Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mabasi ya 'Dar Express' yanahujumiwa?

    Report Post
    Page 1 of 12 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 223
    1. #1
      massai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2011
      Posts : 625
      Rep Power : 533
      Likes Received
      109
      Likes Given
      2

      Default Mabasi ya 'Dar Express' yanahujumiwa?

      Inaskitisha sana kuona hujuma za waziwazi zinazofanywa na mafisadi kuhujumu juhudi binafsi za wazawa katika shughuli nzima za kimaendeleo kama kinachoendelea kwenye mabasi ya Dar Express.

      Angalizo kwa hujuma anyofanyiwa mmiliki wa hayo magari ni kuwa watu wanaelewa kuwa ni mchezo mbaya anafanyiwa huyo bwana na anaefanya hayo yatajulikana tu kwani kaskazini watu huku wanachukia majungu kuliko kitu chochote kile,hayo magari yenu mmnayoleta mtapanda wenyewe na familia zenu.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Limbani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Location : Kisiwani
      Posts : 1,228
      Rep Power : 820
      Likes Received
      255
      Likes Given
      63

      Default re: Mabasi ya 'Dar Express' yanahujumiwa?

      Siasa za chuki hizi, wakina Nape wanataka wote tuwe CCM. Bado naikumbuka kauli ya Sumaye alipowaambia wafanyabiashara wakitaka mambo yao yaende "vizuri" wawe CCM... Lakini yana mwisho haya!!!
      utantambua likes this.
      amidst the mists and coldest frost, he thrust his fists against the posts, and still insists he sees the ghosts...

    4. #3
      mareche's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : arusha
      Posts : 445
      Rep Power : 504
      Likes Received
      58
      Likes Given
      2

      Default re: Mabasi ya 'Dar Express' yanahujumiwa?

      mambo ya mkwerehayo

    5. #4
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,436
      Rep Power : 7357
      Likes Received
      1081
      Likes Given
      1117

      Default re: Mabasi ya 'Dar Express' yanahujumiwa?

      kwa bwana yesu kila goti litapigwa
      Pdidy, Nzi and NashMo like this.
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    6. #5
      Mwakalinga Y. R's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd October 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 2,170
      Rep Power : 974
      Likes Received
      925
      Likes Given
      2289

      Default re: Mabasi ya 'Dar Express' yanahujumiwa?

      Tujuze hizo hujuma kwa sababu wengine kama mimi nimeachwa nja panda
      Mrimi likes this.
      “Even the smallest person can change the course of the future.”-Galadriel



    7. #6
      massai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2011
      Posts : 625
      Rep Power : 533
      Likes Received
      109
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Mwakalinga
      Tujuze hizo hujuma kwa sababu wengine kama mimi nimeachwa nja panda
      wewe kama ni mfuatiliaji habari kwenye vyombo vya habari kama mitandao,tv,radio na vyanzo vingine vya habari kuna mpango unasukwa wa kuleta magari ya kusafirisha abiria ya mafisadi flani,sasa ushindani mkubwa wa kibiashara kwa usafiri wa arusha to dar huyu jamaa wa dar express huduma zake zimevutia watu wengi wanaofanya safari kwenye njia hiyo.lini umesikia hayo magari yamesababisha ajali kubwa kama hyo mengine ambayo kilakukicha huachikusikia yamesababisha ajali,japo kua hakuna anaeweza kutabiri ajali au kupenda litokee,au kutokupata ajali ni ujanja,simaanishi hivyo ila tahadhari inatakiwa ichukuliwe mapema,kivipi.....mfano kuwa na magari yenye standard inayokubalika kimataifa,angalia mabasi ya dar express sio ya kuunga unga kama hayo mengi yaliopo barabarani,angalia madereva wake kuanzia mavazi mpaka muonekano wa mtu,wewe kama ni mlevi na mla mirungi na ulevi wowote pale kazi hupati ndugu yangu,angalia madereva wa magari mengine unawakuta wapo rufly na uhuni usio na mpango barabarani.ustaarabu kwa ujumla pale dar express ni standard yaani unaokidhi haja.
      rmashauri and NashMo like this.

    8. #7
      Mageuzi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th May 2009
      Posts : 32
      Rep Power : 515
      Likes Received
      5
      Likes Given
      5

      Default re: Mabasi ya 'Dar Express' yanahujumiwa?

      spika amewekeza mabasi 8 ktk kampuni ya supafeo,nahisi anajenga mazingira ya kuingia njia ya DAR ARUSHA. vigogo wengine wamewekeza katika usafiri wa mabasi,
      ukweli ni kwamba DAr express ni professional bus service.hawawezi kuwashinda on level playing field wanatumia njia za kihuni.kitu kizuri watu wa njia ya Arusha ni werefu na makini ,wanawajua magamba na mbinu zao,hivyo basi hawawezi kutubadilisha tusitumie bus la DAR EXpress.
      wabadili mbinu
      NashMo likes this.

