Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Biashara ya Uchawi Tanzania

    Report Post
    Page 3 of 38 FirstFirst 1234513 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 744
    1. #1
      Majimoto's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 15
      Rep Power : 591
      Likes Received
      9
      Likes Given
      3

      Default Biashara ya Uchawi Tanzania

      Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
      1. Tanga ndio kinara
      2. Lindi unafuatilia
      3. Dar es Salaam
      4. Mtwara
      5. Tabora
      6. Kigoma
      7. Mwanza

      Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
      1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
      2. Ruvuma inafuatialia
      3. Mbeya
      4. Singida

      Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
      1. Kilimanjaro inaongoza
      2. Morogoro inafuatilia
      3. Kagera

      Wateja wengine wa wachawi
      1. Wafanyabiashara
      2. Wasanii
      3. Kina mama wa nyumbani
      4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.
      Invisible, Gaijin, araway and 19 others like this.

    2. Miaka 50

    3. #41
      MaxShimba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2008
      Posts : 13,347
      Rep Power : 5563
      Likes Received
      2578
      Likes Given
      425

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Such a business benefits more muham-madans.
      Yesu Kristo Ni Mungu

    4. #42
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,647
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Pengine ingekuwa vema tungefahamu namna hii list ilivyopatikana. Otherwise suala la ushirikina kwangu linabaki zaidi kwa individuals wanaolifuatilia
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    5. #43
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,201
      Rep Power : 24908
      Likes Received
      4197
      Likes Given
      638

      Default

      Quote By roselyne1
      umejuaje haya???mweh
      umeniwahi kuuliza. Lol!

    6. #44
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,652
      Rep Power : 16779
      Likes Received
      2519
      Likes Given
      1941

      Default

      Quote By Majimoto
      Usafiri wa ungo upo wa aina nyingi, upo usafiri wa ungo unaotumia wanyama, upo usafiri wa kutumia fagio, upo usafiri wa kutumia fimbo, upo usafiri wa kutumia ungo.

      Wachawi wote wana roho ya uchawi, roho ya uchawi ni roho inayokufanya uweze kupita eneo ngumu na kutokeza upande wa pili, kwa mfano wachawi wanapowanga usiku roho hizi huwafanya kuingia katika nyumba yoyote na kuwafanyia uchawi usiku watu waliolala ndani ya nyumba hizo bila ya kuonekana. Isipokuwa nyumba za walokole haziingiliki kabisa.

      Roho za uchawi zinawawezesha wachawi kujibadilisha maumbo yao, kutoka maumbo ya kibinadamu na kugeuka kuwa paka, panya, kunguru n.k.

      Wanapotaka kusafiri anakuwa na vifaa vyake vya kichawi, kisha huomba dua akinuizia majini yampeleke sehemu fulani, roho yake ya uchawi na majini humuinua juu angani kwa kasi hadi eneo alilokusudia. Usafiri wa aina hii ni hatari kwani unaweza kutunguliwa kirahizi ukiwa angani.

      Usafiri wa kutumia wanyama kama fisi, hutumika kwa nchi kavu tu, hawawezi kuvuka bahari kwenda visiwani au nchi za mbali.

      Usafiri wa kasi sana ni wa kutumia fimbo, kabla ya kuanza safari, unaomba dua ya manuizo na kukanyanga incha moja ya fimbo, roho ya uchawi na majini hukuinua juu angani, kama unataka kwenda Nigeria kutoka Dar, utaonyeshwa njia yote ilivyo, kama kuna hatari yoyote huonekana, na inabidi uhairishe safari, kama njia ni nyeupe, unatakiwa ukanyage incha ya pili ya fimbo, na safari huanza kwa kasi ya sauti. Kwa sababu safari ni ya kasi sana na upepo ni mkali sana, kiasi kuwa huwezi kufika ukiwa hai, majini huchomoa roho yako ndani ya mwili wako na roho kukutangulia mbele, mwili wako huikimbiza roho yako ukiwa katika hali ya umauti, unaweza kutumia sekunde 10 kufika Nigeria, lakini ni usafiri wa hatari kuliko zingine, usafiri huu hujulikana kama usafiri wa kujichinja.

