Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: TIGO sasa mnakera!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 33
    1. #1
      MpigaKelele's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Posts : 2,223
      Rep Power : 964
      Likes Received
      492
      Likes Given
      1469

      Default TIGO sasa mnakera!

      Kumekuwa na usumbufu mwingi wa mtandao huu wa Tigo toka wiki iliyopita, unampigia mtu simu kupitia mtandao huu unawekewa muziki tu na kuambiwa mtu huyo unayempigia hapatikani wakati simu yake iko hewani, unawapigia "customer services" bado unawekewa muziki tu na kuambiwa haipatikani. Hali hii imetokea kwa watumiaji wengi wa mtandao huu kuanzia wiki iliyopita.

      Kibaya zaidi sijasikia kuomba msamaha kutoka kwa wakuu wa mtandao huu wa TIGO kuhusu usumbufu tunaopata watumiaji.
      Curiosity.........
      A well tight cornered rat can bite a Cat...

    2. Miaka 50

    3. #2
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,172
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default wizi wa tigo tishio sasa wafanyika hadi kwenye tigo-pesa,mawakala wasitisha huduma

      Jamani tahadhari na hatari! Kwa sasa tigo kumekua tishio, wizi umekithiri na ma-wakala wa tigo-pesa baadhi wameanza kusitisha huduma. Kuna mchezo unafanywa wanachokifanya wanawatuma kwenda kutoa hela kwa wakala akifika anatoa kiwango kama laki moja,anapewa kisha anasaini akisha maliza kuchukua anaanzisha lawama kama vile alitoa mara mbili,ukimdai msg ya pili anadai nimeifuta. Kisha anaondoka kwa hasira anaenda moja kwa moja hadi kwao anataja namba ya yule wakala kisha wahamisha hela kwa wakala husika. Wakala ukiuliza anajibiwa mkato, akienda ofisi kwao anambiwa kitengo hicho mhusika hayupo, mara katoka ilimladi kukudhoofisha. Wamekua wakifanya hiyo kwa kushilikiana na baadhi ya watu. Kaa chonjo wewe wakala ambaye hujapatwa na msala huu, kwa anaebisha kuhusu wizi huu nipo tayali kutoa ushaidi wa nyalaka zilizotumika.
      Last edited by Ruhazwe JR; 13th December 2011 at 18:45.

    4. #3
      NnyaMbwate's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 447
      Rep Power : 523
      Likes Received
      96
      Likes Given
      377

      Default Re: wizi wa tigo tishio sasa wafanyika hadi kwenye tigo-pesa,mawakala wasitisha huduma

      Quote By Ruhazwe JR
      Jamani tahadhari na hatali!
      Kwa sasa tigo kumekua tishio,wizi umekisili na mawakala wa tigo-pesa baadhi wameanza kusitisha huduma.kunamchezo unafanywa na customer care wa kitengo cha m-pesa

      Hapo penye red, Kama vile umechanganya?

    5. #4
      The Hunter's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th December 2010
      Location : Lubumbashi
      Posts : 910
      Rep Power : 609
      Likes Received
      233
      Likes Given
      128

      Default Re: wizi wa tigo tishio sasa wafanyika hadi kwenye tigo-pesa,mawakala wasitisha huduma

      Tulizoea wizi wa bunduki na wezi wanaume (Wakiwezeshwa wanaweza),
      hali imebadilika mwizi mkubwa anaitwa fisadi, hakimu wake ni mtukufu sana Raisi, hukumu yake huwa ni urudishe kile ulichoiba, mwizi wa kati huitwa Mjasiria mali yeye anapoiba na akakamatwa huukumiwa na wateuliwa wa mtukufu, hukumu huwa ni kuwapa pasu waheshimiwa sana hao.

      Mwizi mdogo huwa ndo hawa hujitahidi kuiga mbinu za wakubwa zao, lakini sehemu ya fungu huwakilisha kwa wajuu wao.

      Kweli Kukusanya usipotawanya, na kuvuna usipopanda = bongo life
      Kuwa na msimamo katika kile unachoamini ndio utu wako na kwa hivyo utakumbukwa

    6. #5
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,172
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default

      Quote By NnyaMbwate
      Hapo penye red, Kama vile umechanganya?
      mkuu jaziba mkuu nili maanisha Tigo-pesa


    7. #6
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,172
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default

      Quote By The Hunter
      Tulizoea wizi wa bunduki na wezi wanaume (Wakiwezeshwa wanaweza),
      hali imebadilika mwizi mkubwa anaitwa fisadi, hakimu wake ni mtukufu sana Raisi, hukumu yake huwa ni urudishe kile ulichoiba, mwizi wa kati huitwa Mjasiria mali yeye anapoiba na akakamatwa huukumiwa na wateuliwa wa mtukufu, hukumu huwa ni kuwapa pasu waheshimiwa sana hao.
      Mwizi mdogo huwa ndo hawa wakina lulu, hujitahidi kuiga mbinu za wakubwa zao,lakini sehemu ya fungu huwakilisha kwa wajuu wao.
      Kweli Kukusanya usipotawanya, na kuvuna usipopanda = bongo life
      hivi mmoja wa boss tigo ametoa kauli ya matumaini kwamba anafatilia,ikipita siku mbili tangu leo inabidi kufata taratibu za kisheria maana kwetu wamehamisha pesa za kutosha,

    8. #7
      3squere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2011
      Location : arusha to tanga
      Posts : 729
      Rep Power : 544
      Likes Received
      121
      Likes Given
      47

