JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Single Post - Kikwete amkubalia Mwanyika kung'oka
View Single Post
  #7  
Old 6th October 2009, 12:18 PM
Congo Congo is offline
Congo has no status.
Senior Member
Points: 94,621, Level: 100 Points: 94,621, Level: 100 Points: 94,621, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Thu Mar 2008
Posts: 203
Thanks: 14
Thanked 22 Times in 14 Posts
Rep Power: 23
Congo will become famous soon enoughCongo will become famous soon enoughCongo will become famous soon enoughCongo will become famous soon enoughCongo will become famous soon enoughCongo will become famous soon enoughCongo will become famous soon enoughCongo will become famous soon enough
Default Re: Kikwete amkubalia Mwanyika kung'oka

Sioni ubaya wowote kustaafu. Kwanza keshatimiza miaka 60 ambao ni umri wa lazima wa mtumishi wa serikali kustaafu. Ingawa inaweza kuonekana ni kulea maovu lakini watumishi wa serikali wafanyapo makosa (ingawa makosa mengine hayatangazwi) na kuwajibika kuadhibiwa, na hasa suala la kufukuzwa kazi, mara nyingi umri wao huangaliwa kabla ya adhabu kutolewa. Hii haiko kisheria lakini ni suala la ubinadamu tu. Hata mahakamani inatokea adhabu kupunguzwa kwa sababu ya umri.
Wakati mwingine lazima Serikali ionekane imara kuwa haishurutishwi na chombo chochote. Bunge litakapokaa mwezi November itatolewa taarifa kuwa Mwanasheria Mkuu kastaafu kwa lazima. Azimio la bunge litakuwa limetekelezwa.
Wakianza kufukuzana kwa kila kosa linalotokea habaki mtu serikalini. Kastaafu mwacheni aende. Mengine baadae.
Halafu kama ni suala la kuwajibishana kuhusu Richmond wa kuondoka ni wengi.
Reply With Quote