Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Biashara ya Uchawi Tanzania

    Report Post
    Page 2 of 38 FirstFirst 123412 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 742
    1. #1
      Majimoto's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 15
      Rep Power : 590
      Likes Received
      9
      Likes Given
      3

      Default Biashara ya Uchawi Tanzania

      Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
      1. Tanga ndio kinara
      2. Lindi unafuatilia
      3. Dar es Salaam
      4. Mtwara
      5. Tabora
      6. Kigoma
      7. Mwanza

      Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
      1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
      2. Ruvuma inafuatialia
      3. Mbeya
      4. Singida

      Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
      1. Kilimanjaro inaongoza
      2. Morogoro inafuatilia
      3. Kagera

      Wateja wengine wa wachawi
      1. Wafanyabiashara
      2. Wasanii
      3. Kina mama wa nyumbani
      4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.
      Invisible, Gaijin, araway and 19 others like this.

    2. Miaka 50

    3. #21
      Ndevu mbili's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Posts : 382
      Rep Power : 499
      Likes Received
      20
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Gama
      Nilikuwa natafuta Mkoa wa IRINGA kule ambako kaburi halihamishiki sijauona.
      Magazeti hutaja hapo kwenye red kwanini iwe ni mkoa huo huo wanaojitungika kqa issue ndogo tena ya mapenzi?
      Kuna siri gani huko!

    4. #22
      mamakunda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2010
      Posts : 364
      Rep Power : 523
      Likes Received
      9
      Likes Given
      14

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By Majimoto
      Sasa hivi zipo shule kabisa za kufundisha uchawi nchini Tanzania, Shule moja ipo Temeke masomo yake huchukua miaka saba hadi unahitimu.

      Ukimaliza Temeke, unaweza kujiunga na elimu ya juu katika fani ya uchawi, chuo kipo Tanga hapo wanatoa digrii ya kwanza ya uchawi kwa miaka mitano.

      Wanatoa pia digrii ya pili ya elimu ya ulozi ambapo utakaa darasani kwa miaka mingine mitano.

      Master digrii ya ulozi, bado hapa nchini hakuna chuo, inapidi uende Mombasa nchini Kenya ndipo kilipo chuo kikuu cha elimu ya ulozi.
      Nawewe ni candidate au? mbona hizi habari ndo nazisikia kwako!

    5. #23
      BRUCE LEE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th December 2010
      Posts : 693
      Rep Power : 626
      Likes Received
      19
      Likes Given
      7

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Vipi umewasahau akina ------, mzindakaya na wanasiasa wengine kwenye huo utafiti wako

    6. #24
      Ndevu mbili's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Posts : 382
      Rep Power : 499
      Likes Received
      20
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Husninyo
      Mooods...!
      Tunaomba jukwaa la uchawi na wanga.
      Kwani humu members ni wanga/wachawi?

    7. #25
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1843
      Likes Received
      590
      Likes Given
      413

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By Gama
      Nilikuwa natafuta Mkoa wa IRINGA kule ambako kaburi halihamishiki sijauona.
      Njombe, Iringa kuna lango la kushukia kuzimu.
      Masikini_Jeuri likes this.

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      bucho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2010
      Location : kandahar
      Posts : 2,905
      Rep Power : 4297
      Likes Received
      560
      Likes Given
      716

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By Majimoto
      Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
      1. Tanga ndio kinara
      2. Lindi unafuatilia
      3. Dar es Salaam
      4. Mtwara
      5. Tabora
      6. Kigoma
      7. Mwanza

      Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
      1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
      2. Ruvuma inafuatialia
      3. Mbeya
      4. Singida

      Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
      1. Kilimanjaro inaongoza
      2. Morogoro inafuatilia
      3. Kagera

      Wateja wengine wa wachawi
      1. Wafanyabiashara
      2. Wasanii
      3. Kina mama wa nyumbani
      4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.
      umesahau hawa watu
      5. wanasiasa

    10. #27
      VoiceOfReason's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Everywhere
      Posts : 5,239
      Rep Power : 1894
      Likes Received
      1152
      Likes Given
      603

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Mkuu Majimoto... How do yo know all this ?
      Na je hiki kitu kinaexist kweli au ni mazingaombwe ya kuwatapeli watu ? ( Namaanisha supernatural powers za kupaa na ungo, kupanda fisi, misukule and all them stories...., ) sababu binafsi sijaona wala kukutana na mtu aliyeona kila mtu huwa anasikia tu...
      Even a Genius Asks Questions....

