Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tanzania yaongoza SADC, Africa Mashariki uzalishaji viwandani

    Report Post
    Results 1 to 14 of 14
    1. #1
      Bei Mbaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Posts : 1,209
      Rep Power : 675
      Likes Received
      316
      Likes Given
      167

      Default Tanzania yaongoza SADC, Africa Mashariki uzalishaji viwandani

      kwenye mkutano wa CTI uliofanyika jijini Dar es Salaam uliohudhuriwa na wadau wa viwanda na Waziri wa uwezeshaji Bi. Mary Nagu imetangazwa Tanzania kuongoza kwa kasi ya ukuaji wa uzalishaji wa bidhaa za viwandani mbali na nchi kukabiliwa na tatizo la mgao wa umeme kwa muda mrefu sasa

      'utafiti huo unaonyesha kwa kipindi cha mwaka mmoja kufikia sasa ukuaji wa bidhaa viwandani umefikia asilimia nane sawa na Msumbiji. Ni Africa kusini kwa sasa nchi ambayo inazalisha bidhaa nyingi katika eneo la kusini mwa Africa' alisema mwenyekiti CTI Bw. Mosha

      aidha waziri wa uwezeshaji Bi. Nagu aliwaeleza waliohudhuria mkutano huo mgao wa umeme utakuwa historia kwa mikakati iliyowekwa na serikali
      Last edited by Bei Mbaya; 1st October 2011 at 21:24.
      "Mwanzo 9:6. Atakayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake huyo itamwagwa na mwanadamu, maana kwa mfano wake Mungu alimfanya mwanadamu."


    2. #2
      Mzalendo80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2010
      Location : Magogoni, Tanganyika
      Posts : 2,280
      Rep Power : 964
      Likes Received
      821
      Likes Given
      1589

      Default Re: Tanzania yaongoza SADC, Africa Mashariki uzalishaji viwandani

      Huo utafiti umefanywa na CCM?
      The CCM is a crime syndicate, Most members and MPs of CCM are corrupt. No conceince, No brains no nothing, just bunches of criminal and theft. Corruption cost mlalahoi in de street.

    3. #3
      NewDawnTz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2010
      Location : Matejoo
      Posts : 1,677
      Rep Power : 789
      Likes Received
      345
      Likes Given
      163

      Default Re: Tanzania yaongoza SADC, Africa Mashariki uzalishaji viwandani

      Hii dunia haiishi viroja....Tanzania inaongoza uzalishaji wa bidhaa za viwandani? Bidhaa zipi hizo jamani na viwanda gani hivyo?

      Labda vile vya kule kwa ndugu zangu wa Tanga vya kutengeneza tunguli na hirizi
      What is gained by argument is gained forever

    4. #4
      Bei Mbaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Posts : 1,209
      Rep Power : 675
      Likes Received
      316
      Likes Given
      167

      Default Re: Tanzania yaongoza SADC, Africa Mashariki uzalishaji viwandani

      Quote By Mzalendo80 View Post
      Huo utafiti umefanywa na CCM?
      matokeo ya ukuaji wa uzalishaji viwandani ukionyesha kushuka, utafiti utakuwa umefanywa na cuf, D.p, chadema
      Last edited by Bei Mbaya; 1st October 2011 at 21:32.
      "Mwanzo 9:6. Atakayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake huyo itamwagwa na mwanadamu, maana kwa mfano wake Mungu alimfanya mwanadamu."

    5. #5
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Tanzania yaongoza SADC, Africa Mashariki uzalishaji viwandani

      Acha porojo zako wewe,,,,,,south afrika unaiweka wapi?????si ipo sadc????


    6. #6
      Bei Mbaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Posts : 1,209
      Rep Power : 675
      Likes Received
      316
      Likes Given
      167

      Default Re: Tanzania yaongoza SADC, Africa Mashariki uzalishaji viwandani

      Quote By NewDawnTz View Post
      Hii dunia haiishi viroja....Tanzania inaongoza uzalishaji wa bidhaa za viwandani? Bidhaa zipi hizo jamani na viwanda gani hivyo?

      Labda vile vya kule kwa ndugu zangu wa Tanga vya kutengeneza tunguli na hirizi
      mbona uchumi wa nchi nyingi maskini unakuwa kuliko wa ulaya na Amerika
      "Mwanzo 9:6. Atakayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake huyo itamwagwa na mwanadamu, maana kwa mfano wake Mungu alimfanya mwanadamu."

    7. #7
      Shiefl's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Posts : 134
      Rep Power : 464
      Likes Received
      30
      Likes Given
      0

      Default Re: Tanzania yaongoza SADC, Africa Mashariki uzalishaji viwandani

      Na Kenya jee. Walalahoi watakuwa ndio wameandaa hiyo report alosoma Mama Nagu.

