Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mtaji miioni 60 naweza kufanya biashara gani?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 21
    1. #1
      TITOP002's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th August 2009
      Posts : 30
      Rep Power : 502
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Mtaji miioni 60 naweza kufanya biashara gani?

      Ndugu wanajamii,kwa kifupi nategemea kupata mkopo toka Bank moja hapa
      Dar essalaam kwa kuweka nyumba yangu kama collateral(security).
      original business idea ilikuwa ni kufungua nursary ambayo baadaye inge turn into
      secondary school.Lakini kwa mtazamo wa haraka,naona kama hii biashara yahitaji
      mtaji mkubwa kuweza kuwa na shule ya kiwango cha juu-kusurvive competition.Na kwa upande mwingine shule binafsi zimekuwa nyingi sana na serikali inazidi kujenga shule za kata.Nikiangalia mbele naona giza kwa watu wenye mitaji midogo na hasa baada ya watu wenye uwezo kuanza kuwekeza kwenye mashule na huku maisha ya working class yakizidi kuwa magumu siku baada ya siku.
      Aina ya biashara isiwe NAFAKA wala HARDWARES(vifaa vya ujenzi).

      Ombi langu ni: wapi naweza ku invest hii pesa? Location -Dar.
      Hiyo investment naomba iwe ni yenye turnover kubwa ili niweze kulipa
      mkopo ndani ya miaka miwili au tatu kuepuka riba kubwa ya Miaka 5.


      Natanguliza shukrani,kwa msaada wowote wa kimawazo.

      Davidson!!
      Last edited by TITOP002; 5th February 2011 at 16:53.

    2. Miaka 50

    3. #2
      mfanyaji's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 68
      Rep Power : 433
      Likes Received
      7
      Likes Given
      322

      Default re: Mtaji miioni 60 naweza kufanya biashara gani?

      tafuta business consultant naamini unaweza fanya mengi kwa hiyo hela na ukizingatia ni mkopo lazima utumie kwa akili
      bado nipo nipo sana.

    4. #3
      Logo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th January 2011
      Location : TZ
      Posts : 579
      Rep Power : 536
      Likes Received
      46
      Likes Given
      6

      Default re: Mtaji miioni 60 naweza kufanya biashara gani?

      Anzisha media house! Mfano radio na video production hasa hasa radio itakulipa sana! mzee mazunguse nipo bega kwa bega nawewe utakuala faida!

      Quote By TITOP002
      Ndugu wanajamii,kwa kifupi nategemea kupata mkopo toka Bank moja hapa
      Dar essalaam kwa kuweka nyumba yangu kama collateral(security).
      original business idea ilikuwa ni kufungua nursary ambayo baadaye inge turn into
      secondary school.Lakini kwa mtazamo wa haraka,naona kama hii biashara yahitaji
      mtaji mkubwa kuweza kuwa na shule ya kiwango cha juu-kusurvive competition.Na kwa upande mwingine shule binafsi zimekuwa nyingi sana na serikali inazidi kujenga shule za kata.Nikiangalia mbele naona giza kwa watu wenye mitaji midogo na hasa baada ya watu wenye uwezo kuanza kuwekeza kwenye mashule na huku maisha ya working class yakizidi kuwa magumu siku baada ya siku.

      Ombi langu ni: wapi naweza ku invest hii pesa?
      hiyo investment naomaba iwe ni yenye turnover kubwa ili niweze kulipa
      mkopo ndani ya miaka miwili au tatu kuepuka riba kubwa ya Miaka 5.

      Natanguliza shukrani,kwa msaada wowote wa kimawazo.

      Davidson!!

