Re: bima ya taifa ya afya
Sidhani kama wapo serious na wanajua wanachokifanya, kwa mfano serikali kama mwajiri ilitakiwa kugharamia huduma za afya, nyumba na elimu kwa wafanyakazi wake na familia zao, kinyume chake mbali na kodi wanazokatwa kuchangia huduma za kijamii ikiwemo afya, mfanyakazi huyu anatakiwa kuchangia tena bima ya afya ambayo mwisho wa siku haimsaidii!
__________________
The greatest achievement for any human being is to love God, yourself and others...
|