      Wachawi wa Marekani na bara Ulaya wao hutumia sana usafiri wa fagio.
      Dah!!!
      Nzi likes this.

    7. #45
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1844
      Likes Received
      593
      Likes Given
      413

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By Kiby
      .
      Yaani degree ya kwanza na ya pili inapatikana nchini ila hakuna chuo kikuu(university)? Hueleweki kabsaa!! Ni chuo gani kinatoa masters kisichokua kikuu?
      P/se! Za mbayuwayu changanya na za kwako.
      .

      Mbayuwayu miaka ya 1970 alipomaliza shule ya msingi, alionekana ni kijana aliyekuwa na bidii sana katika masomo yake darasani. Wazazi wake Mbayuwayu waliona itafaa kijana wao pia akajua fani ya uganga, hivyo walimtafutia mtaalamu ambaye alianza kumfundisha elimu ya jadi ya ulozi.

      Masomo aliyofundishwa na kuyaelewa vema ni jinsi ya kutengeneza majini, kuruka kwa ungo, kuchukuwa watu msukule na elimu ya nyota. Baada ya kuhitimu wazee walikutana kwenye mikutano ya wachawi usiku, Mbayuwayu naye alialikwa, alipongezwa sana kwa bidii aliyoonyesha kwenye masomo yake, na aliahidiwa tarehe ambayo atakabidhiwa cheti chake cha kuhitimu elimu ya ulozi.

      Tarehe ilipofika waliruka kwa ungo hadi Kisiju, Mkuranga, walipofika eneo la shughuli walikuta wapo vijana wenzake wawili ambao nao walikuwa wapate vyeti. Muda ulipowadia wazee waliwaita na kuelekezwa waende kwenye chungu kilichokuwa kipo jikoni. Walipokaribia chungu, walikuta ndani kuna nyama iliyokuwa inachemshwa, walielekezwa kila mtu akate kipande cha nyama ya kila kiungo na waweke kwenye sahani, walipofungua chungu, wakangundua kuwa ile nyama haikuwa ya mnyama bali ni nyama ya binadamu.

      Mbayuwayu bila kusita alitii amri ya wazee na akakata nyama za kila kiungo pamoja na supu yake, na kuanza kula. Wale vijana wawili walipogundua ile ni nyama ya binadamu waligoma kabisa kula, walilazimishwa na wazee lakini hawakukubali. Desturi za wachawi, damu na nyama za watu ni chakula cha kawaida, na ukishaingia kwenye ulozi unatakiwa uwe mtiifu na usitoe siri zao kwa mtu yeyote ambaye siyo mchawi.

      Wale vijana kwa daraja la uchawi walilokuwa wamefikia na viapo walivyoapa, adhabu waliyostahiki ilikuwa ni kifo, ilishangaza kidogo wale wazee vigagula walifanya mambo yao haraka na wale vijana walianguka chini wakiwa maiti.

      Wazee walimchukuwa Mbayuwayu usiku huohuo kwa usafiri wa ungo hadi makaburi ya Kinondoni, makaburi haya yapo karibu na baa ya Lang'ata ambapo wanazikwa Wakristo na Waislamu. Walikuta kaburi la Mkristo ambalo ni la siku kama tatu tangu marehemu azikwe. Wazee walifanya mambo yao ya kichawi na kaburi likafunguka, wakalipandisha juu jeneza, kisha wazee wakamwambia Mbayuwayu alivyunje kwa kulikanyaga kwa mguu wa kushoto. Jeneza lilipasuka na harufu ya kutisha ilitoka ndani, wale wazee walichukuwa kikombe kidogo kinachotumika kunywea kahawa mitaani, Wazee walimwambia Mbayuwayu achote majimaji yenye usaha toka ndani ya jeneza na anywe vikombe vitatu. Mbayuwayu bila ajizi wala kusita alitii amri, na kuchota ule usaha vikombe vitatu vilivyojaa na kunywa.

      Mbayuwayu alibaki anashangaa, alifikiri cheti alichoahidiwa kupewa ni sawasawa na cheti alichopewa alipomaliza elimu ya shule ya msingi, kumbe cheti ni kulishwa vyakula ambavyo hatavisahau maishani mwake.

