Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwa wanaoifahamu kampuni ya'GNLD'

    Report Post
    Results 1 to 10 of 10
    1. #1
      Babu mchumi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 50
      Rep Power : 409
      Likes Received
      5
      Likes Given
      2

      Default Kwa wanaoifahamu kampuni ya'GNLD'

      Habari zenu tha great thinkes!
      Naomba wanaifaham vizuri kampuni ya GNLD wanieleweshe kama ni kweli inawasaidia members wake,kwani kwa sasa kumekua na ushawishi mkubwa kwa watu ili wajiunge nayo,ninaomba ni ufafanuzi zaidi kwani hata mimi nimepigiwa simu kushawishiwa kujiunga!
      Mkosoaji and serio like this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Shinto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2010
      Posts : 1,783
      Rep Power : 678
      Likes Received
      75
      Likes Given
      10

      Default Re: Kwa wanaoifahamu kampuni ya'GNLD'

      Wewe uliwahi kuwa memmber wa DECI?
      Hilo ni jina lingine la DECI!

      Msitafute utajiri wa rahisi, pesa haitengezwi hivyo kiujanjaujanja tuu!

    4. #3
      pmwasyoke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2010
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 2,461
      Rep Power : 973
      Likes Received
      321
      Likes Given
      423

      Default Re: Kwa wanaoifahamu kampuni ya'GNLD'

      Hiyo GNLD kwa hakika ni pyramid scheme nyingine.

      Pia hakuna uhakika wa madawa yao kufanya kazi - bali yana gharama za kuua mtu!

    5. #4
      Salanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th November 2010
      Location : La Perla del Sur
      Posts : 374
      Rep Power : 506
      Likes Received
      39
      Likes Given
      4

      Default Re: Kwa wanaoifahamu kampuni ya'GNLD'

      GNLD NA forever living products ni kampuni za kimataifa zinazojihusisha ni uuzaji na ununuaji wa madawa katika maradhi na mapungufu mbalimbali .Kiafya products zake zinasifika lakini kibiashara zimekaa kimtindo wa kiunyonyaji kwani zina mfumo wa piramid na kuna ushawishi wa kutengenza pesa kwa haraka lakini wafanikiwao ni wachache.Kifupi ni umachinga fulani hivi wa kumfanyia kazi aliye juu yako. Internationally ,their system of bussiness is quetioned and highly criticised. Kwa maelezo ya kirefu ingia wikipedia utapata maelezo ya kina kabisa. I dont encourage you to have.high expectation whwn joining coz u may fail.

    6. #5
      lufunzo's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 24th July 2012
      Posts : 6
      Rep Power : 345
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa wanaoifahamu kampuni ya'GNLD'

      tatizo tumekubali uharibifu wa mazingira yanayoweza kutupa vitu asilia, so no way! kwa upande wangu bidhaa zinanisaidia sana na kitambo sasa sijaonana na daktari. mtaponda saaana lakini siku mtakumbuka bidhaa lakini itakua too late kama kilichotokea kwa marehemu bingu wa mutharika rais wa zaman wa malawi... siku ikikupata hiyo kansa utakumbuka tu usemi wako. sasa hivi hata masuala ya mapenzi full migogoro! kisa nini? mnadhani tunapata kila kitu katika chakula?

    7. Miaka 50

    8. #6
      Don Kamanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2009
      Posts : 273
      Rep Power : 541
      Likes Received
      34
      Likes Given
      7

      Default Kwa wanaoifahamu kampuni ya'GNLD'

      Quote By pmwasyoke
      Hiyo GNLD kwa hakika ni pyramid scheme nyingine.

      Pia hakuna uhakika wa madawa yao kufanya kazi - bali yana gharama za kuua mtu!
      Tatizo bei kali.
      Last edited by Don Kamanga; 4th December 2012 at 07:34.
      pmwasyoke likes this.
      Don Kamanga

    9. #7
      Shark's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th January 2010
      Posts : 4,573
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1305
      Likes Given
      245

      Default Re: Kwa wanaoifahamu kampuni ya'GNLD'

      What about 4Life iliyopo Mwenge, Jengo la NAKIETE? Nimeambiwa hawa wana bidhaa bora katika haya makampuni.

