Recently, I had a wonderful trip to one of the Lake zone regions whose inhabitants are traditionally known to have a violent temperament. In fact there is even a widespread gossip that it was such acts of violence which prompted the government to brand one of the region’s districts as the...
If the Sumbawanga Magistrate Erred, What about these reckless Drivers?
March 25th, 2013 | by Joas KaijageLumuma: Mto unaobeba matumaini ya vijiji saba
March 24th, 2013 | by Kulwa MagwaUWEPO wa mto Lumuma katika kata hiyo, umesaidia uchumi wa wakazi wa vijiji saba vya wilaya za Kilosa na Mpwapwa wanaoutumia kwa shughuli za kilimo cha umwagiliaji.
Mimba za utotoni Ileje kikwazo cha elimu kwa wasichana
March 24th, 2013 | by Gordon KalulungaWATOTO wa kike wanazaa watoto. Watoto wanaolewa. Watoto wanaacha masomo. Maambukizi ya virusi vya Ukimwi yanaongezeka huko ni wilayani ileje mkoani Mbeya.
Kishapu: Wanafunzi Magalata huponea njaa shuleni
March 24th, 2013 | by Kulwa MagwaWANAFUNZI wa shule ya msingi Magalata, wilayani Kishapu, wameendelea kuhudhuria vizuri shuleni tangu utaratibu wa kutoa huduma ya chakula ulipoanza.
Wanaume wengi hawajui matumizi sahihi ya kondomu
March 24th, 2013 | by Gordon KalulungaWANAUME wengi nchini wakiwemo wasomi hawajui matumizi sahihi ya mipira ya kiume ‘’Kondomu’’. Ikiwa ni kuvaa kabla, wakati wa tendo na kuvua baada ya kujamiiana na wenza wao.
WAJAWAZITO 303 KATI 100,000 HUPOTEZA MAISHA WILAYANI IRINGA
March 20th, 2013 | by Frank LeonardWASTANI wa wajawazito 303 kati ya 100,000 wamekuwa wakipoteza maisha wakati wakijifungua wilayani Iringa.
Vifo hivyo vinaendelea kutokea wakati serikali na washirika wake wakiongeza kasi ya kufikia malengo ya Millenia ya kupunguza vifo vya wajawazito na...
Maisha ya kuokota ‘mawe ya dhahabu’
March 19th, 2013 | by Kulwa MagwaKUNA kipindi maisha humuongoza binadamu afanye nini ili aweze kuishi kulingana na mazingira anayoishi. Hivyo ndivyo ilivyo kwa baadhi ya vijana na kinamama wanaoishi katika vijiji vya Sambaru, wilaya ya Ikungi na Londoni, wilaya ya Manyoni.
Wagonjwa Bunda wachomwa sindano ”gizani”
March 19th, 2013 | by Gordon KalulungaZAHANATI ya Bunda mkoani Mara, inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ya chumba cha kuchomea sindano wagonjwa kukosa madirisha.
Hali hiyo imebainika baada ya waandishi wa habari kutembelea zahanati hiyo na kuzungumza na uongozi wa zahanati chini ya muuguzi mkuu wa hospitali ya wilaya...
Wazee wa Songea watozwa pesa za Matibabu licha ya kuwa na Daftari lenye Muhuri wa kutibiwa bure!
March 19th, 2013 | by Mariam MkumbaruWazee wa kijiji cha Ifinga kata ya Ifinga wilaya ya Songea mkoa wa Ruvuma, wanatozwa pesa za matibabu, licha ya serikali kuwafutia gharama za matibabu wakienda katika vituo mbalimbali vya afya, pamoja na kupewa daftari lililogongwa muhuri wa kutibiwa bure.
Mwekezaji atoweka na kuacha shimo, hema
March 19th, 2013 | by Kulwa MagwaTAKRIBAN miaka mitatu imepita tangu kampuni ya Kastan iliyotaka kuchimba dhahabu katika kijiji cha Sambaru, wilayani Ikungu, mkoa wa Singida, ilipoondoka bila kuaga.
Umbali wa kuzifikia huduma za afya, kitendawili kwa wajawazito Butiama
March 17th, 2013 | by Stella MwaikusaImeelezwa kwamba baadhi ya akina mama wa wilaya ya Butiama, wanajifungulia nyumbani kutokana na umbali wa upatikanaji wa huduma za afya.


JamiiForums | Where we Dare to Talk Openly!
Join over 250,000 people following JamiiForums