    5. LAT
      #4
      LAT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 4,526
      Rep Power : 1498
      Likes Received
      1156
      Likes Given
      1659

      Default re: Mtaji miioni 60 naweza kufanya biashara gani?

      mkuu... geographical location yako ni wapi ..?

      hapa Dar ?
      "Esprit de Corps"

    6. #5
      Kituko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2009
      Posts : 3,706
      Rep Power : 1285
      Likes Received
      490
      Likes Given
      173

      Default re: Mtaji miioni 60 naweza kufanya biashara gani?

      mbona kuna post kama hii imekuja na ilikuwa na same contest na ilichangiwa sana, ni mtu mmoja ama tofauti?

    7. FemaTV & Radio

    8. LAT
      #6
      LAT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 4,526
      Rep Power : 1498
      Likes Received
      1156
      Likes Given
      1659

      Default re: Mtaji miioni 60 naweza kufanya biashara gani?

      Quote By Kituko
      mbona kuna post kama hii imekuja na ilikuwa na same contest na ilichangiwa sana, ni mtu mmoja ama tofauti?
      mkuu...siyo huyu ...ukiangalia profile yake kwenye started threads...... hakuna topic kama hii ...labda ni mtu mwingine
      "Esprit de Corps"

    9. #7
      Ntemi Kazwile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2010
      Location : Bongo salidalam
      Posts : 1,872
      Rep Power : 832
      Likes Received
      135
      Likes Given
      442

      Default re: Mtaji miioni 60 naweza kufanya biashara gani?

      Nunua ng'ombe, mbuzi ufuge. Maeneo ya kufugia yapo Kilwa (kule serikali ilipowapeleka wasukuma kutokea Ihefu). Kwa 60m unaweza kununua ng'ombe 100 @ 200,000 na mbuzi 200 @ 10,000 ukinunua sasa (ambao ndio msimu wa kununulia) unaweza kuwauza hao ng'ombe/mbuzi November-December kwa Ng'ombe Tshs500,000-700,000 na mbuzi 40,000...

      Hapo utakuwa umetumia kama 30m hivi kwa ajiri ya kununua ng'ombe/mbuzi, kupata eneo na kuweka miundombinu kama nyumba, n.k. ndani ya mwaka mmoja utaweza kupata kati ya 55m na 65m
      Last edited by Ntemi Kazwile; 5th February 2011 at 10:36. Reason: additional info
      “If people are not laughing at your dreams at least once a week, you are aiming too low.” Robin Sharma.

    10. #8
      hashycool's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2010
      Location : network search....
      Posts : 4,957
      Rep Power : 1456
      Likes Received
      559
      Likes Given
      141

      Default re: Mtaji miioni 60 naweza kufanya biashara gani?

      dont tell me bank wamekupa mkopo bila kujua unaenda kufanyia nini!
      hivi vrusi vya H.I.V na wewe nani mchokozi?

    11. #9
      Sita Sita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th August 2008
      Location : Jamii Forums
      Posts : 871
      Rep Power : 721
      Likes Received
      91
      Likes Given
      99

      Default re: Mtaji miioni 60 naweza kufanya biashara gani?

      Aisee wewe unakopa hela nyingi hivo bila kuweka strategy kwanza unategemea mawazo ya JF?

      Angalia nyumba isiuzwe mkuu

    12. #10
      VoiceOfReason's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Everywhere
      Posts : 5,239
      Rep Power : 1894
      Likes Received
      1152
      Likes Given
      603

      Default re: Mtaji miioni 60 naweza kufanya biashara gani?

      Quote By Sita Sita
      Aisee wewe unakopa hela nyingi hivo bila kuweka strategy kwanza unategemea mawazo ya JF?

      Angalia nyumba isiuzwe mkuu
      Kweli hapa tunaweza kusema....
      "Putting a Cart infront of a Horse"
      Even a Genius Asks Questions....

    13. SMU
      #11
      SMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2008
      Location : Mavurunza
      Posts : 4,527
      Rep Power : 3809
      Likes Received
      1309
      Likes Given
      1916

      Default re: Mtaji miioni 60 naweza kufanya biashara gani?

