Natafuta Kazi Usalama Wa taifa - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Business & Economic Forum


Business & Economic Forum This' a place where contributors with an interest in business or economics can "meet" and discuss issues of importance to the business and economics matters. Register to comment here!


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 26th June 2008, 03:16 PM   #1
Natafuta Kazi Usalama Wa taifa
Gembe Gembe is offline 26th June 2008, 03:16 PM

Natafuta kazi Usalama wa Taifa,hata leo naomba mnipe tena naomba mnipe mapema
Nahitaji kazi ambayo nitaifanya kwa malipo madogo ila kwa ajili ya wanajamii
Nataka kuwasaidia kuwajua kwa undani wale waliochukua Pesa za EPA ili wajulikane
Nataka niajiliwe ili nionane na Rais na nimwambie yaliyo moyoni mwa watanzania


Nataka kazi usalama ili na mie nichukue pesa za EPA na niwagawie watanzania Masikini
Nataka tu sababu najua nikiwaomba pesa kwa njia ya kawaida hawatanipa.
Nafuta kazi ili niwape watanzania habari wanazotaka kujua
Niko tayari kufanya nao kazi kwa masharti ya uwazi na ukweli

Nataka Rais Ajue kwamba watu wanafanya ufisadi wa khali ya juu kwasababu ni rafikize
Nataka nimwambie Rais jinsi wachache wanavyowadharau walio wengi
Nataka nimwambie Rais ni watu wangapi mpaka sasa ni mafisadi wakubwa
Nataka kazi usalama ili nimjue vizuri rais wetu na tabia yake ya maamuzi

Nataka kazi usalama ili nifanye uchunguzi kuhusu BOT,
Nataka nimjue mmiliki wa Kagoda alipewa shilingi ngapi ?
Nataka niwajue waliorudisha Pesa za EPA mpaka sasa
Nataka kazi Usalama ili niwaambie watanzania ukweli ni wapi alipo Balali

Nataka kazi Usalama wa taifa ili nitoe majibu kuhusu Chenge
Natafuta kazi usalama ili niwaambie jinsi Dili ya RDC ilivyosukwa
Natafuta kazi ili nijue je Rais anawachukuliaje walihsuika na Richmond
Nataka kujua ni kwanini serikali hawatoi majibu ya Ripoti ya Richmons na EPA


Natafuta kazi siyo kwa ajili ya kumlinda Kada wa CCM wala kiongozi
Natafuta kazi ili kulisnda heshima ya nchi yetu
Natafuta kazi ili nchi hii iwathamini wafanyakazi na wakulima
Niko tayari kwa mshahara mdogo ila niwe huru kuwaambia wananchi

Ndiyo nataka Kazi Usalama wa Taifa na nataka Nafasi ya Ukurugenzi ndiyo ninayo itaka
__________________
As long as I am leader, Our position is not going to change from that of our forefathers. I do not want the responsibility for selling the rights of our children yet unborn

 
Gembe's Avatar
Gembe
JF Senior Expert Member
Points: 1,172,087, Level: 100 Points: 1,172,087, Level: 100 Points: 1,172,087, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
Join Date: Tue Sep 2007
Location: kamnyonge
Posts: 2,386
Thanks: 40
Thanked 55 Times in 30 Posts
Views: 5255
Reply With Quote
  #2  
Old 26th June 2008, 03:36 PM
Gembe's Avatar
Gembe Gembe is offline
Gembe ni mshauri
JF Senior Expert Member
Points: 1,172,087, Level: 100 Points: 1,172,087, Level: 100 Points: 1,172,087, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Tue Sep 2007
Location: kamnyonge
Posts: 2,386
Thanks: 40
Thanked 55 Times in 30 Posts
Rep Power: 67
Gembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the rough
Default Re: Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Nataka kuwa nifuate Nyayo za John Githongo..
In January 2003 he was appointed to the position of Permanent Secretary for Governance and Ethics by the incoming president Kibaki, who had been elected on an anti-corruption platform. He resigned from his position on February 7 2005 without comment, though it was reported that he felt the government lacked commitment to ending corruption and that he had received death threats. As a result of his resignation international aid to Kenya was cut. He remains a powerful advocate against corruption.

On 22 January 2006, Githongo named Vice-President Moody Awori as one of four top politicians (with Kiraitu Murungi, former justice minister and present energy minister; finance minister David Mwiraria and former transport minister Chris Murungaru) as being involved in scams worth $600m – known as the Anglo Leasing scandal. He also claimed that President Kibaki was complicit in the affair. The scandal centred around the award of a huge contract given to Anglo-Leasing – a company that did not exist.

