LATEST ENTRIES

Huduma ya Uzazi wa Mpango kuboreshwa kuelekea 2015

April 25th, 2013 | by Frank Leonard

MATUMIZI ya huduma za uzazi wa mpango nchini yameendelea kuwa chini kwa asilimia 27 huku serikali ikihadi yatafika asilimia 60 ifikapo mwaka 2015.

Utoaji mimba wakithiri Ifakara, wafanywa kwa kati ya Sh 30,000 na 85,000

April 25th, 2013 | by Frank Leonard

WAKATI kutoa mimba kwa mujibu wa sheria ya Kanuni za Adhabu Sura ya 16 (kifungu cha 150 hadi 152) ni kosa la jinai, wilayani Kilombero mkoani Morogoro, huduma hiyo hutolewa kwa kati ya Sh. 30,000 na Sh. 84,000.

Damu za watu zauzwa kati ya Sh.15,000 mpaka Sh. 20,000

April 23rd, 2013 | by Gordon Kalulunga

Biashara ya ‘’viungo vya binadamu’’ imeibainika kuwepo wilayani Bunda mkoani Mara. Damu unit moja inauzwa kati ya Sh.15,000 mpaka 20,000 kisha kuwaongezea wagonjwa wenye upungufu wa damu hususani watoto na wajawazito.

Miundombinu duni, kikwazo cha kupunguza vifo vya wajawazito na watoto wachanga Tanzania

April 23rd, 2013 | by Gordon Kalulunga

Sera ya afya ya mwaka 2007 inaeleza mipango madhubuti ya kuhakikisha huduma bora za afya zinapatikana katika kila kata ambapo kila kijiji inatakiwa kuwe na Zahanati na kila kata kuwe na kituo cha afya na wataalamu wenye taaluma.

Shughuli za kiuchumi kwa Vijana wa Wilaya ya Kisarawe na changamoto zao

April 23rd, 2013 | by Belinda Habibu

Kama ilivyo kwa vijana wengine hapa nchini, wale wa wilaya ya Kisarawe wanajihusisha na shughuli mbalimbali.

Wilaya hii imejaliwa vitega uchumi vingi kama maliasili nyingi ( misitu, ufugaji wa nyuki, madini ya kaolin, kokoto, na mazao ya chakula na biashara.

Elimu ya Utunzaji wa kumbukumbu wahitajika Wilaya ya Kishapu

April 23rd, 2013 | by Belinda Habibu

Utunzaji wa kumbukumbu husaidia watu pale wanapotaka kuona walikotoka wapi kimahesabu,na kufanya tathimini ya mapungufu ama kujipongeza kwa kufanya vizuri.

Ijue Historia ya Umiliki wa Vitalu – Machimbo ya Tanzanite Mererani

April 23rd, 2013 | by Belinda Habibu

Mererani ni jina la kata ya Wilaya ya Simanjiro katika Mkoa wa Manyara, Tanzania, kwa sasa eneo hili limepewa hadhi ya kuwa mji mdogo,na kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002 ina wakazi wapatao 48,027 waishio humo.

Mapungufu ya Huduma Bora ya Afya Vijijini

April 22nd, 2013 | by Belinda Habibu

Kilio cha upungufu wa vifaa tiba, wataalamu hawatoshi na miundombinu ya baadhi ya hospitali, vituo vya afya na zahanati kuwa mibovu ni moja ya sababu ya ongezeko la vifo vya kinamama wajawazito wakati wa kujifungua.

Wachimbaji wa Madini wakijiunga pamoja wanaweza kumaliza changamoto zao!

April 22nd, 2013 | by Belinda Habibu

Wachimbaji wadogo wakiwa katika umoja, wanaweza kumaliza changamoto mbalimbali zinazowakabili kama ukosefu wa mitaji, teknolojia na soko la kuuza wanachokizalisha.

WANAFUNZI 893 NA WALIMU 13 WA SHULE YA MSINGI MWADUI DDC WANATUMIA MATUNDU 16 TU YA VYOO.

April 22nd, 2013 | by Belinda Habibu

Zaidi ya Wanafunzi 890 na walimu 13 wanatumia matundu 16 ya vyoo, shule ya msingi Mwadui DDC, katika kijiji cha Mwadui Lohumbo.
Shule hiyo kongwe yenye miaka 68 ni miongoni mwa shule zinazozunguka mgodi wa almasi wa Williamson Diamond,wilayani Kishapu,mkoani Shinyanga.
Kaimu mwalimu mkuu...

UPUNGUFU WA DAWA HOSPITALI YA WILAYA YA KISARAWE NI MWIBA KWA WAKAZI WAKE.

April 22nd, 2013 | by Belinda Habibu

Na: Belinda Habibu

“Kama ningalijua sitapata dawa bora ningeenda tu duka la dawa nikanunue mwenyewe nimeze tu,kuliko kwenda katika hospitali hii halafu hupatiwi tiba halisi”
Hayo ni maneno ya fundi selemala , Noel Daniel Udulele wa kijiji cha Kisarawe na ameongeza hata ukiumwa nini...