|
Quote: |
|
 |
|
|
Nimesikia tetesi kuwa kama JK anabwaga manyanga 2010 basi chaguo muafaka (CCM na CUF) ni Profesa Ibrahimu Lipumba. What interests do CCM and CUF have in common huku bara ? Kwa nini CCM na CUF kwa pamoja hawafurahii hatua za Chadema kuwachukulia hatua wakorofi ndani yake ? Je hao wavuja siri za Chadema wanazipeleka kwa nani ?
Kama kuna wakati CCM inahitaji msaada wa CUF, ni sasa - kuivuruga Chadema. |
|
|
|
|
Kwanza unajua sana "kutabiri" nafikiri unatumia maono kutoka..lol acha kupotosha watu...
Lakini uko terrified kwakuwa chadema chama chako iko taabani
unasahau kwamba tatizo ni "kihiyo" wenu mbowe
unaunganisha CUF na CCM..something i dont think it can happeni...defects wengi kutoka CCM ikiwa itatokea wataenda huko kwenye chama chako kwasababu zao ambazo ..dots zinaonyesha zinakoelekea..