      Baada ya hiyo karamu ya makaburini, wazee walimwambia Mbayuwayu, ajitayarishe kwani kesho yake watampeleka kumtambulisha kuzimu kwa mkuu, kupitia lango la kuzimu la Upanga ........................

      Je kuzimu ni wapi?
      Je unaweza kuingia kuzimu na kutoka?
      Ni nini kilimpata Mbayuwayu hadi akaokoka?

      Tafuta kanda ya DVD itwayo "Ushuhuda wa Mwisilamu (mchawi) Aliyeokoka"


    8. RukaaJuu Final

    9. #46
      Marytina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 4,870
      Rep Power : 1430
      Likes Received
      888
      Likes Given
      274

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By Mazingira
      Mkuu hiyo namba nne kuna siri gani hapo? Mbona viongozi sijawaona hapo maana nasikia nao ni wateja wakubwa wa uchawi.
      Nakuunga mkono namba nne umewaonea kabisa.
      1.VIONGOZI (WANASIASA) mabosi wa idara za serikali na ulinzi (wanajeshi+polisi) ndio vinara wa ndumba.
      2.Wafanyabiashara( wa aina yeyote i.e wahindi, waarabu, weusi, chotara, mamalishe,machinga)+wasanii



    10. #47
      Elia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2009
      Location : magogoni
      Posts : 3,216
      Rep Power : 1121
      Likes Received
      492
      Likes Given
      841

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Wateja wengine wa wachawi
      1. Wafanyabiashara
      2. Wasanii
      3. Kina mama wa nyumbani
      4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.

      kategori nyingine siwezi kuchangia sijui umetoa wapi data hizo??
      Shinyanga, mwanza, Iringa hazipo hata kidogo???
      No 4. umewaonea, hapo vinara ni wanasiasa
      No 3. kinamama wa uswahilini
      "Honesty is very expensive gift. Do not expect it from cheap people".
      -Warren Buffet


    11. #48
      Sweet Mother's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 20
      Rep Power : 438
      Likes Received
      0
      Likes Given
      8

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      mh kama niliwahi fika vile kwenye hichi kijiji, ila kinaonekana hakina idadi kubwa ya wakazi, au na wenyewe wameogopa wakakimbia?

    12. #49
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,638
      Rep Power : 2008
      Likes Received
      1655
      Likes Given
      1634

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Lakini mtoa ada amejuaje hayo yote kama na yeye sio mchawi? (joke tuu)
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    13. #50
      VoiceOfReason's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Everywhere
      Posts : 5,239
      Rep Power : 1895
      Likes Received
      1152
      Likes Given
      603

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By Ndibalema
      Lakini mtoa ada amejuaje hayo yote kama na yeye sio mchawi? (joke tuu)
      Mkuu hii sio Joke..., hili swali limeshaulizwa mara kadhaa katika hii thread nadhani ni valid question
      Even a Genius Asks Questions....

    14. #51
      Mchili's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2009
      Posts : 625
      Rep Power : 626
      Likes Received
      13
      Likes Given
      6

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By Majimoto
      Mkuu, haya mambo yapo, hayo uliyoyaandika ni madogo, laiti macho yako ya ndani yangekuwa na uwezo wa kuona ulimwengu, ungeshangaa dunia ilivyojaa uchafu.

      Kwa mfano sasa hivi wapo watu wengi sana barabarani ambao siyo binadamu kabisa, na wengi wameolewa na kuoa bila kujua. Yapo magari mengi yanatembea barabarani jijini sasa hivi yakitokea kuzimu, na mara nyingi yanapomaliza shughuli zao za uharibifu hutoweka, wananchi wanabaki kudai serikali ijenge matuta kupunguza ajali, mtajenga matuta hadi mtashindwa kutembea ndani ya barabara zenu wenyewe.
      Inatisha.
      Majimoto na wewe ni mchawi bila shaka. Nisamehe ucnishukie

    15. #52
      Mchili's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2009
      Posts : 625
      Rep Power : 626
      Likes Received
      13
      Likes Given
      6

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By Majimoto
      Mbayuwayu miaka ya 1970 alipomaliza shule ya msingi, alionekana ni kijana aliyekuwa na bidii sana katika masomo yake darasani. Wazazi wake Mbayuwayu waliona itafaa kijana wao pia akajua fani ya uganga, hivyo walimtafutia mtaalamu ambaye alianza kumfundisha elimu ya jadi ya ulozi.

