nilikua naangalia mitandao mbali mbali ya magari ambayo wanaleta magari used hapa Tanzania, Bahati nikapata mtandao ambao umenivutia, unamagari yanayoonekana ni mazuri kwa Picha, lakini kwakua uelewa wangu juu ya biashara hii ya magari ni mdogo, naomba wenye ufahamu mnisaidie.
Je Toyota Opa ni gari ambayo haisumbui spares..
Je inaugonjwa wowote wakudumu ?
wao wamesema Bei ni FOB US$ 2,200/=
JE MPAKA IKIFIKA HAPA DAR KWA UZOEFU WENU KWA MAKADIRIO ITANIPASA NIWE NA KIASI CHA TSH NGAPI ? Baadhi ya taarifa ni hizi.
Year / Month2001/12
Odometer38,000 km
Displacement1,800 cc
Steering Right
Transmission Automatic
Fuel Gasoline/Petrol
Model codeTA-ZCT10
tuendako ni kugumu, tumia kura yako kama turufu kuwashinda mafisadi nchi hii, amani na utulivu isikufanye ushidwe kujipigania, hakuna kulala mpaka kieleweke amka Tanzania
jamani nimepata gari nataka kuwapelekea wazazi wangu Tanzania, ni toyota carina ya 1997, petrol, manual, 1.8L
Nimeinunua kwa $750 na shiping cost ni $1000 mpaka dar. Tafadhali naombeni kama kuna mjuzi anayeweza kunipa gharama za utoaji wa gari hilo hapo bandarini kabla ya kulituma. Asanteni kwa msaada wenu.
Gari la mwaka 1997 mkuu ukifika huku bongo utapigwa uchakavu hadi ushangae!pia mdau kama unataka kuwachukulia wazaz wako gari why uwachukulie mkweche?ingekua ni wewe ungelichukua hilo la 1997?kumbuka gari kuu kuu kwa mafundi kila siku,mara pump,mara gear haziingii,Y usiwachukulie hata Vitz ya mwaka 2004?wanaendesha hadi wanasahau kuna cha fundi wala nini!
Huo ni mtazamo wangu tuu lakini!ila kwa hilo la 1997 kodi jiandae kupigwa 5m plus
Habari zenu wataalamu? Aisee natarajia kununua Gari aina ya Toyota Caldina ya mwaka 2003 na bei yake kwa mujibu wa Autorec Japan (CIF) ni USD 5,570.
Naomba msaada jinsi ya kukalculate kodi kwa gari hiyo ili nione kama naweza kuagiza ama la kulingana na mfuko wangu. Na pia kama ushauri utakuwepo kuhusu gari hiyo.
Re: Msaada: Makdirio ya Kodi kwa Toyota Caldina 2003
ingia kwenye mtandao wa TRA upate RSP ya hiyo gari caldina then ingiza kwenye calculator yao ikupe CIF VALUe ACCORDING TO tra then ingia hapa fanya calculation:
Imported non-utilityvehicles with engine capacity between 1000-1500 cc. The computation of dutiesand taxes will be based on the applicable rates as follows:
-Import duty………………………………………… 25%
-Excise duty on cubiccapacity…………………… 5%
-Excise duty on age……………….. …………… 20%
-VAT………………………………….……………… 18%
Imported non-utility vehicles with engine capacity over 1500cc . The computation of duties and taxes will be based on the applicable ratesas follows:
-Import duty………………………………………… 25%
-Excise duty on cubiccapacity…………………… 10%
-Excise duty on age……………….. …………… 20%
-VAT………………………………….……………… 18%
mkuu ingia kwenye website ya TRA kuna formula ya GARI YANGU itkupa kodi unayotakiwa kulipa,kwa haraka haraka kwa hiyo gari ulioagiza andaa kama 3M ama kodi tu,
jinsi ya tra wanavyo calculate gharama za gari yako
1.wanaangalia hyo gar wkt ikiwa mpya bei yake ilikuwa n kiac gan times(zidisha) kwa 40%(depreciation calculation) mfano hyo opal ya mwaka 2001 ikiwa mpya gharama yake n $30000 then wanazidisha kwa 40%($40000*40%)=$16000
2.then unachukua 0.25*$16000=$4000(c
3ka gari then imetengenezwa zaidi ya miaka 10 nyuma inachajiwa 20%(dumping fees) 20%*16000=$3200
then jumlsha hzo cost zote $16000+$4000+$3200=$23200
4.then chukua 0.18 zidisha kwa hyo jumla ya gharama 0.18*23200=$4176
so $4176 ndo itakuwa chaji ya tra,samahanini ka maelezo yamekuwa marefu n sabab nmetumia kiswahil ili watu wote waelewe