    8. #8
      Amoeba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2009
      Posts : 3,330
      Rep Power : 1180
      Likes Received
      438
      Likes Given
      725

      Default Re: Tanzania yaongoza SADC, Africa Mashariki uzalishaji viwandani

      Mleta mada, tafadhali fafanua; Tanzania imeongoza kwa ukuaji wa uzalishaji wa bidhaa viwandani au imeongoza kwa uzalishaji wa bidhaa viwandani? Bado haiingii akilini, Ni viwanda vingapi vpya vinaanzishwa Tanzania kila mwaka, ukitoa inavyofungwa kila mwaka kutokana na sababu mbalimbali! Unaweza kuweka figa hapa! maana naona umeongea juujuu tu; Leta chanzo atleast, maana huenda mimi au wewe tunashindwa kutafsiri ujumbe!
      If you love something, set it free; if it comes back.....its yours,...
      if it doesn't.......hunt it down and
      kill it!

    9. #9
      Bei Mbaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Posts : 1,209
      Rep Power : 675
      Likes Received
      316
      Likes Given
      167

      Default Re: Tanzania yaongoza SADC, Africa Mashariki uzalishaji viwandani

      Quote By Bajabiri View Post
      Acha porojo zako wewe,,,,,,south afrika unaiweka wapi?????si ipo sadc????
      South Africa na nchi nyingi ukanda huu zinazalisha kwa wingi kwa mwaka kulinganisha na Tanzania, lakini growth rate ya uzalishaji yao ipo chini
      "Mwanzo 9:6. Atakayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake huyo itamwagwa na mwanadamu, maana kwa mfano wake Mungu alimfanya mwanadamu."

    10. #10
      utantambua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Posts : 1,283
      Rep Power : 655
      Likes Received
      273
      Likes Given
      776

      Default Re: Tanzania yaongoza SADC, Africa Mashariki uzalishaji viwandani

      Hizi habari wakawapatie magazeti ya udaku yatawaamini, huku wanajisumbua bure

    11. #11
      Bei Mbaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Posts : 1,209
      Rep Power : 675
      Likes Received
      316
      Likes Given
      167

      Default Re: Tanzania yaongoza SADC, Africa Mashariki uzalishaji viwandani

      Quote By Amoeba View Post
      Mleta mada, tafadhali fafanua; Tanzania imeongoza kwa ukuaji wa uzalishaji wa bidhaa viwandani au imeongoza kwa uzalishaji wa bidhaa viwandani? Bado haiingii akilini, Ni viwanda vingapi vpya vinaanzishwa Tanzania kila mwaka, ukitoa inavyofungwa kila mwaka kutokana na sababu mbalimbali! Unaweza kuweka figa hapa! maana naona umeongea juujuu tu; Leta chanzo atleast, maana huenda mimi au wewe tunashindwa kutafsiri ujumbe!
      imeongoza kwa ukuaji wa uzalishaji na sio uzalishaji, soma paragrafu ya kwanza ya thread inavyoeleza
      "Mwanzo 9:6. Atakayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake huyo itamwagwa na mwanadamu, maana kwa mfano wake Mungu alimfanya mwanadamu."

    12. #12
      Bei Mbaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Posts : 1,209
      Rep Power : 675
      Likes Received
      316
      Likes Given
      167

      Default Re: Tanzania yaongoza SADC, Africa Mashariki uzalishaji viwandani

      Quote By utantambua View Post
      Hizi habari wakawapatie magazeti ya udaku yatawaamini, huku wanajisumbua bure
      mbona usomaji wao unafanana na wa kwako, mnatawaliwa na hisia

      soma, elewa kilichoandikwa kwenye paragrafu ya kwanza hasa sentesi bolded
      "Mwanzo 9:6. Atakayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake huyo itamwagwa na mwanadamu, maana kwa mfano wake Mungu alimfanya mwanadamu."

    13. #13
      BONGOLALA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 5,403
      Rep Power : 1581
      Likes Received
      1187
      Likes Given
      194

      Default Re: Tanzania yaongoza SADC, Africa Mashariki uzalishaji viwandani

      usitudanganye sisi sio bongolala sema tunaongoza kwa importation ya bidhaa

    14. #14
      Bei Mbaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Posts : 1,209
      Rep Power : 675
      Likes Received
      316
      Likes Given
      167

      Default Re: Tanzania yaongoza SADC, Africa Mashariki uzalishaji viwandani

      Quote By BONGOLALA View Post
      usitudanganye sisi sio bongolala sema tunaongoza kwa importation ya bidhaa
      hujaelewa maelezo niliyompa Amoeba hapo juu. umesomea fani gani? au aliyesoma biashara/uchumi akueleweshe
      "Mwanzo 9:6. Atakayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake huyo itamwagwa na mwanadamu, maana kwa mfano wake Mungu alimfanya mwanadamu."

    Similar Topics

    1. Replies: 10
      Last Post: 21st October 2011, 21:06
    2. Tanzania ina vio vikuu vingapi africa mashariki
      By MZEE SERENGETI in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 7
      Last Post: 25th September 2011, 14:39
    3. Tanzania ni tishio kwa kitu gani kwa nchi za africa mashariki?
      By segwanga in forum International Forum
      Replies: 40
      Last Post: 22nd August 2011, 19:49
    4. Kenya yaongoza ubora wa vyuo vikuu afrika mashariki
      By KWELIMT in forum Kenyan Politics
      Replies: 1
      Last Post: 10th June 2011, 16:33
    5. Tanzania yaongoza kwa rushwa A. Mashariki
      By MziziMkavu in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 31st July 2010, 02:13

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...