Githongo claimed that the money raised would have funded the government's forthcoming election campaign. These allegations were denied by Awori and Murungaru and an investigation was promised
__________________
As long as I am leader, Our position is not going to change from that of our forefathers. I do not want the responsibility for selling the rights of our children yet unborn
Reply With Quote
  #3  
Old 26th June 2008, 03:39 PM
Mzee Mwanakijiji's Avatar
Mzee Mwanakijiji Mzee Mwanakijiji is online now
Mzee Mwanakijiji anawashangaa wanaoitetea sheria mbovu
JF Premium Member
Points: 12,962,452, Level: 100 Points: 12,962,452, Level: 100 Points: 12,962,452, Level: 100
Activity: 93% Activity: 93% Activity: 93%
 
Join Date: Fri Mar 2006
Location: Kijijini
Posts: 18,450
Thanks: 8,431
Thanked 4,623 Times in 1,296 Posts
Rep Power: 44
Mzee Mwanakijiji is on a distinguished roadMzee Mwanakijiji is on a distinguished road
Send a message via MSN to Mzee Mwanakijiji Send a message via Skype™ to Mzee Mwanakijiji
Default Re: Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

mzee utakuwa unatishia maslahi ya watu...
__________________
Nchi hii imewahi kung' oa masultani wa kila aina. Tukianza kuvumilia masultani wakuchaguliwa tutapanda mbegu ya masultani wa kuzaliwa. - Nyerere katika "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania"
Reply With Quote
  #4  
Old 26th June 2008, 03:45 PM
Sanda Matuta's Avatar
Sanda Matuta Sanda Matuta is offline
Sanda Matuta has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 371,334, Level: 100 Points: 371,334, Level: 100 Points: 371,334, Level: 100
Activity: 20% Activity: 20% Activity: 20%
 
Join Date: Wed May 2007
Location: Mlingotini
Posts: 889
Thanks: 82
Thanked 88 Times in 56 Posts
Rep Power: 24
Sanda Matuta will become famous soon enoughSanda Matuta will become famous soon enoughSanda Matuta will become famous soon enoughSanda Matuta will become famous soon enoughSanda Matuta will become famous soon enoughSanda Matuta will become famous soon enoughSanda Matuta will become famous soon enoughSanda Matuta will become famous soon enough
Default Re: Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Quote:
View Post
Nataka kuwa nifuate Nyayo za John Githongo..
In January 2003 he was appointed to the position of Permanent Secretary for Governance and Ethics by the incoming president Kibaki, who had been elected on an anti-corruption platform. He resigned from his position on February 7 2005 without comment, though it was reported that he felt the government lacked commitment to ending corruption and that he had received death threats. As a result of his resignation international aid to Kenya was cut. He remains a powerful advocate against corruption.

On 22 January 2006, Githongo named Vice-President Moody Awori as one of four top politicians (with Kiraitu Murungi, former justice minister and present energy minister; finance minister David Mwiraria and former transport minister Chris Murungaru) as being involved in scams worth $600m – known as the Anglo Leasing scandal. He also claimed that President Kibaki was complicit in the affair. The scandal centred around the award of a huge contract given to Anglo-Leasing – a company that did not exist.

Githongo claimed that the money raised would have funded the government's forthcoming election campaign. These allegations were denied by Awori and Murungaru and an investigation was promised

Kazi hamna.

Ila UMESHAJIFUKUZISHA KAZI KWA MANUFAA YA UMMA (mafisadi)
Reply With Quote
  #5  
Old 26th June 2008, 03:51 PM
Gembe's Avatar
Gembe Gembe is offline
Gembe ni mshauri
JF Senior Expert Member
Points: 1,172,087, Level: 100 Points: 1,172,087, Level: 100 Points: 1,172,087, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Tue Sep 2007
Location: kamnyonge
Posts: 2,386
Thanks: 40
Thanked 55 Times in 30 Posts
Rep Power: 67
Gembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the roughGembe is a jewel in the rough
Default Re: Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Quote:
View Post
Kazi hamna.

Ila UMESHAJIFUKUZISHA KAZI KWA MANUFAA YA UMMA (mafisadi)
Mkuu natafuta kazi kwa nguvu,nataka RAis aniteue ili nichukue nafasi ya Ukrugenzi.

Mheshimiwa Rais Naomba japo kwa Miezi Miwili tu
__________________
As long as I am leader, Our position is not going to change from that of our forefathers. I do not want the responsibility for selling the rights of our children yet unborn
Reply With Quote
  #6  
Old 26th June 2008, 04:03 PM
moshe dayan moshe dayan is offline
moshe dayan LUCIFER
Senior Member
Points: 74,857, Level: 100 Points: 74,857, Level: 100 Points: 74,857, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Feb 2008
Location: haifa-israel
Posts: 117
Thanks: 1
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 23
moshe dayan will become famous soon enoughmoshe dayan will become famous soon enoughmoshe dayan will become famous soon enoughmoshe dayan will become famous soon enoughmoshe dayan will become famous soon enoughmoshe dayan will become famous soon enoughmoshe dayan will become famous soon enoughmoshe dayan will become famous soon enough
Default Re: Natafuta Kazi Usalama Wa taifa



Usalama wa Taifa ilikua zamani, sasa hivi vimejaa vitoto vya mafisadi ambavyo vikilewa tu vinajigamba vinafanya kazi kule.Undugulization on its prime.Yaani ile kitu waiscrap yote isukwe upya from scratch.