    9. #8
      tedo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th August 2011
      Location : uchochoroni
      Posts : 5,518
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1261
      Likes Given
      880

      Default re: Mabasi ya 'Dar Express' yanahujumiwa?

      Quote By Inkoskaz
      kwa bwana yesu kila goti litapigwa
      Kwa neema za Mungu
      Inkoskaz likes this.

    10. #9
      mhondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2011
      Posts : 831
      Rep Power : 3810
      Likes Received
      172
      Likes Given
      36

      Default re: Mabasi ya 'Dar Express' yanahujumiwa?

      Nimepishana na basi la Dar Express maeneo ya korogwe leo likiwa na abiria linaonekana linatokea maeneo ya uko kaskazini. Je yamefunguliwa au limeibia? Au mnaoendelea kuandika taarifa hii hamjui kinachoendelea?
      EMT likes this.

    11. #10
      Puppy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2011
      Posts : 1,482
      Rep Power : 682
      Likes Received
      360
      Likes Given
      53

      Default re: Mabasi ya 'Dar Express' yanahujumiwa?

      Watashanga hizo chache zilizobaki zitavyopiga mzigo kipindi hii ya sikukuu..
      Wataona aibu wenyewe.
      Kwa Bwana Yesu Kila Goti Litapigwa
      rmashauri and Inkoskaz like this.

    12. #11
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,436
      Rep Power : 7357
      Likes Received
      1081
      Likes Given
      1117

      Default re: Mabasi ya 'Dar Express' yanahujumiwa?

      Quote By Puppy
      Watashanga hizo chache zilizobaki zitavyopiga mzigo kipindi hii ya sikukuu..
      Wataona aibu wenyewe.
      Kwa Bwana Yesu Kila Goti Litapigwa
      kati ya kampuni zenye uzoefu wa muda mrefu,usalama na uhakika ni Dar Express sasa kutuhamisha mawazo labda hayo mabasi yao watuchaji nauli ya 500/= dar-arusha
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    13. #12
      Ibrah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2007
      Location : TZ
      Posts : 2,883
      Rep Power : 1199
      Likes Received
      402
      Likes Given
      46

      Default re: Mabasi ya 'Dar Express' yanahujumiwa?

      Nashanga Dar Xpress bado wako barabarani kama kawaida pamoja na kufungiwa, kulikoni?

    14. #13
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,436
      Rep Power : 7357
      Likes Received
      1081
      Likes Given
      1117

      Default re: Mabasi ya 'Dar Express' yanahujumiwa?

      Quote By Ibrah
      Nashanga Dar Xpress bado wako barabarani kama kawaida pamoja na kufungiwa, kulikoni?
      wamefungia baadhi ya magari yaliyowahi kupata ajali na sio yote
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    15. #14
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,385
      Rep Power : 12714
      Likes Received
      2195
      Likes Given
      1820

      Default

      Quote By Inkoskaz
      kati ya kampuni zenye uzoefu wa muda mrefu,usalama na uhakika ni Dar Express sasa kutuhamisha mawazo labda hayo mabasi yao watuchaji nauli ya 500/= dar-arusha
      Mkuu pole baada ya hackers kufanya kazi yao,
      Inkoskaz likes this.

    16. #15
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,385
      Rep Power : 12714
      Likes Received
      2195
      Likes Given
      1820

      Default

      Quote By Ibrah
      Nashanga Dar Xpress bado wako barabarani kama kawaida pamoja na kufungiwa, kulikoni?
      Haikufungiwa co yote bali mabasi 15 tu.

    17. #16
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,436
      Rep Power : 7357
      Likes Received
      1081
      Likes Given
      1117

      Default re: Mabasi ya 'Dar Express' yanahujumiwa?

      Quote By Mzee wa Rula
      Mkuu pole baada ya hackers kufanya kazi yao,
      Mzee wa Rula asante sana...ila hii ni mimi mwenyewe mwana wa Umslopogaas
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    18. #17
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,385
      Rep Power : 12714
      Likes Received
      2195
      Likes Given
      1820

      Default

      Quote By Inkoskaz
      Mzee wa Rula asante sana...ila hii ni mimi mwenyewe mwana wa Umslopogaas
      Tupo pamoja mkuu, tujenge nchi yetu.

    19. #18
      gmosha48's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Posts : 805
      Rep Power : 597
      Likes Received
      245
      Likes Given
      474

      Default re: Mabasi ya 'Dar Express' yanahujumiwa?

      Quote By Ibrah
      Nashanga Dar Xpress bado wako barabarani kama kawaida pamoja na kufungiwa, kulikoni?