    11. #28
      roselyne1's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 18th February 2010
      Posts : 1,374
      Rep Power : 0
      Likes Received
      75
      Likes Given
      3

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By Husninyo
      Mooods...!
      Tunaomba jukwaa la uchawi na wanga.
      hahhaa hii kali...

    12. #29
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1843
      Likes Received
      590
      Likes Given
      413

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By VoiceOfReason
      Mkuu Majimoto... How do yo know all this ?
      Na je hiki kitu kinaexist kweli au ni mazingaombwe ya kuwatapeli watu ? ( Namaanisha supernatural powers za kupaa na ungo, kupanda fisi, misukule and all them stories...., ) sababu binafsi sijaona wala kukutana na mtu aliyeona kila mtu huwa anasikia tu...
      Mkuu, haya mambo yapo, hayo uliyoyaandika ni madogo, laiti macho yako ya ndani yangekuwa na uwezo wa kuona ulimwengu, ungeshangaa dunia ilivyojaa uchafu.

      Kwa mfano sasa hivi wapo watu wengi sana barabarani ambao siyo binadamu kabisa, na wengi wameolewa na kuoa bila kujua. Yapo magari mengi yanatembea barabarani jijini sasa hivi yakitokea kuzimu, na mara nyingi yanapomaliza shughuli zao za uharibifu hutoweka, wananchi wanabaki kudai serikali ijenge matuta kupunguza ajali, mtajenga matuta hadi mtashindwa kutembea ndani ya barabara zenu wenyewe.
      JayKisoti likes this.

    13. #30
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,149
      Rep Power : 24897
      Likes Received
      4165
      Likes Given
      584

      Default

      Quote By Ndevu mbili
      Kwani humu members ni wanga/wachawi?
      jukwaa hilo liwe kwa ajili ya wanaotaka kujua hayo mambo.
      Wengine tunaoogopa hayo mambo tutakuwa hatutii pua zetu huko.

    14. #31
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1843
      Likes Received
      590
      Likes Given
      413

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Wachawi wa nchi, wanapata msaada wa nguvu ya uchawi kutoka kwa shetani mkuu (Lucifier), Shetani na wasaidizi wake wanaishi ndani ya moyo wa dunia. Kila nchi ina milango ya kushukia kwa mkuu (shetani) na hapa Tanzania milango hiyo ipo sehemu zifuatazo:-

      a) Mwanza kando ya ziwa victoria
      b) Tabora mjini ndani ya soko kuu
      c) Kibirizi, Kigoma kando ziwa Tanganyika
      d) Njombe, Iringa
      e) Upanga Dar es Salaam
      f) Bagamoyo kando ya bahari
      g) Pangani, Tanga kando ya bahari.

    15. #32
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1843
      Likes Received
      590
      Likes Given
      413

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By Husninyo
      jukwaa hilo liwe kwa ajili ya wanaotaka kujua hayo mambo.
      Wengine tunaoogopa hayo mambo tutakuwa hatutii pua zetu huko.
      Usijali jicho langu litakupa ulinzi.

