SIKU chache baada ya moto kuzuka ndani ya mgodi wa Geita (GGM) na kuteketeza mali zenye thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni 25,hofu kubwa ya kupoteza maisha imeibuka kwa uongozi na wafanyakazi wa mgodi huo.
Uchunguzi umebaini kuwa baada ya kutokea kwa tukio la moto,lilitokea jaribio la mmoja...


JamiiForums | Where we Dare to Talk Openly!
Join over 250,000 people following JamiiForums