      Mkuu, Mabasi yaliyofungiwa ni 14 tu. Dar Express wana mabasi zaidi ya 20. Watu wengine wameshkilia mtazamo wa hujuma dhidi ya Dar express bila kufanya hata kautafiti kadogo tu. Sio siri, kama wewe ni mtumiaji wa mara kwa mara wa mabasi ya Dar Express, utakuwa umegundua kuwa ubora wa huduma ya baadhi ya mabasi hayo imeshuka sana katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita. Mimi ni mteja mzuri tu wa kampuni hii. Huwa ninapanda Dar Express walau mara mbili kila mwezi( Dar- Arusha, Arusha -Dar). Katika safari zangu mbili zilizopita, safari yetu iliishia njiani - kisa ubovu wa gari. Tumetoka Dar, kufika chalinze gari ikaanza kuvuja oil sana. Jamaa wakapambana nayo ikatulia. Tulipofika mombo( Mkumbara?), bodi ikakatika na kulalia tairi za nyuma. Hapo ikawa mwisho wa safari yetu. Sikukata tamaa, nikaunga unga safari hadi Arusha. Niliopomaliza shughuli zangu nikaamua kurudi Dar kwa kutumia tena Dar Express. Njiani pancha mara tatu. Tukafika mahali, gari ikienda spidi zaidi ya 80, inayumba sana. haya mambo hayakuwepo siku za nyuma! Isitoshe, kuna baadhi ya madereva wao ni wakorofi mno. mmoja alikuwa akienda kwa kasi sana. Abiria tukapiga kelele. Akapunguza mwendo, akawa anatembea spidi ya kilomota 40 kwa saa- kutoka Segera hadi chalinze!

      Ushauri kwangu kwa mzee Mremi: Ajitahidi kudumisha viwango vya ubora alivyoanza navyo; Awalipe madereva wake vizuri na aweke mfumo mzuri wa kufuatilia maoni kutoka kwa wateja wake.
      Mrimi likes this.
      Ngo'ng'o

    20. #19
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,385
      Rep Power : 12714
      Likes Received
      2195
      Likes Given
      1820

      Default

      Quote By gmosha48
      Mkuu, Mabasi yaliyofungiwa ni 14 tu. Dar Express wana mabasi zaidi ya 20. Watu wengine wameshkilia mtazamo wa hujuma dhidi ya Dar express bila kufanya hata kautafiti kadogo tu. Sio siri, kama wewe ni mtumiaji wa mara kwa mara wa mabasi ya Dar Express, utakuwa umegundua kuwa ubora wa huduma ya baadhi ya mabasi hayo imeshuka sana katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita. Mimi ni mteja mzuri tu wa kampuni hii. Huwa ninapanda Dar Express walau mara mbili kila mwezi( Dar- Arusha, Arusha -Dar). Katika safari zangu mbili zilizopita, safari yetu iliishia njiani - kisa ubovu wa gari. Tumetoka Dar, kufika chalinze gari ikaanza kuvuja oil sana. Jamaa wakapambana nayo ikatulia. Tulipofika mombo( Mkumbara?), bodi ikakatika na kulalia tairi za nyuma. Hapo ikawa mwisho wa safari yetu. Sikukata tamaa, nikaunga unga safari hadi Arusha. Niliopomaliza shughuli zangu nikaamua kurudi Dar kwa kutumia tena Dar Express. Njiani pancha mara tatu. Tukafika mahali, gari ikienda spidi zaidi ya 80, inayumba sana. haya mambo hayakuwepo siku za nyuma! Isitoshe, kuna baadhi ya madereva wao ni wakorofi mno. mmoja alikuwa akienda kwa kasi sana. Abiria tukapiga kelele. Akapunguza mwendo, akawa anatembea spidi ya kilomota 40 kwa saa- kutoka Segera hadi chalinze!

      Ushauri kwangu kwa mzee Mremi: Ajitahidi kudumisha viwango vya ubora alivyoanza navyo; Awalipe madereva wake vizuri na aweke mfumo mzuri wa kufuatilia maoni kutoka kwa wateja wake.
      Upo sahihi sana mkuu, yapata miaka miwili iliyopita niliwahi kusafiri na Dar Express lakini waliniudhi kiasi ambacho niliapa sitarudia tena kupanda basi hilo. Kuanzia hapo nimekuwa nikipanda Kilimanjaro Express mpaka leo na katika safari zangu mara nyingi nimeshuhudia magari mengi ya Dar Express yamekufa njiani.

    21. #20
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,707
      Rep Power : 11284
      Likes Received
      1484
      Likes Given
      574

      Default

      Quote By Inkoskaz
      kwa bwana yesu kila goti litapigwa
      Nakumbuka kama ndiyo maandishi yaliyoandikwa kwenye kila bus la Dar Express!

    Page 1 of 12 12311 ... LastLast

    Similar Topics

    1. T 814 BGZ Kilimanjaro Express
      By dropingcoco in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 37
      Last Post: 30th April 2011, 12:16
    2. how do you express your love
      By TIMING in forum JF Chit-Chat
      Replies: 2
      Last Post: 14th March 2011, 16:49
    3. Basi la dar express lawaka moto
      By cream.b in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 21st December 2010, 14:16

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...