|
Quote: |
|
 |
|
|
Wewe yanakuhusu nini? yako ya Chadema yanawashinda..... |
|
|
|
|
Kaka CUF ni chama cha kisiasa..kwa Tanzania nzima kinategemewa kuchukua nchi na kuongoza wananchi wote ..wanachama na wasio wanachama..hivyo kina mhusu kila mtu Mtanzania..so usituambia haimhusu
Mimi nilijua hili deal ni maumivu kwa CUF na ikifika 2010 kazi yenu ndio imekwisha..mgawanyiko kati ya wanachama na viongozi ..take my words.