      Default Nimeama tigo rasimi leo

      Wanajamf leo hii nimepanda zangu mlimani city nikarudisha lain ya Tigo bahada ya ufumlifu wa kutosha nimeachana na kuachana mitandao ya maji taka je wewe

    9. #8
      mgodi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Posts : 994
      Rep Power : 632
      Likes Received
      114
      Likes Given
      81

      Default

      Quote By The Hunter
      Tulizoea wizi wa bunduki na wezi wanaume (Wakiwezeshwa wanaweza),
      hali imebadilika mwizi mkubwa anaitwa fisadi, hakimu wake ni mtukufu sana Raisi, hukumu yake huwa ni urudishe kile ulichoiba, mwizi wa kati huitwa Mjasiria mali yeye anapoiba na akakamatwa huukumiwa na wateuliwa wa mtukufu, hukumu huwa ni kuwapa pasu waheshimiwa sana hao.
      Mwizi mdogo huwa ndo hawa wakina lulu, hujitahidi kuiga mbinu za wakubwa zao,lakini sehemu ya fungu huwakilisha kwa wajuu wao.
      Kweli Kukusanya usipotawanya, na kuvuna usipopanda = bongo life
      imekaa vizuri mkuu.

    10. #9
      noma's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 49
      Rep Power : 420
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default Re: Nimeama tigo rasimi leo

      kwanini umeachana na TIGO? umehamia wapi?

    11. #10
      Likwanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 2,529
      Rep Power : 907
      Likes Received
      518
      Likes Given
      74

      Default

      Quote By 3squere
      Wanajamf leo hii nimepanda zangu mlimani city nikarudisha lain ya Tigo bahada ya ufumlifu wa kutosha nimeachana na kuachana mitandao ya maji taka je wewe
      kiswahili chako kigumu, haya kweheri.

    12. #11
      Mzito Kabwela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : MPUMBULI
      Posts : 7,243
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1087
      Likes Given
      7

      Default Re: Nimeama tigo rasimi leo

      umetumwa wewe! inamaana hata mzigo usipotoka utakuja kuanzisha sred

    13. #12
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,631
      Rep Power : 5629
      Likes Received
      6218
      Likes Given
      2324

      Default Re: Nimeama tigo rasimi leo

      ulivyojiunga mbona hukutuambia?

      Ila hongera kwa kupiga hatua

    14. #13
      muonamambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Posts : 557
      Rep Power : 554
      Likes Received
      165
      Likes Given
      939

      Default Re: Nimeama tigo rasimi leo

      Naunga mkono 100%. Hawa jamaa wezi Watupu . Wanatuibia wateja bila aibu naungana nawe kuanzia January baada ya kumalizia balance yangu nautema rasmi mtandao wa wezi

    15. #14
      JF-BAN1's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th April 2011
      Posts : 10,447
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3753
      Likes Given
      2889

      Default Re: Nimeama tigo rasimi leo

      Sasa hii inahusu nini jukwaa la siasa?

    16. #15
      Daffi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2011
      Location : Arachuga
      Posts : 2,935
      Rep Power : 988
      Likes Received
      516
      Likes Given
      239

      Default Re: Nimeama tigo rasimi leo

      Tigo ipi kwanza anaongelea?embu tutolee kiwingu hapa!hawa watoto bana!

    17. #16
      janejean's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th December 2011
      Posts : 89
      Rep Power : 394
      Likes Received
      16
      Likes Given
      10

      Default Re: wizi wa tigo tishio sasa wafanyika hadi kwenye tigo-pesa,mawakala wasitisha huduma

      kweli maisha ni magumu. Nimesoma blog moja, kuna mama amekunywa sumu kutokana na ugumu wa maisha.

    18. #17
      sijui nini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2010
      Location : home
      Posts : 1,748
      Rep Power : 7637
      Likes Received
      498
      Likes Given
      447

      Default Re: wizi wa tigo tishio sasa wafanyika hadi kwenye tigo-pesa,mawakala wasitisha huduma

      duuh..hii sasa noma...kila kona wizi...lah!!
      The signature you are looking at now does not exist.....

    19. #18
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,172
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default

      Quote By sijui nini
      duuh..hii sasa noma...kila kona wizi...lah!!
      mkuu tumekwisha kama makampuni makubwa yanatuibia wanyonge kirahisi hivi,basi kazi ipo

    20. #19
      Mwadada's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th February 2011
      Posts : 125
      Rep Power : 445
      Likes Received
      12
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Daffi
      Tigo ipi kwanza anaongelea?embu tutolee kiwingu hapa!hawa watoto bana!
      Mkuu umeenda mbali du!

    21. #20
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,932
      Rep Power : 5065
      Likes Received
      3204
      Likes Given
      2665

      Default Re: Nimeama tigo rasimi leo

      Du ndo wazamini wa JF

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. TIGO huu sasa Utapeli wa wazi!!
      By Shark in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 9
      Last Post: 7th December 2011, 16:23
    2. Ni wakati sasa tigo mbadili jina
      By Raia Fulani in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 24
      Last Post: 29th November 2011, 16:28
    3. Tigo acheni ubabaishaji, mnakera!
      By mkonomtupu in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 8
      Last Post: 29th November 2011, 16:24
    4. Kwa tabia hii TIGO mnakera
      By Truly in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 23
      Last Post: 24th July 2011, 23:14
    5. tiGO sasa mnaboa!
      By PgSoft2008 in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 20
      Last Post: 24th October 2008, 18:30

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...