Re: bima ya taifa ya afya
mi nimewahi kutumia ni nzuri. hasa ukipata green card tumia hospitali zinazoeleweka kama agakhani hakuna matatizo. kwa broun card ndio kuna matatizo
angalizo: kupata greencard unatakiwa kuwa na mshahara kuanzia Tshs. 864,030/- kwa mwezi au zaidi, chini ya kiwango hiki utapata brown card
|