      Masomo aliyofundishwa na kuyaelewa vema ni jinsi ya kutengeneza majini, kuruka kwa ungo, kuchukuwa watu msukule na elimu ya nyota. Baada ya kuhitimu wazee walikutana kwenye mikutano ya wachawi usiku, Mbayuwayu naye alialikwa, alipongezwa sana kwa bidii aliyoonyesha kwenye masomo yake, na aliahidiwa tarehe ambayo atakabidhiwa cheti chake cha kuhitimu elimu ya ulozi.

      Tarehe ilipofika waliruka kwa ungo hadi Kisiju, Mkuranga, walipofika eneo la shughuli walikuta wapo vijana wenzake wawili ambao nao walikuwa wapate vyeti. Muda ulipowadia wazee waliwaita na kuelekezwa waende kwenye chungu kilichokuwa kipo jikoni. Walipokaribia chungu, walikuta ndani kuna nyama iliyokuwa inachemshwa, walielekezwa kila mtu akate kipande cha nyama ya kila kiungo na waweke kwenye sahani, walipofungua chungu, wakangundua kuwa ile nyama haikuwa ya mnyama bali ni nyama ya binadamu.

      Mbayuwayu bila kusita alitii amri ya wazee na akakata nyama za kila kiungo pamoja na supu yake, na kuanza kula. Wale vijana wawili walipogundua ile ni nyama ya binadamu waligoma kabisa kula, walilazimishwa na wazee lakini hawakukubali. Desturi za wachawi, damu na nyama za watu ni chakula cha kawaida, na ukishaingia kwenye ulozi unatakiwa uwe mtiifu na usitoe siri zao kwa mtu yeyote ambaye siyo mchawi.

      Wale vijana kwa daraja la uchawi walilokuwa wamefikia na viapo walivyoapa, adhabu waliyostahiki ilikuwa ni kifo, ilishangaza kidogo wale wazee vigagula walifanya mambo yao haraka na wale vijana walianguka chini wakiwa maiti.

      Wazee walimchukuwa Mbayuwayu usiku huohuo kwa usafiri wa ungo hadi makaburi ya Kinondoni, makaburi haya yapo karibu na baa ya Lang'ata ambapo wanazikwa Wakristo na Waislamu. Walikuta kaburi la Mkristo ambalo ni la siku kama tatu tangu marehemu azikwe. Wazee walifanya mambo yao ya kichawi na kaburi likafunguka, wakalipandisha juu jeneza, kisha wazee wakamwambia Mbayuwayu alivyunje kwa kulikanyaga kwa mguu wa kushoto. Jeneza lilipasuka na harufu ya kutisha ilitoka ndani, wale wazee walichukuwa kikombe kidogo kinachotumika kunywea kahawa mitaani, Wazee walimwambia Mbayuwayu achote majimaji yenye usaha toka ndani ya jeneza na anywe vikombe vitatu. Mbayuwayu bila ajizi wala kusita alitii amri, na kuchota ule usaha vikombe vitatu vilivyojaa na kunywa.

      Mbayuwayu alibaki anashangaa, alifikiri cheti alichoahidiwa kupewa ni sawasawa na cheti alichopewa alipomaliza elimu ya shule ya msingi, kumbe cheti ni kulishwa vyakula ambavyo hatavisahau maishani mwake.

      Baada ya hiyo karamu ya makaburini, wazee walimwambia Mbayuwayu, ajitayarishe kwani kesho yake watampeleka kumtambulisha kuzimu kwa mkuu, kupitia lango la kuzimu la Upanga ........................

      Je kuzimu ni wapi?
      Je unaweza kuingia kuzimu na kutoka?
      Ni nini kilimpata Mbayuwayu hadi akaokoka?

