CRDB Visa Card: Utata wa matumizi yake mtandaoni - Page 4 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Business & Economic Forum


Business & Economic Forum This' a place where contributors with an interest in business or economics can "meet" and discuss issues of importance to the business and economics matters. Register to comment here!


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 19th January 2009, 11:05 AM  
CRDB Visa Card: Utata wa matumizi yake mtandaoni
Manitoba Manitoba is offline 19th January 2009, 11:05 AM

Kama una CRDB Visa Card, na ulikuwa unafikiria kuitumia kwenye internet, basi usithubutu kutia sahihi kuiwezesha kutumika mtandaoni (ila kama tu unajua unachokifanya).

CRDB wametoa card mpya zenye nembo ya visa, ambayo wanatangaza kwamba unaweza kununulia vitu mtandaoni. Inaonekana kama ni bonge la wazo mpaka pale utakapogundua jinsi gani zisivyo salama hata kiduchu.

Mtu yeyote mwenye namba ya kadi yako, pamoja na vile vinamba vitatu vya "usalama" vilivyo nyuma, anaweza kuitumia hiyo kadi yako kwenye mtandao bila tatizo lolote. Kwa hiyo ukiitumia kwenye tovuti ambayo si salama, basi ni kama umegawa namba yako kwa watu wengine kujihudumia.

Pia ukiisahau kadi yako mezani, na mtu/rafiki yako/mtoto wako mtukutu/mpenzi wako/secretary wako akapata mda wa kunakili pembeni hizo namba zako, basi pia inakuwa imekula kwako.

Kama ulikuwa unafikiria ile pin yako, basi sahau maana haina kazi kwenye mtandao.

Address Verification
Unaweza ukawa unajiuliza mbona kuna watumiaji wengi tu wa credit cards duniani na wasiwe na wasiwasi hivyo?

Moja ya njia ambayo huwa inatumika kupunguza wizi wa kutumia kadi za wengine ni kufanya uhakiki wa anuani. Kiasi kwamba mtu akiweka oda ya kitu basi oda yake itakubaliwa na kadi kutumika ikiwa tu anuani ya ambapo vitu vya kwenye oda hiyo vitatumwa ni sawa na anuani ya mwenye kadi.

Kwa CRDB hii feature wameifinya, kiasi kwamba mtu yeyote duniani anaweza kutumia kadi yako na kununua na kutuma vitu vyake sehemu yoyote duniani anavyotaka.

Paypal
Kutumia site kama www.paypal.com inaweza kusaidia kuondoa uwezekano wa mtu kukuibia namba za kadi yako online.

Kujiunga kadi yako na paypal sio tatizo, tatizo ni jinsi ya paypal kuihakiki kwamba kweli ni ya kwako.

Paypal wanachofanya ni kukuchaji fedha kidogo (wastani wa 2,000TZS), halafa katika muamala huo wanaweka namba ya siri fulani. Sasa wewe inabidi uangalie statement yako kutoka benki, uione hiyo namba, halafu uwape paypal. Assumption hapo ni kwamba hakuna mtu mwingine anaweza kuona statement yako zaidi ya wewe.

Sasa ndani ya paypal unaweza ukakamilisha taratibu. Ukija CRDB ili kupata tu details za hiyo transaction, jasho litakutoka. Inaweza ukadhani ni kitu simple tu kupata details za transaction (hata mimi nilifikiria hivyo), lakini amini usiamini utashangazwa ... Nimefanya si chini ya trip 10 kwenda CRDB kwa ishu hiii, usihesabu simu, na nimetoka kupiga nyingine sasa hivi ... lol ...

Ningetakiwa niwe nimeshakata tamaa ila tu nataka tu nifuatilie mpaka mwisho waniambie inawezekana au haiwezekani.

Ila kama huu ndio utaratibu, sioni ni jinsi gani wataweza kuwahudumia wateja hata 100 tu wanaotaka kujiunga na paypal. Achilia mbali kwamba hawa watu 100 inabidi wapige kwata CRDB more that 10 times, halafu wawe wanapiga simu mara kwa mara kuwakumbushia CRDB case zao. Na mara nyingi watu unaoongea nao CRDB hata hawaelewi unazungumzia nini.

