nilikua naangalia mitandao mbali mbali ya magari ambayo wanaleta magari used hapa Tanzania, Bahati nikapata mtandao ambao umenivutia, unamagari yanayoonekana ni mazuri kwa Picha, lakini kwakua uelewa wangu juu ya biashara hii ya magari ni mdogo, naomba wenye ufahamu mnisaidie.
Je Toyota Opa ni gari ambayo haisumbui spares..
Je inaugonjwa wowote wakudumu ?
wao wamesema Bei ni FOB US$ 2,200/=
JE MPAKA IKIFIKA HAPA DAR KWA UZOEFU WENU KWA MAKADIRIO ITANIPASA NIWE NA KIASI CHA TSH NGAPI ? Baadhi ya taarifa ni hizi.
Year / Month2001/12
Odometer38,000 km
Displacement1,800 cc
Steering Right
Transmission Automatic
Fuel Gasoline/Petrol
Model codeTA-ZCT10
tuendako ni kugumu, tumia kura yako kama turufu kuwashinda mafisadi nchi hii, amani na utulivu isikufanye ushidwe kujipigania, hakuna kulala mpaka kieleweke amka Tanzania
Mwenzenu ninataka kuagiza gari, but nataka the most fuel economical car kwa kuzingatia hali ya foleni nchini Tanzania. Sasa nina option hizi mbili. Mitsubishi Pajero Jr (cc 1100) ya 1995 CIF yake ni around 2000, Na nyingine ni Suzuki Kei (cc 660) ya mwaka 2000 CIF yake ni 2000. Ninajua kwamba kutakuwa na ile dumping cost, but kwangu ni nafuu, kwa kuzingatia kwamba magari aina hii ya mwaka 2002 bei zake zipo juu sana. Sasa ninaomba mnishauri ipi kati ya hizi ni better? Pili kwa magari kama haya inaweza ikanigharimu bei gani kuyatoa pale bandarini? maana ile calculator ya TRA imenishinda kuitumia.
Nitashukuru sana kwa ushauri wenu.
Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala
Mkubwa sina uzoefu sana na hili ila nitajibu kutokana na nilivyosikia kwa wadau mbali mbali, kuwa gharama za kulitoa pale bandarini andaa mahela yanayokaribia hela ulonunulia au nusu ya bei ulonunulia, hope wengine watakuja kuongezea hapo wenye ujuzi zaidi
By Lukolo
Mwenzenu ninataka kuagiza gari, but nataka the most fuel economical car kwa kuzingatia hali ya foleni nchini Tanzania. Sasa nina option hizi mbili. Mitsubishi Pajero Jr (cc 1100) ya 1995 CIF yake ni around 2000, Na nyingine ni Suzuki Kei (cc 660) ya mwaka 2050 CIF yake ni 2000. Ninajua kwamba kutakuwa na ile dumping cost, but kwangu ni nafuu, kwa kuzingatia kwamba magari aina hii ya mwaka 2002 bei zake zipo juu sana. Sasa ninaomba mnishauri ipi kati ya hizi ni better? Pili kwa magari kama haya inaweza ikanigharimu bei gani kuyatoa pale bandarini? maana ile calculator ya TRA imenishinda kuitumia.
Nitashukuru sana kwa ushauri wenu.
Mkubwa sina uzoefu sana na hili ila nitajibu kutokana na nilivyosikia kwa wadau mbali mbali, kuwa gharama za kulitoa pale bandarini andaa mahela yanayokaribia hela ulonunulia au nusu ya bei ulonunulia, hope wengine watakuja kuongezea hapo wenye ujuzi zaidi
Thanks mkuu. Ila kuna watu wamenitisha kwamba eti jamaa wanacalculate kwa kuangalia bei ya hiyo gari mpya kwa sasa, wanatafuta deprecion, halafu ndo wanafanyia mahesabu hapo. Inasemekana gharama uliyonunulia hawahesabii. Hapo ndo pananitia woga kidogo.
Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala
Jeshi la kujenga taifa wametangaza kutengeneza magar i mazuri kwa ajili ya barabara ya tanzania kwa msaada zaidi wasiliana na nyumbu watakusaidia hili
wazo tu
Mwenzenu ninataka kuagiza gari, but nataka the most fuel economical car kwa kuzingatia hali ya foleni nchini Tanzania. Sasa nina option hizi mbili. Mitsubishi Pajero Jr (cc 1100) ya 1995 CIF yake ni around 2000, Na nyingine ni Suzuki Kei (cc 660) ya mwaka 2050 CIF yake ni 2000. Ninajua kwamba kutakuwa na ile dumping cost, but kwangu ni nafuu, kwa kuzingatia kwamba magari aina hii ya mwaka 2002 bei zake zipo juu sana. Sasa ninaomba mnishauri ipi kati ya hizi ni better? Pili kwa magari kama haya inaweza ikanigharimu bei gani kuyatoa pale bandarini? maana ile calculator ya TRA imenishinda kuitumia.
