengi wamewekeza kwenye huu mfuko......

      Hii ni sawa na PONZI SCHEME,ndugu Madolff (USA) Investors, anaanzisha kampuni anapata pesa nyingi toka kwa Investors wa Kwanza na kutengeneza mahesabu ya uwongo, Investors wa kwanza wanapata faida kubwa, wanaingia investors wa Pili, na watatu, pesa zinazotolewa na Investors wa tatu anawalipa investors wa Pili, wa tatu analipwa na wanne, mwisho zinafika 50billion usd, zote ninapotea kwa sababu ya financial crisis.

      Watch out hii ni kama ponzi scheme.

      "Ponzi" Schemes
      http://www.nytimes.com/2008/12/12/bu...er=rss&emc=rss

    15. #13
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,242
      Rep Power : 31389
      Likes Received
      9619
      Likes Given
      683

      Default Re: DECI DECI wazuiwa kukusanya mamilioni ya watz

      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    16. #14
      Zero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Posts : 304
      Rep Power : 632
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: DECI DECI wazuiwa kukusanya mamilioni ya watz

      Duh! This sounds like a deal to me. Ila kwa hali hii ya global credit crunch, hao jamaa wasije kuingia mitini na fedha za watu. Watu wawe makini kidogo. Hasa wale wenye kipato kidogo kama changu.
      A tree is always remembered by its fruits!

    17. #15
      NgomaNzito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2008
      Posts : 513
      Rep Power : 683
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Re: DECI DECI wazuiwa kukusanya mamilioni ya watz

      Quote By Nyani Ngabu
      Sasa Ngabu hapa tukueleweje? kuwa huyu dada kaibiwa na DECI anawaza fweza zake zilivyokwenda au hebu tufafanulie
      No Wicked Heart Shall Prosper

    18. #16
      Nyauba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 984
      Rep Power : 751
      Likes Received
      21
      Likes Given
      7

      Default Re: DECI DECI wazuiwa kukusanya mamilioni ya watz

      hawa deci deci jamani vyanzo vyao vya mapato ni nini?naomba waeleze ili wateja wajue na wawe na uhakika na fedha na riba zao.

    19. #17
      Msanii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2007
      Posts : 6,207
      Rep Power : 1927
      Likes Received
      210
      Likes Given
      249

      Default Re: DECI DECI wazuiwa kukusanya mamilioni ya watz

      Hivi hakuna jukwaa la uchumi?? naikubali hii thread ina taarifa muhimu ila in wrong varanda...
      " If you hear a voice within you say "you cannot paint", then by all means paint, and that voice will be silenced"
      [email protected]

    20. #18
      Nyauba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 984
      Rep Power : 751
      Likes Received
      21
      Likes Given
      7

      Default Re: DECI DECI wazuiwa kukusanya mamilioni ya watz

      hawa deci deci jamani vyanzo vyao vya mapato ni nini?naomba waeleze ili wateja wajue na wawe na uhakika na fedha na riba zao.

    21. #19
      Kaizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2008
      Posts : 14,061
      Rep Power : 21908
      Likes Received
      7047
      Likes Given
      7867

      Default Re: DECI DECI wazuiwa kukusanya mamilioni ya watz

      Naona bado kidogo watu waanze kulia. Nakumbuka ile hadithi ya nyani na wanunuzi wa nyani! Sasa wameshaanza kuadimika sasa

    22. #20
      Mwanaukweli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2007
      Posts : 1,701
      Rep Power : 2922
      Likes Received
      642
      Likes Given
      177

      Default Re: DECI DECI wazuiwa kukusanya mamilioni ya watz

      Quote By Kaizer
      Naona bado kidogo watu waanze kulia. Nakumbuka ile hadithi ya nyani na wanunuzi wa nyani! Sasa wameshaanza kuadimika sasa
      Thread nyingine ina mengi zaidi ya DECI. Link hii hapa BONYEZA

      Moderators mnaweza ziunganisha?

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Mamilioni ya DECI yalikuwa yanatunzwa ofisini-Shahidi
      By Rutashubanyuma in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 1
      Last Post: 18th March 2011, 16:35
    2. Deci
      By mpambanaji in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 28th January 2011, 11:39
    3. Deci ni kimeta?
      By ndume in forum Business & Economic Forum
      Replies: 3
      Last Post: 12th January 2011, 13:53
    4. Wahanga wa DECI
      By Bujibuji in forum Business & Economic Forum
      Replies: 12
      Last Post: 23rd July 2010, 13:16
    5. Mgonjwa wa DECI
      By Kandambilimbili in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 4
      Last Post: 20th April 2009, 19:23

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...