Sasa hivi kule juu wamejaa watu hawana taaluma.agency za wenzetu huwa wanaajiri the best people kuongoza taasisi kama hizi.just like kipindi cha nyerere, the best ndo walikua wanashika top notch.

Kwahiyo hata kama una nia nzuri ya kujiunga nao, think again, watakuua, wamejaa watu wanaolindiana maslahi na ndo maana wakiacha kazi kule wanakua wabunge wa CCM, hivi ni nani yule alimwangusha arcado ntagazwa?
__________________
WHO DARES, WINS!
Reply With Quote
  #7  
Old 26th June 2008, 04:13 PM
FairPlayer's Avatar
FairPlayer FairPlayer is offline
FairPlayer is rolling ball fairly
JF Premium Member
Points: 726,059, Level: 100 Points: 726,059, Level: 100 Points: 726,059, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Mon Feb 2006
Location: UK
Posts: 3,360
Thanks: 51
Thanked 184 Times in 122 Posts
Rep Power: 30
FairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enoughFairPlayer will become famous soon enough
Default Re: Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Mmmmh Aisee kwa style hiyo watakutowesha duniani haraka sana!

Ila nimependa attitude hiyo.
__________________
A positive thinker!
Reply With Quote
  #8  
Old 26th June 2008, 04:20 PM
AmaniGK AmaniGK is offline
AmaniGK just watching
JF Premium Member
Points: 110,272, Level: 100 Points: 110,272, Level: 100 Points: 110,272, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Thu Jan 2008
Location: MAHALI FLANI
Posts: 628
Thanks: 164
Thanked 102 Times in 64 Posts
Rep Power: 24
AmaniGK will become famous soon enoughAmaniGK will become famous soon enoughAmaniGK will become famous soon enoughAmaniGK will become famous soon enoughAmaniGK will become famous soon enoughAmaniGK will become famous soon enoughAmaniGK will become famous soon enoughAmaniGK will become famous soon enough
Default Re: Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Wee Gembe wewe!! Wee Gembe we haya tu! Unataka kuvuta sigara kule pa kuwashia!!!
__________________
He who wants to keep his garden tidy doesn't reserve a plot for weeds
Reply With Quote
  #9  
Old 26th June 2008, 04:36 PM
Single D's Avatar
Single D Single D is offline
Single D has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 95,552, Level: 100 Points: 95,552, Level: 100 Points: 95,552, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Feb 2007
Location: Duniani
Posts: 439
Thanks: 2
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 24
Single D will become famous soon enoughSingle D will become famous soon enoughSingle D will become famous soon enoughSingle D will become famous soon enoughSingle D will become famous soon enoughSingle D will become famous soon enoughSingle D will become famous soon enoughSingle D will become famous soon enough
Default Re: Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Gembe umenichekesha sana,
Leo hii umeshasahau yale yaliyomkuta kijana wa shule kule Ukerewe alipoumuuliza EL swali la kiongozi mmoja kuhodhi madaraka mengi?

Aisee Nenda tu ofisi hizo kuu za serikali jitambulishe,Wapo pia misikitini,makanisani,mashirika ya umma na hata katika vyuo vingi utawapata ilimradi tu ukubali kufa kutetea maslahi yao.

Nakutakia kila la heri
__________________
'Without unity, there is no future for Africa' J.K.Nyerere,1997,Accra Ghana.
Reply With Quote
  #10  
Old 26th June 2008, 04:36 PM
Pundit's Avatar
Pundit Pundit is offline
Pundit listening to The NYT on kindle2
JF Senior Expert Member
Points: 619,293, Level: 100 Points: 619,293, Level: 100 Points: 619,293, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Feb 2007
Posts: 3,936
Thanks: 0
Thanked 10 Times in 8 Posts
Rep Power: 153
Pundit is a splendid one to beholdPundit is a splendid one to beholdPundit is a splendid one to beholdPundit is a splendid one to beholdPundit is a splendid one to beholdPundit is a splendid one to beholdPundit is a splendid one to beholdPundit is a splendid one to beholdPundit is a splendid one to beholdPundit is a splendid one to beholdPundit is a splendid one to behold
Default Re: Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Unless unataka kutumia rhetoric kupeleka ujumbe, wanaotaka kazi usalama wa taifa hawaandiki kwenye forum wazi kama hii na wanaoandika kwenye forum wazi kama hii hawataki kazi usalama wa taifa.
__________________
Pundit is sitting out Christmas
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
kazi, natafuta, taifa, usalama


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Kazi ya kuubomoa upinzani ndiyo imeanza ama inatekelezwa? Mugishagwe Jukwaa la Siasa 12 2nd February 2010 10:21 AM
Usalama wa Taifa: Mpo likizo? Game Theory Jamii Intelligence 244 19th October 2009 03:02 PM
Dr.WHO na ujumbe wake: Je, Mangapi Aliyosema Yana Ukweli? Steve Dii Habari na Hoja mchanganyiko 59 18th June 2009 08:54 PM
Mazingaombwe ya REDET .... Utafiti mpya wabaini:Watanzania hawana imani na mawaziri Keil Jukwaa la Siasa 44 7th December 2007 08:13 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 04:33 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com