Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha - Page 4 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Business & Economic Forum


Business & Economic Forum This' a place where contributors with an interest in business or economics can "meet" and discuss issues of importance to the business and economics matters. Register to comment here!


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 19th November 2008, 12:36 PM  
Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha
Alnadaby Alnadaby is offline 19th November 2008, 12:36 PM

Nimeshakutana na wasomi kila aina,lakini majority yao ni watu wasiokuwa na uwezo hata wa kuendesha maisha yao.Na nimeshakutana na watu wasiokuwa na elimu ya maana...lakini ni watu makini,wana uwezo wa kifedha,wanajiamini na wanaendesha shughuli zao vizuri.
Sasa labda hapa ni kutafuta sababu za hawa wasomi kuwa watu wa vitabu,data,laptop,kuendesha semina n.k lakini wakawa dhaifu inapofika suala la kutajirika,kuwa na mamlaka na kujiamini.
Mfano ni fundi viatu wa miaka ya sitini Said Salim Bakhressa maarufu kwa ice cream na bidhaa tofauti hapa nchini.AU hata Billy Gates..aliyekimbia shule akiwa grade 10...na sasa ni mmoja ya matajiri wakubwa duniani.List yao ni ndefu...kina Ford..n.k.

Je ni kitu gani cha ziada ambacho wasiokuwa na elimu ya juu...walichonacho hadi wakafanikiwa katika malengo yao,ambacho hakipatikani kwa wenye Phd..n.k?
__________________
SUCCESS USUALLY COMES TO THOSE WHO ARE TOO BUSY TO BE LOOKING FOR IT.

Alnadaby
JF Senior Expert Member
Points: 154,004, Level: 100 Points: 154,004, Level: 100 Points: 154,004, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Thu Sep 2006
Posts: 463
Thanks: 1
Thanked 2 Times in 1 Post
Views: 1626
Reply With Quote
  #31  
Old 20th November 2008, 12:13 PM
Mambo Jambo's Avatar
Mambo Jambo Mambo Jambo is offline
Mambo Jambo has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 270,877, Level: 100 Points: 270,877, Level: 100 Points: 270,877, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Fri Jul 2008
Posts: 843
Thanks: 32
Thanked 106 Times in 54 Posts
Rep Power: 23
Mambo Jambo will become famous soon enoughMambo Jambo will become famous soon enoughMambo Jambo will become famous soon enoughMambo Jambo will become famous soon enoughMambo Jambo will become famous soon enoughMambo Jambo will become famous soon enoughMambo Jambo will become famous soon enoughMambo Jambo will become famous soon enough
Default Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha

10 Commandments for Success in Life


These guidelines have the power to benefit you - physically, mentally and spiritually.

1. Have a simple and unassuming manner of life.

2. Live not to eat, but eat to live.

3. Bear no envy. Commit no slander. Speak no falsehood. Practise no deceit. Harbor no malice. You will be ever joyful, happy and peaceful.

4. Righteousness is the rule of life. Lead a virtuous life. Strictly adhere to Dharma. Human life is not human without virtues. Study the lives of saints and draw inspiration from them.

5. Cultivate a melting heart, the giving hand, the kindly speech, the life of service, equal vision, and impartial attitude. Your life will, indeed, be blessed.

6. Lead a regulated life. Take hold of each day as if it were the last day, and utilize every second in prayer, meditation and service. Let your life become a continuous sacrifice to God.

7. Live in the present. Forget the past. Give up hopes of the future.

8. Understand well the meaning of life, and then start the quest.

9. Life is thy greatest gift. Utilize every second profitably.

10. Success often comes to those who dare and act. It seldom comes to the timid.

May you all attain success in life!

