Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: USHAURI: Ununuaji wa magari...

    Report Post
    Page 5 of 10 FirstFirst ... 34567 ... LastLast
    Results 81 to 100 of 193
    1. #1
      libaba PM's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th November 2009
      Posts : 102
      Rep Power : 502
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default USHAURI: Ununuaji wa magari...

      nilikua naangalia mitandao mbali mbali ya magari ambayo wanaleta magari used hapa Tanzania, Bahati nikapata mtandao ambao umenivutia, unamagari yanayoonekana ni mazuri kwa Picha, lakini kwakua uelewa wangu juu ya biashara hii ya magari ni mdogo, naomba wenye ufahamu mnisaidie.

      Je Toyota Opa ni gari ambayo haisumbui spares..
      Je inaugonjwa wowote wakudumu ?
      wao wamesema Bei ni FOB US$ 2,200/=

      JE MPAKA IKIFIKA HAPA DAR KWA UZOEFU WENU KWA MAKADIRIO ITANIPASA NIWE NA KIASI CHA TSH NGAPI ? Baadhi ya taarifa ni hizi.

      Year / Month2001/12
      Odometer38,000 km
      Displacement1,800 cc
      Steering Right
      Transmission Automatic
      Fuel Gasoline/Petrol
      Model codeTA-ZCT10
      cerengeti likes this.
      tuendako ni kugumu, tumia kura yako kama turufu kuwashinda mafisadi nchi hii, amani na utulivu isikufanye ushidwe kujipigania, hakuna kulala mpaka kieleweke amka Tanzania

    2. FemaTV & Radio

    3. #81
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 3,837
      Rep Power : 6963
      Likes Received
      1989
      Likes Given
      1535

      Default re: USHAURI: Ununuaji wa magari...

      Quote By Mentor
      If it is so, mbona tena jamaa ameongelea bima!?? ama hii bima iliyoko kwenye CIF ni ya kusafirisha tu!??
      Yap, hiyo ni ya kusafirisha peke yake. Huku unakuja kulipia bima ya kuendesha gari barabarani.
      Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala

    4. #82
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 3,837
      Rep Power : 6963
      Likes Received
      1989
      Likes Given
      1535

      Default re: USHAURI: Ununuaji wa magari...

      Quote By Mentor
      nataka hiyohiyo cheap kwa sasa...cc 660, ya 2002. lemmie check...thanks mkuu!
      Good lucky with your search
      Last edited by Lukolo; 30th June 2011 at 21:03.
      Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala

    5. #83
      MWENDAKULIMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th July 2009
      Location : Partout
      Posts : 478
      Rep Power : 596
      Likes Received
      98
      Likes Given
      92

      Default re: USHAURI: Ununuaji wa magari...

      Quote By Mentor
      Hawa unakutana nao wapi tena? si umeshainclude mambo yao kwenye jedwali?
      Btw, what does CIF stand for?
      CIF=Cost of the vehicle/commodity +Insurance(to cover risks in the course of shipment) + Freight charge ( shipment charges) upo hapo Mentor?
      Mentor and Lukolo like this.

    6. #84
      mchakachuaji192's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Posts : 291
      Rep Power : 493
      Likes Received
      24
      Likes Given
      14

      Default re: USHAURI: Ununuaji wa magari...

      wanaita evaluation of used cars chek kwenye website ya tra nadhani kuna more details kuhusiana na hili
      Quote By Lukolo
      Thanks mkuu. Ila kuna watu wamenitisha kwamba eti jamaa wanacalculate kwa kuangalia bei ya hiyo gari mpya kwa sasa, wanatafuta deprecion, halafu ndo wanafanyia mahesabu hapo. Inasemekana gharama uliyonunulia hawahesabii. Hapo ndo pananitia woga kidogo.
      Lukolo likes this.
      If everything seems to be going well, you have obviously overlooked something.

    7. #85
      MANI's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 22nd February 2010
      Location : CHINI YA MBUYU
      Posts : 1,906
      Rep Power : 951
      Likes Received
      564
      Likes Given
      627

      Default re: USHAURI: Ununuaji wa magari...

      Lukolo mimi nimeangalia kwenye hiyo table yao bei suzuki kei hawana ila kwa pajero io total taxes tra ni usd 1280.00 x exchange rate na gharama za bandari na shipping line ni kama 300,000.00.
      Lukolo likes this.
      " TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA"

    8. Study Abroad

    9. #86
      MANI's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 22nd February 2010
      Location : CHINI YA MBUYU
      Posts : 1,906
      Rep Power : 951
      Likes Received
      564
      Likes Given
      627

      Default re: USHAURI: Ununuaji wa magari...