Makubaliano yako na CRDB ni soo
Ili kuiruhusu kadi yako kutumika online, itabidi utie saini makubaliano yako na CRDB, ambayo yanavipengele ambavyo vinaiondolea CRDB jukumu lolote la kukuhakikishia usalama wako unpotumia kadi yako kwenye mtandao. Kwa hiyo ukiwa online na kadi yako, jua you are on your own.

Kwa watumiaji wengine duniani kuna taratibu za jinsi ya mtu kupinga kuchajiwa transaction ambazo hujazifanya wewe. Na kuna taratibu za jinsi gani utarudishiwa pesa zako.

Mpkataba wa CRDB hauoneshi kama kuna kitu kama hicho. Kwa hiyo mtu akipata details za kadi yako, siku zote itakuwa inakula upande wako.

Kwa hiyo baada ya kuutia saini tu nimehakikisha kadi yangu haiondoki machoni pangu, na pia nahakikisha akaunti hiyo ya CRDB haina vijisenti vingi ... mpaka ntakapomaliza hii exercise.

Hitimisho
Sasa hivi unaweza kutumia kadi yako ya CRDB kwenye mtandao, lakini you do it at your own risk, tena risk kubwa tu.

Kinachonitisha ni kwamba kama kadi yako imewezeshwa kutumika kwenye internet, mtu hana haja ya kukuibia kadi nzima kwa sababu utashtuka, utaripoti, na kadi itafungwa. Anachotakiwa kufanya ni kupata namba za kadi zilizopo mbele, na vile vijinamba vitatu vilivyopo nyuma ya kadi, na inakula upande wako kimya kimya.

Kama umeiwezesha kadi yako kutumika kwenye mtandao, na kama vijinsenti vyako kwenye akaunti yako sio vidogo, na kama huwezi kuitunza details za kadi kiasi hicho, ni vyema ungewaambia waizibe isitumike kwenye mtandao ... or u may have to learn the hard way.
__________________
There are only 10 types of people in the world. Those that understand binary, and those that don't.

Manitoba
Senior Member
Points: 108,272, Level: 100 Points: 108,272, Level: 100 Points: 108,272, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Tue Jul 2008
Posts: 244
Thanks: 17
Thanked 10 Times in 7 Posts
Views: 4889
Reply With Quote
  #31  
Old 22nd January 2009, 09:39 AM
Manitoba Manitoba is offline
Manitoba has no status.
Senior Member
Points: 108,272, Level: 100 Points: 108,272, Level: 100 Points: 108,272, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Jul 2008
Posts: 244
Thanks: 17
Thanked 10 Times in 7 Posts
Rep Power: 22
Manitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enough
Default Re: CRDB Visa Card: Usithubutu kuitumia kwenye Mtandao

Quote:
View Post
Aisii hongera sana muheshimiwa, inaonekana umepigana vita kubwa tofauti yako na mimi ni kuwa wewe umeishinda, mimi imenishinda kabisa!! kila nikijaribu kununua kitu online inaniambia kuwa hakuna communication na bank, nifanyeje ndugu ili nami nifanikiwe? nina midude kibao ya kununua lakini ndo hivo tena kadi inagoma. plz help me out!!
Ningekushauri ufungue akaunti ya paypal.com . Halafu tumia paypal kwa manunuzi kadiri inavyowezekana. Kama unajua unachokifanya, tumia kadi yako moja kwa moja.

Hilo swala la kutokuwa na communication na bank, nadhani na natumani ni la mda mfupi. Kama ukijaribu kwa wiki mbili bado inagoma, huna jinsi bali kuwaona CRDB. Ukiona wanakusumbua sana na hata wao inawachanganya, waombe wakubadilishie kadi. Mimi it took ages na trip kadhaa kwenda CRDB ili kuja kuambiwa kwamba hiyo card ndio tatizo.

Katika process ya kufungua na ku-verify kwa paypal utaweza kujua kama kadi yako inafanya kazi ama la.