      Million 60,000,000(sawa na tzs 60,000,000,000,000)! Hakuna bank hata moja hapa tz inaweza kukukopesha pesa yote hiyo.

    14. #12
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,319
      Rep Power : 12953
      Likes Received
      4590
      Likes Given
      2499

      Default re: Mtaji miioni 60 naweza kufanya biashara gani?

      millioni 60,000,000 means Million sixty millions?! (milioni 60 milioni ?)

    15. #13
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,319
      Rep Power : 12953
      Likes Received
      4590
      Likes Given
      2499

      Default re: Mtaji miioni 60 naweza kufanya biashara gani?

      Duh! SMU naona tumeona tatizo moja kwa wakati mmoja!

    16. #14
      KakaJambazi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 5th June 2009
      Posts : 4,244
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1069
      Likes Given
      935

      Default re: Mtaji miioni 60 naweza kufanya biashara gani?

      Lini utazi draw mkuu.

    17. #15
      mjasiria's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2011
      Posts : 645
      Rep Power : 552
      Likes Received
      155
      Likes Given
      2380

      Default Re: Mtaji miioni 60 naweza kufanya biashara gani?

      Quote By KakaJambazi
      Lini utazi draw mkuu.
      Unataka kumlia mingo nini??haahahahahaha

    18. #16
      Mtanganyika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2007
      Location : US
      Posts : 1,357
      Rep Power : 1281
      Likes Received
      106
      Likes Given
      20

      Default Re: Mtaji miioni 60 naweza kufanya biashara gani?

      Dont borrow the money. Take it from a business developer.

      Nenda kajue unataka kufanya nini kwanza, weka pesa zako kiasi kwenye biashara akangalia growth then ndio uinject cash ya kukopa.
      If a free society cannot help the many who are poor, it cannot save the few who are rich.

    19. #17
      Mrekebishaji's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th March 2009
      Posts : 133
      Rep Power : 544
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Mtaji miioni 60 naweza kufanya biashara gani?

      Ndugu hbr yako. Naomba msaada wa namna ya kupata hati ya nyumba kwa haraka na pia jinsi ya kupata mkopo benki. Tafadhali ni PM. Kuhusu biashara gani itakufaa, naomba pia ni PM nikupe mawazo mazuri, ninayo mengi utachagua wewe tu. mimi kwa sasa nina nyumba ya thamani kama 60 mil. tatizo langu ni kupata hati na mkopo

    20. #18
      Godwine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2010
      Location : dar
      Posts : 1,317
      Rep Power : 742
      Likes Received
      217
      Likes Given
      124

      Default Re: Mtaji miioni 60 naweza kufanya biashara gani?

      Fungua bar tuje kunywa mpaka tuleweeeeeeeeeeeeeeeeee

      nyumba yako hipo maeneo gani kwanini usiniuzie tu kwani hautatozwa interest za mabank.........ha ha ha

    21. #19
      Prime Dynamics's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2010
      Location : Kamachumu
      Posts : 291
      Rep Power : 483
      Likes Received
      119
      Likes Given
      21

      Default Re: Mtaji miioni 60 naweza kufanya biashara gani?

      When looking for finance for any business, one of your most important tools for success is a clear and comprehensive business plan.
      Before any institution even considers loaning you money, they need evidence that you have the knowledge of your service and target market. They need to see that your budget requirements and financial projections are kept within the amount of money you wish to borrow. A business plan in most cases does communicate clearly the business‘s goals, thus going along away to secure finance. However, from my understanding no bank in Tanzania will ever provide you finance to commence a business. They only provide money to give momentum to the existing business. So I hope your nursery school business is in progress at the moment.

