Re: Wadau mmesikia haya ya Zanzibar ? CUF imepigwa chenga ama ?
sidhani kama mkutano wa seif na karume ulikuwa na lengo la kuunda serikali ya mseto, ule mkutano ulikuwa na mamlaka makugwa zaidi, and that was interest of zanzibaris
Tuache kauchochezi
__________________
I am on the move...
|