      Tafuta kanda ya DVD itwayo "Ushuhuda wa Mwisilamu (mchawi) Aliyeokoka"

      Mayuway = Majimoto?????

    16. #53
      Roulette's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 5,473
      Rep Power : 35629
      Likes Received
      5028
      Likes Given
      5754

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By Majimoto
      Viongozi ni wateja wazuri, lakini idadi yao siyo kubwa
      Asante mkuu kwa statistics, ila nina maswali yananijia nikiangalia "analysis" yako

      mbona hivi vitu havina ushahidi? we ulijuaje kama sio moja wao? ulitumia method gani (ao source ipi)?
      mbona mikoa ya nguvu za kichawi haziambatani na mikoa wenye wachawi wengi? is it quantity vs quality?
      Unamaana gani unaposema wateja wakuu? wenye kuomba huduma mara nyigi ao wenye kutoa pesa nyingi?
      pia tunaomba ka percentage ka how category hizo zinaperform nchini (like kigoma 30%, linfi 40%, mtwara 2,5% etc)

      embu tueleze!!!

    17. #54
      Tikerra's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2008
      Location : Morogoro
      Posts : 1,588
      Rep Power : 864
      Likes Received
      100
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By Majimoto
      Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
      1. Tanga ndio kinara
      2. Lindi unafuatilia
      3. Dar es Salaam
      4. Mtwara
      5. Tabora
      6. Kigoma
      7. Mwanza

      Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
      1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
      2. Ruvuma inafuatialia
      3. Mbeya
      4. Singida

      Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
      1. Kilimanjaro inaongoza
      2. Morogoro inafuatilia
      3. Kagera

      Wateja wengine wa wachawi
      1. Wafanyabiashara
      2. Wasanii
      3. Kina mama wa nyumbani
      4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.
      Hii data umeipataje?

    18. #55
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1844
      Likes Received
      593
      Likes Given
      413

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By RussianRoulette
      Asante mkuu kwa statistics, ila nina maswali yananijia nikiangalia "analysis" yako

      mbona hivi vitu havina ushahidi? we ulijuaje kama sio moja wao? ulitumia method gani (ao source ipi)?
      mbona mikoa ya nguvu za kichawi haziambatani na mikoa wenye wachawi wengi? is it quantity vs quality?
      Unamaana gani unaposema wateja wakuu? wenye kuomba huduma mara nyigi ao wenye kutoa pesa nyingi?
      pia tunaomba ka percentage ka how category hizo zinaperform nchini (like kigoma 30%, linfi 40%, mtwara 2,5% etc)

      embu tueleze!!!
      Zindiko la taifa lililofanywa na wachawi wa mkoa wa Lindi, lilisababisha kusambaa kwa mapepo yaliyowafanya wananchi zaidi ya 75% kutokuwa na maamuzi yao wenyewe, au wawe wanaongozwa kwa remote control kutoka kuzimu, kwa maana kwamba watawala wakitaka uongozi au jambo lolote, hushuka kuzimu, na kutoa kafara ya damu, kisha hunuiza maneno ya jambo wanalotaka litendeke nchini, shetani wa kuzimu hutumia remote yake na watanzania waliopangawa na hayo mapepo uwezo wao wa maamuzi huondoka na kubaki watu wa kusema ndiyo,hata kama wanatukanwa.

    19. #56
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1844
      Likes Received
      593
      Likes Given
      413

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By RussianRoulette
      Asante mkuu kwa statistics, ila nina maswali yananijia nikiangalia "analysis" yako

      mbona hivi vitu havina ushahidi? we ulijuaje kama sio moja wao? ulitumia method gani (ao source ipi)?
      mbona mikoa ya nguvu za kichawi haziambatani na mikoa wenye wachawi wengi? is it quantity vs quality?
      Unamaana gani unaposema wateja wakuu? wenye kuomba huduma mara nyigi ao wenye kutoa pesa nyingi?
      pia tunaomba ka percentage ka how category hizo zinaperform nchini (like kigoma 30%, linfi 40%, mtwara 2,5% etc)

      embu tueleze!!!
      Utawala wa shetani ni wa kificho sana. Shetani hutawala dunia kwa kufuata mipaka ya nchi kama zilivyo, kama tulivyo na mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya, katibu tarafa, mwenyekiti wa kijiji, shetani naye amepanga utawala wake kwa mfumo huo huo.

