Mwawado, right on... kwa sababu watanzania wanapenda kugereshwa sana.. Hakuna anayeuliza iweje tukodi mtambo kwa gharama ya juu ambapo tungeweza kupata mtambo huo huo na kuumiliki kwa gharama ya chini sana kuliko hiyo ya kukodi? Iweje uamue kukodi kwa gharama ya juu badala ya kumiliki kwa gharama ya chini. Ni sawa na mtu anaamua kukodi gari na analipia shilingi milioni 20, wakati gari hilo hilo tena jipya lina gharibu shilingi milioni 10!! IT DOESN'T MAKE ANY SENSE!!
__________________
Nchi hii imewahi kung' oa masultani wa kila aina. Tukianza kuvumilia masultani wakuchaguliwa tutapanda mbegu ya masultani wa kuzaliwa. - Nyerere katika "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania"
|