JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Single Post - Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts
View Single Post
  #10  
Old 2nd November 2006, 10:37 PM
Mzee Mwanakijiji's Avatar
Mzee Mwanakijiji Mzee Mwanakijiji is online now
Mzee Mwanakijiji anawashangaa wanaoitetea sheria mbovu
JF Premium Member
Points: 12,986,877, Level: 100 Points: 12,986,877, Level: 100 Points: 12,986,877, Level: 100
Activity: 95% Activity: 95% Activity: 95%
 
Join Date: Fri Mar 2006
Location: Kijijini
Posts: 18,472
Thanks: 8,495
Thanked 4,683 Times in 1,316 Posts
Rep Power: 44
Mzee Mwanakijiji is on a distinguished roadMzee Mwanakijiji is on a distinguished road
Send a message via MSN to Mzee Mwanakijiji Send a message via Skype™ to Mzee Mwanakijiji
Default

Mwawado, right on... kwa sababu watanzania wanapenda kugereshwa sana.. Hakuna anayeuliza iweje tukodi mtambo kwa gharama ya juu ambapo tungeweza kupata mtambo huo huo na kuumiliki kwa gharama ya chini sana kuliko hiyo ya kukodi? Iweje uamue kukodi kwa gharama ya juu badala ya kumiliki kwa gharama ya chini. Ni sawa na mtu anaamua kukodi gari na analipia shilingi milioni 20, wakati gari hilo hilo tena jipya lina gharibu shilingi milioni 10!! IT DOESN'T MAKE ANY SENSE!!
__________________
Nchi hii imewahi kung' oa masultani wa kila aina. Tukianza kuvumilia masultani wakuchaguliwa tutapanda mbegu ya masultani wa kuzaliwa. - Nyerere katika "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania"
Reply With Quote