Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nataka kuacha kazi nisimamie biashara yangu lakini naogopa-naomba ushauri

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 28
    1. #1
      FADHILIEJ's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Location : TANZANIA
      Posts : 91
      Rep Power : 451
      Likes Received
      7
      Likes Given
      5

      Default Nataka kuacha kazi nisimamie biashara yangu lakini naogopa-naomba ushauri

      Wana JF nimekuwa muajiriwa kwenye NGO Moja kwa takriban miaka kumi.
      Imefika wakati nataka kuacha ili nipate muda wa kutosha kusimamia biashara yangu japo ni ndogo.
      Kinachonisumbua ni hofu ya kuacha kazi.naombeni nishaurini nitumie mbinu gani?

    2. Study Abroad

    3. #2
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,244
      Rep Power : 2620
      Likes Received
      1288
      Likes Given
      834

      Default Re: Nataka kuacha kazi nisimamie biashara yangu lakini naogopa-naomba ushauri

      Tatizo unang'atwa na hofu. Angalia kama mapato ya biashara yako in terms of net profit kwa mwezi ni zaidi net salary yako. kwa mwezi. Cha pili angalia opportunity cost. Uko huru zaidi upande gani. Pia angalia uendelevu wa biashara yako kwa miaka 5 ijayo kama itakuwepo. Angalia una ujuzi gani na hiyo biashara pamoja na washindani wako ktk soko. Last but not least angalia uthubutu wako katika kujiajiri-entrepreneural ability. Hii ni rasilimali muhimu sana. Baada ya hapo kata shauri
      Wakumwitu likes this.

    4. #3
      BASIASI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2010
      Posts : 1,400
      Rep Power : 780
      Likes Received
      201
      Likes Given
      172

      Default Re: Nataka kuacha kazi nisimamie biashara yangu lakini naogopa-naomba ushauri

      miaka kumi unafanyaa nini yotee kwanza umechelewa na bado una nafasi mkuu kamua kivyako
      tuko nyuma yako

    5. #4
      Gurta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th September 2010
      Location : Mang'ola
      Posts : 1,938
      Rep Power : 905
      Likes Received
      374
      Likes Given
      481

      Default Re: Nataka kuacha kazi nisimamie biashara yangu lakini naogopa-naomba ushauri

      Haupo tayari, endelea na kibarua chako hapo NGO mkuu usitafute presha bure. In short you are not a 'business-type' guy, you are a 'salary-type' guy
      My IGNORANCE amuses me!

    6. #5
      VIKWAZO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2011
      Location : Ukonga (uk)
      Posts : 1,603
      Rep Power : 743
      Likes Received
      457
      Likes Given
      397

      Default Re: Nataka kuacha kazi nisimamie biashara yangu lakini naogopa-naomba ushauri

      pamoja na ushauri wa mkuu hapo chini kama biashara yako ina wateja wa uhakika kwa kipindi cha miaka mitano ijayo na na kama inaweza kupanuka kama ikinderezwa bora kusimamia biashara.
      lakini pia ni ukuweka detail za kutosha hapa, utopata ushauri wa maana au kukusaidia


      Quote By Raia Fulani
      Tatizo unang'atwa na hofu. Angalia kama mapato ya biashara yako in terms of net profit kwa mwezi ni zaidi net salary yako. kwa mwezi. Cha pili angalia opportunity cost. Uko huru zaidi upande gani. Pia angalia uendelevu wa biashara yako kwa miaka 5 ijayo kama itakuwepo. Angalia una ujuzi gani na hiyo biashara pamoja na washindani wako ktk soko. Last but not least angalia uthubutu wako katika kujiajiri-entrepreneural ability. Hii ni rasilimali muhimu sana. Baada ya hapo kata shauri
      ----> nchi yetu ni ya vimemo

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Babkey's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th December 2010
      Posts : 1,987
      Rep Power : 913
      Likes Received
      398
      Likes Given
      162

      Default Re: Nataka kuacha kazi nisimamie biashara yangu lakini naogopa-naomba ushauri

      Wasiwasi ni akili mpendwa.
      Ni vema ukaangalia faida unazopata kibaruani kwako na biashara pia. Uhakika ni muhimu juu ya mwendelezo wa biashara yenyewe isije kuwa ni ya msimu tu.
      Endelea kutumia kazi kama dhamana kama haikubani sana katika shughuli zako binafsi. Ukipata faida kotekote huoni kuwa inalipa zaidi?