      By Lukolo
      Thanks mkuu. Ila kuna watu wamenitisha kwamba eti jamaa wanacalculate kwa kuangalia bei ya hiyo gari mpya kwa sasa, wanatafuta deprecion, halafu ndo wanafanyia mahesabu hapo. Inasemekana gharama uliyonunulia hawahesabii. Hapo ndo pananitia woga kidogo

      Ni kweli mkuu na bei kama ambavyo nimekupa hapo juu cost retail price yao ni usd 11746.00 depreceation 75% unapata total taxes usd 1280.00
      Lukolo likes this.
      " TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA"

    10. #87
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 3,837
      Rep Power : 6963
      Likes Received
      1989
      Likes Given
      1535

      Default re: USHAURI: Ununuaji wa magari...

      Quote By MANI
      Lukolo mimi nimeangalia kwenye hiyo table yao bei suzuki kei hawana ila kwa pajero io total taxes tra ni usd 1280.00 x exchange rate na gharama za bandari na shipping line ni kama 300,000.00.
      Shukurani sana MANI. Angalau nimefarijika kwamba ninaweza kumudu. Ngoja sasa nijipinde kwa ajili ya hiyo Pajero.
      Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala

    11. #88
      Sailor Boy's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Location : juu ya mti
      Posts : 105
      Rep Power : 451
      Likes Received
      5
      Likes Given
      1

      Default re: USHAURI: Ununuaji wa magari...

      mimi nauza alteza gita ina mwezi 1 tangu itoke japan ina engine ya 1g, cc 1980, white imetembea km 136000 IF UA INTERESTED PM ME N IWIL SEND THE PIC TO YOU

    12. #89
      Chief's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2006
      Posts : 955
      Rep Power : 854
      Likes Received
      96
      Likes Given
      229

      Default re: USHAURI: Ununuaji wa magari...

      Quote By NYENJENKURU
      CIF 2,000 USD 3,240,700 TZS
      Import Duty 500 USD 810,175 TZS
      Dumping Fee 500 USD 810,175 TZS
      Excise Duty 150 USD 243,053 TZS
      VAT 567 USD 918,738 TZS
      Total Taxes 1,717 USD 2,782,141 TZS
      Port Charges 150 USD 243,053 TZS
      L/Shipping Line 75 USD 121,526 TZS
      Total Cost
      3,942 USD 6,387,420 TZS


      Hiyo ndo estimate cost kama umenunua leo 30/6/2011.Bado Bima na usumbufu wa jamaa wa TRA..
      Angalizo jamani!! Sasa hivi TRA hawafuati hiyo CIF value. Wanakokotoa kwa kufanya depreciation ya gari based na thamani yake ilipokuwa mpya na imepita miakia mmingapi toka itengenezwe. Nimeagiza gari kwa CIF haizidi $2,600 na sasa agent wangu ananiambia kodi zote ni over Tshs 10million!!!! Huu ni wizi wa mchana kabisa. Gari haijafika bado.
      Maundumula likes this.


    13. #90
      womanizer's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th June 2011
      Posts : 107
      Rep Power : 0
      Likes Received
      17
      Likes Given
      3

      Default re: USHAURI: Ununuaji wa magari...

      Jenga nyumba kwanza wewe, unawaza kununua gari halafu unaenda kupaki kituo cha polisi? Hiyo akili au matope. Halafu mkikosa hela ya mafuta mnakuwa wa kwanza kulaumu serikali imeshindwa kazi, wakati watu hamjui hata vipaumbele.

    14. #91
      Jimbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th August 2010
      Location : ILALA
      Posts : 738
      Rep Power : 591
      Likes Received
      131
      Likes Given
      547

      Default re: USHAURI: Ununuaji wa magari...

      Quote By womanizer
      Jenga nyumba kwanza wewe, unawaza kununua gari halafu unaenda kupaki kituo cha polisi? Hiyo akili au matope. Halafu mkikosa hela ya mafuta mnakuwa wa kwanza kulaumu serikali imeshindwa kazi, wakati watu hamjui hata vipaumbele.
      mkuu! unaendelea kutoa sumu hadi huku? vipi ile ishu ya mishahara kupanda imefikia wapi?
      Tumaini Jipya likes this.

    15. #92
      Jimbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th August 2010
      Location : ILALA
      Posts : 738
      Rep Power : 591
      Likes Received
      131
      Likes Given
      547

      Default re: USHAURI: Ununuaji wa magari...