      Anachofanya shetani ni kuhakikisha kuwa viongozi tunaowachagua au wanaopewa madaraka ya kuongoza, wizara, mikoa, wilaya, tarafa, kijiji, kaya nk. ni wale tu waliopitia kwa mawakala wake, tunaoishi nao ambao ni waganga wa kishenzi (kienyeji).

      Ndiyo maana basi shetani anapofanikiwa kuwa mtawala wa ulimwengu usioonekana na ulimwengu unaoonekana, kamwe maendeleo ya eneo hilo huwa yanadumaa kabisa, kwani shughuli kubwa kabisa ya shetani ni kuharibu, kutesa na kuua.

      Kuhusu maswali yako .Wateja wakuu ni watu ambao asili yao siyo wachawi, lakini wanatumia uwezo wao wa mapato kununua huduma ya uchawi.

      Mikoa yenye nguvu kubwa ya uchawi, wao wanaishi kwa kutegemea uchawi kwa asilimia 100, na utakuta uchumi wa maeneo hayo upo nyuma sana, kwa mfano mkoani Tanga mchawi mwenye misukule 200 anaonekana ni mtoto katika mambo ya ulozi, biashara ya misukule ni biashara ya kawaida, bei ya msukule kwa sasa hivi ni kati ya shs. 300,000 hadi 600,000 kutegemea na umri na nguvu ya msukule, Ndiyo maana maeneo hayo utakuta siku nzima watu wamefunga misuri na kucheza bao, lakini wanaishi vizuri tu.

      Mikoa yenye wachawi wengi, tuseme ni kama mila au utamaduni au wanachukulia kama ulinzi wa familia, ndiyo maana utakuta kila kaya kuna mchawi au familia nzima wanaujua uchawi. Wananchi wa maeneo haya wengi wanafanya kazi halali na zenye kuingiza kipato halali kwao na kwa taifa.

    20. #57
      Mkeshahoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2009
      Posts : 2,251
      Rep Power : 983
      Likes Received
      200
      Likes Given
      786

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By Majimoto
      Sasa hivi zipo shule kabisa za kufundisha uchawi nchini Tanzania, Shule moja ipo Temeke masomo yake huchukua miaka saba hadi unahitimu.

      Ukimaliza Temeke, unaweza kujiunga na elimu ya juu katika fani ya uchawi, chuo kipo Tanga hapo wanatoa digrii ya kwanza ya uchawi kwa miaka mitano.

      Wanatoa pia digrii ya pili ya elimu ya ulozi ambapo utakaa darasani kwa miaka mingine mitano.

      Master digrii ya ulozi, bado hapa nchini hakuna chuo, inapidi uende Mombasa nchini Kenya ndipo kilipo chuo kikuu cha elimu ya ulozi.
      nahisi sasa hekaya za abunuwasi zishaaanza kuingia.... kwamba kuna chuo cha kufundi U-Harry Porter?
      Hela silaha... Kisu Mzigo

    21. #58
      Kapwani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2009
      Posts : 606
      Rep Power : 605
      Likes Received
      78
      Likes Given
      47

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By Mkeshahoi
      nahisi sasa hekaya za abunuwasi zishaaanza kuingia.... kwamba kuna chuo cha kufundi U-Harry Porter?
      hakuna hekaya za abunuasi....hapa ukweli upo maana hata BIBLE inakiri uchawi upo....ila shetani anawapotezea kwa kijifanya muamini sayansi huku yeye akiendelea kutekeleza uchawi wake katika maisha ya watu....uchawi upo na unafanya kazi kama dunia inayoonekana inavyofanya kazi na bila YESU KRISTO jamaa wanakufaidi sana hawa
      mix with yours

    22. #59
      Mbimbinho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2009
      Posts : 1,834
      Rep Power : 865
      Likes Received
      470
      Likes Given
      210

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By Majimoto
      Usafiri wa ungo upo wa aina nyingi, upo usafiri wa ungo unaotumia wanyama, upo usafiri wa kutumia fagio, upo usafiri wa kutumia fimbo, upo usafiri wa kutumia ungo.