    9. #7
      Wakumwitu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2011
      Posts : 359
      Rep Power : 493
      Likes Received
      64
      Likes Given
      53

      Default Re: Nataka kuacha kazi nisimamie biashara yangu lakini naogopa-naomba ushauri

      Kuna Professor wangu mmoja amenifundisha enterpreneurship and Innovation alituambia darasani hivi. Alifanya kazi makampuni makubwa mf IBM nk. akwa anasema niligundua siwezi kuwa President akaacha, akaend akampuni nyingine vilevile akaacha kwa sababu hiyohiyo. Alipokuwa na umri wa miaka 37 akaamua kuacha kazi zote akaanza shughulizake binafsi. Na toka wakati huo hajawahi kuludi nyuma. NA sasa biashara zake zina mtaji wa Dola Ml.3 za kimarekani. almost 4.5 billion kwa hela za madafu.

      Sasa basi angalia Business Plan yako for the next 3 to 5 years. Tengeneza Income Statement Projection for that period.. na kwa kuwa umekuwa nayo tayari haitakusumbua kujua Annual Revenue generation na expenses zake. Pili angalia Balance Sheet yako inasemaji in terms of equity( chako ni kiasi gani na Benki ama business patner wako) Alafu mwisho Cash flow kwa kipindi chote cha miaka utayoamua.

      Hii itakusaidia kujua ni faida kiasi gani unapata kwa mwaka, hata kwa mwezi. Then hapo utakuwa na uhakika wa kujua kuwa biashara itaendelea ama lah.. Kinachoshinda wengi ni kutosimama kwa misingi ya biashara aliyoweka mwenyewe.

      UKiweza kuwa na business plan nzuri na ukaisimamia basi hutokuwa na hofu ya kuacha hiyo kazi unayofanya

      Option nyingine unaweza endelea na kazi yako lakini ukai monitor kwa results produced kwa uliowaajiiri but business plan ni muhimu mkuu.

      All the best
      Charles Mtekateka likes this.
      "Mkumbuke muumba wako siku za ujana wako"

    10. #8
      Manumbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2009
      Location : Close to U
      Posts : 1,127
      Rep Power : 723
      Likes Received
      259
      Likes Given
      760

      Default Re: Nataka kuacha kazi nisimamie biashara yangu lakini naogopa-naomba ushauri

      niliwahi kusoma katuni kwenye newsweek zamani kidogo. kanuni ya kwanza ya kujitegemea kwenye soko huria ni kuruka toka kwenye ndege angani ukiwa na parachuti. lazima uiache ndege (sehemu salama) kwanza. halafu ukishaanza kudondoka ndo unafungua hilo parachuti lililoko mgongoni kwako. kwanza huna uhakika kama litafunguka. lakini pia huna uhakika litakapofunguka litakupeleka mpaka wapi. kwa hiyo hofu ya yote hayo lazima uwe nayo kabla ya kuacha kazi ujitegemee. na katika kuweka mambo sawa ndo maana unashauriwa kutazama mambo mengi kwa marefu na mapana. ila kikubwa sana cha kutambua ni kuwa huwezi kuwa tajiri kwa kuajiriwa...haipo. ukitaka kuwa tajiri lazima ujiajiri!
      Mr. Miela and Pearl like this.

    11. #9
      FADHILIEJ's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Location : TANZANIA
      Posts : 91
      Rep Power : 451
      Likes Received
      7
      Likes Given
      5

      Default Re: Nataka kuacha kazi nisimamie biashara yangu lakini naogopa-naomba ushauri

      Nashukuru kwa mawazo yote mazuri,
      nimepaata idea mpya kwamba labda nichukue likizo isiyo na malipo kwa miezi mitatu plus annual leave nisome ramani na kuondoa hofu,kikieleweka basi niachie ngazi,

      mnasemaje?
      kila lenye mwanzo lina mwisho,

    12. #10
      Kaseko's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th February 2011
      Posts : 159
      Rep Power : 449
      Likes Received
      30
      Likes Given
      0

      Default Re: Nataka kuacha kazi nisimamie biashara yangu lakini naogopa-naomba ushauri

      fanya vyote mpaka hapo ajira itakapokoma, sababu biznes yako imetokana na ajira, ukiacha ajira bizness ina bankrupt sure nakueleza. Continue doing reseach on that.