    16. #33
      MAHENDEKA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th July 2010
      Location : behind you
      Posts : 104
      Rep Power : 470
      Likes Received
      19
      Likes Given
      60

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By Majimoto
      Wachawi wa nchi, wanapata msaada wa nguvu ya uchawi kutoka kwa shetani mkuu (Lucifier), Shetani na wasaidizi wake wanaishi ndani ya moyo wa dunia. Kila nchi ina milango ya kushukia kwa mkuu (shetani) na hapa Tanzania milango hiyo ipo sehemu zifuatazo:-

      a) Mwanza kando ya ziwa victoria
      b) Tabora mjini ndani ya soko kuu
      c) Kibirizi, Kigoma kando ziwa Tanganyika
      d) Njombe, Iringa
      e) Upanga Dar es Salaam
      f) Bagamoyo kando ya bahari
      g) Pangani, Tanga kando ya bahari.
      scientific ideas goes with proved data,kama hazipo you have no right to speak
      Blinds leaders of blinds all finally fall into a ditch

    17. #34
      Kiby's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2009
      Posts : 3,499
      Rep Power : 1187
      Likes Received
      599
      Likes Given
      33

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By Majimoto
      Sasa hivi zipo shule kabisa za kufundisha uchawi nchini Tanzania, Shule moja ipo Temeke masomo yake huchukua miaka saba hadi unahitimu.

      Ukimaliza Temeke, unaweza kujiunga na elimu ya juu katika fani ya uchawi, chuo kipo Tanga hapo wanatoa digrii ya kwanza ya uchawi kwa miaka mitano.

      Wanatoa pia digrii ya pili ya elimu ya ulozi ambapo utakaa darasani kwa miaka mingine mitano.

      Master digrii ya ulozi, bado hapa nchini hakuna chuo, inapidi uende Mombasa nchini Kenya ndipo kilipo chuo kikuu cha elimu ya ulozi.
      .
      Yaani degree ya kwanza na ya pili inapatikana nchini ila hakuna chuo kikuu(university)? Hueleweki kabsaa!! Ni chuo gani kinatoa masters kisichokua kikuu?
      P/se! Za mbayuwayu changanya na za kwako.
      .

    18. #35
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1843
      Likes Received
      590
      Likes Given
      413

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By Kiby
      .
      Yaani degree ya kwanza na ya pili inapatikana nchini ila hakuna chuo kikuu(university)? Hueleweki kabsaa!! Ni chuo gani kinatoa masters kisichokua kikuu?
      P/se! Za mbayuwayu changanya na za kwako.
      .
      ????????????

      Je unajuwa wakihitimu wanapewa cheti cha namna gani?

    19. #36
      VoiceOfReason's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Everywhere
      Posts : 5,239
      Rep Power : 1894
      Likes Received
      1152
      Likes Given
      603

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By Majimoto
      Mkuu, haya mambo yapo, hayo uliyoyaandika ni madogo, laiti macho yako ya ndani yangekuwa na uwezo wa kuona ulimwengu, ungeshangaa dunia ilivyojaa uchafu.
      Mkuu hizo bado ni hadithi za kusadikika...., Mfano mimi siku nikiona kitu ambacho si cha kawaida takwenda hospitali wakanipime akili, labda nineanza kuchanganyikiwa na ninaona vitu ambavyo havipo unless jambo moja tuone wengi kwa wakati mmoja, na hapo tasema tumepigwa changa la macho.

      Sasa since hapa tunaongelea facts na wewe upo hapa.., naomba tuanze kuongelea hili suala la kupaa kwa ungo..., je ni force gani inayofanya mtu apae na ungo au ni michanganuo ipi unafanya ili upae...., sababu ndugu yangu bila kuleta facts hapa kutakua hakuna tofauti na hadithi za alfu lela olela
      Even a Genius Asks Questions....

    20. #37
      newmzalendo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2009
      Location : tanganyika
      Posts : 1,064
      Rep Power : 729
      Likes Received
      167
      Likes Given
      73

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      upanga sehemu gani?
      Quote By Majimoto
      Wachawi wa nchi, wanapata msaada wa nguvu ya uchawi kutoka kwa shetani mkuu (Lucifier), Shetani na wasaidizi wake wanaishi ndani ya moyo wa dunia. Kila nchi ina milango ya kushukia kwa mkuu (shetani) na hapa Tanzania milango hiyo ipo sehemu zifuatazo:-

      a) Mwanza kando ya ziwa victoria
      b) Tabora mjini ndani ya soko kuu
      c) Kibirizi, Kigoma kando ziwa Tanganyika
      d) Njombe, Iringa
      e) Upanga Dar es Salaam
      f) Bagamoyo kando ya bahari
      g) Pangani, Tanga kando ya bahari.

