JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Single Post - bima ya taifa ya afya
View Single Post
  #7  
Old 27th November 2009, 01:50 PM
Dark City's Avatar
Dark City Dark City is offline
Dark City The last of the Thomaso's
JF Premium Member
Points: 188,394, Level: 100 Points: 188,394, Level: 100 Points: 188,394, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Sat Oct 2008
Location: Roaming
Posts: 1,441
Thanks: 1,168
Thanked 438 Times in 246 Posts
Rep Power: 24
Dark City will become famous soon enoughDark City will become famous soon enoughDark City will become famous soon enoughDark City will become famous soon enoughDark City will become famous soon enoughDark City will become famous soon enoughDark City will become famous soon enoughDark City will become famous soon enough
Default Re: bima ya taifa ya afya

Quote:
View Post
Mkuu, kwanza tukubali kwa kiasi fulani NHIF imepiga hatua sana kwenye kujiweka katika ramani ya health care financing hata Tz, their website is also far better than most of our government isntitutions (including hata ile ya wakuu)

Now, challenges bado ni nyingi kwasababu ya namna NHIF inavyo-integrate na local government na vituo vya afya visvyo na direct management ya serikali (FBO, VA na private), hapo kidogo patahitaji collective approach
wenye bima hizi hawathaminiwi kutokana na limitations za services na products zinazotokana na caps! hivyo kuonekana ni wa hadhi duni kulinganisha na mifumo mingine ya bima ya afya

Kuna huge problem kwenye accountability hasa kwenye hospitals zinazopata multiple supports - utakuta hospitali zinapata dawa za misaada halafu wanacharge wagonjwa kwenye forms za NHIF na hili linapelekea NHIF kuibiwa. Inawezekana kabisa hili tatizo linasukwa na baadhi ya NHIF staffs na pesa kupigwa panga

NHIF imekuwa ikijivunia hata efforts ambazo si za kwao ilimradi wao wanasapoti hospital basi chochote chenye improvement wanaclaim wakati si kweli
NHIF imeshindwa ku-adress suala nyeti la dawa accountability wakati kwenye fact sheet yao inaonekana wazi kwamba ni muhimu

I am sure wanaelekea kuzuri lakini humuma zao zinahitaji kuwa more integrated na mifumo iliyopo na waboreshe accountability, nina imani hii ni epa nyingine isipoangaliwa vyema kutokana na baadhi ya halmashauri kuweka magonjwa na dawa feki kwenye fomu feki kuongeza kipato
NHIF ni bonge la EPA. Na kuonesha kuwa kuna mkono wa mtu, Bunge tayari limepitisha sheria kuwa kila mfanyakazi lazima ajiunge nalo. Mfano jamaa yangu anatoa 3% ya mshahara kwa mwezi (>60,000/- kwa mwezi) na mwajiri anamchangia kiasi kama hicho. Je kuna uhalali wowote wa kutungiwa sheria ya kulazimisha wafanyakaji kujiunga na NHI?
__________________
......." Mtenda akitendwa hudhani kaonewa" Akudo Impact, 2010.
Reply With Quote