Re: msaada kupanga hiki kitabu kimescaniwa
ishu ni kwanba kuna vyitu unatakiwa uvifanya katika kipindi fulani na jinsi kilivyo hakijaenda kwa series ndio mana nimeomba msaada kupangiwa kwa wataalam au kama kuna mtu alikuwa na hard copy nirahisi kukipanga .mfano unachukua page ya kwanza unacopy na kupest kwenye ms word mpaka page ya mwisho then unanitumia
|