      Quote By NYENJENKURU
      CIF 2,000 USD 3,240,700 TZS
      Import Duty 500 USD 810,175 TZS
      Dumping Fee 500 USD 810,175 TZS
      Excise Duty 150 USD 243,053 TZS
      VAT 567 USD 918,738 TZS
      Total Taxes 1,717 USD 2,782,141 TZS
      Port Charges 150 USD 243,053 TZS
      L/Shipping Line 75 USD 121,526 TZS
      Total Cost
      3,942 USD 6,387,420 TZS

      Hiyo ndo estimate cost kama umenunua leo 30/6/2011.Bado Bima na usumbufu wa jamaa wa TRA..
      mkuu! thanks kwa info. hivi taasisi gani ambazo zina pata nafuu ya hizi kodi zote?

    16. #93
      Ozzie's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 9th October 2007
      Location : Jo'burg
      Posts : 1,006
      Rep Power : 794
      Likes Received
      270
      Likes Given
      74

      Default Naomba Ushauri: Jinsi ya kununua gari lililotumika toka UK kupeleka Tanzania

      Wana JF,
      Kuna ndugu wa karibu ambaye anataka kununua gari lililotumika toka Uingereza na kulipeleka Tanzania. Kaniomba ushauri kuhusu namna ya kufanya au kama ninamfahamu dealer yeyote anayejihusisha na biashara hii. Bahati mbaya sijawahi agiza gari toka Uingereza na sijui dealer yeyote aliyepo Tanzania. Nilishawahi kuambiwa kwamba magari mengi yauzwayo toka Uingereza huwa hayawi na ubora sawa na picha za kwenye mtandao, yaani yanaweza yakawa machakavu zaidi ya yalivyooneshwa na pia ati ni ghali kununua gari Uingereza ukilinganisha na kununua Japan. Sijajua kama hivi vitu ni kweli, ila viliniogopesha toka mwanzo. Sasa tupeane ushauri kutokana na uzoefu wa watu walioagiza magari yao Uingereza, na pia kama kuna dealers wowote wanaojihusisha na uuzaji wa magari toka Uingereza (na hata Ulaya kwa jumla) naomba tufahamishane.
      "It's not the votes that count. It's who counts the votes" - Josef Stalin

    17. #94
      Idofi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2010
      Posts : 356
      Rep Power : 498
      Likes Received
      16
      Likes Given
      1

      Default Re: Naomba Ushauri: Jinsi ya kununua gari lililotumika toka UK kupeleka Tanzania

      una mtu unayemwamini uk? kama yupo chagua gari kwenye mtandao wa aoutotraders uk ila uwe na tumia post code ya uk ya huoyo mtu, then mtume huyo mtu akalikague kabla hujatum,a pesa, kuna makampuni ya wa tz uk wanasafirisha magari na vifaa vingine

    18. #95
      babu M's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2010
      Location : Tanga
      Posts : 1,414
      Rep Power : 812
      Likes Received
      203
      Likes Given
      307

      Default Re: Naomba Ushauri: Jinsi ya kununua gari lililotumika toka UK kupeleka Tanzania

      Quote By Ozzie
      Wana JF,
      Kuna ndugu wa karibu ambaye anataka kununua gari lililotumika toka Uingereza na kulipeleka Tanzania. Kaniomba ushauri kuhusu namna ya kufanya au kama ninamfahamu dealer yeyote anayejihusisha na biashara hii. Bahati mbaya sijawahi agiza gari toka Uingereza na sijui dealer yeyote aliyepo Tanzania. Sijajua kama hivi vitu ni kweli, ila viliniogopesha toka mwanzo. Sasa tupeane ushauri kutokana na uzoefu wa watu walioagiza magari yao Uingereza, na pia kama kuna dealers wowote wanaojihusisha na uuzaji wa magari toka Uingereza (na hata Ulaya kwa jumla) naomba tufahamishane.
      Angalia WWW.AUTOTRADER.CO.UK kuna aina ya kila gari.Ungekuwa huko UK ningekushauri pia utembelee auctions

      Quote By Ozzie
      Nilishawahi kuambiwa kwamba magari mengi yauzwayo toka Uingereza huwa hayawi na ubora sawa na picha za kwenye mtandao, yaani yanaweza yakawa machakavu zaidi ya yalivyooneshwa.
      Si Uingereza tu, Hili tatizo lipo kila nchi kwa sababu madhumuni ni kuuza gari, wataweka picha za sehemu itakayo kuvutia.

      However Mwaka wa gari, mileage, picha na wengine wanaweka maelezo gari ilikuwa inatumika kwenye mazingira ya aina gani vita kusaidia kukupa hali halisi ya gari


      Quote By Ozzie
      na pia ati ni ghali kununua gari Uingereza ukilinganisha na kununua Japan.
      Inategemea na aina ya gari.Kwa mafano,Scania na Jaguar ni raisi UK kuliko Japan lakini ukinunua Land Cruiser kutoka UK kuna uwezekano kwa asilimia kubwa utakuwa umeingia choo cha kike
      Last edited by babu M; 11th September 2011 at 12:58.