Wakati wa kuverify, paypal wanatoa fedha kidogo (wastani wa 2,500TZS) kutoka kwenye account yako, na inabidi utafute details za hiyo transaction ili upate code flani humo ambayo utaitumia kuverify kwamba hiyo ni account yako. Wakiweza kutoa hiyo, then utajua kwamba inawezekena kutumia kadi yako. Baada ya hapo, nenda CRDB omba statement yako, watakukata 5,000TZS, na omba mungu uikute hiyo transaction na details zake.

Mimi inakuwa ngumu, maana transaction yangu haina details zozote. Lakini kuna mtu nilikuwa naasiliana naye jana yeye ameweza, na details za hiyo transaction alizipata kwenye statement yake. Kwa hiyo labda mimi ndio nina mkosi, au kuna kamkono ka mtu kananiwekea kamtimanyongo :-)

Ukifanikiwa tustue tujue kwamba inawezekana kweli.
__________________
There are only 10 types of people in the world. Those that understand binary, and those that don't.
Reply With Quote
  #32  
Old 22nd January 2009, 10:01 AM
Mwanjelwa Mwanjelwa is offline
Mwanjelwa Msema kweli kulingana na muda uliopo.
JF Senior Expert Member
Points: 136,339, Level: 100 Points: 136,339, Level: 100 Points: 136,339, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sun Jul 2007
Location: Chenorbly
Posts: 520
Thanks: 17
Thanked 25 Times in 17 Posts
Rep Power: 24
Mwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enough
Default Re: CRDB Visa Card: Usithubutu kuitumia kwenye Mtandao

[QUOTE=Manitoba;361496]Inawezekana sijaenda hata shule kaka ... lol ... I am fine with that ... Ila turudi kwenye mada ...

Suala la shule kwa hapo ulivyoliweka ni defensive tu. Sijasema hujaenda shule na sina shaka usingekuwepo hapa kwenye forum. Nimeongelea shule na experience. Ni kawaida kabisa. Ukisoma vema ile website utapa info zaidi kuhusu CC fraud and control zake.

Heading yako ya thread inasema kila kitu; kwamba tusitumie CRDB Visa card!. Au sijakuelewa? Maana unasisitiza kuwa hujashauri tuziache! Muhimu zaidi ni kukumbuka kuwa CRDB bank wako katika hatua ambazo ni muhimu kuwasaidia kuweza ku-improve zaidi na zaidi. So far hakuna hilo tatizo lako unalosema kwa CRDB kwa upande wangu. Naamini likitokea litashughulikiwa na siku zote events huwa zina-define future.

Sisi/mimi kama m/wateja wa CRDB, kila wakati kama kuna tatizo lolote nina/tuna-report mara moja. Wao kama bankers bila shaka wanashughukia ku-improve products and services kila siku, week, mwezi na mwaka. Hawajalala kama unavyosema na kudai kuwa ni bora ulalamike ili wai-improve! They work around the clock. Naamini hata thread yako wameisoma tayari na wanaifanyia kazi.

Hii siyo time ya kusema usithubutu kutumia CRDB Visa kwenye mtandao wakati wenzako tunatumia. Business zetu ziko TZ na transactions zinafanyika TZ kwa hii bank. Tunaiamini sana, tena kutokana na uzoefu. Nabakia kukushangaa daima unapoleta propaganda zako hapa kuhusu CRDB Visa! Kama umesoma vema posts zangu kwenye hii thread yako, hii ndiyo message yangu kubwa.
Reply With Quote
  #33  
Old 22nd January 2009, 11:53 AM
Manitoba Manitoba is offline
Manitoba has no status.
Senior Member
Points: 108,272, Level: 100 Points: 108,272, Level: 100 Points: 108,272, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Jul 2008
Posts: 244
Thanks: 17
Thanked 10 Times in 7 Posts
Rep Power: 22
Manitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enough
Default Re: CRDB Visa Card: Usithubutu kuitumia kwenye Mtandao

Quote:
View Post
Quote:
View Post
Inawezekana sijaenda hata shule kaka ... lol ... I am fine with that ... Ila turudi kwenye mada ...
Suala la shule kwa hapo ulivyoliweka ni defensive tu. Sijasema hujaenda shule na sina shaka usingekuwepo hapa kwenye forum. Nimeongelea shule na experience. Ni kawaida kabisa. Ukisoma vema ile website utapa info zaidi kuhusu CC fraud and control zake.