Hinduism


MJ
Reply With Quote
  #32  
Old 20th November 2008, 12:21 PM
Alnadaby Alnadaby is offline
Alnadaby has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 154,004, Level: 100 Points: 154,004, Level: 100 Points: 154,004, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Sep 2006
Posts: 463
Thanks: 1
Thanked 2 Times in 1 Post
Rep Power: 24
Alnadaby will become famous soon enoughAlnadaby will become famous soon enoughAlnadaby will become famous soon enoughAlnadaby will become famous soon enoughAlnadaby will become famous soon enoughAlnadaby will become famous soon enoughAlnadaby will become famous soon enoughAlnadaby will become famous soon enough
Default Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha

Quote:
View Post
Wazee naomba nichangie kidodo hapa.
Mimi nafikiria mafanikio ya mtu kwanza kabisa yanapimwa na namna anavyoweza kukidhi mahitaji ya msingi kikamilifu. utakuwa umefanikiwa endapo mkono unaenda kinywani bila wasiwasi, watoto wanaenda shule bila mikwaruzo, ukiugua na familia yako uhakika wa matibabu ya maana upo, malazi safi na salama, usafiri na mavazi na mengine anayotakiwa kuwa nayo binadamu. zaidi ya hayo, mahusiano yako na jamii inayokuzunguka kama vile kushriki katika shida na raha bila kunata ni muhimu. na mwisho kwa maoni yangu, utakuwa umefanikiwa endapo utaweza kutumia uwezo wako ulionao kusaidia jamii yako kielimu, kiutamaduni, kifikra nk. lakini kujilimbikizia mali na kujiona mungu mtu katika jamii si mafanikio.
Mkuu,kila mtu ana malengo yake katika maisha.Kwako wewe mafanikio ni kama ulivyoytaja hapo juu,yaani mradi upate mambo muhimu katika kuendesha maisha yako period.Kuna wengine wanamalengo tofauti na hayo.Wanahitaji kuwa business owners,investors..na kumiliki mali kadri na matarajio yao.Watu wote hatuwezi kuwa sawa katika malengo yetu.

Ninachokitafuta hapa ni kwa nini watu wengine hufanikiwa katika malengo yao...na zaidi nataka kujua ni kitu gani hasa kinachomfikisha mtu katika kilele cha mafanikio.Wengi wa watu maarufu ninaowafahamu na mfano nimeshatoa si watu wenye elimu kubwa lakini wana mafanikio makubwa.Kitu hiki ndicho hasa ninachotaka kujua.Kama kuna mtu anakijua naomba anipatie na mimi maarifa.
__________________
SUCCESS USUALLY COMES TO THOSE WHO ARE TOO BUSY TO BE LOOKING FOR IT.
Reply With Quote
  #33  
Old 20th November 2008, 12:30 PM
WomanOfSubstance's Avatar
WomanOfSubstance WomanOfSubstance is offline
WomanOfSubstance is counting her blessings
JF Premium Member
Points: 789,699, Level: 100 Points: 789,699, Level: 100 Points: 789,699, Level: 100
Activity: 24% Activity: 24% Activity: 24%
 
Join Date: Fri May 2008
Posts: 3,642
Thanks: 405
Thanked 664 Times in 330 Posts
Rep Power: 29
WomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enough
Default Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha

Quote:
View Post

My concern is to find out what makes some people succeed in life and what other people lack which make them fail.
Anadalby,
I will only attempt to address this part of your concern regarding factors that may lead to one's success or failure.

1.The starting point is to agree on what we mean by " success" and "failure" in life.Some people would say that success is the end result of a life time spent trying to exhaust all efforts and opportunities at failure.

2.If we agree on this general definition, I would then think that success doesnt come by chance but by efforts.If one has a vision, mission, goal and strategy to attain the same then most probaby there willl be success at the end of the day.Success often comes to those who dare and act. It seldom comes to the timid.We must dare to be somebody/something in life.If you dare to fight you must dare to win!Mtu anavuna apandacho!

3.Failure to have a plan in ones' life path will most probably lead to failure in life.Many people do not set clear goals of what they want to achieve in life. This to me is the major contributing factor to failure regardless of the indicators be it in money/wealth,relationships or jobs.