Nitashukuru sana kwa ushauri wenu.
Aisee hata mimi nitaomba kuiba michango ya hii post...ninataka kununua ka Suzuki kei mkubwa cha kunitoa mbagala to posta kwa kweli...ebu nipe details unaiimport from wapi? how much?...natanguliza shukrani.
kuhusu malipo bandarini nimeambia rates zimepanda siku hizi..ati wanacalculate kwa kutumia value ya gari ikiwa mpya not the condition it is in when bought/imported.
Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala
Heshima mbele Wa Ndima. Kabla ya kupost hapa nilifungua hiyo site, nikakuta msg inayoeleza kwamba calculations zimebadilika na wakanidirect kwenye website ya TRA. Ambako nimedownload ile calculator yao, lakini nikaona inanichanganya katika kutumia.
Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala
Aisee hata mimi nitaomba kuiba michango ya hii post...ninataka kununua ka Suzuki kei mkubwa cha kunitoa mbagala to posta kwa kweli...ebu nipe details unaiimport from wapi? how much?...natanguliza shukrani.
kuhusu malipo bandarini nimeambia rates zimepanda siku hizi..ati wanacalculate kwa kutumia value ya gari ikiwa mpya not the condition it is in when bought/imported.
Naimport from Japan, through tradecarview. itategemea na gari unayoitaka. kama ni ya miaka ya 2002, bei zake zipo kubwa kidogo. lakini, nataka nijue kwanza gharama za bongo kabla sijajitumbukiza kuagiza. maana unaweza kujikuta unaiacha gari bandarini.
Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala
Hiyo ndo estimate cost kama umenunua leo 30/6/2011.Bado Bima na usumbufu wa jamaa wa TRA..
Bahati mbaya tu kwamba kitufe cha thanks kimeondolewa. But nashukuru sana mkuu. Lakini hii ni ya gari ipi? Ile yenye cc 660 au mitsubishi yenye cc 1100?
Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala
Hawa unakutana nao wapi tena? si umeshainclude mambo yao kwenye jedwali?
Btw, what does CIF stand for?
CIF sina uhakika kuhusu kirefu chake, but inajumuisha gharama ya gari ikiwa japan, gharama ya kusafirisha hadi Tanzania, pamoja na gharama za insurance ya hiyo gari.
Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala
Naimport from Japan, through tradecarview. itategemea na gari unayoitaka. kama ni ya miaka ya 2002, bei zake zipo kubwa kidogo. lakini, nataka nijue kwanza gharama za bongo kabla sijajitumbukiza kuagiza. maana unaweza kujikuta unaiacha gari bandarini.
Ukisoma maelezo vyema ya hiyo site kuna namna na maelekezo ya jinsi ya kuagiza gari na hatua za kuchukua mkuu, ile ya TRA file ya excel hata mimi inanichanganya
CIF sina uhakika kuhusu kirefu chake, but inajumuisha gharama ya gari ikiwa japan, gharama ya kusafirisha hadi Tanzania, pamoja na gharama za insurance ya hiyo gari.
If it is so, mbona tena jamaa ameongelea bima!?? ama hii bima iliyoko kwenye CIF ni ya kusafirisha tu!??
"Be an example.." 1 Timothy 4:12
Irere lya Isembo ni ndeu - Benki ya mjinga ni tumbo lake.
Mndu Kangikunda naware rero Lyako..John 14:23
Naimport from Japan, through tradecarview. itategemea na gari unayoitaka. kama ni ya miaka ya 2002, bei zake zipo kubwa kidogo. lakini, nataka nijue kwanza gharama za bongo kabla sijajitumbukiza kuagiza. maana unaweza kujikuta unaiacha gari bandarini.
nataka hiyohiyo cheap kwa sasa...cc 660, ya 2002. lemmie check...thanks mkuu!
Ukisoma maelezo vyema ya hiyo site kuna namna na maelekezo ya jinsi ya kuagiza gari na hatua za kuchukua mkuu, ile ya TRA file ya excel hata mimi inanichanganya
yap, nimecheki zile steps za kucalculate kodi and the likes, lakini kilichonishangaza, majibu niliyopata mwisho hayakuwa na tofauti na yale ya kwenye Welcome to GariYangu.com - GariYangu.Com. Hapo ndo nikashindwa kuelewa kilichoongezeka ni nini na kilichobadilika ni nini? That is why nikaja huku kuomba msaada. Otherwise kama steps zinazotumika pale zipo sahihi, basi jedwali la Nyenjenkuru linaweza kuwa limetoa majibu.
Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala
Follow Us Here