USHAURI: Ununuaji wa magari...
nilikua naangalia mitandao mbali mbali ya magari ambayo wanaleta magari used hapa Tanzania, Bahati nikapata mtandao ambao umenivutia, unamagari yanayoonekana ni mazuri kwa Picha, lakini kwakua uelewa wangu juu ya biashara hii ya magari ni mdogo, naomba wenye ufahamu mnisaidie.
Je Toyota Opa ni gari ambayo haisumbui spares..
Je inaugonjwa wowote wakudumu ?
wao wamesema Bei ni FOB US$ 2,200/=
JE MPAKA IKIFIKA HAPA DAR KWA UZOEFU WENU KWA MAKADIRIO ITANIPASA NIWE NA KIASI CHA TSH NGAPI ? Baadhi ya taarifa ni hizi.
Year / Month2001/12
Odometer38,000 km
Displacement1,800 cc
Steering Right
Transmission Automatic
Fuel Gasoline/Petrol
Model codeTA-ZCT10
tuendako ni kugumu, tumia kura yako kama turufu kuwashinda mafisadi nchi hii, amani na utulivu isikufanye ushidwe kujipigania, hakuna kulala mpaka kieleweke amka Tanzania
Follow Us Here