      Wachawi wote wana roho ya uchawi, roho ya uchawi ni roho inayokufanya uweze kupita eneo ngumu na kutokeza upande wa pili, kwa mfano wachawi wanapowanga usiku roho hizi huwafanya kuingia katika nyumba yoyote na kuwafanyia uchawi usiku watu waliolala ndani ya nyumba hizo bila ya kuonekana. Isipokuwa nyumba za walokole haziingiliki kabisa.

      Roho za uchawi zinawawezesha wachawi kujibadilisha maumbo yao, kutoka maumbo ya kibinadamu na kugeuka kuwa paka, panya, kunguru n.k.

      Wanapotaka kusafiri anakuwa na vifaa vyake vya kichawi, kisha huomba dua akinuizia majini yampeleke sehemu fulani, roho yake ya uchawi na majini humuinua juu angani kwa kasi hadi eneo alilokusudia. Usafiri wa aina hii ni hatari kwani unaweza kutunguliwa kirahizi ukiwa angani.

      Usafiri wa kutumia wanyama kama fisi, hutumika kwa nchi kavu tu, hawawezi kuvuka bahari kwenda visiwani au nchi za mbali.

      Usafiri wa kasi sana ni wa kutumia fimbo, kabla ya kuanza safari, unaomba dua ya manuizo na kukanyanga incha moja ya fimbo, roho ya uchawi na majini hukuinua juu angani, kama unataka kwenda Nigeria kutoka Dar, utaonyeshwa njia yote ilivyo, kama kuna hatari yoyote huonekana, na inabidi uhairishe safari, kama njia ni nyeupe, unatakiwa ukanyage incha ya pili ya fimbo, na safari huanza kwa kasi ya sauti. Kwa sababu safari ni ya kasi sana na upepo ni mkali sana, kiasi kuwa huwezi kufika ukiwa hai, majini huchomoa roho yako ndani ya mwili wako na roho kukutangulia mbele, mwili wako huikimbiza roho yako ukiwa katika hali ya umauti, unaweza kutumia sekunde 10 kufika Nigeria, lakini ni usafiri wa hatari kuliko zingine, usafiri huu hujulikana kama usafiri wa kujichinja.

      Wachawi wa Marekani na bara Ulaya wao hutumia sana usafiri wa fagio.
      Mkuu sina any doubt, Jina lako tu linaonesha kuwa unaongea ukweli..)
      Mbwa ukimjua jina wala hakupi shida....

    23. #60
      Mbimbinho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2009
      Posts : 1,834
      Rep Power : 865
      Likes Received
      470
      Likes Given
      210

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By Majimoto
      Mbayuwayu miaka ya 1970 alipomaliza shule ya msingi, alionekana ni kijana aliyekuwa na bidii sana katika masomo yake darasani. Wazazi wake Mbayuwayu waliona itafaa kijana wao pia akajua fani ya uganga, hivyo walimtafutia mtaalamu ambaye alianza kumfundisha elimu ya jadi ya ulozi.

      Masomo aliyofundishwa na kuyaelewa vema ni jinsi ya kutengeneza majini, kuruka kwa ungo, kuchukuwa watu msukule na elimu ya nyota. Baada ya kuhitimu wazee walikutana kwenye mikutano ya wachawi usiku, Mbayuwayu naye alialikwa, alipongezwa sana kwa bidii aliyoonyesha kwenye masomo yake, na aliahidiwa tarehe ambayo atakabidhiwa cheti chake cha kuhitimu elimu ya ulozi.

      Tarehe ilipofika waliruka kwa ungo hadi Kisiju, Mkuranga, walipofika eneo la shughuli walikuta wapo vijana wenzake wawili ambao nao walikuwa wapate vyeti. Muda ulipowadia wazee waliwaita na kuelekezwa waende kwenye chungu kilichokuwa kipo jikoni. Walipokaribia chungu, walikuta ndani kuna nyama iliyokuwa inachemshwa, walielekezwa kila mtu akate kipande cha nyama ya kila kiungo na waweke kwenye sahani, walipofungua chungu, wakangundua kuwa ile nyama haikuwa ya mnyama bali ni nyama ya binadamu.

