Re: Tafakari... kulikoni ? - what's cooking...connect the dots
ccm na CUF kule visiwani have one thing in common
NATIONAL INTEREST ya visiwa vyao...wanaja in the next 5 to 10 yrs the so called muungano utakuwa ushakwisha au utakuwa hauna nguvu kama ulivyo sasa na kubwa zaidi in the next 20 yrs hautokwepo kabisaa enzi hizo a barrel of oil itakuwa ni $200
in short wote hawautaki Muungano sema nyie watu wa bara ndio mnaoungangania
ohh i dont see anything wrong wakiamua kudeclare Independence from Mafisadi wa Tanganyika
|