    21. #38
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1843
      Likes Received
      590
      Likes Given
      413

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By VoiceOfReason
      Mkuu hizo bado ni hadithi za kusadikika...., Mfano mimi siku nikiona kitu ambacho si cha kawaida takwenda hospitali wakanipime akili, labda nineanza kuchanganyikiwa na ninaona vitu ambavyo havipo unless jambo moja tuone wengi kwa wakati mmoja, na hapo tasema tumepigwa changa la macho.

      Sasa since hapa tunaongelea facts na wewe upo hapa.., naomba tuanze kuongelea hili suala la kupaa kwa ungo..., je ni force gani inayofanya mtu apae na ungo au ni michanganuo ipi unafanya ili upae...., sababu ndugu yangu bila kuleta facts hapa kutakua hakuna tofauti na hadithi za alfu lela olela
      Usafiri wa ungo upo wa aina nyingi, upo usafiri wa ungo unaotumia wanyama, upo usafiri wa kutumia fagio, upo usafiri wa kutumia fimbo, upo usafiri wa kutumia ungo.

      Wachawi wote wana roho ya uchawi, roho ya uchawi ni roho inayokufanya uweze kupita eneo ngumu na kutokeza upande wa pili, kwa mfano wachawi wanapowanga usiku roho hizi huwafanya kuingia katika nyumba yoyote na kuwafanyia uchawi usiku watu waliolala ndani ya nyumba hizo bila ya kuonekana. Isipokuwa nyumba za walokole haziingiliki kabisa.

      Roho za uchawi zinawawezesha wachawi kujibadilisha maumbo yao, kutoka maumbo ya kibinadamu na kugeuka kuwa paka, panya, kunguru n.k.

      Wanapotaka kusafiri anakuwa na vifaa vyake vya kichawi, kisha huomba dua akinuizia majini yampeleke sehemu fulani, roho yake ya uchawi na majini humuinua juu angani kwa kasi hadi eneo alilokusudia. Usafiri wa aina hii ni hatari kwani unaweza kutunguliwa kirahizi ukiwa angani.

      Usafiri wa kutumia wanyama kama fisi, hutumika kwa nchi kavu tu, hawawezi kuvuka bahari kwenda visiwani au nchi za mbali.

      Usafiri wa kasi sana ni wa kutumia fimbo, kabla ya kuanza safari, unaomba dua ya manuizo na kukanyanga incha moja ya fimbo, roho ya uchawi na majini hukuinua juu angani, kama unataka kwenda Nigeria kutoka Dar, utaonyeshwa njia yote ilivyo, kama kuna hatari yoyote huonekana, na inabidi uhairishe safari, kama njia ni nyeupe, unatakiwa ukanyage incha ya pili ya fimbo, na safari huanza kwa kasi ya sauti. Kwa sababu safari ni ya kasi sana na upepo ni mkali sana, kiasi kuwa huwezi kufika ukiwa hai, majini huchomoa roho yako ndani ya mwili wako na roho kukutangulia mbele, mwili wako huikimbiza roho yako ukiwa katika hali ya umauti, unaweza kutumia sekunde 10 kufika Nigeria, lakini ni usafiri wa hatari kuliko zingine, usafiri huu hujulikana kama usafiri wa kujichinja.

      Wachawi wa Marekani na bara Ulaya wao hutumia sana usafiri wa fagio.