Heading yako ya thread inasema kila kitu; kwamba tusitumie CRDB Visa card!. Au sijakuelewa? Maana unasisitiza kuwa hujashauri tuziache! Muhimu zaidi ni kukumbuka kuwa CRDB bank wako katika hatua ambazo ni muhimu kuwasaidia kuweza ku-improve zaidi na zaidi. So far hakuna hilo tatizo lako unalosema kwa CRDB kwa upande wangu. Naamini likitokea litashughulikiwa na siku zote events huwa zina-define future.
Asante kaka.

Umesoma heading yangu. Vizuri! Pengine ina utata. Umesoma na paragraph ya kwanza?

Paragraph ya kwanza ina kimstari kinasema "ila kama tu unajua unachokifanya". Niliona kama vile ningeiongezea hiyo kwenye heading, heading ingekuwa ndefu sana. Nakubali kwamba hiyo heading inaweza ikawa ina-misslead. Samahani kwa hilo, na paragraph ya kwanza inaonyesha kwamba sikukusudia ku-misslead!

Unasema kwamba hakuna tatizo na likitokea litashughulikiwa, wakati mimi nina kitatizo hapa na inachukua miezi kupatiwa ufumbuzi. Vipi mzee? Kama uko CRDB niambie ntapenda nije unisaidie wewe hilo tatizo langu. Na kama tatizo hapo ni mimi, basi ntakuwa tayari uniambie hivyo, na uniambie kosa langu. Niambie tawi unalofanyia kazi ni lipi, hata kama liko nje ya dar, ntakuja.

Sawa siwezi kusema kwamba "CDRB yakitokea matatizo yanachukua miezi kushughulikiwa" kwa sababu langu ni moja, na pengine yapo mengine yanashughulikiwa haraka. Lakini wewe kusema "likitokea litashughulikiwa" unasound kama mtu wa PR wa CRDB zaidi kuliko mtu aliyetayari kuuona na kuutambua ukweli.

Quote:
View Post
Sisi/mimi kama m/wateja wa CRDB, kila wakati kama kuna tatizo lolote nina/tuna-report mara moja. Wao kama bankers bila shaka wanashughukia ku-improve products and services kila siku, week, mwezi na mwaka. Hawajalala kama unavyosema na kudai kuwa ni bora ulalamike ili wai-improve! They work around the clock. Naamini hata thread yako wameisoma tayari na wanaifanyia kazi.
Hata mimi ni mteja wa CRDB. Na sijasema kama wamelala. Implications za kitu nilichoandika zipo nyingi, sijui nini kimekufanya uchague kwamba nimesema wamelala. Implecation nyingine kwa mfano inaweza ikawa kwamba wako busy sana, na priority zao ziko kwenye kingine na sio hiki.

Hata mimi huwa naripoti moja kwamoja, na hili limenichukua miezi mitatu na halina ufumbuzi. Labda mimi ndio nina mkosi basi. Au labda mimi akaunti yangu haipo katika hiyo plan ya "siku, week, mwezi na mwaka".

Sio kwamba nawaambia CRDB "wanatakiwa wafanye nini", kwasababu wanajua options zilizopo na wakaamua kuchagua walizochagua. Nawaambia watumiaji wenzangu "CRDB hawajafanya nini", na nikiwa naamini kwamba information hiyo itakuwa muhimu kwa watumiaji wenzangu, ili wajue kuna risk kiasi gani; risk ambazo CRDB hawajawaambia. Kama unadhani nimeongea uongo sema.

Kila mtu works arround the clock. Hata mimi katika kazi zangu I work arround the clock. Hilo sio swala hapa. Kama nikiona tatizo nitajaribu kulisema. Kama unadhani sio tatizo sema, usiniambie people work arround the clock; we all do work around the clock.