Mkuu hivi Oman kuna raithend au niya lefti hend. na kwanini usituwekee bei zake hapa mfano mimi nahitaji GMC dieseli injin turbochar V8 milango miwili ntaipata kwa bei gani
By OMANORYX
WE HAVE ALL KIND OF VEHICLE NEW/USED SHIPING FROM OMAN TO DAR ESALAM PORT
Re: nishauri juu ya kununua Gari aina ya TOYOTA OPA
By Mazingira
Mkuu si kweli unayosema. Kwenye tradecarview magari yaliyopopale tayari makampuni yake yameonyeshwa na baei za magari yao pia na si kwamba magari yanauzwa na tradecarview, wao ni mkusanyiko tu wa makampuni mengi yanayouza magari. Uzuri wa kwenye tradecarview kuna wigo mkubwa wa kuchagua magari tofauti na hiyo beforward.jp maana nimeangalia ni wachovu kwelikweli hawana Harrier ya kuanzia mwaka 2001 hata moja, Suzuki escudo ya kuanzia mwaka 2001 hakuna hata moja na pia hawaonyeshi mileage ya magari yao kitu ambacho ni hatari maana unaweza kununua gari lililokongoroka hasa. Kuna watu kadha wa kadha niliokaribu nao wamenunua kupitia tradecarview magari mazuri kabisa kwa bei nzuri.
Uzuri wa kununua through Tradecarview, unalindwa dhidi ya matapeli. Utatakiwa kulipia kidogo nadhani ni 5% ya value ya gari kwa huduma hii.Its worthy it maana hutapoteza pesa zako.
Re: Msaada: Makdirio ya Kodi kwa Toyota Caldina 2003
achana nao hao,wana bei kuubwa sana
By yutong
Habari zenu wataalamu? Aisee natarajia kununua Gari aina ya Toyota Caldina ya mwaka 2003 na bei yake kwa mujibu wa Autorec Japan (CIF) ni USD 5,570.
Naomba msaada jinsi ya kukalculate kodi kwa gari hiyo ili nione kama naweza kuagiza ama la kulingana na mfuko wangu. Na pia kama ushauri utakuwepo kuhusu gari hiyo.
Details zake ni kama zilivyo hapa chini:-
Make: SUZUKI
Model: ESCUDO
Body Type: STATION WAGON
Colour: GREEN
Year of manufacture: 1992
Engine capacity: 1590 cc
Fuel: PETROL
Imported direct from Japan. Imetumiwa na mtu 1 tu. Muziki mkubwa, tairi mpya, regular service.
Only serious buyers contact me ([email protected] - 0784599507 or 0713599507)
Nimeamua kuuza kwa kuwa naenda masomoni kwa muda mrefu.
Last edited by Nteturuye; 1st November 2012 at 19:03.
Re: nishauri juu ya kununua Gari aina ya TOYOTA OPA
By Caroline Danzi
Libaba OPAL siyo mchezo, inachagua vituo vya mafuta (wewe utakuwa na undugu wa karibu na BP tu). kuhusu spare sijajua sana ila nilishawahi kusikia watu wanasema eti vifaa vyake ni aghali.
Subiri watu wengine wachangie pia. yangu ni hayo tu
Mkuu naomba nikujibu vizuri sana swali lako kwani mimi ni mtaalamu wa kodi na ndio tunafanya kazi za clearing and forwading, hata kama ukileta mzigo wowote bandarini lazima uwe na Agent wa kukutolea mzigo wako.
kwanza unatakiwa ujue bei ya gari based on CIF (cost, insurance and Freight)
ukishatumiwa tumiwa document tafuta agent wa clearing and forwarding akupe ushauri na gharama
gharama zifuatazo pia usisahau
shipping line charge km dola mia
wharfage charge kama shilingi laki tatu
agent fees kuanzia laki 2 mpka 3
registration fee 330,000
plate number 38,000
kuhusu kodi yake nitakupa jibu sasa hivi
kwa msaada zaidi nicheki [email protected]
mkuu nimeona hiyo opa kwenye page ya be forward na nimecalculate rate za tra nimepata tsh. 3830800/= kwa bei hiyo unamiliki opa yako simply ukiagiza gari yenye ukubwa wa cc zaidi ya 1500 unatoa asilimia 10 ya cif, as exercise fee, 25% ya import fee na vat 18% angalia link hii mkuu kupata gari yako Used OPA TOYOTA for Sale | BF74798 | Japanese Used Cars Exporter BE FORWARD kila la heri
Follow Us Here