    19. #96
      Ozzie's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 9th October 2007
      Location : Jo'burg
      Posts : 1,006
      Rep Power : 794
      Likes Received
      270
      Likes Given
      74

      Default Re: Naomba Ushauri: Jinsi ya kununua gari lililotumika toka UK kupeleka Tanzania

      Quote By Idofi
      una mtu unayemwamini uk? kama yupo chagua gari kwenye mtandao wa aoutotraders uk ila uwe na tumia post code ya uk ya huoyo mtu, then mtume huyo mtu akalikague kabla hujatum,a pesa, kuna makampuni ya wa tz uk wanasafirisha magari na vifaa vingine
      Yeah, nina vijana Milton Keynes na London...
      "It's not the votes that count. It's who counts the votes" - Josef Stalin

    20. #97
      Ozzie's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 9th October 2007
      Location : Jo'burg
      Posts : 1,006
      Rep Power : 794
      Likes Received
      270
      Likes Given
      74

      Default Re: Naomba Ushauri: Jinsi ya kununua gari lililotumika toka UK kupeleka Tanzania

      Quote By babu M
      Angalia WWW.AUTOTRADER.CO.UK kuna aina ya kila gari.Ungekuwa huko UK ningekushauri pia utembelee auctions

      Si Uingereza tu, Hili tatizo lipo kila nchi kwa sababu madhumuni ni kuuza gari, wataweka picha za sehemu itakayo kuvutia.

      However Mwaka wa gari, mileage, picha na wengine wanaweka maelezo gari ilikuwa inatumika kwenye mazingira ya aina gani vita kusaidia kukupa hali halisi ya gari


      Inategemea na aina ya gari.Kwa mafano,Scania na Jaguary ni raisi UK kuliko Japan lakini ukinunua Land Cruiser kutoka UK kuna uwezekano kwa asilimia kubwa utakuwa umeingia choo cha kike
      Asante sana mkuu, umenipa elimu ya kutosha
      "It's not the votes that count. It's who counts the votes" - Josef Stalin

    21. #98
      Hute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 1,402
      Rep Power : 710
      Likes Received
      354
      Likes Given
      23

      Default Re: Naomba Ushauri: Jinsi ya kununua gari lililotumika toka UK kupeleka Tanzania

      hayo magari ya UK, vipi kuhusu spare zake? hapa bongo zinapatinaka? mfano, BMW au volkswagen polo, hapa bongo spare zake zipo za kutosha jamani...mwenye fununu anisaidie kwasababu mimi mwenyewe nilikuwa nataka volkswagen polo toka UK au Japan....msaada please!
      Kama huna meno,usile bisi, kula Bwimbwi yaani kimbugi. Uongozi ukikushinda waachie wanaoweza!

    22. #99
      OSHOSENY's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 11th September 2011
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Naomba Ushauri: Jinsi ya kununua gari lililotumika toka UK kupeleka Tanzania

      babu M likes this.

    23. #100
      Daady's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd July 2010
      Posts : 53
      Rep Power : 458
      Likes Received
      14
      Likes Given
      11

      Default Re: Naomba Ushauri: Jinsi ya kununua gari lililotumika toka UK kupeleka Tanzania

      Advise from personal experience:
      ingia website za autotraders kama ambavyo wengi wameshauri hapo juu, angalia gari unayopenda, then uwe na mtu kule akalithibitishe then ulipie, dealers wengi wanataka pounds cash. Kuhusu kutuma kua kaka yake dewji yuko london ndio kazi yake miaka mingi, sikumbuki website yake, anatuma magri tz na ni mwaminifu sana. Kuhusu spare zipo nyingi ingawa inategemea na aina ya gari, mfano Quanshai ni gari latest na zipo kule hapa tz ukileta zitasumbua maana hakuna spare hadi uagizie nje.
      Nadhani nitakuwa nimekusaidia sana.

    24. Miaka 50
    Page 5 of 10 FirstFirst ... 34567 ... LastLast

    Similar Topics

    1. naoma ushauri wa kununua gari
      By Akili Kichwani in forum Matangazo madogo
      Replies: 10
      Last Post: 30th October 2011, 14:14
    2. Naombeni ushauri ya manunuzi ya gari
      By Bizzly in forum Matangazo madogo
      Replies: 2
      Last Post: 13th October 2011, 06:53
    3. NATAKA KUNUNUA TV KWENYE WEBSITE YA www.alibaba.com NAOMBENI USHAURI
      By Original Pastor in forum Matangazo madogo
      Replies: 28
      Last Post: 27th April 2010, 10:31

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...