Na usiniambie kwamba thread hii wameisoma wakati nimetoka kuongea na jamaa wa card center sasa hivi tu. Na story ni tofauti na unayoongea wewe. Kama wewe ni shareholder wa CRDB, basi nawapongeza kwa kazi nzuri. Lakini usiniambie niridhike tu kwa sababu umesoma hii thread, na tatizo langu bado ninalo.

Quote:
View Post
Hii siyo time ya kusema usithubutu kutumia CRDB Visa kwenye mtandao wakati wenzako tunatumia. Business zetu ziko TZ na transactions zinafanyika TZ kwa hii bank. Tunaiamini sana, tena kutokana na uzoefu. Nabakia kukushangaa daima unapoleta propaganda zako hapa kuhusu CRDB Visa! Kama umesoma vema posts zangu kwenye hii thread yako, hii ndiyo message yangu kubwa.
Naanza kuwa na wasiwasi kama unaelewa jinsi transaction za hizi kadi zinavyofanya kazi kuanzia unapo-place order yako, mpaka pesa zinapotolewa kwenye account yako. Ungekuwa unaufahamu angalau kiduchu, usingesema kwamba "transactions zinafanyika TZ kwa hii bank" tu, kwa sababu story ni pana kuliko hivyo. Sasa hivi nimetoka kuongea na mtu wa card center CRDB na anasema kwamba transaction huwa zinafanyika kwingine, na CRDB huwa inakuwa notified, na saa nyingine inakuwa notified later. Na huo utaratibu ndio chanzo cha tatizo la transaction yangu ya paypal. Halafu wewe unaniambia kwamba "transactions zinafanyika TZ kwa hii bank".

Kama umechukulia hizo ni propaganda, naomba nisamehe. Naomba nikuhakikishie sina maslahi yoyote na CRDB kupigiwa propaganda hasi. Cha msingi ni kwamba kama kuna sentensi ambayo nimeiandika na ni ya uongo niambie, kama vile mimi ninavyokuambia unapokuwa umeandika sentensi ambayo si ya ukweli. Mtu akisema "pale mlimani branch ya CRDB kuna msururu mpaka nje" sio propaganda ni statement of fact. Ila mtu akisema "usijali huo msururu, situation ita-improve tu with time" hiyo ndiyo propaganda kwa sababu kuna uwezekano haina msingi wowote wa ukweli, na inakuwa propaganda kwa hakika pale aliyotoa hiyo statement anapokua mkali akionyeshwa kwamba pengine statement yake haijalalia kwenye ukweli.

Kama umekasirika samahani kaka. :-) Lakini habari ndio hiyo, kwamba there are unhappy customers out there. Na wewe kuwa happy customer sio sababu tosha ya kumlazimisha kila mtu awe happy customer. Take it or leave it.
__________________
There are only 10 types of people in the world. Those that understand binary, and those that don't.
Reply With Quote
  #34  
Old 22nd January 2009, 09:41 PM
Obhusegwe's Avatar
Obhusegwe Obhusegwe is offline
Obhusegwe is a Milo Rambaldi follower
Senior Member
Points: 97,275, Level: 100 Points: 97,275, Level: 100 Points: 97,275, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Dec 2008
Posts: 161
Thanks: 43
Thanked 12 Times in 9 Posts
Rep Power: 22
Obhusegwe will become famous soon enoughObhusegwe will become famous soon enoughObhusegwe will become famous soon enoughObhusegwe will become famous soon enoughObhusegwe will become famous soon enoughObhusegwe will become famous soon enoughObhusegwe will become famous soon enoughObhusegwe will become famous soon enough
Cool Re: CRDB Visa Card: Usithubutu kuitumia kwenye Mtandao

Quote:
View Post
Ningekushauri ufungue akaunti ya paypal.com . Halafu tumia paypal kwa manunuzi kadiri inavyowezekana. Kama unajua unachokifanya, tumia kadi yako moja kwa moja.

Hilo swala la kutokuwa na communication na bank, nadhani na natumani ni la mda mfupi. Kama ukijaribu kwa wiki mbili bado inagoma, huna jinsi bali kuwaona CRDB. Ukiona wanakusumbua sana na hata wao inawachanganya, waombe wakubadilishie kadi. Mimi it took ages na trip kadhaa kwenda CRDB ili kuja kuambiwa kwamba hiyo card ndio tatizo.

