Nakubaliana nawe hakuna sheria lakini matokeo yake ndiyo haya sasa kwamba habari za kweli na makelele ya kweli yanatokea jambo na si media za hapa nyumbani ambazo zinawafikiwa wengi ili wajue Nchi yao iko vipi .
__________________
CCM ni kama kokoro lililovua samaki, makakara , konono, na matope yote ya ziwani-Julius K . Nyerere.
|