kuna ukweli ulio Dhahiri kwamba ukimudu kuvituliza vyombo vya habari utatawala utakavyo,kwani maovu yako hayatosikika kwa umma.Sasa kwa mtazamo wangu naona awamu hii hilo ndilo lengo lao.Wanajaribu kwa kila mbinu kuwakumbatia waandishi ili mabovu yao yasisemwe.Si unaona hii issue ya RDC itakufa hivi hivi kwa sababu tu haisemwi sana kwenye vyombo vya habari vya nyumbani,na nataka kukuthibitishia tu,ya kwamba wananchi walio wengi hawajui Mkataba huu mbovu kati ya serikali yao na akina Gire!
|