Katika process ya kufungua na ku-verify kwa paypal utaweza kujua kama kadi yako inafanya kazi ama la.

Wakati wa kuverify, paypal wanatoa fedha kidogo (wastani wa 2,500TZS) kutoka kwenye account yako, na inabidi utafute details za hiyo transaction ili upate code flani humo ambayo utaitumia kuverify kwamba hiyo ni account yako. Wakiweza kutoa hiyo, then utajua kwamba inawezekena kutumia kadi yako. Baada ya hapo, nenda CRDB omba statement yako, watakukata 5,000TZS, na omba mungu uikute hiyo transaction na details zake.

Mimi inakuwa ngumu, maana transaction yangu haina details zozote. Lakini kuna mtu nilikuwa naasiliana naye jana yeye ameweza, na details za hiyo transaction alizipata kwenye statement yake. Kwa hiyo labda mimi ndio nina mkosi, au kuna kamkono ka mtu kananiwekea kamtimanyongo :-)

Ukifanikiwa tustue tujue kwamba inawezekana kweli.
Ahsante mkuu kwa ushauri wako,

Nimefungua Paypal account, nikajaribu kuverify kwa kutumia hiyo kadi ya CRDB, lakini imekataa wananipa message hii ''We were unable to verify this credit card. Please check if the information you entered is correct. Please also make sure your credit card billing address matches your paypal street address''

Nimejaribu kurudiarudia mara kwa mara lakini bado message inakuja ileile, nahisi hii kadi itakuwa haiwi recognized online, naomba ushauri kwa hili, au niwaendee hawa jamaa wa CRDB nione kama watajaribu kurekebisha?
Reply With Quote
  #35  
Old 11th February 2009, 11:25 AM
Manitoba Manitoba is offline
Manitoba has no status.
Senior Member
Points: 108,272, Level: 100 Points: 108,272, Level: 100 Points: 108,272, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Jul 2008
Posts: 244
Thanks: 17
Thanked 10 Times in 7 Posts
Rep Power: 22
Manitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enough
Default Re: CRDB Visa Card: Usithubutu kuitumia kwenye Mtandao

Quote:
View Post
Ahsante mkuu kwa ushauri wako,

Nimefungua Paypal account, nikajaribu kuverify kwa kutumia hiyo kadi ya CRDB, lakini imekataa wananipa message hii ''We were unable to verify this credit card. Please check if the information you entered is correct. Please also make sure your credit card billing address matches your paypal street address''

Nimejaribu kurudiarudia mara kwa mara lakini bado message inakuja ileile, nahisi hii kadi itakuwa haiwi recognized online, naomba ushauri kwa hili, au niwaendee hawa jamaa wa CRDB nione kama watajaribu kurekebisha?
Kaka hapo kama bado unahamu ya kutumia hiyo kadi ya CRDB inabidi uwe mvumilivu kwel kweli. Uwezokano mkubwa hapo tatizo lipo CRDB. My guess itakuwa kwamba hiyo kadi haijawa activated kwa ajili ya internate. Unauhakika kwamba iko activated? Na ulijaza kale kamkataba?

Nenda CRDB, hasa pale Azikiwe, waelezee Tatizo. Ukiona hamuelewani, waambie wakuunganishe na jamaa wa Card Center. Ukiongea na jamaa wa card center wasisitizie hiyo message, maana saa nyingine hata wao wanakuwa hawaelewi. Jibu watakalokupa, lipost hapa tafadhali.

Hatimaye mimi nimefanikiwa baada ya miezi kadhaa ya kupiga kwata na kupiga simu CRDB. Na tatizo lilikuwa kwamba system zao zilijikoroga, transaction ile ya paypal yenye verification code haikufanyika automatically, ikabidi ifanywe manually. Na mtu aliyefanya manually hakuona kwamba zile zina umuhimu wowote, akaziachilia mbali. Kwa hiyo hata kama ningekuwa natumia online account, nisingeweza kuona chochote.