    22. #39
      mzambia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Location : BHULAMBYA MALAWI
      Posts : 818
      Rep Power : 588
      Likes Received
      17
      Likes Given
      4

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Haya bwana
      "HE WHO BUILD ON PEOPLE, BUILDS ON MAD" DON VITO CORLEONE AND " KEEP YOUR FRIEND CLOSE BUT YOUR ENEMY CLOSER"

    23. #40
      roselyne1's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 18th February 2010
      Posts : 1,374
      Rep Power : 0
      Likes Received
      75
      Likes Given
      3

      Default Re: Biashara ya Uchawi Tanzania

      Quote By Majimoto
      Usafiri wa ungo upo wa aina nyingi, upo usafiri wa ungo unaotumia wanyama, upo usafiri wa kutumia fagio, upo usafiri wa kutumia fimbo, upo usafiri wa kutumia ungo.

      Wachawi wote wana roho ya uchawi, roho ya uchawi ni roho inayokufanya uweze kupita eneo ngumu na kutokeza upande wa pili, kwa mfano wachawi wanapowanga usiku roho hizi huwafanya kuingia katika nyumba yoyote na kuwafanyia uchawi usiku watu waliolala ndani ya nyumba hizo bila ya kuonekana. Isipokuwa nyumba za walokole haziingiliki kabisa.

      Roho za uchawi zinawawezesha wachawi kujibadilisha maumbo yao, kutoka maumbo ya kibinadamu na kugeuka kuwa paka, panya, kunguru n.k.

      Wanapotaka kusafiri anakuwa na vifaa vyake vya kichawi, kisha huomba dua akinuizia majini yampeleke sehemu fulani, roho yake ya uchawi na majini humuinua juu angani kwa kasi hadi eneo alilokusudia. Usafiri wa aina hii ni hatari kwani unaweza kutunguliwa kirahizi ukiwa angani.

      Usafiri wa kutumia wanyama kama fisi, hutumika kwa nchi kavu tu, hawawezi kuvuka bahari kwenda visiwani au nchi za mbali.

      Usafiri wa kasi sana ni wa kutumia fimbo, kabla ya kuanza safari, unaomba dua ya manuizo na kukanyanga incha moja ya fimbo, roho ya uchawi na majini hukuinua juu angani, kama unataka kwenda Nigeria kutoka Dar, utaonyeshwa njia yote ilivyo, kama kuna hatari yoyote huonekana, na inabidi uhairishe safari, kama njia ni nyeupe, unatakiwa ukanyage incha ya pili ya fimbo, na safari huanza kwa kasi ya sauti. Kwa sababu safari ni ya kasi sana na upepo ni mkali sana, kiasi kuwa huwezi kufika ukiwa hai, majini huchomoa roho yako ndani ya mwili wako na roho kukutangulia mbele, mwili wako huikimbiza roho yako ukiwa katika hali ya umauti, unaweza kutumia sekunde 10 kufika Nigeria, lakini ni usafiri wa hatari kuliko zingine, usafiri huu hujulikana kama usafiri wa kujichinja.

      Wachawi wa Marekani na bara Ulaya wao hutumia sana usafiri wa fagio.
      umejuaje haya???mweh
      Masikini_Jeuri likes this.

    Page 2 of 38 FirstFirst 123412 ... LastLast

    LinkBacks (?)

    1. 1st July 2012, 09:06
    2. 22nd May 2011, 19:01
    3. 6th May 2011, 13:26
    4. 11th March 2011, 20:24

    Similar Topics

    1. Biashara ya real estate tanzania
      By C.T.U in forum Business & Economic Forum
      Replies: 20
      Last Post: 2nd April 2013, 18:54
    2. Replies: 12
      Last Post: 17th September 2011, 17:27
    3. Biashara ya copper Tanzania
      By The Boss in forum Business & Economic Forum
      Replies: 1
      Last Post: 27th July 2011, 08:03
    4. Tanzania inashabikia uchawi
      By Obe in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 1
      Last Post: 28th June 2011, 13:27
    5. Uwekezaji na biashara inakuwa tanzania?
      By Haika in forum Business & Economic Forum
      Replies: 4
      Last Post: 28th January 2011, 13:13

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...