      If you are really an entrepreneur you should practice caution not to abandon the business plan (i.e your school business) once funds have been obtained, as it provides a clear guideline to growing and sustaining it in future. Many entrepreneurs like you may not see the point in planning. However, if used correctly, the business plan can serve a purpose far more valuable than merely obtaining finance. My experience reveals that many entrepreneurs do not adequately consider their cash-flow when planning their business. One will only realize the importance of cash once it has run dry. Having cash is no use if you don’t have a plan for how you will spend it and when you are going to get it back. For example, factors such as debtors and creditors need to be taken into account. When you pay your creditors and how long it takes for you to receive payment from your debtors will have huge implications on your cash flow if not planned accordingly. You also need to ensure that your marketing strategy receives adequate attention. By correctly identifying your target market, and ensuring you are marketing to them, you are able to reach out to those who will be interested in your services.
      On my side I strongly suggest you rather stick on your plans since investing in education is a life time investment. Don’t try to put your future financial healthy on a drip. If your prevailing financial health cannot allow you to part with the monthly repayment, do not rush to secure the loan hoping to change your financial situation. Keep in mind that banks do not bother whether you take a loan beyond your ratio, since they are more driven by their interests of growing their loan books and revenue.

    22. #20
      Tutafika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2009
      Posts : 723
      Rep Power : 629
      Likes Received
      215
      Likes Given
      164

      Default

      Quote By Prime Dynamics
      <font size="3"><font face="Tahoma">When looking for finance for any business, one of your most important tools for success is a clear and comprehensive business plan. <br />
      Before any institution even considers loaning you money, they need evidence that you have the knowledge of your service and target market. They need to see that your budget requirements and financial projections are kept within the amount of money you wish to borrow. A business plan in most cases does communicate clearly the business‘s goals, thus going along away to secure finance. However, from my understanding no bank in Tanzania will ever provide you finance to commence a business. They only provide money to give momentum to the existing business. So I hope your nursery school business is in progress at the moment. </font></font><br />
      <font size="3"><font face="Tahoma">If you are really an entrepreneur you should practice caution not to abandon the business plan (i.e your school business) once funds have been obtained, as it provides a clear guideline to growing and sustaining it in future. Many entrepreneurs like you may not see the point in planning. However, if used correctly, the business plan can serve a purpose far more valuable than merely obtaining finance. My experience reveals that many entrepreneurs do not adequately consider their cash-flow when planning their business. One will only realize the importance of cash once it has run dry. Having cash is no use if you don’t have a plan for how you will spend it and when you are going to get it back. For example, factors such as debtors and creditors need to be taken into account. When you pay your creditors and how long it takes for you to receive payment from your debtors will have huge implications on your cash flow if not planned accordingly. You also need to ensure that your marketing strategy receives adequate attention. By correctly identifying your target market, and ensuring you are marketing to them, you are able to reach out to those who will be interested in your services. </font></font><br />
      <font size="3"><font face="Tahoma">On my side I strongly suggest you rather stick on your plans since investing in education is a life time investment. Don’t try to put your future financial healthy on a drip. If your prevailing financial health cannot allow you to part with the monthly repayment, do not rush to secure the loan hoping to change your financial situation. Keep in mind that banks do not bother whether you take a loan beyond your ratio, since they are more driven by their interests of growing their loan books and revenue.</font></font>
      <br />
      <br />

      This is best advice kama kweli umeshapata hizo fedha, mawazo uliyoomba (business idea) yanatakiwa kabla ya kipindi cha kuandaa business plan

    23. Study Abroad
    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Mtaji million sitini(60,000,000).biashara gani?
      By DAVIDSON in forum Ujasiriamali
      Replies: 56
      Last Post: 3rd April 2012, 15:59
    2. Replies: 15
      Last Post: 15th August 2011, 21:03
    3. Milion 3 biashara gani naweza kufanya?
      By Mama Derick in forum Business & Economic Forum
      Replies: 75
      Last Post: 7th February 2011, 15:26
    4. Biashara gani kwa mtaji wa sh Mil 20
      By Mbimbinho in forum Business & Economic Forum
      Replies: 23
      Last Post: 1st February 2011, 15:46

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...