Chakushangaza ni kwamba mtu wa mwisho niliyeongea naye aliyenitatulia tatizo haikumchukua hata masaa mawili kutrace hizo information kwenye intermediate servers. Sasa sijui siku zote nilikuwa naongea na vilaza ama nilikuwa nawakuta kwenye bad-mood, au nilitakiwa niwahonge ... sijui. Inawezekana mimi ndio mwenye mkosi ...
__________________
There are only 10 types of people in the world. Those that understand binary, and those that don't.
Reply With Quote
  #36  
Old 11th February 2009, 05:40 PM
BabaDesi BabaDesi is offline
BabaDesi has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 135,810, Level: 100 Points: 135,810, Level: 100 Points: 135,810, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sat Jun 2007
Posts: 641
Thanks: 114
Thanked 54 Times in 36 Posts
Rep Power: 24
BabaDesi will become famous soon enoughBabaDesi will become famous soon enoughBabaDesi will become famous soon enoughBabaDesi will become famous soon enoughBabaDesi will become famous soon enoughBabaDesi will become famous soon enoughBabaDesi will become famous soon enoughBabaDesi will become famous soon enough
Default Re: CRDB Visa Card: Usithubutu kuitumia kwenye Mtandao

Quote:
View Post
Kaka hapo kama bado unahamu ya kutumia hiyo kadi ya CRDB inabidi uwe mvumilivu kwel kweli. Uwezokano mkubwa hapo tatizo lipo CRDB. My guess itakuwa kwamba hiyo kadi haijawa activated kwa ajili ya internate. Unauhakika kwamba iko activated? Na ulijaza kale kamkataba?

Nenda CRDB, hasa pale Azikiwe, waelezee Tatizo. Ukiona hamuelewani, waambie wakuunganishe na jamaa wa Card Center. Ukiongea na jamaa wa card center wasisitizie hiyo message, maana saa nyingine hata wao wanakuwa hawaelewi. Jibu watakalokupa, lipost hapa tafadhali.

Hatimaye mimi nimefanikiwa baada ya miezi kadhaa ya kupiga kwata na kupiga simu CRDB. Na tatizo lilikuwa kwamba system zao zilijikoroga, transaction ile ya paypal yenye verification code haikufanyika automatically, ikabidi ifanywe manually. Na mtu aliyefanya manually hakuona kwamba zile zina umuhimu wowote, akaziachilia mbali. Kwa hiyo hata kama ningekuwa natumia online account, nisingeweza kuona chochote.

Chakushangaza ni kwamba mtu wa mwisho niliyeongea naye aliyenitatulia tatizo haikumchukua hata masaa mawili kutrace hizo information kwenye intermediate servers. Sasa sijui siku zote nilikuwa naongea na vilaza ama nilikuwa nawakuta kwenye bad-mood, au nilitakiwa niwahonge ... sijui. Inawezekana mimi ndio mwenye mkosi ...

...Mkuu, hapo mimi umenivunja moyo kabisa maana ndio kwanzaa nimetoka kuomba hiyo kadi! MIEZI KADHAA PAMOJA NA KUPIGA SIMU??? OMG!
Reply With Quote
  #37  
Old 11th February 2009, 07:14 PM
Manitoba Manitoba is offline
Manitoba has no status.
Senior Member
Points: 108,272, Level: 100 Points: 108,272, Level: 100 Points: 108,272, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Jul 2008
Posts: 244
Thanks: 17
Thanked 10 Times in 7 Posts
Rep Power: 22
Manitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enough
Default Re: CRDB Visa Card: Usithubutu kuitumia kwenye Mtandao

Quote:
View Post
...Mkuu, hapo mimi umenivunja moyo kabisa maana ndio kwanzaa nimetoka kuomba hiyo kadi! MIEZI KADHAA PAMOJA NA KUPIGA SIMU??? OMG!
Lol

Usiogope mzee. Wapo ambao hawapati tatizo kabisa. Omba tu usiwe mmoja wa wachache wenye vijinuksi kama sisi.