4.Ukiishi kienyejienyeji kwa kubahatisha/kubangaiza matokeo pia ni ya kubahatisha! N.B.Kubangaiza ni moja ya misamiati maarufu kwa waTz!
__________________
Do not dwell in the past, do not dream of the future, concentrate the mind on the present moment. -- Buddha
Reply With Quote
  #34  
Old 20th November 2008, 12:34 PM
Kang's Avatar
Kang Kang is offline
Kang has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 265,836, Level: 100 Points: 265,836, Level: 100 Points: 265,836, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Tue Jun 2008
Posts: 1,351
Thanks: 0
Thanked 107 Times in 74 Posts
Rep Power: 24
Kang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enough
Default Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha

Quote:
View Post
When you attain what you desire,this is the simplest defination.I think we both agree on this.

My concern is to find out what makes some people succeed in life and what other people lack which make them fail.

The founder of Ford Motors had no education.Can you tell me what made him successiful? Ford attained his goal and so many others like him.

In the lake Zone we have Kishimba,the Imalaseko superstar,Mwita Gachuma and many others who had only a few years or no schooling at all and yet they are big business owners.

What made them tick?Can anyone tell me?
If you are talking on Business success then I believe there are a few things.

Luck!/Timing - Although most people don't like to admit it. Sometimes you just happen to be at the right place at the right time. e.g Thawte getting bought up by Verisign due to the Y2K bug.

Noticing a GAP in the market, a demand for a product/service that is not being fulfilled e.g A cheap Car that everybody can afford

Innovation- Finding newer/better ways to do something e.g The assembly lines that Ford implemented or Googles improved search results ranking algorithm.

Clever Marketing - Think Apple here, they rarely have the best/greatest device on the market, but everyone wants one!

Determination/Persistence - I have heard this from a few business Gurus, there is a wonderful story on how Honda started his company.

And you can have all those and still fail, but you will have fun trying!!
__________________
“Society is like a stew. If you don't stir it up every once in a while then a layer of scum floats to the top.”
Reply With Quote
  #35  
Old 20th November 2008, 12:41 PM
WomanOfSubstance's Avatar
WomanOfSubstance WomanOfSubstance is offline
WomanOfSubstance is counting her blessings
JF Premium Member
Points: 789,699, Level: 100 Points: 789,699, Level: 100 Points: 789,699, Level: 100
Activity: 24% Activity: 24% Activity: 24%
 
Join Date: Fri May 2008
Posts: 3,642
Thanks: 405
Thanked 664 Times in 330 Posts
Rep Power: 29
WomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enough
Default Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha

Quote:
View Post
Ninachokitafuta hapa ni kwa nini watu wengine hufanikiwa katika malengo yao...na zaidi nataka kujua ni kitu gani hasa kinachomfikisha mtu katika kilele cha mafanikio.Wengi wa watu maarufu ninaowafahamu na mfano nimeshatoa si watu wenye elimu kubwa lakini wana mafanikio makubwa.Kitu hiki ndicho hasa ninachotaka kujua.Kama kuna mtu anakijua naomba anipatie na mimi maarifa.
Mkuu,
1.Elimu inafungua milango mingi zaidi ya mafanikio lakini siyo kigezo pekee
2.Lengo/dhamira ya kufanikiwa + mikakati + action + nidhamu = SUCCESS
__________________
Do not dwell in the past, do not dream of the future, concentrate the mind on the present moment. -- Buddha
Reply With Quote
  #36  
Old 20th November 2008, 01:20 PM
Lole Gwakisa's Avatar
Lole Gwakisa Lole Gwakisa is online now
Lole Gwakisa has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 224,299, Level: 100 Points: 224,299, Level: 100 Points: 224,299, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Wed Nov 2008
Posts: 1,178
Thanks: 288
Thanked 270 Times in 137 Posts
Rep Power: 24
Lole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enough
Default Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha

I quite aggree with the notion that most people do not try hard enough to conquer their live's dreams.Most of us especially Tanzanians are too complacent in life.We tend to take things for granted, the sun will alwats rise tommorrow, so why make a fuss about it all!!.
Most of us have dreams but that is the end of it.For the courageous they go for simple solution like EPA and the like.The more meticulous will paistakingly chart out a way and strenously realise the dream.Examples even in Tanzania are many, most recent is the departed Richard Nyaulawa.
Wabongo tuchemke kwa kuwa na good ideas , we are rich in all terms na sio kwa fedha tu.
Reply With Quote
  #37  
Old 20th November 2008, 04:46 PM
Maxence Melo's Avatar
Maxence Melo Maxence Melo is offline
Maxence Melo 42%....
JF Founder
Points: 3,087,473, Level: 100 Points: 3,087,473, Level: 100 Points: 3,087,473, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Mon Mar 2006
Location: Dar es Salaam
Posts: 1,990
Thanks: 112
Thanked 288 Times in 77 Posts
Rep Power: 100000
Maxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the rough
Send a message via MSN to Maxence Melo
Default Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha

Alnadaby,

Uliniandikia PM ukitaka nikupe kitabu kimojawapo kuhusiana na masuala ya Success, wewe na wanachama (registered) mnaweza kukipitia hiki kimojawapo.

Attitude Is Everything for Success: Say It, Believe It, Receive It

Natumaini tunaendelea kushirikishana mengi zaidi
__________________
Welcome to JF Phase II...

Contact me:
Mobile: +255713444649

Email: maxence@maxence.co.tz
Pls DO NOT send me Job applications... Read adverts carefully!
Reply With Quote
  #38  
Old 20th November 2008, 05:24 PM
Maxence Melo's Avatar
Maxence Melo Maxence Melo is offline
Maxence Melo 42%....
JF Founder
Points: 3,087,473, Level: 100 Points: 3,087,473, Level: 100 Points: 3,087,473, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Mon Mar 2006
Location: Dar es Salaam
Posts: 1,990
Thanks: 112
Thanked 288 Times in 77 Posts
Rep Power: 100000
Maxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the roughMaxence Melo is a jewel in the rough
Send a message via MSN to Maxence Melo
Default Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha

Na nimeongeza kingine kimoja:

Trump 101: The Way to Success

Basi nadhani vinaweza kusaidia japo kidogo
__________________
Welcome to JF Phase II...

Contact me:
Mobile: +255713444649

Email: maxence@maxence.co.tz
Pls DO NOT send me Job applications... Read adverts carefully!
Reply With Quote
  #39  
Old 21st November 2008, 01:31 PM
Kishazi Kishazi is offline
Kishazi has no status.
Senior Member
Points: 80,047, Level: 100 Points: 80,047, Level: 100 Points: 80,047, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Wed Nov 2007
Posts: 91
Thanks: 0
Thanked 5 Times in 4 Posts
Rep Power: 23
Kishazi will become famous soon enoughKishazi will become famous soon enoughKishazi will become famous soon enoughKishazi will become famous soon enoughKishazi will become famous soon enoughKishazi will become famous soon enoughKishazi will become famous soon enoughKishazi will become famous soon enough
Default Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha

Quote:
View Post
Nimeshakutana na wasomi kila aina,lakini majority yao ni watu wasiokuwa na uwezo hata wa kuendesha maisha yao.Na nimeshakutana na watu wasiokuwa na elimu ya maana...lakini ni watu makini,wana uwezo wa kifedha,wanajiamini na wanaendesha shughuli zao vizuri.
Sasa labda hapa ni kutafuta sababu za hawa wasomi kuwa watu wa vitabu,data,laptop,kuendesha semina n.k lakini wakawa dhaifu inapofika suala la kutajirika,kuwa na mamlaka na kujiamini.
Mfano ni fundi viatu wa miaka ya sitini Said Salim Bakhressa maarufu kwa ice cream na bidhaa tofauti hapa nchini.AU hata Billy Gates..aliyekimbia shule akiwa grade 10...na sasa ni mmoja ya matajiri wakubwa duniani.List yao ni ndefu...kina Ford..n.k.