      Mbayuwayu bila kusita alitii amri ya wazee na akakata nyama za kila kiungo pamoja na supu yake, na kuanza kula. Wale vijana wawili walipogundua ile ni nyama ya binadamu waligoma kabisa kula, walilazimishwa na wazee lakini hawakukubali. Desturi za wachawi, damu na nyama za watu ni chakula cha kawaida, na ukishaingia kwenye ulozi unatakiwa uwe mtiifu na usitoe siri zao kwa mtu yeyote ambaye siyo mchawi.

      Wale vijana kwa daraja la uchawi walilokuwa wamefikia na viapo walivyoapa, adhabu waliyostahiki ilikuwa ni kifo, ilishangaza kidogo wale wazee vigagula walifanya mambo yao haraka na wale vijana walianguka chini wakiwa maiti.

      Wazee walimchukuwa Mbayuwayu usiku huohuo kwa usafiri wa ungo hadi makaburi ya Kinondoni, makaburi haya yapo karibu na baa ya Lang'ata ambapo wanazikwa Wakristo na Waislamu. Walikuta kaburi la Mkristo ambalo ni la siku kama tatu tangu marehemu azikwe. Wazee walifanya mambo yao ya kichawi na kaburi likafunguka, wakalipandisha juu jeneza, kisha wazee wakamwambia Mbayuwayu alivyunje kwa kulikanyaga kwa mguu wa kushoto. Jeneza lilipasuka na harufu ya kutisha ilitoka ndani, wale wazee walichukuwa kikombe kidogo kinachotumika kunywea kahawa mitaani, Wazee walimwambia Mbayuwayu achote majimaji yenye usaha toka ndani ya jeneza na anywe vikombe vitatu. Mbayuwayu bila ajizi wala kusita alitii amri, na kuchota ule usaha vikombe vitatu vilivyojaa na kunywa.

      Mbayuwayu alibaki anashangaa, alifikiri cheti alichoahidiwa kupewa ni sawasawa na cheti alichopewa alipomaliza elimu ya shule ya msingi, kumbe cheti ni kulishwa vyakula ambavyo hatavisahau maishani mwake.

      Baada ya hiyo karamu ya makaburini, wazee walimwambia Mbayuwayu, ajitayarishe kwani kesho yake watampeleka kumtambulisha kuzimu kwa mkuu, kupitia lango la kuzimu la Upanga ........................

      Je kuzimu ni wapi?
      Je unaweza kuingia kuzimu na kutoka?
      Ni nini kilimpata Mbayuwayu hadi akaokoka?

      Tafuta kanda ya DVD itwayo "Ushuhuda wa Mwisilamu (mchawi) Aliyeokoka"

      Mkuu hiyo DVD nitaipataje? inapatikana wapi hasa?
      Mbwa ukimjua jina wala hakupi shida....

    Page 3 of 38 FirstFirst 1234513 ... LastLast

    LinkBacks (?)

    1. 1st July 2012, 09:06
    2. 22nd May 2011, 19:01
    3. 6th May 2011, 13:26
    4. 11th March 2011, 20:24

    Similar Topics

    1. Biashara ya real estate tanzania
      By C.T.U in forum Business & Economic Forum
      Replies: 20
      Last Post: 2nd April 2013, 18:54
    2. Replies: 12
      Last Post: 17th September 2011, 17:27
    3. Biashara ya copper Tanzania
      By The Boss in forum Business & Economic Forum
      Replies: 1
      Last Post: 27th July 2011, 08:03
    4. Tanzania inashabikia uchawi
      By Obe in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 1
      Last Post: 28th June 2011, 13:27
    5. Uwekezaji na biashara inakuwa tanzania?
      By Haika in forum Business & Economic Forum
      Replies: 4
      Last Post: 28th January 2011, 13:13

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...