Yaani omba usipate tatizo, maana utaanza kuona jinsi ulivyo na nuksi pale unapoenda kaunta na unakuta unayemuelezea tatizo anakuangalia kama vile haelewi unaongea lugha ghani.
__________________
There are only 10 types of people in the world. Those that understand binary, and those that don't.
Reply With Quote
  #38  
Old 14th February 2009, 02:02 AM
Ngereja Ngereja is offline
Ngereja has no status.
Senior Member
Points: 169,463, Level: 100 Points: 169,463, Level: 100 Points: 169,463, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Feb 2007
Posts: 227
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 24
Ngereja will become famous soon enoughNgereja will become famous soon enoughNgereja will become famous soon enoughNgereja will become famous soon enoughNgereja will become famous soon enoughNgereja will become famous soon enoughNgereja will become famous soon enoughNgereja will become famous soon enough
Default Re: CRDB Visa Card: Usithubutu kuitumia kwenye Mtandao

Quote:
''We were unable to verify this credit card. Please check if the information you entered is correct. Please also make sure your credit card billing address matches your paypal street address''
Yawezekana kadi haina tatizo, tatizo lipo hapo kwenye maandishi niliyokoleza. Verification inafanyika kwa kutumia Credit card billing address na paypal street address. Kama hazifanani, then paypal hawawezi kuikubali. Hivyo, hakikisha address unazotumia kwa credit card na paypal zinafanana, neno kwa neno, nukta kwa nukta. Usikosee hata herufi moja. Mara nyingine inabidi uandike mahali ili usisahau.
Reply With Quote
  #39  
Old 14th February 2009, 10:20 AM
Manitoba Manitoba is offline
Manitoba has no status.
Senior Member
Points: 108,272, Level: 100 Points: 108,272, Level: 100 Points: 108,272, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Jul 2008
Posts: 244
Thanks: 17
Thanked 10 Times in 7 Posts
Rep Power: 22
Manitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enoughManitoba will become famous soon enough
Default Re: CRDB Visa Card: Usithubutu kuitumia kwenye Mtandao

Quote:
View Post
Yawezekana kadi haina tatizo, tatizo lipo hapo kwenye maandishi niliyokoleza. Verification inafanyika kwa kutumia Credit card billing address na paypal street address. Kama hazifanani, then paypal hawawezi kuikubali. Hivyo, hakikisha address unazotumia kwa credit card na paypal zinafanana, neno kwa neno, nukta kwa nukta. Usikosee hata herufi moja. Mara nyingine inabidi uandike mahali ili usisahau.
Kwa kadi ya VISA ya CRDB, address verification haifanyiki. Nimejaribu na inaonekana address yoyote inakubali.
__________________
There are only 10 types of people in the world. Those that understand binary, and those that don't.
Reply With Quote
  #40  
Old 14th February 2009, 02:31 PM
green29 green29 is offline
green29 is blaaa blaaa
JF Senior Expert Member
Points: 132,512, Level: 100 Points: 132,512, Level: 100 Points: 132,512, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Jul 2007
Location: Oldonyo Lengai
Posts: 303
Thanks: 2
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 23
green29 will become famous soon enoughgreen29 will become famous soon enoughgreen29 will become famous soon enoughgreen29 will become famous soon enoughgreen29 will become famous soon enoughgreen29 will become famous soon enoughgreen29 will become famous soon enoughgreen29 will become famous soon enough
Default Re: CRDB Visa Card: Usithubutu kuitumia kwenye Mtandao

What if nikikariri zile namba 3 za nyuma kisha nikazifuta kutoka kwenye kadi yangu, inaweza kunilinda kidogo?
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
card, crdb, kuitumia, kwenye, matumizi, mtandao, mtandaoni, usithubutu, utata, visa, yake


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
BoT Scandal: Tulikotoka, Tulipo, Tunakoelekea Maxence Melo Jamii Intelligence 3079 12th November 2009 08:12 AM
Muafaka CCM na CUF, pande mbili za shilingi! MwanaCCM Jukwaa la Siasa 148 13th July 2009 10:13 AM
Hotuba Mbadala TAMISEMI: Slaa ataka Balali ajiuzulu; ambana Lowassa kuhusu Richmond John Mnyika Jukwaa la Siasa 13 16th December 2008 02:21 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 10:15 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com