| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 4892
|
||||||||||||
|
#2
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Katika hali kama hii ni vipi wadau watahamasika kununua hisa za CRDB wakati ikiingizwa katika soko la hisa? Hizi ni weaknesses ambazo bila ya kutafutiwa ufumbuzi zita-cast a shadow of doubt kwa customers kama pesa yao iko safe. Can U please educate me on this?
|
|
#3
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Kuna wakati server ya crdb inayohusiana na hiyo ili crash watu wa nchi nyingi za asia walikuwa wanatoa pesa tu kwa wale waliokuwa wanajua jamaa walikaa kama siku 4 hivi mpaka mtaalamu wao walipokuja toka majuu
walahi kazi ipo nakwambia |
|
#4
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Wadau naomba mtufahamishe vizuri, je ni wakati gani unapoweza ama kuruhusu au kuzuia kadi yako kuweza kutumika mtandaoni je nipale unapo apply for the new card au wakati wa kuichukua? nimeomba kadi crdb baada ya niliyokuwa nayo ku-expire.
|
|
#5
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Wanaangalia kama benki inapata faida mwanawane. Na inapata faida. Kumbuka pesa zikiibwa hapo, ni zako ndio zimeubwa, wewe ndio umepata hasara sio wao ... tena wao watakuwa wametengeneza mapata kidogo kwa transaction hiyo ya wizi ... sasa sioni kwa nini hata wewe usiende wekeza huko :-)
__________________
There are only 10 types of people in the world. Those that understand binary, and those that don't. |
|
#6
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Nadhani baada ya kugundua hizo loopholes ndio wakaweka utaratibu wa kukusainishe wewe makubaliano ambayo yanaiondolea CRDB wajibu wowote wa kukuhakikishia usalama wako, na hivyo hata ukiibiwa ni juu yako. Kwa hiyo ukipata kadi yako mpya hutaweza kuitumia mtandaoni mpaka usaini kale kamkataba kao. Kwa hiyo uko salama mpaka pale utakapotia saini kale kamkataba kalikokaa upande.
__________________
There are only 10 types of people in the world. Those that understand binary, and those that don't. |
|
#7
|
|||||||||||||||
|
|||||||||||||||
CRDB VISA CARD haiwezi kuwa tofauti na hizi incidences. Ni pro and cons za technology. technology Inaweza kukubamiza au kukunyanyua. |
|||||||||||||||
|
#8
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Thanks Manitoba, itakuwaje kutumia kadi yako kwa single transactions-yaani ukitaka kununua kitu kwenye mtandao unacharge akaunti yako na fedha zile tu zinazohitajika?
Nimeona wengine wanatumia mtindo huu, imekaaje hapo mkuu! |
|
#9
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Sasa naomba nikupe fact mbili tatu ambazo pengine zitakubadili mawazo. Kwa wenzetu interests za mwenye kadi zinakuwa protected. Kwengine kunakuwa na jinsi ambayo mwenye kadi anaweza kuilalamikia transaction ambayo hakufanya yeye, na issuer wa card yake akaissue kitu chaitwa "charge back" ambapo mwenye kadi anarudishiwa pesa yake, na mtua huduma anakatwa hiyo pesa. Kwenye sehemu zenye utaratibu huu, anayeumia ni mtoa huduma na si mwenye kadi. Kwa hiyo hayo mabilioni unayoyatolea macho ni hasara zaidi kwa mtoa huduma kuliko kwa mwenye kadi. Utaratibu huo unahakikisha kwamba mtoa huduma anajiridhisha kwamba hiyo kadi ni halali na mtumiaji wake ni halali. Na njia za kufanya hivyo kwa kutumia technolojia hiyo hiyo zipo, na zinatumika huku duniani: si mapambo. Tofauti ya CRDB card hapa nikwamba mtu akitumia card yako ya CRDB, na ukaona transaction ambayo hukuifanya wewe, huna pa kulalamika. Maana yake CRDB ni kama wanasema ukiibiwa ni shauri yako. Yaani inawezekana hata kumtafuta mwizi wasikusaidie. Wakati kwa wenzetu ukiibiwa aliyesaidia wizi ndio anabanwa. Umeona hiyo tofauti?
__________________
There are only 10 types of people in the world. Those that understand binary, and those that don't. |
|
#10
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Ninachosema hapa ni kwamba CRDB wamejitoa kwenye tatizo lolote litakalotokea kwa matumizi ya kadi yako. Kitu ambacho ni tofauti na kwa wenzetu kwa jinsi ninavyofahamu mimi. Hiyo inafanya matumizi ya hii card yawe na risk zaidi. Yaani hata kama kosa ni lakwao bado hakuna wa kukusaidia. Kwa mfano ukinunua kitu online halafu kwa bahati mbaya anayekuuzia akatoa fedha zaidi ya zile alizotakiwa kutoa. Halafu kwa bahati mbaya akawa anasuasua kukurudishia fedha zako. Hapo utakuwa huna jinsi ila kukubali umeliwa kimachomacho. Lakini kwa wenzetu kuna taratibu za kupinga transaction ambayo si sawa au si halali, na mwenye kadi waweza kurudishiwa pesa ambazo hukutakiwa kukatwa. Kwa CRDB inaonekana hakuna kitu kama hicho. Sisemi kwamba CRDB wanatakiwa waweke utaratibu kama huo. Ila nasema wewe mtumiaji ujue hali ilivyo, usije ukang'atwa siku ndio ukaanza kutoa macho na kuwa mkali na CRDB.
__________________
There are only 10 types of people in the world. Those that understand binary, and those that don't.
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 08:37 AM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||