    13. #11
      Mama Joe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2009
      Posts : 601
      Rep Power : 1041
      Likes Received
      166
      Likes Given
      214

      Default Re: Nataka kuacha kazi nisimamie biashara yangu lakini naogopa-naomba ushauri

      Quote By FADHILIEJ
      Nashukuru kwa mawazo yote mazuri,
      nimepaata idea mpya kwamba labda nichukue likizo isiyo na malipo kwa miezi mitatu plus annual leave nisome ramani na kuondoa hofu,kikieleweka basi niachie ngazi,

      mnasemaje?
      Hii ndiyo naona ni sawa maana inaonekana hujawi kutokuwa muajiriwa kabisa, pia angalia uwezekanao wa kutotumia mshahara wako kabisa kwa miezi sita ukitegemea hiyo biahsara tu, I mean iwe inajizungusha yenyewe na kuweza kukupa mahitaji yako na faida kiasi, ili ukiacha usiwe na hofu. hat ahiyvo muda huo ni mfupi na inaweza kukupa picha nzuri au mbaya kwa iyo angalia other factors ambazo zimechangia kwa kipindi utakapokuwa unafanya evaluation mfano kupanda na kushuka shilingi etc.

    14. #12
      babalao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2006
      Location : Daresalaam
      Posts : 418
      Rep Power : 759
      Likes Received
      38
      Likes Given
      4

      Default Re: Nataka kuacha kazi nisimamie biashara yangu lakini naogopa-naomba ushauri

      Angalia kipato kama biashara yako inaingiza faida kiasi sawa na mshahara wako unaweza kuacha na kujiunga na biashara yako kama unaweza kuishi bila kuchukua mshahara wako zaidi ya miezi 6 unaweza kuacha kazi vinginevyo endelea na kazi ukiacha utajuta.

    15. #13
      Mgombezi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2009
      Posts : 628
      Rep Power : 642
      Likes Received
      130
      Likes Given
      139

      Default Re: Nataka kuacha kazi nisimamie biashara yangu lakini naogopa-naomba ushauri

      Quote By Babkey
      Wasiwasi ni akili mpendwa.
      Ni vema ukaangalia faida unazopata kibaruani kwako na biashara pia. Uhakika ni muhimu juu ya mwendelezo wa biashara yenyewe isije kuwa ni ya msimu tu.
      Endelea kutumia kazi kama dhamana kama haikubani sana katika shughuli zako binafsi. Ukipata faida kotekote huoni kuwa inalipa zaidi?
      "Uoga wako ndio umaskini wako!!" - Kanyagio (JF Senior Expert Member)
      Ebenezer

    16. LAT
      #14
      LAT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 4,526
      Rep Power : 1498
      Likes Received
      1156
      Likes Given
      1659

      Default Re: Nataka kuacha kazi nisimamie biashara yangu lakini naogopa-naomba ushauri

      mwisho wa siku lazima urudi kujiaajiri ....hata pensheni huisha kama hujajiandaa...... tafakari chukua hatua mapema

      be strong and decide
      "Esprit de Corps"

    17. #15
      Akiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 982
      Rep Power : 635
      Likes Received
      101
      Likes Given
      140

      Default

      Quote By Gurta
      Haupo tayari, endelea na kibarua chako hapo NGO mkuu usitafute presha bure. In short you are not a 'business-type' guy, you are a 'salary-type' guy
      mkuu umenena. Huyu jamaa bado kwenye kujiajiri. Nadhani endelea na kazi yako na tafuta muda wa kujifunza zaidi kuhusu hiyo biashara mpaka hapo utakaporidhika kwamba hiyo biashara inaripa. Binafsi nilijitoa muhanga nikaacha kibaru na kujikita kwenye kikampuni changu.sasa si haba nimetoka kwenye sole proprietor naelekea kuwa limited

    18. LAT
      #16
      LAT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 4,526
      Rep Power : 1498
      Likes Received
      1156
      Likes Given
      1659

      Default Re: Nataka kuacha kazi nisimamie biashara yangu lakini naogopa-naomba ushauri

      Quote By FADHILIEJ
      Nashukuru kwa mawazo yote mazuri,
      nimepaata idea mpya kwamba labda nichukue likizo isiyo na malipo kwa miezi mitatu plus annual leave nisome ramani na kuondoa hofu,kikieleweka basi niachie ngazi,

      mnasemaje?
      mkuu ... kwenye ujasiriamali usithubutu kujaribisha au kufanya vitu mguu nje mwingine ndani .... fanya maamuzi ... after all kwenye ujasiriamali siyo siku zote mambo ni mazuri ..kuna up and downs ...
      "Esprit de Corps"

    19. #17
      Arkad's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Location : Russia
      Posts : 25
      Rep Power : 427
      Likes Received
      7
      Likes Given
      4

      Default

      Biashara ni kitu kinachoweza kujiendesha chenyewe ndani ya mwaka mzima bila uwepo wako. Sasa nionavyo mimi hapo utakuwa umebadirisha ajira sio kusimamia biashara.
      Usiache kazi.

