JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Single Post - Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts
View Single Post
  #9  
Old 2nd November 2006, 09:30 PM
Mwawado's Avatar
Mwawado Mwawado is offline
Mwawado Mossad Sensei
JF Senior Expert Member
Points: 220,605, Level: 100 Points: 220,605, Level: 100 Points: 220,605, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Nov 2006
Location: Tulsa, Oklahoma/MFA-TZ
Posts: 1,075
Thanks: 51
Thanked 73 Times in 33 Posts
Rep Power: 26
Mwawado will become famous soon enoughMwawado will become famous soon enoughMwawado will become famous soon enoughMwawado will become famous soon enoughMwawado will become famous soon enoughMwawado will become famous soon enoughMwawado will become famous soon enoughMwawado will become famous soon enough
Default

kuna ukweli ulio Dhahiri kwamba ukimudu kuvituliza vyombo vya habari utatawala utakavyo,kwani maovu yako hayatosikika kwa umma.Sasa kwa mtazamo wangu naona awamu hii hilo ndilo lengo lao.Wanajaribu kwa kila mbinu kuwakumbatia waandishi ili mabovu yao yasisemwe.Si unaona hii issue ya RDC itakufa hivi hivi kwa sababu tu haisemwi sana kwenye vyombo vya habari vya nyumbani,na nataka kukuthibitishia tu,ya kwamba wananchi walio wengi hawajui Mkataba huu mbovu kati ya serikali yao na akina Gire!
Reply With Quote