Kumekuwa na usumbufu mwingi wa mtandao huu wa Tigo toka wiki iliyopita, unampigia mtu simu kupitia mtandao huu unawekewa muziki tu na kuambiwa mtu huyo unayempigia hapatikani wakati simu yake iko hewani, unawapigia "customer services" bado unawekewa muziki tu na kuambiwa haipatikani. Hali hii imetokea kwa watumiaji wengi wa mtandao huu kuanzia wiki iliyopita.
Kibaya zaidi sijasikia kuomba msamaha kutoka kwa wakuu wa mtandao huu wa TIGO kuhusu usumbufu tunaopata watumiaji.
Curiosity......... A well tight cornered rat can bite a Cat...
wizi wa tigo tishio sasa wafanyika hadi kwenye tigo-pesa,mawakala wasitisha huduma
Jamani tahadhari na hatari! Kwa sasa tigo kumekua tishio, wizi umekithiri na ma-wakala wa tigo-pesa baadhi wameanza kusitisha huduma. Kuna mchezo unafanywa wanachokifanya wanawatuma kwenda kutoa hela kwa wakala akifika anatoa kiwango kama laki moja,anapewa kisha anasaini akisha maliza kuchukua anaanzisha lawama kama vile alitoa mara mbili,ukimdai msg ya pili anadai nimeifuta. Kisha anaondoka kwa hasira anaenda moja kwa moja hadi kwao anataja namba ya yule wakala kisha wahamisha hela kwa wakala husika. Wakala ukiuliza anajibiwa mkato, akienda ofisi kwao anambiwa kitengo hicho mhusika hayupo, mara katoka ilimladi kukudhoofisha. Wamekua wakifanya hiyo kwa kushilikiana na baadhi ya watu. Kaa chonjo wewe wakala ambaye hujapatwa na msala huu, kwa anaebisha kuhusu wizi huu nipo tayali kutoa ushaidi wa nyalaka zilizotumika.
Last edited by Ruhazwe JR; 13th December 2011 at 18:45.
Re: wizi wa tigo tishio sasa wafanyika hadi kwenye tigo-pesa,mawakala wasitisha huduma
By Ruhazwe JR
Jamani tahadhari na hatali!
Kwa sasa tigo kumekua tishio,wizi umekisili na mawakala wa tigo-pesa baadhi wameanza kusitisha huduma.kunamchezo unafanywa na customer care wa kitengo cha m-pesa
Re: wizi wa tigo tishio sasa wafanyika hadi kwenye tigo-pesa,mawakala wasitisha huduma
Tulizoea wizi wa bunduki na wezi wanaume (Wakiwezeshwa wanaweza),
hali imebadilika mwizi mkubwa anaitwa fisadi, hakimu wake ni mtukufu sana Raisi, hukumu yake huwa ni urudishe kile ulichoiba, mwizi wa kati huitwa Mjasiria mali yeye anapoiba na akakamatwa huukumiwa na wateuliwa wa mtukufu, hukumu huwa ni kuwapa pasu waheshimiwa sana hao.
Mwizi mdogo huwa ndo hawa hujitahidi kuiga mbinu za wakubwa zao, lakini sehemu ya fungu huwakilisha kwa wajuu wao.
Kweli Kukusanya usipotawanya, na kuvuna usipopanda =bongo life
Kuwa na msimamo katika kile unachoamini ndio utu wako na kwa hivyo utakumbukwa
Tulizoea wizi wa bunduki na wezi wanaume (Wakiwezeshwa wanaweza),
hali imebadilika mwizi mkubwa anaitwa fisadi, hakimu wake ni mtukufu sana Raisi, hukumu yake huwa ni urudishe kile ulichoiba, mwizi wa kati huitwa Mjasiria mali yeye anapoiba na akakamatwa huukumiwa na wateuliwa wa mtukufu, hukumu huwa ni kuwapa pasu waheshimiwa sana hao.
Mwizi mdogo huwa ndo hawa wakina lulu, hujitahidi kuiga mbinu za wakubwa zao,lakini sehemu ya fungu huwakilisha kwa wajuu wao.
Kweli Kukusanya usipotawanya, na kuvuna usipopanda =bongo life
hivi mmoja wa boss tigo ametoa kauli ya matumaini kwamba anafatilia,ikipita siku mbili tangu leo inabidi kufata taratibu za kisheria maana kwetu wamehamisha pesa za kutosha,
Wanajamf leo hii nimepanda zangu mlimani city nikarudisha lain ya Tigo bahada ya ufumlifu wa kutosha nimeachana na kuachana mitandao ya maji taka je wewe
Tulizoea wizi wa bunduki na wezi wanaume (Wakiwezeshwa wanaweza),
hali imebadilika mwizi mkubwa anaitwa fisadi, hakimu wake ni mtukufu sana Raisi, hukumu yake huwa ni urudishe kile ulichoiba, mwizi wa kati huitwa Mjasiria mali yeye anapoiba na akakamatwa huukumiwa na wateuliwa wa mtukufu, hukumu huwa ni kuwapa pasu waheshimiwa sana hao.
Mwizi mdogo huwa ndo hawa wakina lulu, hujitahidi kuiga mbinu za wakubwa zao,lakini sehemu ya fungu huwakilisha kwa wajuu wao.
Kweli Kukusanya usipotawanya, na kuvuna usipopanda =bongo life
Wanajamf leo hii nimepanda zangu mlimani city nikarudisha lain ya Tigo bahada ya ufumlifu wa kutosha nimeachana na kuachana mitandao ya maji taka je wewe
Naunga mkono 100%. Hawa jamaa wezi Watupu . Wanatuibia wateja bila aibu naungana nawe kuanzia January baada ya kumalizia balance yangu nautema rasmi mtandao wa wezi
Follow Us Here