    20. #18
      FUSO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2010
      Posts : 2,904
      Rep Power : 1024
      Likes Received
      750
      Likes Given
      330

      Default Re: Nataka kuacha kazi nisimamie biashara yangu lakini naogopa-naomba ushauri

      Tumia hesabu ifuatayo:

      Chukua mshahara wako kwa mwezi gawanya kwa 30 then utapata kiasi gani kwa siku, then ringanisha na pato lako la siku kwenye biashara yako.

      Kama tofauti yake ni 5% plus or minus then upo safi, hakuna haja ya kuogopa.

      Angalia product yako kama ina demand kubwa kwenye current na future market, if YES then mwaga manyanga kazini - chukua nusu NSSF yako baada ya miezi sita wekeza kwenye biashara.

      Baada ya miaka 5 utakuwa mbali sana- Kama mkeo anafanya kazi we mwache aendelee huko usimwachishe.

      Tatizo wengi ni woga wa kuacha kazi.

    21. #19
      FUSO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2010
      Posts : 2,904
      Rep Power : 1024
      Likes Received
      750
      Likes Given
      330

      Default Re: Nataka kuacha kazi nisimamie biashara yangu lakini naogopa-naomba ushauri

      Quote By Wakumwitu
      Kuna Professor wangu mmoja amenifundisha enterpreneurship and Innovation alituambia darasani hivi. Alifanya kazi makampuni makubwa mf IBM nk. akwa anasema niligundua siwezi kuwa President akaacha, akaend akampuni nyingine vilevile akaacha kwa sababu hiyohiyo. Alipokuwa na umri wa miaka 37 akaamua kuacha kazi zote akaanza shughulizake binafsi. Na toka wakati huo hajawahi kuludi nyuma. NA sasa biashara zake zina mtaji wa Dola Ml.3 za kimarekani. almost 4.5 billion kwa hela za madafu.

      Sasa basi angalia Business Plan yako for the next 3 to 5 years. Tengeneza Income Statement Projection for that period.. na kwa kuwa umekuwa nayo tayari haitakusumbua kujua Annual Revenue generation na expenses zake. Pili angalia Balance Sheet yako inasemaji in terms of equity( chako ni kiasi gani na Benki ama business patner wako) Alafu mwisho Cash flow kwa kipindi chote cha miaka utayoamua.

      Hii itakusaidia kujua ni faida kiasi gani unapata kwa mwaka, hata kwa mwezi. Then hapo utakuwa na uhakika wa kujua kuwa biashara itaendelea ama lah.. Kinachoshinda wengi ni kutosimama kwa misingi ya biashara aliyoweka mwenyewe.

      UKiweza kuwa na business plan nzuri na ukaisimamia basi hutokuwa na hofu ya kuacha hiyo kazi unayofanya

      Option nyingine unaweza endelea na kazi yako lakini ukai monitor kwa results produced kwa uliowaajiiri but business plan ni muhimu mkuu.

      All the best
      duh hapo kwenye blue ndiyo kikwazo, wengi wetu business plan zetu ni vichwani kwetu. mambo ya kuandika andika as if unaenda kuomba mkopo benki duh.

    22. #20
      Mihayo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th April 2010
      Posts : 207
      Rep Power : 503
      Likes Received
      37
      Likes Given
      9

      Default Re: Nataka kuacha kazi nisimamie biashara yangu lakini naogopa-naomba ushauri

      Mkuu niliacha kazi 7 years a go kusimamia biashara yangu na sikuwa na willing ya my wife and my mother, but I decided it. Ni ngumu kwa kiasi fulani kwani 3 months down the line mambo yaliharika sana baada ya kuugua na vijana niliowaajiri kunichakachua. Sikukata tamaa nilipigana kiume na ninavyo andika niko napambana na my wife ameamua kujoin the boat from last year. Hivyo karibu sana mzee uwanjani pambana na utafanikiwa. Kwa taarifa tu nilipoamua kuacha my gross salary it was aroung 6.7m

    23. Miaka 50
    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Nataka kuuza biashara yangu
      By SUYA in forum Business & Economic Forum
      Replies: 13
      Last Post: 20th August 2011, 00:47
    2. Replies: 2
      Last Post: 13th August 2011, 20:38
    3. Nataka kuacha kazi - Msaada wa kisheria
      By Ozzie in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 6
      Last Post: 2nd June 2011, 07:03
    4. Nataka kuacha kazi, nimepata nyingine yenye maslahi mazuri zaidi.....Msaada!!!
      By matunge in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 3
      Last Post: 16th April 2011, 22:10
    5. Ushauri wa kuacha kazi
      By Enny in forum Nafasi za Kazi na Tenda
      Replies: 26
      Last Post: 7th November 2010, 04:17

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...