    10. #8
      mzabzab's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2011
      Posts : 4,355
      Rep Power : 1327
      Likes Received
      1451
      Likes Given
      244

      Default

      Quote By Babu mchumi
      Habari zenu tha great thinkes!
      Naomba wanaifaham vizuri kampuni ya GNLD wanieleweshe kama ni kweli inawasaidia members wake,kwani kwa sasa kumekua na ushawishi mkubwa kwa watu ili wajiunge nayo,ninaomba ni ufafanuzi zaidi kwani hata mimi nimepigiwa simu kushawishiwa kujiunga!
      bwana wee product zao za ukweli bwana hilo sio lakubisha mie mtumiaji na nimzikubali sema pesa ndefu...kizuri gharama.

      kuhusu kufanikiwa. this is a business like any other businness inabitaji commitment na dedication. sasa tatizo kuvwa ni kwamba watu wana angalia tuu oh nitapata mamilion...forgeting kwamba inahitaji juhudi ya kufa mtu. na ata ukienda kwebye semina zao wanakwambia kabisa kuwa its not easy na muwa its a real business andd success comes after struggle.

    11. #9
      Domhome's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2010
      Location : Chimbo
      Posts : 703
      Rep Power : 592
      Likes Received
      182
      Likes Given
      142

      Default Re: Kwa wanaoifahamu kampuni ya'GNLD'

      Quote By Salanga
      GNLD NA forever living products ni kampuni za kimataifa zinazojihusisha ni uuzaji na ununuaji wa madawa katika maradhi na mapungufu mbalimbali .Kiafya products zake zinasifika lakini kibiashara zimekaa kimtindo wa kiunyonyaji kwani zina mfumo wa piramid na kuna ushawishi wa kutengenza pesa kwa haraka lakini wafanikiwao ni wachache.Kifupi ni umachinga fulani hivi wa kumfanyia kazi aliye juu yako. Internationally ,their system of bussiness is quetioned and highly criticised. Kwa maelezo ya kirefu ingia wikipedia utapata maelezo ya kina kabisa. I dont encourage you to have.high expectation whwn joining coz u may fail.
      They call it "Gamble" take care its more than hazard!!
      “It’s now the moment for political baboons to see their backsides” - Time for politicians to look at themselves in the mirror! (Kenyan human right's activist)

    12. #10
      Mkosoaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2009
      Posts : 331
      Rep Power : 562
      Likes Received
      28
      Likes Given
      43

      Default Re: Kwa wanaoifahamu kampuni ya'GNLD'

      Nashauri msimpotoshe mleta mada, hizo product zina ubora mzuri na kampuni zote tatu GNLD, Forever Living na 4Life wanafanya biashara ya Network Marketing na si Pyramid Scheme.

      Tofauti ya MLM (Multi Level Marketing) kulinganisha na Pyramid Scheme ni kuwa ili uweze kufaidika na hayo 'mamilioni' lazima ufanye kazi inayoonekana (kutokana na taratibu za WAZI kampuni ilizojiwekea), faida hiyo ni sehemu tu ya pesa ulizotengeneza katika biashara ya jumla (aidha kwa kuuza bidhaa, kuingiza watu wapya au kutumia binafsi) na inapanda na kushuka kutokana na juhudi yako ya biashara ya kila siku. Katika MLM hakuna kulala nyumbani miezi sita bila kufanya kazi halafu utengeneze pesa, unatengeneza kulingana na kazi uliyofanya. MLM haiangalii nani kaanza mwanzo bali yule anayefanya kazi kwa bidii kuitengenezea kampuni husika biashara.

      'Pyramid Scheme' ni tofauti maana inashawishi uingize pesa mwanzo halafu ukachape usingizi ukisubiri pesa, na faida yake inaangalia aliyewahi mwanzo na wengine wote wanaoingia baadaye ni kumtajirisha wa mwanzo au aliye juu.

      Nashauri msome zaidi ili kutofautisha hizi biashara mbili.

    Similar Topics

    1. Replies: 51
      Last Post: 24th March 2013, 04:21
    2. Forever Living and GNLD Products Business
      By Kaniki1974 in forum Business & Economic Forum
      Replies: 72
      Last Post: 28th April 2012, 17:07
    3. Replies: 12
      Last Post: 16th October 2011, 15:50
    4. Hii kampuni vp???
      By Good boy in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 3
      Last Post: 22nd May 2011, 21:13
    5. Replies: 4
      Last Post: 25th June 2008, 17:49

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...