Je ni kitu gani cha ziada ambacho wasiokuwa na elimu ya juu...walichonacho hadi wakafanikiwa katika malengo yao,ambacho hakipatikani kwa wenye Phd..n.k?
Mheshimiwa, mada yako imenivutia.

Kuna matatizo mawili, la kwanza, ni kuwa wasomi wengi duniani, wanaamini kuwa wamesoma kwa ajili ya kusaidia wasiosoma. Kiasi kwamba, wanakuwa wanajiposition kuwa waajiriwa zaidi ya waajiri bila ya wao wenyewe kujua. Nenda katika makampuni kibao ya kisasa, utakuta graduates kibao wamejazana huko wengine mpaka wana Masters Degrees ila ndio hivyo, anatunza hela za wasiosoma. Kwa hiyo, cha msingi ni kubadilika kwa mtazamo wa wasomi.

Cha pili ni tabia ya kuchukulia kila kitu kisomi. Ukimwambia msomi afungue biashara ya Ice Cream kama Bakhressa au hata ya kusaga mahindi, ataanza feasibility study, sijui proposal mara risk assessment na takataka kibao. Wakati wasiosoma, wanaangalia tu kama biashara inalipa au la, then mtu anatambaa na soko. Wakati msomi anamaliza proposal asiyesoma anakuwa kashawin market siku nyingi sana. Hizi complications sijui za risk assessment n.k. zimewapelekea wasomi kuanza kuogopa biashara, wanaona biashara ni ya watu fulani tu waliobarikiwa.

Wasomi wanasahau kuwa hata ulipwe milioni kumi kwa mwezi, ikiwa ni mshahara, bado itakuwa ngumu kufanikiwa. Hasa ukizingatia kuwa ni msomi, hivyo wanavyozidi kupata kipato kikubwa (as salary) ndio nao wanaongeza maisha ya supermarket, "you know" kibaooo. Wakati asiyesoma ukimpa hata laki mbili, utakuta anafikiria vitu vikubwa as anajua survival yake ni hiyo laki mbili. Msomi anakuwa na confidence ya kijinga kuwa, hata kama namaliza milioni kumi kwa mwezi, by the way, elimu ninayo, kazi nzuri ninayo, anajiona yuko secured zaidi, hali anazidi kudidimia kimaisha pasipo kujua.
Reply With Quote
  #40  
Old 21st November 2008, 09:15 PM
mbarikiwa's Avatar
mbarikiwa mbarikiwa is offline
mbarikiwa blessed
JF Senior Expert Member
Points: 100,465, Level: 100 Points: 100,465, Level: 100 Points: 100,465, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Sat Mar 2008
Location: White house
Posts: 386
Thanks: 10
Thanked 12 Times in 6 Posts
Rep Power: 23
mbarikiwa will become famous soon enoughmbarikiwa will become famous soon enoughmbarikiwa will become famous soon enoughmbarikiwa will become famous soon enoughmbarikiwa will become famous soon enoughmbarikiwa will become famous soon enoughmbarikiwa will become famous soon enoughmbarikiwa will become famous soon enough
Default Re: Kitu gani kinamfikisha mtu kwenye ufanisi katka maisha

Kumjua na kumfuata Mungu Yehova katika Jina la Yesu
__________________
Mbarikiwa Anayebarikiwa
Sahih Bukhari Volume 8 Book 82 #803:
from 'Ali when the latter stoned a lady to death on a Friday. 'Ali said, "I have stoned her according to the tradition of Allah's Apostle."
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
gani, katka, kinamfikisha, kitu, kwenye, maisha, mtu, ufanisi


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Kashfa ya Richmond: The FACTS FairPlayer Celebrities Forum 1354 Yesterday 02:37 PM
* ~ * Irena Wangu * ~ * Mzee Mwanakijiji Jukwaa la Lugha 25 1st March 2010 01:41 PM
Your opinion please! Bubu Ataka Kusema Habari na Hoja mchanganyiko 4 11th June 2008 02:29 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 02:05 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com